Kumbeee!! Sasa natambua kwa nini ccm waliikanyaga katiba kwa kuzuia mikutano, kumbe Magufuri na CCM waligundua huyu mlevi anayejiita mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani watamvuruga hata kwenye yale maendeleo kidogo aliyoyaacha. Na tena nakubalina na taarifa ya police kule Dodoma kuwa alivunjika mguu akiwa amelewa,yaani (kulamba farujohn).
Is this people serious!?unaongelea habari ya ukombozi maendeleo na Uhuru WA watu huku umelewa chakari!hii dharau Kwa wapende demokrasia wote shame on you!!
Dah, mwenyekiti mbowe tangu umeanza kuzungumza naona kama bado upo Emotional sana na una furaha ya maridhiano kisiasa jambo ambalo kwa hakika haikuwa rahisi, lakini yote heri, maisha ya kisiasa yana principle zake na naona kwa maridhiano hayo Rais Samia kakikana chama chake kwa kiasi flani na wewe inabidi uikane kwa kias chama chako ili ninyi dira yetu mkiwa sawa wengine tutafuata utaratibu tu, Asanteeh sana mwenyekiti mbowe.
mmmh siasa ningumu Sana Bora utafuta maisha na family yako tu maana ukiangalia kwa mbali hata hao wanaotuaminisha niwatetez bado Kuna mashaka makubwa kiukweli yaan nishda hakuna ajenda yamuhimu aliongea hapo amekuja kuongelea mambo yake binafs nakuwananga wenzake cjakuelewa kbsa leo.
Sasa ndio tunapoteza matumaini kabisa sijui tumlilie nani! Sasa naamini hatuna upinzani kabisa Sasa Matumaini yetu na karata yetu ya mwisho ni Mungu tu! Kwa mwelevu yeyote Shika neno hili, Dalili za Anguko kubwa kwa wadhalimu!! Mungu wetu nimkubwa sana! Hawezi kushindwa.
Huyu tulimuona mapemaaa, ndio maana tukatoka Chadema. Nadhani sasa mtatambua msaliti ni huyu na siyo akina Mdee. Ni huyu huyu aliyewatuliza wananchi baada ya kifo cha Wangwe,tena ni huyu huyu aliyetangaza utulivu kwa risasi za Lisu. Sasa leo mmejionea wenyewe alivyojidhihirisha pasi na shaka. Ooh WATANZANIA!!! Tumlilie Mungu.😭😭😭😭
Huna lolote mnafiki mkubwa democrasia gn unayo ww wakt hutaki kuachia uenyekiti chama ni Cha mtu mmoja icho Wala sio watanzaia km ni democrasia ianzie kwenye chama fisad mkubwa ww
Kwa aina hizi za siasa kutoka chama kikubwa Cha upinzani kama chadema Tena kupitia mwenyekiti wa taifa,ni kama naona Ccm bado itaongoza nchi hii kwa miaka mingi sana!, let's wait time will tell!.
Mila jambo Lina wakati wake.mikutano ndo kwanza imeanza.mengi yatazungumzwa na kujadiliwa.samia anasifiwa hapa kwa sababu ameruhusu maridhiano ambayo ysnatupa guess yakujenga chamaa na kujiimalisha.
Huyu sio Mbowe ninayemjua pana shida na siku zote wasaliti wanapanda jukwaani wamelewa kuondoa aibu. Nasikitika amepanda jukwaani kuiponda Chadema na kuisifia Ccm.Lisu kuwa makini watu ulionao tunamashaka nao!
Kumbe ndiyo maana unanga'ang'ania uenyekiti ili utusaliti Mimi ninaapa Kama mbowe akipewa Tena uenyekiti Mimi ninarudi CCM maana Hanna kitu hapo tunadanganywa asubuhi kumekucha
Pamoja na kufanikiwa yote hayo sasa kumbuka mchi hii wananich tunaumizwa Leo bando 1470 tunauziwa kwa 3000 na hazikai jikite kwenye ajenda za taifa maji ni tatizo tozo maisha magum kuliko malidhiano ya kisiasa mbowe sikuma gurudum tunakutegemea
Wanamuona MH.MBOWE anaongea leo Kama vile kalewa gonga like.
Kweli kaonja kidogo
😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣😂🤠
Kama unapenda K.vant gonga like😄
Ila mbowe leo amekunywa
mamae kweli kabisa hat mi nimeona
Kanywa huyu msenge
Yaani kweli kabisa.
