Mbowe na Lissu Watema Cheche Kuhusu Sheria za Uchaguzi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 дек 2023
  • Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Комментарии • 122

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 7 месяцев назад +8

    Mwenyekiti wangu Mwalimu wangu na makamo mwenyekiti MUNGU wangu kwa maombi yangu kwa BABA MUNGU iwalinde na iwa funike miaka tele daima kwenu, mrithi wa Mwalimu nyerere MBOWE tume kupenda sana 🙏🏽...

    • @haruntongo6703
      @haruntongo6703 7 месяцев назад +1

      Bowe..na.tundulisu.hamuwezi.kuiona.ikulu..ni.kama.shetani.kuigia.mbiguni.tena.

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 6 месяцев назад

      Sio kwa hao 2 labda mwengine

  • @ElbashilTrust-oo5vq
    @ElbashilTrust-oo5vq 7 месяцев назад +5

    safi sana baba wa sheria duniania tundulisu yafundishe hayo mahavidhina ma ccm

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 7 месяцев назад +2

    Hapa Mh.Mbowe Nakupa Tano Bora.Umezungumza Point Tupu.Basi Njooni Na Mkakati Kuunganisha Watanzania Kuidai Katiba Mpya.CCM Imejaa Kiburi Na Ukandamizaji Wa Watanzania.Wameshatuuza Kwa Pesa Ya Mwarabu.Hawaambiliki!!!!

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 7 месяцев назад +10

    Wow Mbowe ameongea vizuri...

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 7 месяцев назад +4

    Mbowe hongera sana wewe ni kiboko kwa kusema ukweli

  • @richardjafu7404
    @richardjafu7404 7 месяцев назад +8

    Tunafanya uhuni na utani kwenye mambo ya msingi. Tutakuwa na mwisho mbaya

  • @fabby1181
    @fabby1181 7 месяцев назад +6

    MIMI NADHANI IFIKE WAKATI HAWA CHAMA CHA MAPINDUZI TUANZE KUWAJUA KAMA NI MOJA YA MAADUI WAKUBWA WA NCHI HII

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 7 месяцев назад

      FABBY UNASTAHILI PONGEZI KWA MAONI YAKO MAZURI SANA!!! WEWE NI MZALENDO WA NCHI HII!!! WAKATI WEWE UNASEMA TUANZE KUKIONA CHAMA CHA MAPINDUZI NI ADUI WA TAIFA HILI, MIMI NI KWA MIAKA MINGI ILIYOPITA NILISHAIONA CCM NI ADUI MKUBWA NA NI NAMBA 1 KTK MADUI WANAOTAJWA WA TAIFA!!! KAMA UNAWATAJA MADUI HAWA KWA NAMBA 1, 2,
      3...(YAANI ADUI MKUBWA SANA WA TAIFA HILI NA NI NAMBA I NI CCM) CCM IMEJIONDOA KWA WANANCHI(KUWA CHAMA CHA WANA NCHI KWANI CHAMA CHA SIASA NI MALI YA WANANCHI NA NDIYO MAANA VYAMA VYA SIASA HUWAOMBA WANANCHI RIDHAA YA KUWAONGOZA, NA WANANCHI HUWEKA KATIBA NAMNA YA KUWAONGOZA ILI WAOMBA RIDHAA WAONGOZE KWA MUJIBU WA KATIBA ILIYOWEKWA NA WAOMBWA RIDHAA CCM HAITAKI HIVYO NA SASA IMEJIGEUZA NA KUWA WAKOLONI WALE WALIOUTUPATIA UHURU WETU 1961 DEC. 09 NA WAMEUNYANG'ANYA UHURU WETU NA KUTAWALA WANA YOTAKA!!! NASEMA HIVYO KWA SABABU WANANCHI TUNATAKA KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NA HII NI BAADA YA TUME MBALI MBALI KUTUMWA KWA WANANCHI LAKINI CCM BILA HAYA WAMEKUWA WAKIJIROPOKEA KUWA KATIBA MPYA SI KIPAU MBELE CHAO NA MATENDO MENGINE MENGI YA KIBABE ( KAMA YA WAKOLONI KABISA) MAMBO YA NCHI HUWAMLIWA KWA PAMOJA TENA KWA KURA NA SI KUNDI LA WATU WACHACHE NDANI YA CHAMA CHA SIASA KAMA INAVYOFANYA CCM AJABU!!!! HUKO NDIKO KUJIGEUZA NA KUWA WAKOLONI BADALA YA DEMOKRASIA NA UHURU. NINAWASI WASI MKUBWA HUKO MBELE CCM ITATUHARIBIA UMOJA NA AMANI YETU, NI UCHU TU WA MADARAKA WALIONAO CCM. WAMEIGEUZA NCHI MALI YAO !!! NAKUMBUKA BAADA YA UCHAGUZI WA 2015 NA KUTANGAZA MATOKEO NA KUTILIWA SHAKA NA WENYE NCHI KWANI WALISEMA LOWASA ALISHINDA UCHAGUZI ULE, WANANCHI WALISEMA WAKO TAYARI KUINGIA BARABARANI KUPINGA MATOKEO LAKINI BUSARA YA VIONGOZI WA CHADEMA WAKAWAZUIA, AMANI IKAENDELEA,. TAMAA YA CCM NI HATARI KWA AMANI NA UMOJA WETU.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 7 месяцев назад +4

