Mbowe na Lissu Watema Cheche Kuhusu Sheria za Uchaguzi
HTML-код
- Опубликовано: 14 дек 2023
- Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.
Mwenyekiti wangu Mwalimu wangu na makamo mwenyekiti MUNGU wangu kwa maombi yangu kwa BABA MUNGU iwalinde na iwa funike miaka tele daima kwenu, mrithi wa Mwalimu nyerere MBOWE tume kupenda sana 🙏🏽...
Bowe..na.tundulisu.hamuwezi.kuiona.ikulu..ni.kama.shetani.kuigia.mbiguni.tena.
Sio kwa hao 2 labda mwengine
safi sana baba wa sheria duniania tundulisu yafundishe hayo mahavidhina ma ccm
Hapa Mh.Mbowe Nakupa Tano Bora.Umezungumza Point Tupu.Basi Njooni Na Mkakati Kuunganisha Watanzania Kuidai Katiba Mpya.CCM Imejaa Kiburi Na Ukandamizaji Wa Watanzania.Wameshatuuza Kwa Pesa Ya Mwarabu.Hawaambiliki!!!!
Wow Mbowe ameongea vizuri...
Sanaaaa ameongea vyema
Mbowe hongera sana wewe ni kiboko kwa kusema ukweli
Tunafanya uhuni na utani kwenye mambo ya msingi. Tutakuwa na mwisho mbaya
MIMI NADHANI IFIKE WAKATI HAWA CHAMA CHA MAPINDUZI TUANZE KUWAJUA KAMA NI MOJA YA MAADUI WAKUBWA WA NCHI HII
FABBY UNASTAHILI PONGEZI KWA MAONI YAKO MAZURI SANA!!! WEWE NI MZALENDO WA NCHI HII!!! WAKATI WEWE UNASEMA TUANZE KUKIONA CHAMA CHA MAPINDUZI NI ADUI WA TAIFA HILI, MIMI NI KWA MIAKA MINGI ILIYOPITA NILISHAIONA CCM NI ADUI MKUBWA NA NI NAMBA 1 KTK MADUI WANAOTAJWA WA TAIFA!!! KAMA UNAWATAJA MADUI HAWA KWA NAMBA 1, 2,
3...(YAANI ADUI MKUBWA SANA WA TAIFA HILI NA NI NAMBA I NI CCM) CCM IMEJIONDOA KWA WANANCHI(KUWA CHAMA CHA WANA NCHI KWANI CHAMA CHA SIASA NI MALI YA WANANCHI NA NDIYO MAANA VYAMA VYA SIASA HUWAOMBA WANANCHI RIDHAA YA KUWAONGOZA, NA WANANCHI HUWEKA KATIBA NAMNA YA KUWAONGOZA ILI WAOMBA RIDHAA WAONGOZE KWA MUJIBU WA KATIBA ILIYOWEKWA NA WAOMBWA RIDHAA CCM HAITAKI HIVYO NA SASA IMEJIGEUZA NA KUWA WAKOLONI WALE WALIOUTUPATIA UHURU WETU 1961 DEC. 09 NA WAMEUNYANG'ANYA UHURU WETU NA KUTAWALA WANA YOTAKA!!! NASEMA HIVYO KWA SABABU WANANCHI TUNATAKA KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NA HII NI BAADA YA TUME MBALI MBALI KUTUMWA KWA WANANCHI LAKINI CCM BILA HAYA WAMEKUWA WAKIJIROPOKEA KUWA KATIBA MPYA SI KIPAU MBELE CHAO NA MATENDO MENGINE MENGI YA KIBABE ( KAMA YA WAKOLONI KABISA) MAMBO YA NCHI HUWAMLIWA KWA PAMOJA TENA KWA KURA NA SI KUNDI LA WATU WACHACHE NDANI YA CHAMA CHA SIASA KAMA INAVYOFANYA CCM AJABU!!!! HUKO NDIKO KUJIGEUZA NA KUWA WAKOLONI BADALA YA DEMOKRASIA NA UHURU. NINAWASI WASI MKUBWA HUKO MBELE CCM ITATUHARIBIA UMOJA NA AMANI YETU, NI UCHU TU WA MADARAKA WALIONAO CCM. WAMEIGEUZA NCHI MALI YAO !!! NAKUMBUKA BAADA YA UCHAGUZI WA 2015 NA KUTANGAZA MATOKEO NA KUTILIWA SHAKA NA WENYE NCHI KWANI WALISEMA LOWASA ALISHINDA UCHAGUZI ULE, WANANCHI WALISEMA WAKO TAYARI KUINGIA BARABARANI KUPINGA MATOKEO LAKINI BUSARA YA VIONGOZI WA CHADEMA WAKAWAZUIA, AMANI IKAENDELEA,. TAMAA YA CCM NI HATARI KWA AMANI NA UMOJA WETU.