Afu akianguka kwenye ngazi anakuja kutudanganya kavamiwa
Kabisaaa
Kumbeee!! Sasa natambua kwa nini ccm waliikanyaga katiba kwa kuzuia mikutano, kumbe Magufuri na CCM waligundua huyu mlevi anayejiita mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani watamvuruga hata kwenye yale maendeleo kidogo aliyoyaacha. Na tena nakubalina na taarifa ya police kule Dodoma kuwa alivunjika mguu akiwa amelewa,yaani (kulamba farujohn).
Hivi ni macho yangu yananidanganya au na wenzangu mnayaona. Naona kama kapiga vyombo
Sio yeye faru John
Kamanda mbowe anaupga mwingi huku akiwa amelewa😀😀😀😀😀
Is this people serious!?unaongelea habari ya ukombozi maendeleo na Uhuru WA watu huku umelewa chakari!hii dharau Kwa wapende demokrasia wote shame on you!!
Hata Mimi naona kapiga vombo liko wazii haongeagi ivoo
Kabiga kweli
Ameshtua kdg mkuu😆😁😁ila kuteleza sio kuanguka
Mzee achaaa pombee leo umejishushia heshimaa
Uyo lazima kaonja Kwa ongea hiyo
Hongela sana mwenyekiti wetu wetu ila na wewe ujuwe kuwa hari yetu mbaya sana tengenezeni mazingila ya kutusaidia,maisha yakae saw
Faru John on the bit
Yani mtu anajua kabisa anaenda kuhutubia anaenda kunywa na kulewa hivi? This is public disrespect kwakel kalewa mno
Dah, mwenyekiti mbowe tangu umeanza kuzungumza naona kama bado upo Emotional sana na una furaha ya maridhiano kisiasa jambo ambalo kwa hakika haikuwa rahisi, lakini yote heri, maisha ya kisiasa yana principle zake na naona kwa maridhiano hayo Rais Samia kakikana chama chake kwa kiasi flani na wewe inabidi uikane kwa kias chama chako ili ninyi dira yetu mkiwa sawa wengine tutafuata utaratibu tu, Asanteeh sana mwenyekiti mbowe.
2025 kura zote kwa Mama Samia.
Ndoto
Mpigie ww tu
It called siasa,
Politics will stay politics
Leo Mh. Mbowe umelewa.Aibu Sana Sana!!
amelewa mheshimiwa mbowe
K vant Huwa inapanda taratibuuuu
@@moriscollins4494 😁😁😁😁😁😁😁
mmmh siasa ningumu Sana Bora utafuta maisha na family yako tu maana ukiangalia kwa mbali hata hao wanaotuaminisha niwatetez bado Kuna mashaka makubwa kiukweli yaan nishda hakuna ajenda yamuhimu aliongea hapo amekuja kuongelea mambo yake binafs nakuwananga wenzake cjakuelewa kbsa leo.
Atasiasa niajira ndugu
Kwa ulevi huu usikanyage kwetu Mara kesho. Umetamba asali na faru john.
Hivi nani ameshtukia kama dingi kawa kama KITWANGA Leo 😄😄😄😄😄
Nyagi on line
Hivi ndo huyu mbowe ninaye mjua mimi au kvant inafanya kazı🤣😂
Ccm inakili sana
Sasa ndio tunapoteza matumaini kabisa sijui tumlilie nani! Sasa naamini hatuna upinzani kabisa Sasa Matumaini yetu na karata yetu ya mwisho ni Mungu tu! Kwa mwelevu yeyote Shika neno hili, Dalili za Anguko kubwa kwa wadhalimu!! Mungu wetu nimkubwa sana! Hawezi kushindwa.
Hapo kweli kabisa hakuna upinzani, wamesha pewa bahasha ya kaki. Msishangae 2025 wakajiunga CCM.
Hahaaaa, upinzani wa bongo huwa unasaidia Chama tawala tu hakuna mapya😂😂
Matusi ndo upinzani?