    Kubadili mswaada ni nusu saa tu siyo baada ya uchaguzi acha ujinga

  • @ElbashilTrust-oo5vq
    @ElbashilTrust-oo5vq 7 месяцев назад +2

    Safi sana miamba ya siasa Africa msioteteleka na maccm

  • @ElbashilTrust-oo5vq
    @ElbashilTrust-oo5vq 7 месяцев назад +7

    Wewe msimamizi wa hicho kikao acha uhuni waache wawaeleweshe mbona mnatumika na ccm kihuni tunawafatilia sana sisi tulio nje ya nchi

    • @geraldgedi4657
      @geraldgedi4657 7 месяцев назад +1

      Kweli kabisa anawaingilia watoa maoni na ufahamu wa kina

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 7 месяцев назад +1

    Asante sana miamba ya taifa..

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 7 месяцев назад +5

    Hakika umeongea vzr sana, Mungu akujaliee hekma ktk shughuli zenu

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 7 месяцев назад +1

    Mbowe big up sana

  • @dullahkalanjedullahkalanje1422
    @dullahkalanjedullahkalanje1422 6 месяцев назад

    tatizo la nchi ihi kuna watu wanajiona wapo karibu na Mungu

  • @medicalamon908
    @medicalamon908 7 месяцев назад +2

    Muwakilishi wa CCM bado analeta utani akati jambo hili ni serious wala si la mzaha hata kidogo.Tuache ushabiki wa vyama simameni kuisaidia nchi na wananchi. Muda hautoshi au hamna dhamira ya kufanya hivyo.CCM msitufanye sisi ni wajinga tusio jielewa.Acheni uhuni

  • @SwediMlima-po6vy
    @SwediMlima-po6vy 7 месяцев назад +1

    Mpo vzr tatizo katiba

  • @mussaabraham1475
    @mussaabraham1475 7 месяцев назад +1

    kweli kabisa lisu

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 7 месяцев назад +1

    T,z kunamzimu unanyemelea kuiteketeza nchihii eemungu tusaidiye utuepushe nawatu wenyeroho mbaya wabinafusi tusiishi kwamaelekezo au kwafadhira yamtu yoyote lakini duniani hakuna utawala utasimamamilele lazima mwisho uwepo

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 6 месяцев назад

    Nitapiga kura tu sidanganyiki.Mimi siyo mbuzi wa x m as.Kumbukeni kutumia lugha nxuri na siyo m atusi Zaidi ya hapo amani idumu nchini.Hatutaki damu imwagike tz😢

  • @CharlesMulaki
    @CharlesMulaki 7 месяцев назад +2

    Tugome Tanzania nzima tukae majumbani hata siku mbili tususe magari kununua bidhaa kwenda makazini hii ndiyo dawa ya kupata katiba mpya

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 7 месяцев назад

    Fact

  • @jkmtotowapwani.official395
    @jkmtotowapwani.official395 6 месяцев назад

    Kazi ipo

  • @samsonmwaipaja4839
    @samsonmwaipaja4839 7 месяцев назад +1

    Tuombe Mungu

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 7 месяцев назад

    Nini Tufanye Kusimamisha Kwanza Uchaguzi Wa Ngazi Zote Ili Kumpa Raisi Samia Kuendelea Na Uraisi Kwa Kipindi Cha Miaka Miwili Mpaka Kwanza Katiba Ipatikane.