Kubadili mswaada ni nusu saa tu siyo baada ya uchaguzi acha ujinga
Safi sana miamba ya siasa Africa msioteteleka na maccm
Wewe msimamizi wa hicho kikao acha uhuni waache wawaeleweshe mbona mnatumika na ccm kihuni tunawafatilia sana sisi tulio nje ya nchi
Kweli kabisa anawaingilia watoa maoni na ufahamu wa kina
Asante sana miamba ya taifa..
Hakika umeongea vzr sana, Mungu akujaliee hekma ktk shughuli zenu
Mbowe big up sana
tatizo la nchi ihi kuna watu wanajiona wapo karibu na Mungu
Muwakilishi wa CCM bado analeta utani akati jambo hili ni serious wala si la mzaha hata kidogo.Tuache ushabiki wa vyama simameni kuisaidia nchi na wananchi. Muda hautoshi au hamna dhamira ya kufanya hivyo.CCM msitufanye sisi ni wajinga tusio jielewa.Acheni uhuni
Mpo vzr tatizo katiba
kweli kabisa lisu
T,z kunamzimu unanyemelea kuiteketeza nchihii eemungu tusaidiye utuepushe nawatu wenyeroho mbaya wabinafusi tusiishi kwamaelekezo au kwafadhira yamtu yoyote lakini duniani hakuna utawala utasimamamilele lazima mwisho uwepo
Nitapiga kura tu sidanganyiki.Mimi siyo mbuzi wa x m as.Kumbukeni kutumia lugha nxuri na siyo m atusi Zaidi ya hapo amani idumu nchini.Hatutaki damu imwagike tz😢
Tugome Tanzania nzima tukae majumbani hata siku mbili tususe magari kununua bidhaa kwenda makazini hii ndiyo dawa ya kupata katiba mpya
Mungome.wajiga.wakumbwa.
Fact
Kazi ipo
Tuombe Mungu
Nini Tufanye Kusimamisha Kwanza Uchaguzi Wa Ngazi Zote Ili Kumpa Raisi Samia Kuendelea Na Uraisi Kwa Kipindi Cha Miaka Miwili Mpaka Kwanza Katiba Ipatikane.
Kwann chama cha CCM kina Katarina kuwapa nafasi vyama vinginee wana juwa waoni wezi wakula tuu juwa wanapita Kwa ubabe nana vyama vingine kuweni makini pia muwena msimoo ifikesehem nasisi Watanzaniaa tupenda utumwaaa tuukataee utumwaa
Watu wa ccm hawajawahi kuwa serious na mambo ya msingi nchini mzee anaongea kama mwanafunzi wa form one chama kikubwa kinawezaje kuogopa reforms
Nikweei mnatoa changamoto za katibaya uchaguzi chamsingi msipokuwa Na msimamo wenu hakunakitu Kita badirikaaa kuwena siriasii
Saluti mwenyekiti mboe
👊👍✌️.
MNAKELA SANA YAN AKILI ZENU ZIKO KWENYE UCHAGUZI TU WAKAT KUNAMATATIZO KIBAO KWA WANANCHI
Jmn jmn Huyu ni mteule WA Mungu aliyenusuliwa k.n.y Taiga letu yy ni mti mkavu haswaa aise LISSU ni Mondo kweli Bwana azidi kumlindaaaa hd Mungu atimize alilomwandalia !!!!
MOHAMED SAID NI MFANYA MZAHA KWENYE JAMBO KISILOHITAJI MZAHA NINAMASHAKA HUYU AMEVIMBIWA MAKOMBO YA CCM NA KULEWA MADARAKA!!!
