Mbowe: Tusilishane Maneno Malaini, CCM Wana Kiburi. Ni Kuhusu Sheria za Uchaguzi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Mbowe alikuwa akizungumza kwenye kikao kilichoandaliwa na Tanzania Centre For Democracy (TCD) kilichofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Mei 08,2024.

Комментарии • 75

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 5 месяцев назад +1

    Mh Mbowe ni Kichwa very detailed presentatiob

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 5 месяцев назад

    Asante sana Mh Mbowe📌📌📌📌

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 5 месяцев назад +5

    Action speak louder than words,,CCM NI SAWA NA MBURU KENGE WANA MACHO HAWAONI WANA MASIKIO LAKINI HAWASIKII ILA KWA KIGONGO.

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 5 месяцев назад +2

    Ni kweli. Kwa sababu sisi ni waoga Sana.

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa7365 5 месяцев назад +1

    SAHIHI KABISA MBOWE.

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 5 месяцев назад +1

    Pana jambo moja ambalo Chadema hamulioni, Mwalimu alisema siku CCM ikigawanyika kutatokea upinzani wa kweli. Lowasa alipotoka CCM aliwapa umaarufu kwa kiasi kikubwa. 2015 msingechukua kama yard stick yenu. Jengeni chama chenu, you have room to grow, Wananchi wasiporidhika Wala hawana haja ya kusubiria katiba, wataikataa serikali tu.

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 5 месяцев назад

    Yaani mwenyekiti wangu mbowe Kama ulivyosema wasaini waandikishaji ni walewale watendaji wa CCM walioharibu uchaguzi mwanangu akiomba nafasi ya kuandikisha kijijini kwetu Wanajua Mimi ni kiongozi wa CHADEMA walikua na kigugumizi ya kusajili mwanangu ,, hawa wasanii wa CCM wanaiharibu nchi

  • @aloycesingano1352
    @aloycesingano1352 5 месяцев назад +1

    Huyu anazungumza kilichopo na uhalisia na anaongea yakweli kabsa japo sisi watanzania wengi ni watu wakufata mkumbo na kuto kujitambua hawa ccm siyo chama cha kifalme lakin watanzania walio wengi wenye kukosoa chama cha chadema huwa hatuna akili zautambuzi juu ya siasa kiukweli

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 5 месяцев назад

    Wasomi Chenge,wasira na the whole group of akina prof Mkumbo ,Kabudi na wenzao.ni wachumia tumbo tu.... hawataki reforms za kweli.

  • @aloycesingano1352
    @aloycesingano1352 5 месяцев назад +1

    Ccm 2025 mtajua maana ya Siasa huru mjipange kwakweli

  • @willymgaya7618
    @willymgaya7618 5 месяцев назад +8

    CCM ACHENI UKIRITIMBA , WANANCHI TUNACHOHITAJI, NI TUME HURU YA UCHAGUZI NA KATIBA MPYA. WATANZANIA TUNATAKA MABADILIKO AMBAYO YATALETA UWAJIBIKAJI. KUIBIWA FEDHA ZA UMMA NA KULINDANA TUMECHOKA.

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 5 месяцев назад

      Kwa kweli

    • @ezekieldeus6022
      @ezekieldeus6022 5 месяцев назад

      Wakati wowote ukifika wakati wa mabadiriko wewe mtawala, au mwenye mamlaka, huwezi kupingana na wakati huo, hapo Jambo la musingi nikukubaliana na upepo, au, uvumi unao vuma. Nikiwa na maana kuwa huu ndiyo wakati sahihi, wa mabadiriko ya katiba, na kuwepo tume huru ya uchaguzi, ili nchi na raia wake viweze kustawi.

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 5 месяцев назад +1

    Mbowe kazana,,,Endelea kushauliana nao mpaka tutakapokuwa tunakaribia mahara pake!!!

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 5 месяцев назад +1

    Mfumo bora na demokrasia imara na tume huru ya uchaguzi itakayotenda HaKI ndio msingi mkuu wa utu wetu na ubinadamu wetu katika nchi hii.

  • @stevenialbert5033
    @stevenialbert5033 5 месяцев назад

    Tupo pmj chadema

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 5 месяцев назад

    CCM NI MISUKULE ISIYOJITAMBUA KAZI MAMA, MAMA MAMA MIJITU MIZIMA NA AKILI ZAO ZINAMTUKUZA MWANAADAMU MWENZAO!

  • @mutalemwajohanes-kx9dj
    @mutalemwajohanes-kx9dj 5 месяцев назад +2

    Watu wapumbavu na wajinga watadharau maneno ya Mboe , huyu kaongea kwa hoja muhimu za kitaifa

  • @aliykamaga4174
    @aliykamaga4174 5 месяцев назад

    Yani dawayao nikuamua yani munawaomba tripuhii kitukitaonekana

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 5 месяцев назад +1

    I hoe ccm wameipata msg hii

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 5 месяцев назад

    Katika comments hizi utaona mgawanyiko wa uchawa wa udini comments imekaa kidini hebu amgalieni mwone

  • @yonassngonye3759
    @yonassngonye3759 5 месяцев назад

    Hivi ni lazima kuwatusi watu ili kutoa maoni?

  • @eatlawe
    @eatlawe 5 месяцев назад +4

    Ila ninyi vyama vya siasa kwa miaka 30 bado hamjifunzi tu? Bado mnatumia njia hizo hizo ambazo zimekuwa zinawakandamiza. Mmekuwa ombaomba miaka yote ndio maana mnadarauliwa kwa sababu hamna madhara ya kelele zenu! Hamjifuzi hata kwa majirani hasa Kenya?

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 5 месяцев назад +1

      Unataka wafanyaje sasa

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 5 месяцев назад

      @@elinamilyatuu7337 wajiuzulu hawo wala RUZUKU tu kazi yao MATUSI na UDINI

    • @dionismutayoba3542
      @dionismutayoba3542 5 месяцев назад

      Wewe uliyecomment uko upande UPI? Au ww sio mtanzania?

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 5 месяцев назад

      @@dionismutayoba3542 NDIO NYIE MKIAMBIWA NA MCHUNGAJI KULENI NYASI MNAKULA HATA BILA KUHOJI 🤧🤧🤧🤧🤧

    • @Ushauri235
      @Ushauri235 5 месяцев назад

      Wape solution wafanyeje acha kejeli

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 5 месяцев назад

    Mbowe Hai uliifanyia nn mpaka muda huu

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 5 месяцев назад

    CHADEMA HATA tume itoke mbinguni hamtoboi sababu HAMNA sera bali ni UBAGUZI NA MATUSI NA KUSUBIRI MATUKIO 😢😢😢😢

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 5 месяцев назад +1

      Brain za peanut hua mpo active sana kujidhalilisha

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 5 месяцев назад +1

      Sera wanayo ila tunahitaji kuwa na mfumo bora na demokrasia imara nchini na tume huru ya uchaguzi itakayotenda Haki.

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 5 месяцев назад +1

      Wewe ni CCM kindakindaki hayo ndiyo maneno tunayoyategemea kutoka kwako

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 5 месяцев назад

      @@ezekielkiduge8730 SIASA HAZINA RAFIKI WALA ADUI 🥳🥳🥳🥳🥳NIMEANGALIA NCHI HII HAINA UPINZANI IKO NA WAHUNI 🥳🥳🥳🥳🥳

    • @aloycesingano1352
      @aloycesingano1352 5 месяцев назад

      Sasa wewee jamaangu unaelewa kweli siasa?

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 5 месяцев назад +1

    Mbowe ni mbaguz san mwishoe utasema kwann wachaga hawajapata urais hata siku moja

    • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
      @AlphaxardMRusweka-jr1wi 5 месяцев назад +1

      Huo ndo ubaguzi,unataka kuniambia Kila kabila lilishatoa mtu wa kuwa rais, ?

    • @juliusjohnii7823
      @juliusjohnii7823 5 месяцев назад

      Abuu ni mbaguzi sana.

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 5 месяцев назад +1

      Mbaguzi nambari moja ni wewe! Achana na mh mbowe!

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 5 месяцев назад

      Endeleeni kukaa na maisha magumu.
      Hamtaki mabadiliko...

    • @ezekielmatinya8314
      @ezekielmatinya8314 5 месяцев назад

      Shida ya kununuliwa bando na shemejiyo

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 5 месяцев назад

    Mbowe wewe unaleta polojo tu hapo wamuzi ni wapiga kura tu hata wazimamizi wa kura wawe wapya ni vile vile tu wapiga kura wanafata huja na utendaji wa chama au Serikali na neno kusema kupigwa sio Chadema tu hata CCM wamepigwa

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 5 месяцев назад +1

    Mbowe huna lolote ulikaa miaka 15 kama mbunge wa Hai ulifanya nini jimboni.Maendeleo yaawamu tano yalikuwa safi safi .Mbowe wewe ndiye unayalalamika

    • @eatlawe
      @eatlawe 5 месяцев назад +2

      Wewe una manufaa na mfumo kwa hiyo lazima umwone Mbowe ni adui wenu. Ila usifikiri hana mwisho!

    • @SuleimanEdward-f1n
      @SuleimanEdward-f1n 5 месяцев назад +3

      Ulitaka akuletee chakula nyumbani kwako ama

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 5 месяцев назад

      Mbunge wa upinzani hawajibiki kufanya lolote kwa sababu inayofanyakazi ni Ilani ya uchaguzi ambayo kwa Mbunge wa upinzani haipo kazini.

    • @WinfridaFabian
      @WinfridaFabian 5 месяцев назад

      Ni kawaida yenu hata jina la baba take mbowe kusema alishiriki kwenye uhuru wa hii nchi uliona wap wakt yy ndo alikua mwezeshaji wa safar za mwalimu nyerere

    • @nicholausmramu
      @nicholausmramu 5 месяцев назад

      Ww klemency ww sio wahai una washwa nilisha kuambia ww nichawa