  • @MagenLucas
    @MagenLucas 6 месяцев назад

    Kwann chama cha CCM kina Katarina kuwapa nafasi vyama vinginee wana juwa waoni wezi wakula tuu juwa wanapita Kwa ubabe nana vyama vingine kuweni makini pia muwena msimoo ifikesehem nasisi Watanzaniaa tupenda utumwaaa tuukataee utumwaa

  • @mshikamanojames7610
    @mshikamanojames7610 7 месяцев назад

    Watu wa ccm hawajawahi kuwa serious na mambo ya msingi nchini mzee anaongea kama mwanafunzi wa form one chama kikubwa kinawezaje kuogopa reforms

  • @MagenLucas
    @MagenLucas 6 месяцев назад

    Nikweei mnatoa changamoto za katibaya uchaguzi chamsingi msipokuwa Na msimamo wenu hakunakitu Kita badirikaaa kuwena siriasii

  • @user-os1qj3zm8u
    @user-os1qj3zm8u 7 месяцев назад

    Saluti mwenyekiti mboe

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 7 месяцев назад

    👊👍✌️.

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 7 месяцев назад

    MNAKELA SANA YAN AKILI ZENU ZIKO KWENYE UCHAGUZI TU WAKAT KUNAMATATIZO KIBAO KWA WANANCHI

  • @salamaisayas8281
    @salamaisayas8281 7 месяцев назад

    Jmn jmn Huyu ni mteule WA Mungu aliyenusuliwa k.n.y Taiga letu yy ni mti mkavu haswaa aise LISSU ni Mondo kweli Bwana azidi kumlindaaaa hd Mungu atimize alilomwandalia !!!!

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 7 месяцев назад

    MOHAMED SAID NI MFANYA MZAHA KWENYE JAMBO KISILOHITAJI MZAHA NINAMASHAKA HUYU AMEVIMBIWA MAKOMBO YA CCM NA KULEWA MADARAKA!!!

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 7 месяцев назад +1

    Utayapaje nafasi maccm?hayo akili hazipo

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 7 месяцев назад

    Sawa lissu hataki tuondowe mungu wenu kasema munamuamini

  • @mosesmnyantope9534
    @mosesmnyantope9534 7 месяцев назад

    Duh

  • @user-mo9dl5rg9g
    @user-mo9dl5rg9g 7 месяцев назад

    Jamani wakati wa haki ukifika watu wapeni haki Yao kwanini mnakuwa mnawapindishatu ama kwer Dunia I c kwetu

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 6 месяцев назад

    Wengi wao walikuwa wabunge miaka nenda rudi mbo n a Lissu na wenzake h awakufanya kitu😅

  • @user-du6cs7ik6y
    @user-du6cs7ik6y 7 месяцев назад

    Kama mpo sirias wananch tupopamoja nanyi Ila naona km mnafanya mzaha hembu democrasia ianzie ndan ya chama chetu

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 7 месяцев назад +1

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi !✍🏿

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 7 месяцев назад

    Huyo chawa wa ccm hajitambui! Anasema miswada iondoshwe mpaka baada ya uchaguzi! Apeleke huo upuzi wake Zanzibar,sisi Tanganyika tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi ujao.Katiba mpya ni sasa.