Utayapaje nafasi maccm?hayo akili hazipo
Sawa lissu hataki tuondowe mungu wenu kasema munamuamini
Duh
Jamani wakati wa haki ukifika watu wapeni haki Yao kwanini mnakuwa mnawapindishatu ama kwer Dunia I c kwetu
Wengi wao walikuwa wabunge miaka nenda rudi mbo n a Lissu na wenzake h awakufanya kitu😅
Kama mpo sirias wananch tupopamoja nanyi Ila naona km mnafanya mzaha hembu democrasia ianzie ndan ya chama chetu
👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi !✍🏿
Huyo chawa wa ccm hajitambui! Anasema miswada iondoshwe mpaka baada ya uchaguzi! Apeleke huo upuzi wake Zanzibar,sisi Tanganyika tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi ujao.Katiba mpya ni sasa.
Yaani mbowe na Lissu hoja Yao kubwa ni Matusi TU na wanaungana na wale wapenda Matusi wenzao hizi hotuba zao ni za kidigiteta,
Tundu Lissu ya Nini kuwatoa wanawake na wanaume wamekaa kujenga hoja mtu Moja TU anatukana na kuwaona wote walikuwa wanapoteza mda hii si Sawa kabsa,Nawashauri Lissu na mbowe watoe michango yao ilizizungumziwe na vyama vyote wewe nani unataka kuwa wewe ndio upo perfect wengine wote ovyo?
trust
Tuanze sasa
Wambie hao wanyonyaji hao
Naibu katibu mkuu Chama cha Mapinduzi, chama kikubwa duniani.....!!!
Mungu akulinde lisu uendelee kupabania nchi
Wambie waseme waache utani nchi imenishinda ccm
Watu wana ongeya maswala muhimu poyoyo wa CCM ana leta mtani...😭😭😭💔💔💔
Nashindwa nisemeje
Uyo wa ccm anafanya mzaa ni hatari kuwa na kiongozi kama huyo
Mohamed Said
Briliant Speach Mbowe.Lead The Nation Kuipata Katiba Mpya.Huu Ndio Muda Mwafaka.Tumebabaishwa Almost 30 Years.Utakipaisha Chama Chako Kwa Kufanya Hivyo. Mungu Akubariki;Mungu Ibariki Tanganyika .
Huyufara jambazi waccm anaakili mavi analeta muzahakwenyemambo yanchi bilaaibu yaani anajifanya hatunazo,sikumoja nyeemaccm mtajutia hayayote kwavyovyote vile
M/kit Mbowe Tema maelezo ili wengi tuipate siasa ya Moto hd kitaifa tubadrike na tuwe huru watanzania sote ,!! Kweli umesema vzr mnoo9o
Katiba mpya hadi 2028 ndy inafaa
Bayelezee baba
Mnaocheka haya ni mambo ya kuchekesha?
Mpaka kinuke heshima itakuwepo
CCM haijawa tayari kuwa na tume huru ya uchaguzi, kilichopo ni ubinafsi tuu
Uyo wa ccm anafanya mzaa ni hatari kuwa na kiongozi kama huyo 12:43
Unajuwahuyo c cm analeta mSihara na zarau alafu mnacheka Kwa upuuzi anaoongea Kwa kejeli
Hawa TLS hivi hawajui kwamba hii miswaada mitatu ya marekebisho kwamba ni mibovu kabisa kupindukia? Hebu TLS mjitambue, msije mkaiponza nchi.
Hongera Chadema kwa kusema ukweli.Kiburi cha ccm kinafika mwisho hivi punde.
Mtu peke alie vunja kiburi cha CCM alikuwa Magufuli ila nyie hamkulijuwa hilo. Mliamua kuungana na ccm kufifiza juhudi zake na mkafanikiwa sasa tulieni tu.
@@sonnyr1899 Shetani hawezi kujifitini hata mara moja.
@@danielmushi5755
Ukweli ndio huo Kaka CCM inakachangamoto zake ila hivi vyama vyetu vya upinzani za kwao ni maradufu
@@sonnyr1899 nashukuru kunifungua macho Mr sonnyr.tanganyika inapata uhuru nilikuwa na miaka11.Tanu inazaliwa nilikuwa na miaka 5.Nina uzoevukidogo wa Tanganyika na Zanzibar.Mimi nasimama na Hàki,Ukweli na Utu.Thanks for sharing.💪
Ila CCM bwana
Yaani hawajawahi kuwa na point zozote zinazoleta mvuto Kwa jamii
Ukiwasikiliza ni utani tu kama huyo aliyezungumza hapo.