Bado nitarudia tena kukusikiliza,Mbowe umetisha
Ila mtu akishatoka jera akili lazima iwe na kasoro...kamanda kalewa
mzee k vant huwa tunakunywa sisi kwa ajili ya dada zetu wale vp imekuwaje tena
Nikajua peke angu ndo nimeona kama kaonja vikalu
Huyu tulimuona mapemaaa, ndio maana tukatoka Chadema. Nadhani sasa mtatambua msaliti ni huyu na siyo akina Mdee. Ni huyu huyu aliyewatuliza wananchi baada ya kifo cha Wangwe,tena ni huyu huyu aliyetangaza utulivu kwa risasi za Lisu. Sasa leo mmejionea wenyewe alivyojidhihirisha pasi na shaka. Ooh WATANZANIA!!! Tumlilie Mungu.😭😭😭😭
Wee aachauchawa wa ccm
Mjinga tu. Baki na wajinga wenzako
Asali amemiminiwa hasa sio kuramba ramba
Huna lolote mnafiki mkubwa democrasia gn unayo ww wakt hutaki kuachia uenyekiti chama ni Cha mtu mmoja icho Wala sio watanzaia km ni democrasia ianzie kwenye chama fisad mkubwa ww
Ongea tu ila Imani na ww hatuna tena
Mbona km Leo kaamka nayo sio mkuu nnae mjua
Msema kweli siku zote ni mtoto na mlevi hasa hasa akinywa pombe 🤙🏿
Hahaha honestly mzee alipiga vyombo hapa
Mheshima mbowe pombe uliokunywa nakuomba unywe kila mara maana pombe imekukubali useme ukweli. Hongera kamanda wangu
hahaaa sie wakemia tushajua mueshimiwa kapiga konyagi feki😁
Mzee ana kimera kichwani ni bora angehutubia kesho 😁😁😁😁😁
Mwenyekit hongera kwa mkutano Ila umegonga vyombo
Una jicho brother
😂😂😂😂
Hakika kagonga vyombo🤣🤣🤣
😅😅😅mleviii
Mbona kapiga vyombo😂😂
Mhhh hata mimi naona.
Hongera Mwenyekitti wetu, Hongera Mama Samia
Rais Samia hongera sana.
CHADEMA mitano inawahusu tutawapa kura zote Ila acheni undumila kuwili
kwa ulevi huu ungeanguka kidogo
Mbona Mbowe anaongea kama kalewa?? Au ni Mimi tu jamanii....kama unahisi kama Mimi gonga like hapa
Uyo mkuu haja towa roki kwelii,
Mzee leo umepiga vyombo😂😂😋😂
Noma
We always forgive them ✌
Kwa aina hizi za siasa kutoka chama kikubwa Cha upinzani kama chadema Tena kupitia mwenyekiti wa taifa,ni kama naona Ccm bado itaongoza nchi hii kwa miaka mingi sana!, let's wait time will tell!.
Watanzania nyanyukeni tafuteni haki zenu wenyewe
Kaka hii dunia kila mmjoja ale anacho kulaukisubili mema kutoka kwa wanasiasa utachelewa jali yako
Mzeee kanywaaa
CCM ni mbele kwa mbele tu
🤣🤣HAPA MBEGE NDIO INAONGEA🤣🤣
Mbowe bana, sasa anapanda jukwaani kuhutubia akiwa kitungi afu akija kuanguka asingizie watu wasiojulikana wamemvamia
Mwenyekiti Leo nimekuona ulikuwa umelewa
Lakini kaongea point
Yaan mtu kalewa afu anasimama mbele ya hadhara kuongea utumbo🚮so sad chadema lishakufa likaoza🚮
Siasa sometimes n vitukoo!😀🤓🤓🤓
Mzee amedozi konyagi ya kutosha😂😂😂😂
Daah kama hajalewa basi , kachoka maana wamemfunga sana
Mbowe umetuangusha kak mkubwa umekuja umelewa
Duh! Huyu dingi leo kapiga mitungi hatari😂😂😂😂😂😂😂😂
Safi sana mwenyekiti
Daah kalewa ili aweze kuongea hivyo , maana akiwa normal hawezi sema hivyo
😁💪
Uko vizuri,Ila kinywaji kimekupunguzia uhalisia wako
Sure, siyo yule ninayemfahamu.
Mbowe anasema kweli ,Raisi ndio kusema,tujenge Tanzania
Hongera San viongozi ✌️✌️✌️✌️
Hongera Sana mhe mbowee kwa kuona hili Jambo na kuwa muungwana.
Mbowe kalamba asali hanajeuri kwa mama viva mama.
Amelewa
Ni kweli kabisa
Anasifia ccm duuu gambe sio dili
Mbowe his the man
Kweli
Kindly nifikisheni 500 subscribers
Chadema watafanywa kama Raila Odinga alivyofanywa.
✌✌✌✌
Hapa tungi lazima
KIUFUPI SIAMINI NNACHOKIONA HAPAAA KHAAAA🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Bado sana hizi SIHASAA🤣
Mwenyekiti alipiga faru john
Mbona umekunywa Leo Mzee baba
Kwa tunaojua sifa za walevi huyu Mwamba alikua jukwaani amelewa sana pombe
Tanzania on right path.
Pombe sio chai, always nasema hawa wanataka ugali kupitia migongo yetu
Yani jamaaa ameshutua jamaniii pombe mbayaa
Jamani pesa kitu kingine namuona mbwa mmoja anapongeza maisha tunayoishi watz na kusifia kabisaa
Kila mtu amemshangaa .hii inaziilisha kweli kalamba asali.
Hotuba ya hovyo.
Sasa mbona umelewa sana
Ila mwenyekit umegonga vyombo ,
Sasa unashukuru rais Samia kunahaja gani ya ninyi kuzunguka kuendelea kutumia pesa za wananchi Bora kaeni mtulie mgoje Samia akitoka madarakani
Mwananchi yupi ametoa pesa ya kutumia
Mila jambo Lina wakati wake.mikutano ndo kwanza imeanza.mengi yatazungumzwa na kujadiliwa.samia anasifiwa hapa kwa sababu ameruhusu maridhiano ambayo ysnatupa guess yakujenga chamaa na kujiimalisha.
Hizo card Wanagawa bure wewe mbwa Emma Acha urofa kunguru wewe
Hakuna upinzani tz!!..zaid ni njaa tuu
Duuuh mwenyekiti kama hayuko sawa kisaikolojia vile....
Akili Mungu Yani Ni Silala Kubwa SANA
Huyu sio Mbowe ninayemjua pana shida na siku zote wasaliti wanapanda jukwaani wamelewa kuondoa aibu. Nasikitika amepanda jukwaani kuiponda Chadema na kuisifia Ccm.Lisu kuwa makini watu ulionao tunamashaka nao!
Mbona huna point WW
Mbn Kama tungi ipo ivi
Chadema kwisha habari yenu nilijua tu yatatokea haya ongea yenyewe inaonekana kabisa kama mlevi
Hana Cha kuzunguza....CHADEMA wameishiwa.kumpinga magufuli ndo ulikuwa Mwisho wao.
Kwamba magufuli ndio ameifikisha chadema hapo ilipo wewe na huyo magufuli wote kumanina zenu tena usirudie kutuambia mambo YA muuwaji sisi kuma wewe
@@emmapaul1766 acha matusi
Huyu ni mbowe
NakupenDa Sana mbowe
Dah leo umezngua kiongoz
Imeisha iyo hahahaaa dah ccm nouma aisee
Huyu kiongozi kama amelewa hahaha
Naona unampigia camping samia
Kumbe ndiyo maana unanga'ang'ania uenyekiti ili utusaliti Mimi ninaapa Kama mbowe akipewa Tena uenyekiti Mimi ninarudi CCM maana Hanna kitu hapo tunadanganywa asubuhi kumekucha
Mwenyekiti Kama Kalewa
LEO MBOWE UMEONGEA SAWA, ILA NYAGI + UNAREJEA SANA ASALI KAMA ULIPEWA KWELI+ UNASEMA HUTOWASALITI INAMAANA KUNA KITU FLANI ULISALITI KINAKUTIA HOFU
Asante sana mwenyekiti wetu yan ww ndo jembe retu
Mupeni maji jamani
Daaah...kamanda umezeeka aisee🤔💔
Kuzeeka kupo hata na ww ni Mzee mtarajiwa 😂😂😂 pia mm mwenyewe 😅😅😅
Mh kwangu mi cjakuelewa kabisaa nahic umesala au umetumwa make c kama Mbowe wa zaman
Mbowe alikunywa jana
Kalewa bwana asali...Mwenzetu kapoteza bilioni ngapi? Haya na mm nimepoteza nn?
Hapa ni kijani tu wote mstari mmoja
Kapiga vyombo ili aondoe aibu ya kumsifu Mh. Rais🤣🤣
Umezeeka bro
Pamoja na kufanikiwa yote hayo sasa kumbuka mchi hii wananich tunaumizwa Leo bando 1470 tunauziwa kwa 3000 na hazikai jikite kwenye ajenda za taifa maji ni tatizo tozo maisha magum kuliko malidhiano ya kisiasa mbowe sikuma gurudum tunakutegemea
Watanzania nyanyukeni tafuteni haki zenu wenyewe
watu wanasikiliza walevi c bora mgenda bar ingekuwa poa
Kunamtu kapiga konyagi