  • @KhalfanNahay-ol4lq
    @KhalfanNahay-ol4lq 6 месяцев назад

    Yaani mbowe na Lissu hoja Yao kubwa ni Matusi TU na wanaungana na wale wapenda Matusi wenzao hizi hotuba zao ni za kidigiteta,

  • @KhalfanNahay-ol4lq
    @KhalfanNahay-ol4lq 6 месяцев назад

    Tundu Lissu ya Nini kuwatoa wanawake na wanaume wamekaa kujenga hoja mtu Moja TU anatukana na kuwaona wote walikuwa wanapoteza mda hii si Sawa kabsa,Nawashauri Lissu na mbowe watoe michango yao ilizizungumziwe na vyama vyote wewe nani unataka kuwa wewe ndio upo perfect wengine wote ovyo?

  • @eliasmatobano6330
    @eliasmatobano6330 7 месяцев назад

    trust

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 7 месяцев назад

    Tuanze sasa

  • @cloudjulius-sf6nw
    @cloudjulius-sf6nw Месяц назад

    Wambie hao wanyonyaji hao

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 7 месяцев назад +1

    Naibu katibu mkuu Chama cha Mapinduzi, chama kikubwa duniani.....!!!

  • @rosemaryrwechungula7389
    @rosemaryrwechungula7389 7 месяцев назад +1

    Mungu akulinde lisu uendelee kupabania nchi

  • @user-oq6dx8mf9x
    @user-oq6dx8mf9x 6 месяцев назад

    Wambie waseme waache utani nchi imenishinda ccm

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma4932 7 месяцев назад +2

    Watu wana ongeya maswala muhimu poyoyo wa CCM ana leta mtani...😭😭😭💔💔💔

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 7 месяцев назад

    Nashindwa nisemeje

  • @user-le2ep5nq8c
    @user-le2ep5nq8c 7 месяцев назад

    Uyo wa ccm anafanya mzaa ni hatari kuwa na kiongozi kama huyo

  • @lgffumbuka183
    @lgffumbuka183 7 месяцев назад

    Mohamed Said

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 6 месяцев назад

    Briliant Speach Mbowe.Lead The Nation Kuipata Katiba Mpya.Huu Ndio Muda Mwafaka.Tumebabaishwa Almost 30 Years.Utakipaisha Chama Chako Kwa Kufanya Hivyo. Mungu Akubariki;Mungu Ibariki Tanganyika .

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 7 месяцев назад

    Huyufara jambazi waccm anaakili mavi analeta muzahakwenyemambo yanchi bilaaibu yaani anajifanya hatunazo,sikumoja nyeemaccm mtajutia hayayote kwavyovyote vile

  • @salamaisayas8281
    @salamaisayas8281 7 месяцев назад

    M/kit Mbowe Tema maelezo ili wengi tuipate siasa ya Moto hd kitaifa tubadrike na tuwe huru watanzania sote ,!! Kweli umesema vzr mnoo9o

  • @EliaEgbert
    @EliaEgbert 6 месяцев назад

    Katiba mpya hadi 2028 ndy inafaa

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 7 месяцев назад

    Bayelezee baba

  • @ulomirabiel6980
    @ulomirabiel6980 7 месяцев назад

    Mnaocheka haya ni mambo ya kuchekesha?

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 7 месяцев назад +3

    Mpaka kinuke heshima itakuwepo

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 7 месяцев назад

    CCM haijawa tayari kuwa na tume huru ya uchaguzi, kilichopo ni ubinafsi tuu

  • @user-le2ep5nq8c
    @user-le2ep5nq8c 7 месяцев назад

    Uyo wa ccm anafanya mzaa ni hatari kuwa na kiongozi kama huyo 12:43

  • @OscarBethel
    @OscarBethel 7 месяцев назад

    Unajuwahuyo c cm analeta mSihara na zarau alafu mnacheka Kwa upuuzi anaoongea Kwa kejeli

  • @wallacemngoma794
    @wallacemngoma794 7 месяцев назад

    Hawa TLS hivi hawajui kwamba hii miswaada mitatu ya marekebisho kwamba ni mibovu kabisa kupindukia? Hebu TLS mjitambue, msije mkaiponza nchi.

  • @danielmushi5755
    @danielmushi5755 7 месяцев назад +5

    Hongera Chadema kwa kusema ukweli.Kiburi cha ccm kinafika mwisho hivi punde.

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 6 месяцев назад

      Mtu peke alie vunja kiburi cha CCM alikuwa Magufuli ila nyie hamkulijuwa hilo. Mliamua kuungana na ccm kufifiza juhudi zake na mkafanikiwa sasa tulieni tu.

    • @danielmushi5755
      @danielmushi5755 6 месяцев назад

      @@sonnyr1899 Shetani hawezi kujifitini hata mara moja.

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 6 месяцев назад

      @@danielmushi5755
      Ukweli ndio huo Kaka CCM inakachangamoto zake ila hivi vyama vyetu vya upinzani za kwao ni maradufu

    • @danielmushi5755
      @danielmushi5755 6 месяцев назад

      @@sonnyr1899 nashukuru kunifungua macho Mr sonnyr.tanganyika inapata uhuru nilikuwa na miaka11.Tanu inazaliwa nilikuwa na miaka 5.Nina uzoevukidogo wa Tanganyika na Zanzibar.Mimi nasimama na Hàki,Ukweli na Utu.Thanks for sharing.💪

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x 7 месяцев назад

    Ila CCM bwana
    Yaani hawajawahi kuwa na point zozote zinazoleta mvuto Kwa jamii
    Ukiwasikiliza ni utani tu kama huyo aliyezungumza hapo.
    Kina Mbowe, Lissu wanaongea mpaka unaamini akili zinaongea na Zina dhamira ya dhati ya kulitoa taifa gizani na kuipeleka Mahali salama. Lakini huyu wa CCM anaongea kejeli kama zileee za kupitisha mkataba wa bandari. Kinachozungumzwa hapo SI Cha kisiasa ni Cha kuinusuru nchi isije ikaingia kubaya huko ambako mataifa mengi yamedumbukia. Tujifunze kuondoa Shari kabla ya hatari. Tukiendelea kuyafumbia macho mambo nyeti kama haya na kuyachukulia mzaha utafikri ni ya Mbowe, au ya Tundulissu au ya Mwabukusi ipo siku tutawakumbuka hawa miamba na wakati huo itakuwa too late. Tuchukue tahadhari na tujifunze Kwa wengine........

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 6 месяцев назад

    Atuendi kupiga kura

  • @amosafrica2350
    @amosafrica2350 7 месяцев назад

    Hiyo ndo CCM kwenye forum kubwa kiongozi mkubwa anaongea upupu

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma1969 7 месяцев назад

    Munaleta mashara kwenye jambo la kitaifa ila viongozi kuweni makini Sana hili taifa linategemea amani ya viongozi mulio pewa mamlaka

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 7 месяцев назад +1

    Huyu hata awe vipi siwezi mchagua hafai

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 7 месяцев назад

      Unamwambia nani?
      Wewe usimchague wengine watamchagua.

  • @isakaibrahim1162
    @isakaibrahim1162 7 месяцев назад +1

    Aibu ya nchi
    Aibu ya taifa
    Aibu ya ccm
    Bado tunazunguza miaka 60 ya Uhuru katiba Ile ile
    Miaka 60 umeme mgawo
    Miaka 60 ajira hakuna
    Miaka 60 miundo mbinu
    Mibovu kila Kona ya nchi
    Miaka 60 maji bado hasa vijijin
    Ma ccm haya hayafai
    kuwepo

    • @borysaronge1493
      @borysaronge1493 7 месяцев назад

      Nyinyi mnaoainisha miaka 60 ya uhuru iliongozwa na ccm na kusema hakuna kilichofanyika waulizeni wazungu waliopewa nchi na kuitawala Kwa mkataba waliiachaje nchi hii na walitakiwa kufanya nini Kila baada ya miaka kumi ya uhuru na tathmini ipi ilikuwa inafanyika Kila baada ya miaka kumi ya uhuru katika nyanja za maendeleo ya wananchi mmoja mmoja ,afya,elimu utawala siasa za nchi ajira ,usalama na ushiriki katika siasa za kimataifa na Kwa nini waingereza hakuendelea kuja tena kuangalia maendeleo ya nchi ndani ya Kila miaka kumi ya uhuru kama haujui uliza uambiwe usipende kusikiliza wanasiasa uchwara ambao hawapendi kuwafumbua macho vijana wa kitanzania ambao hata ukiwauliza hili hawajui na hawana taarifa hizi na kung'ang'ania kuwa nchi chini ya ccm hakuna kilichofanyika kanakwamba wao wanauwezo wa kuijenga nchi hii Kwa tendo la kufumba na kufumba macho na ukiwafuatilia Kwa karibu sana hata ofisi zao tu ni duni hawana mchango wowote ambao wanaweza kuwaonyesha watanzania kuwa wamechangia hata matukio tu ya kitaifa hawashiriki kikamilifu zaidi ya kuilaumu serikali ya ccm na ccm kama chama tawala na bila ya wao kujiuliza wanaijengaje nchi Kwa matusi na kejeli na hata ukiwatazama wanasiasa waliowengi chumia tumbo hawana lolote ukiwaona majukwaani wakitoa hotuba zao utafikiri wao ni malaika wa mbinguni kumbe ni waganga njaa tu wasidhara yaliyofanywa na viongozi wetu mbalimbali Tanzania hii si Tanganyika ileeee ya kabla ya uhuru na baada ya uhuru na Tanzania hii siyo Tanzania ileeeeee ya baada muungano lazima wapinga maendeleo na wapinzani wa chama Tawala wawaadae watanzania kuwa hawana maendeleo na nchi Haina maendeleo kitu ambacho ni uongo. Mtupu wanajikweza tu Bure hawana kitu hao.

  • @hamisdickson8755
    @hamisdickson8755 7 месяцев назад

    Tatizo mnafanya mzaa

  • @ElbashilTrust-oo5vq
    @ElbashilTrust-oo5vq 7 месяцев назад

    ccm ni mahavidhina mafili uchaguzi usiwepo

  • @lgffumbuka183
    @lgffumbuka183 7 месяцев назад

    Ni michangooooo au ni matusi?

  • @yayanews6870
    @yayanews6870 7 месяцев назад

    Vichwa hatari

  • @robinilomo2887
    @robinilomo2887 7 месяцев назад

    Chama kikuu duniani CCM cha Mafisadi na Majambazi

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 7 месяцев назад

    Ukimsikiliza mwana CCM anafanya utani tu

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 7 месяцев назад

    Yan ccm yani watu wanajadili mambo serious halafu huyu mzee analeta utani

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 7 месяцев назад +2

    Wasomi wanaodhani wamesoma wajue wapo waliobobea.
    Bravo learned counsel Tundu Antipas Lissu.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 7 месяцев назад

    Hakuna maridhiano ZANZIBAR kuhusu tume HURU ZANZIBAR, ccm ni wahuni hawana ´ia njema kazi zao ni DHULMA TUPU.

  • @ruttachriat7863
    @ruttachriat7863 6 месяцев назад

    😂

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 7 месяцев назад

    Ivi hawa ccm wamelewa pombe au mbona anazungumzia pumba sana au kwavile wako madarakani ndomana wanaongea pumba kiasi hicho

  • @BakariIssa-nx3yf
    @BakariIssa-nx3yf 7 месяцев назад

    Awajamaa ccm awanampango wowote mzuri nataifa tumeya uchaguzi iliundwa kwachama kimoja alafu chaguzi vyama vingi yaani baba kateua mtoto wake kua msimamizi mkuuu wauchaguzi alafu baba uyouyo anagombea uchaguzi najilani wake alaf unaambiwa usipolizika na matokeo nenda maakamani ukienda huko utakutana na binti wa yuleyule baba yaani bintiyake unapeleka mashitaka ya babayake amekuibia kura zako!!! watanzania hebu tue wa zalendo kwani Kama vyamavingi niuchochezi? Kwanini wanatumia pesanyiiingi kwenye uchaguzi kununua makaratas mabulioni yapesa. Wakijua uchaguzi wauongo ? Badalayake wafute vyama vyasiasa ibaki ccm tuondoe matumiz mabaya yapesa za watu masikini