Kina Mbowe, Lissu wanaongea mpaka unaamini akili zinaongea na Zina dhamira ya dhati ya kulitoa taifa gizani na kuipeleka Mahali salama. Lakini huyu wa CCM anaongea kejeli kama zileee za kupitisha mkataba wa bandari. Kinachozungumzwa hapo SI Cha kisiasa ni Cha kuinusuru nchi isije ikaingia kubaya huko ambako mataifa mengi yamedumbukia. Tujifunze kuondoa Shari kabla ya hatari. Tukiendelea kuyafumbia macho mambo nyeti kama haya na kuyachukulia mzaha utafikri ni ya Mbowe, au ya Tundulissu au ya Mwabukusi ipo siku tutawakumbuka hawa miamba na wakati huo itakuwa too late. Tuchukue tahadhari na tujifunze Kwa wengine........
Atuendi kupiga kura
Hiyo ndo CCM kwenye forum kubwa kiongozi mkubwa anaongea upupu
Munaleta mashara kwenye jambo la kitaifa ila viongozi kuweni makini Sana hili taifa linategemea amani ya viongozi mulio pewa mamlaka
Huyu hata awe vipi siwezi mchagua hafai
Unamwambia nani?
Wewe usimchague wengine watamchagua.
Aibu ya nchi
Aibu ya taifa
Aibu ya ccm
Bado tunazunguza miaka 60 ya Uhuru katiba Ile ile
Miaka 60 umeme mgawo
Miaka 60 ajira hakuna
Miaka 60 miundo mbinu
Mibovu kila Kona ya nchi
Miaka 60 maji bado hasa vijijin
Ma ccm haya hayafai
kuwepo
Nyinyi mnaoainisha miaka 60 ya uhuru iliongozwa na ccm na kusema hakuna kilichofanyika waulizeni wazungu waliopewa nchi na kuitawala Kwa mkataba waliiachaje nchi hii na walitakiwa kufanya nini Kila baada ya miaka kumi ya uhuru na tathmini ipi ilikuwa inafanyika Kila baada ya miaka kumi ya uhuru katika nyanja za maendeleo ya wananchi mmoja mmoja ,afya,elimu utawala siasa za nchi ajira ,usalama na ushiriki katika siasa za kimataifa na Kwa nini waingereza hakuendelea kuja tena kuangalia maendeleo ya nchi ndani ya Kila miaka kumi ya uhuru kama haujui uliza uambiwe usipende kusikiliza wanasiasa uchwara ambao hawapendi kuwafumbua macho vijana wa kitanzania ambao hata ukiwauliza hili hawajui na hawana taarifa hizi na kung'ang'ania kuwa nchi chini ya ccm hakuna kilichofanyika kanakwamba wao wanauwezo wa kuijenga nchi hii Kwa tendo la kufumba na kufumba macho na ukiwafuatilia Kwa karibu sana hata ofisi zao tu ni duni hawana mchango wowote ambao wanaweza kuwaonyesha watanzania kuwa wamechangia hata matukio tu ya kitaifa hawashiriki kikamilifu zaidi ya kuilaumu serikali ya ccm na ccm kama chama tawala na bila ya wao kujiuliza wanaijengaje nchi Kwa matusi na kejeli na hata ukiwatazama wanasiasa waliowengi chumia tumbo hawana lolote ukiwaona majukwaani wakitoa hotuba zao utafikiri wao ni malaika wa mbinguni kumbe ni waganga njaa tu wasidhara yaliyofanywa na viongozi wetu mbalimbali Tanzania hii si Tanganyika ileeee ya kabla ya uhuru na baada ya uhuru na Tanzania hii siyo Tanzania ileeeeee ya baada muungano lazima wapinga maendeleo na wapinzani wa chama Tawala wawaadae watanzania kuwa hawana maendeleo na nchi Haina maendeleo kitu ambacho ni uongo. Mtupu wanajikweza tu Bure hawana kitu hao.
Tatizo mnafanya mzaa
ccm ni mahavidhina mafili uchaguzi usiwepo
Ni michangooooo au ni matusi?
Vichwa hatari
Chama kikuu duniani CCM cha Mafisadi na Majambazi
Ukimsikiliza mwana CCM anafanya utani tu
Yan ccm yani watu wanajadili mambo serious halafu huyu mzee analeta utani
Wasomi wanaodhani wamesoma wajue wapo waliobobea.
Bravo learned counsel Tundu Antipas Lissu.
Hakuna maridhiano ZANZIBAR kuhusu tume HURU ZANZIBAR, ccm ni wahuni hawana ´ia njema kazi zao ni DHULMA TUPU.
😂
Ivi hawa ccm wamelewa pombe au mbona anazungumzia pumba sana au kwavile wako madarakani ndomana wanaongea pumba kiasi hicho
Awajamaa ccm awanampango wowote mzuri nataifa tumeya uchaguzi iliundwa kwachama kimoja alafu chaguzi vyama vingi yaani baba kateua mtoto wake kua msimamizi mkuuu wauchaguzi alafu baba uyouyo anagombea uchaguzi najilani wake alaf unaambiwa usipolizika na matokeo nenda maakamani ukienda huko utakutana na binti wa yuleyule baba yaani bintiyake unapeleka mashitaka ya babayake amekuibia kura zako!!! watanzania hebu tue wa zalendo kwani Kama vyamavingi niuchochezi? Kwanini wanatumia pesanyiiingi kwenye uchaguzi kununua makaratas mabulioni yapesa. Wakijua uchaguzi wauongo ? Badalayake wafute vyama vyasiasa ibaki ccm tuondoe matumiz mabaya yapesa za watu masikini
Bado hamjasema
Yani huyo mzee ni pumbavu sana hajui anaongea nini analeta utani
Mbowe acha uhun
Acha upuuzi wako wewe wa chama Cha mapinduzi mjinga wewe kawaambie ccm matako Yako pumbafuuuu
ℍ𝕙𝕙𝕙𝕙𝕙𝕙 𝕨𝕖 𝕕𝕚𝕞𝕨𝕒 𝕨𝕖𝕖𝕖
Ccm ni wahuni tu inatakiwa nguvu ya umma tu hizi ndo kauli za akina bashite kuwa hakuna upinzani ila kuna vikundi vya watoa habari unafikiri mwalimu Nyerere angekuwepo hawa wajinga wangekuwepo?
Lissu tz siyo ya kwako peke yako,acha kulazimisha Ubeljiji inakusubiri😢
Una wigo mdogo sana wa uelewa wa nchi na nia njema ya watanzania na Tazania njema!
You guys are dancing to ccm's drumbeat.
Wake up, give your own independent sincere opinions.
Chadema wanafikiri uchaguazi wanashindwa Kwasababu ya katiba
He, kwani wanashindwa kwa sababu zipi?
@@sylvestercameo6263wapiga kura
Wewe shehk unaretaujinga watu nazugumza mambo wewe unaongea utumbo tutakutukana
WEE MBO, MKUNDU KISSU.
Wewe mjinga acha matusi
@@gadielmungure9711 Mjinga ni huyo Mkundu Kissu wako
Mbowe na tundulisu mna chuki binafsii, jenga hoja tuwaelewe
Hujitambui.
Tatizo watu wajinga ndiyo wanaoshambulia viongozi wa CCM badala kusema hoja .kwahali hiyo haitasaidia nchi yetu.
Ww jamaa aunaakili ndio mjinga auna uzalendo nainchi yako kwa nn ccm awataki time Uhuru yaani ww use msimamizi wauchaguzi babaako mgombea naini utampendelea? Kamasio babaako acha ujinga unaangalia tumbolakotu nasiotaifa unafikili viongozi wetu walio watoa babuzako utumwani wangekua naakilikama izimulizonazo namitamaa yapesa Leo usingeongea ujinga
Eti chama kikubwa duniani huu ndiyo utani kwenye mambo mazito
Ccm kama wanaona wamefanya vzr majimboni humo kwann wanaogopa tume huru na kubadilisha katiba
Kama mpo sirias wananch tupopamoja nanyi Ila naona km mnafanya mzaha hembu democrasia ianzie ndan ya chama chetu
Huyu Kiongozi Wa CCM Hazimtoshi.Hawa Ndio Walanchi Na Sio Wananchi.Tumsamehe.
KjikIizzizzzimzzimzjzzzizkmzzmmzmzzmjmzjIIakalsssssszasssssssssssssssswszssswsswwssswsssssssssswsssssssss$$3*$$$2$$$$$$$#$$$¢¢$$$$$$$$$¢¢$$ssssssssswzsssssssssßsesssssssssßßsßssßßwßßßssßsssssßssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssßsssssssssssssssssssssssssssssssssssssssdssssssssssssssssssssßsssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssl8