VIDEO: MBOWE ANENA KWENYE UFUNGUZI WA MKUTANO WA CHADEMA MWANZA, "KUNA WATU WANATAKA NIMTUKANE RAIS"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 янв 2023

Комментарии • 404

  • @edsonisrael8996
    @edsonisrael8996 Год назад +44

    Wanamuona MH.MBOWE anaongea leo Kama vile kalewa gonga like.

  • @elymollel
    @elymollel Год назад +5

    Kama unapenda K.vant gonga like😄

  • @silivianjonh6851
    @silivianjonh6851 Год назад +32

    Ila mbowe leo amekunywa

  • @vellenahfuraha6254
    @vellenahfuraha6254 Год назад +9

    Kumbeee!! Sasa natambua kwa nini ccm waliikanyaga katiba kwa kuzuia mikutano, kumbe Magufuri na CCM waligundua huyu mlevi anayejiita mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani watamvuruga hata kwenye yale maendeleo kidogo aliyoyaacha. Na tena nakubalina na taarifa ya police kule Dodoma kuwa alivunjika mguu akiwa amelewa,yaani (kulamba farujohn).

  • @salumurembo6525
    @salumurembo6525 Год назад +14

    Hivi ni macho yangu yananidanganya au na wenzangu mnayaona. Naona kama kapiga vyombo

    • @frankngoloka2589
      @frankngoloka2589 Год назад

      Sio yeye faru John

    • @adammbuba7230
      @adammbuba7230 Год назад +1

      Kamanda mbowe anaupga mwingi huku akiwa amelewa😀😀😀😀😀

    • @kashindisimon5265
      @kashindisimon5265 Год назад +1

      Is this people serious!?unaongelea habari ya ukombozi maendeleo na Uhuru WA watu huku umelewa chakari!hii dharau Kwa wapende demokrasia wote shame on you!!

    • @edsonisrael8996
      @edsonisrael8996 Год назад

      Hata Mimi naona kapiga vombo liko wazii haongeagi ivoo

    • @michaelkwatlema2124
      @michaelkwatlema2124 Год назад

      Kabiga kweli

  • @emmanuelkiondo5780
    @emmanuelkiondo5780 Год назад +12

    Ameshtua kdg mkuu😆😁😁ila kuteleza sio kuanguka

  • @oseamkama6264
    @oseamkama6264 Год назад +6

    Mzee achaaa pombee leo umejishushia heshimaa

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Год назад +11

    Uyo lazima kaonja Kwa ongea hiyo

  • @athanassylas7469
    @athanassylas7469 Год назад +4

    Hongela sana mwenyekiti wetu wetu ila na wewe ujuwe kuwa hari yetu mbaya sana tengenezeni mazingila ya kutusaidia,maisha yakae saw

  • @denispius7542
    @denispius7542 Год назад +5

    Faru John on the bit

  • @ngadupalaamour
    @ngadupalaamour Год назад +2

    Yani mtu anajua kabisa anaenda kuhutubia anaenda kunywa na kulewa hivi? This is public disrespect kwakel kalewa mno

  • @gabybulba9574
    @gabybulba9574 Год назад +1

    Dah, mwenyekiti mbowe tangu umeanza kuzungumza naona kama bado upo Emotional sana na una furaha ya maridhiano kisiasa jambo ambalo kwa hakika haikuwa rahisi, lakini yote heri, maisha ya kisiasa yana principle zake na naona kwa maridhiano hayo Rais Samia kakikana chama chake kwa kiasi flani na wewe inabidi uikane kwa kias chama chako ili ninyi dira yetu mkiwa sawa wengine tutafuata utaratibu tu, Asanteeh sana mwenyekiti mbowe.

  • @musajosephjoseph3514
    @musajosephjoseph3514 Год назад +14

    2025 kura zote kwa Mama Samia.

  • @noelbazol5464
    @noelbazol5464 Год назад +5

    Leo Mh. Mbowe umelewa.Aibu Sana Sana!!

  • @lucaskituli1846
    @lucaskituli1846 Год назад +8

    mmmh siasa ningumu Sana Bora utafuta maisha na family yako tu maana ukiangalia kwa mbali hata hao wanaotuaminisha niwatetez bado Kuna mashaka makubwa kiukweli yaan nishda hakuna ajenda yamuhimu aliongea hapo amekuja kuongelea mambo yake binafs nakuwananga wenzake cjakuelewa kbsa leo.

  • @vellenahfuraha6254
    @vellenahfuraha6254 Год назад +6

    Kwa ulevi huu usikanyage kwetu Mara kesho. Umetamba asali na faru john.

  • @babalao910
    @babalao910 Год назад +2

    Hivi nani ameshtukia kama dingi kawa kama KITWANGA Leo 😄😄😄😄😄

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 Год назад +4

    Nyagi on line

  • @nasibusilumbu7215
    @nasibusilumbu7215 Год назад +3

    Hivi ndo huyu mbowe ninaye mjua mimi au kvant inafanya kazı🤣😂

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Год назад +6

    Ccm inakili sana

  • @godfreysanga2059
    @godfreysanga2059 Год назад +15

    Sasa ndio tunapoteza matumaini kabisa sijui tumlilie nani! Sasa naamini hatuna upinzani kabisa Sasa Matumaini yetu na karata yetu ya mwisho ni Mungu tu! Kwa mwelevu yeyote Shika neno hili, Dalili za Anguko kubwa kwa wadhalimu!! Mungu wetu nimkubwa sana! Hawezi kushindwa.

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 Год назад +1

      Hapo kweli kabisa hakuna upinzani, wamesha pewa bahasha ya kaki. Msishangae 2025 wakajiunga CCM.

    • @mwalimudavidkizazihuru
      @mwalimudavidkizazihuru Год назад

      Hahaaaa, upinzani wa bongo huwa unasaidia Chama tawala tu hakuna mapya😂😂

    • @hamiskanama1945
      @hamiskanama1945 Год назад

      Matusi ndo upinzani?

  • @ennyngalawa2809
    @ennyngalawa2809 Год назад +4

    Bado nitarudia tena kukusikiliza,Mbowe umetisha

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Год назад +4

    Ila mtu akishatoka jera akili lazima iwe na kasoro...kamanda kalewa

  • @costantinejoseph4907
    @costantinejoseph4907 Год назад +12

    mzee k vant huwa tunakunywa sisi kwa ajili ya dada zetu wale vp imekuwaje tena

  • @vellenahfuraha6254
    @vellenahfuraha6254 Год назад +9

    Huyu tulimuona mapemaaa, ndio maana tukatoka Chadema. Nadhani sasa mtatambua msaliti ni huyu na siyo akina Mdee. Ni huyu huyu aliyewatuliza wananchi baada ya kifo cha Wangwe,tena ni huyu huyu aliyetangaza utulivu kwa risasi za Lisu. Sasa leo mmejionea wenyewe alivyojidhihirisha pasi na shaka. Ooh WATANZANIA!!! Tumlilie Mungu.😭😭😭😭

    • @richardchuwa4402
      @richardchuwa4402 Год назад

      Wee aachauchawa wa ccm

    • @benswai8099
      @benswai8099 Год назад

      Mjinga tu. Baki na wajinga wenzako

    • @wadhhasuleiman2621
      @wadhhasuleiman2621 Год назад

      Asali amemiminiwa hasa sio kuramba ramba

    • @emmanuelandrew2241
      @emmanuelandrew2241 Год назад

      Huna lolote mnafiki mkubwa democrasia gn unayo ww wakt hutaki kuachia uenyekiti chama ni Cha mtu mmoja icho Wala sio watanzaia km ni democrasia ianzie kwenye chama fisad mkubwa ww

  • @petercat2062
    @petercat2062 Год назад +4

    Ongea tu ila Imani na ww hatuna tena

  • @jacklinemmary527
    @jacklinemmary527 Год назад +5

    Mbona km Leo kaamka nayo sio mkuu nnae mjua

  • @jigajrphil1344
    @jigajrphil1344 Год назад +11

    Msema kweli siku zote ni mtoto na mlevi hasa hasa akinywa pombe 🤙🏿

    • @alickbond6380
      @alickbond6380 Год назад

      Hahaha honestly mzee alipiga vyombo hapa

    • @saifsaidkhalfanalhabsi7124
      @saifsaidkhalfanalhabsi7124 9 месяцев назад

      Mheshima mbowe pombe uliokunywa nakuomba unywe kila mara maana pombe imekukubali useme ukweli. Hongera kamanda wangu

  • @kainimlowe7555
    @kainimlowe7555 Год назад +7

    hahaaa sie wakemia tushajua mueshimiwa kapiga konyagi feki😁

    • @titosanga9602
      @titosanga9602 Год назад

      Mzee ana kimera kichwani ni bora angehutubia kesho 😁😁😁😁😁

  • @samwelitangasi9580
    @samwelitangasi9580 Год назад +9

    Mwenyekit hongera kwa mkutano Ila umegonga vyombo

  • @vicentmasunga5072
    @vicentmasunga5072 Год назад +7

    Mbona kapiga vyombo😂😂

  • @malibikaalex9256
    @malibikaalex9256 Год назад +1

    Hongera Mwenyekitti wetu, Hongera Mama Samia

  • @ayurekituz736
    @ayurekituz736 Год назад

    Rais Samia hongera sana.

  • @danyohanatv1926
    @danyohanatv1926 Год назад +1

    CHADEMA mitano inawahusu tutawapa kura zote Ila acheni undumila kuwili

  • @mamakoku5123
    @mamakoku5123 Год назад +3

    kwa ulevi huu ungeanguka kidogo

  • @masaysamwel00
    @masaysamwel00 Год назад +1

    Mbona Mbowe anaongea kama kalewa?? Au ni Mimi tu jamanii....kama unahisi kama Mimi gonga like hapa

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Год назад +5

    Uyo mkuu haja towa roki kwelii,

  • @francismkenda
    @francismkenda Год назад +3

    Mzee leo umepiga vyombo😂😂😋😂

  • @fredyshirima8594
    @fredyshirima8594 Год назад +2

    We always forgive them ✌

  • @mashakalonka7767
    @mashakalonka7767 Год назад +13

    Kwa aina hizi za siasa kutoka chama kikubwa Cha upinzani kama chadema Tena kupitia mwenyekiti wa taifa,ni kama naona Ccm bado itaongoza nchi hii kwa miaka mingi sana!, let's wait time will tell!.

  • @stevenmahimbo3132
    @stevenmahimbo3132 Год назад +2

    🤣🤣HAPA MBEGE NDIO INAONGEA🤣🤣

  • @tycoon9540
    @tycoon9540 Год назад +1

    Mbowe bana, sasa anapanda jukwaani kuhutubia akiwa kitungi afu akija kuanguka asingizie watu wasiojulikana wamemvamia

  • @oseamkama6264
    @oseamkama6264 Год назад +2

    Mwenyekiti Leo nimekuona ulikuwa umelewa

  • @athumanabdul4223
    @athumanabdul4223 Год назад +1

    Yaan mtu kalewa afu anasimama mbele ya hadhara kuongea utumbo🚮so sad chadema lishakufa likaoza🚮

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Год назад +3

    Siasa sometimes n vitukoo!😀🤓🤓🤓

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Год назад +1

    Mzee amedozi konyagi ya kutosha😂😂😂😂

  • @merekwangujati158
    @merekwangujati158 Год назад +2

    Daah kama hajalewa basi , kachoka maana wamemfunga sana

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 Год назад +3

    Mbowe umetuangusha kak mkubwa umekuja umelewa

  • @athumankaswaga605
    @athumankaswaga605 11 месяцев назад

    Duh! Huyu dingi leo kapiga mitungi hatari😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @isayabugoro6750
    @isayabugoro6750 Год назад +1

    Safi sana mwenyekiti

  • @merekwangujati158
    @merekwangujati158 Год назад +3

    Daah kalewa ili aweze kuongea hivyo , maana akiwa normal hawezi sema hivyo

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 Год назад +1

    Uko vizuri,Ila kinywaji kimekupunguzia uhalisia wako

  • @ayurekituz736
    @ayurekituz736 Год назад

    Mbowe anasema kweli ,Raisi ndio kusema,tujenge Tanzania

  • @juliuskimanimolleli4088
    @juliuskimanimolleli4088 Год назад

    Hongera San viongozi ✌️✌️✌️✌️

  • @richardmollel3119
    @richardmollel3119 Год назад +7

    Hongera Sana mhe mbowee kwa kuona hili Jambo na kuwa muungwana.

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Год назад +1

    Ni kweli kabisa

  • @ayurekituz736
    @ayurekituz736 Год назад

    Mbowe his the man

  • @dorothyshee777
    @dorothyshee777 Год назад +4

    Kweli
    Kindly nifikisheni 500 subscribers

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 Год назад

    Chadema watafanywa kama Raila Odinga alivyofanywa.

  • @asherymatogwa6435
    @asherymatogwa6435 Год назад +2

    ✌✌✌✌

  • @ufugajiwetu7782
    @ufugajiwetu7782 Год назад +2

    Hapa tungi lazima

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband Год назад +1

    KIUFUPI SIAMINI NNACHOKIONA HAPAAA KHAAAA🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Bado sana hizi SIHASAA🤣

  • @kaifajuma6790
    @kaifajuma6790 Год назад

    Mwenyekiti alipiga faru john

  • @benedictsanga6149
    @benedictsanga6149 Год назад +1

    Mbona umekunywa Leo Mzee baba

  • @nickodemsimchimba594
    @nickodemsimchimba594 Год назад +3

    Kwa tunaojua sifa za walevi huyu Mwamba alikua jukwaani amelewa sana pombe

  • @ayurekituz736
    @ayurekituz736 Год назад

    Tanzania on right path.

  • @Jaspher09
    @Jaspher09 Год назад

    Pombe sio chai, always nasema hawa wanataka ugali kupitia migongo yetu

  • @jumaabakari1323
    @jumaabakari1323 Год назад +1

    Yani jamaaa ameshutua jamaniii pombe mbayaa

  • @jeffkonki8279
    @jeffkonki8279 Год назад +3

    Jamani pesa kitu kingine namuona mbwa mmoja anapongeza maisha tunayoishi watz na kusifia kabisaa

  • @gracemachege3817
    @gracemachege3817 Год назад +1

    Ila mwenyekit umegonga vyombo ,

  • @christophermatiko1153
    @christophermatiko1153 Год назад +4

    Sasa unashukuru rais Samia kunahaja gani ya ninyi kuzunguka kuendelea kutumia pesa za wananchi Bora kaeni mtulie mgoje Samia akitoka madarakani

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Год назад

      Mwananchi yupi ametoa pesa ya kutumia

    • @josephdogani3419
      @josephdogani3419 Год назад

      Mila jambo Lina wakati wake.mikutano ndo kwanza imeanza.mengi yatazungumzwa na kujadiliwa.samia anasifiwa hapa kwa sababu ameruhusu maridhiano ambayo ysnatupa guess yakujenga chamaa na kujiimalisha.

    • @christophermatiko1153
      @christophermatiko1153 Год назад

      Hizo card Wanagawa bure wewe mbwa Emma Acha urofa kunguru wewe

  • @hoseamagese4863
    @hoseamagese4863 Год назад +1

    Hakuna upinzani tz!!..zaid ni njaa tuu

  • @nurumvungi2210
    @nurumvungi2210 Год назад +1

    Duuuh mwenyekiti kama hayuko sawa kisaikolojia vile....

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Год назад

    Akili Mungu Yani Ni Silala Kubwa SANA

  • @denisjoel2833
    @denisjoel2833 Год назад +1

    Huyu sio Mbowe ninayemjua pana shida na siku zote wasaliti wanapanda jukwaani wamelewa kuondoa aibu. Nasikitika amepanda jukwaani kuiponda Chadema na kuisifia Ccm.Lisu kuwa makini watu ulionao tunamashaka nao!

  • @ibrahimsuleyman9465
    @ibrahimsuleyman9465 Год назад

    Mbona huna point WW

  • @ufugajiwetu7782
    @ufugajiwetu7782 Год назад +1

    Mbn Kama tungi ipo ivi

  • @husseinkakanga2699
    @husseinkakanga2699 Год назад +1

    Chadema kwisha habari yenu nilijua tu yatatokea haya ongea yenyewe inaonekana kabisa kama mlevi

  • @boazmkama2721
    @boazmkama2721 Год назад +2

    Hana Cha kuzunguza....CHADEMA wameishiwa.kumpinga magufuli ndo ulikuwa Mwisho wao.

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Год назад

      Kwamba magufuli ndio ameifikisha chadema hapo ilipo wewe na huyo magufuli wote kumanina zenu tena usirudie kutuambia mambo YA muuwaji sisi kuma wewe

    • @kefajoseph158
      @kefajoseph158 Год назад

      @@emmapaul1766 acha matusi

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Год назад

    Huyu ni mbowe

  • @TecnoBoys-ul7mj
    @TecnoBoys-ul7mj 10 месяцев назад

    NakupenDa Sana mbowe

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 Год назад +1

    Dah leo umezngua kiongoz

  • @peterkabeke362
    @peterkabeke362 Год назад +1

    Imeisha iyo hahahaaa dah ccm nouma aisee

  • @Kidia-yt3bm
    @Kidia-yt3bm Год назад +1

    Huyu kiongozi kama amelewa hahaha

  • @ommymp9058
    @ommymp9058 Год назад +1

    Naona unampigia camping samia

  • @josephmagori4612
    @josephmagori4612 Год назад

    Kumbe ndiyo maana unanga'ang'ania uenyekiti ili utusaliti Mimi ninaapa Kama mbowe akipewa Tena uenyekiti Mimi ninarudi CCM maana Hanna kitu hapo tunadanganywa asubuhi kumekucha

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Год назад +1

    Mwenyekiti Kama Kalewa

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Год назад

    LEO MBOWE UMEONGEA SAWA, ILA NYAGI + UNAREJEA SANA ASALI KAMA ULIPEWA KWELI+ UNASEMA HUTOWASALITI INAMAANA KUNA KITU FLANI ULISALITI KINAKUTIA HOFU

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 Год назад +1

    Asante sana mwenyekiti wetu yan ww ndo jembe retu

  • @kabangoamini8431
    @kabangoamini8431 Год назад +2

    Mupeni maji jamani

  • @getrudeelibariki1002
    @getrudeelibariki1002 Год назад +1

    Daaah...kamanda umezeeka aisee🤔💔

    • @f.a6043
      @f.a6043 Год назад

      Kuzeeka kupo hata na ww ni Mzee mtarajiwa 😂😂😂 pia mm mwenyewe 😅😅😅

  • @hamispaul3214
    @hamispaul3214 Год назад +1

    Mh kwangu mi cjakuelewa kabisaa nahic umesala au umetumwa make c kama Mbowe wa zaman

  • @machachehardware5975
    @machachehardware5975 Год назад +1

    Mbowe alikunywa jana

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Год назад

    Kalewa bwana asali...Mwenzetu kapoteza bilioni ngapi? Haya na mm nimepoteza nn?

  • @kalekwalukwambe6126
    @kalekwalukwambe6126 Год назад

    Hapa ni kijani tu wote mstari mmoja

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Год назад

    Kapiga vyombo ili aondoe aibu ya kumsifu Mh. Rais🤣🤣

  • @Christopher-ns6cq
    @Christopher-ns6cq Год назад

    Umezeeka bro

  • @petershokolo9894
    @petershokolo9894 Год назад +3

    Pamoja na kufanikiwa yote hayo sasa kumbuka mchi hii wananich tunaumizwa Leo bando 1470 tunauziwa kwa 3000 na hazikai jikite kwenye ajenda za taifa maji ni tatizo tozo maisha magum kuliko malidhiano ya kisiasa mbowe sikuma gurudum tunakutegemea

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 Год назад

      Watanzania nyanyukeni tafuteni haki zenu wenyewe

  • @ramadhanihassan788
    @ramadhanihassan788 Год назад

    watu wanasikiliza walevi c bora mgenda bar ingekuwa poa

  • @silivianjonh6851
    @silivianjonh6851 Год назад +2

    Kunamtu kapiga konyagi