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 7 месяцев назад

    Bado hamjasema

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 7 месяцев назад

    Yani huyo mzee ni pumbavu sana hajui anaongea nini analeta utani

  • @user-kw6pg7nb1w
    @user-kw6pg7nb1w 7 месяцев назад

    Mbowe acha uhun

  • @ElbashilTrust-oo5vq
    @ElbashilTrust-oo5vq 7 месяцев назад

    Acha upuuzi wako wewe wa chama Cha mapinduzi mjinga wewe kawaambie ccm matako Yako pumbafuuuu

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 7 месяцев назад

    ℍ𝕙𝕙𝕙𝕙𝕙𝕙 𝕨𝕖 𝕕𝕚𝕞𝕨𝕒 𝕨𝕖𝕖𝕖

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 7 месяцев назад

    Ccm ni wahuni tu inatakiwa nguvu ya umma tu hizi ndo kauli za akina bashite kuwa hakuna upinzani ila kuna vikundi vya watoa habari unafikiri mwalimu Nyerere angekuwepo hawa wajinga wangekuwepo?

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 6 месяцев назад

    Lissu tz siyo ya kwako peke yako,acha kulazimisha Ubeljiji inakusubiri😢

    • @brycesonmwamengo1976
      @brycesonmwamengo1976 6 месяцев назад

      Una wigo mdogo sana wa uelewa wa nchi na nia njema ya watanzania na Tazania njema!

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 7 месяцев назад

    You guys are dancing to ccm's drumbeat.
    Wake up, give your own independent sincere opinions.

  • @Ahdall
    @Ahdall 7 месяцев назад

    Chadema wanafikiri uchaguazi wanashindwa Kwasababu ya katiba

  • @saiditasher8362
    @saiditasher8362 6 месяцев назад

    Wewe shehk unaretaujinga watu nazugumza mambo wewe unaongea utumbo tutakutukana

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin3402 7 месяцев назад

    WEE MBO, MKUNDU KISSU.

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura4284 7 месяцев назад

    Mbowe na tundulisu mna chuki binafsii, jenga hoja tuwaelewe

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 7 месяцев назад

    Tatizo watu wajinga ndiyo wanaoshambulia viongozi wa CCM badala kusema hoja .kwahali hiyo haitasaidia nchi yetu.

    • @BakariIssa-nx3yf
      @BakariIssa-nx3yf 7 месяцев назад

      Ww jamaa aunaakili ndio mjinga auna uzalendo nainchi yako kwa nn ccm awataki time Uhuru yaani ww use msimamizi wauchaguzi babaako mgombea naini utampendelea? Kamasio babaako acha ujinga unaangalia tumbolakotu nasiotaifa unafikili viongozi wetu walio watoa babuzako utumwani wangekua naakilikama izimulizonazo namitamaa yapesa Leo usingeongea ujinga

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru 7 месяцев назад

    Eti chama kikubwa duniani huu ndiyo utani kwenye mambo mazito

  • @cloudjulius-sf6nw
    @cloudjulius-sf6nw Месяц назад

    Ccm kama wanaona wamefanya vzr majimboni humo kwann wanaogopa tume huru na kubadilisha katiba

  • @user-du6cs7ik6y
    @user-du6cs7ik6y 7 месяцев назад

    Kama mpo sirias wananch tupopamoja nanyi Ila naona km mnafanya mzaha hembu democrasia ianzie ndan ya chama chetu

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 7 месяцев назад

    Huyu Kiongozi Wa CCM Hazimtoshi.Hawa Ndio Walanchi Na Sio Wananchi.Tumsamehe.

    • @borysaronge1493
      @borysaronge1493 7 месяцев назад

      KjikIizzizzzimzzimzjzzzizkmzzmmzmzzmjmzjIIakalsssssszasssssssssssssssswszssswsswwssswsssssssssswsssssssss$$3*$$$2$$$$$$$#$$$¢¢$$$$$$$$$¢¢$$ssssssssswzsssssssssßsesssssssssßßsßssßßwßßßssßsssssßssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssßsssssssssssssssssssssssssssssssssssssssdssssssssssssssssssssßsssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssl8