CHADEMA WANATOA TAMKO MUDA HUU KUHUSU MAANDAMANO KUTOKEA MWANZA
HTML-код
- Опубликовано: 13 фев 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Mwabukusu Tundu lisu Madeleka Mdude, vichwa vimejaa masini na sio machawa, Mungu atulinde na madhalimu
Hongera Mwabukusi! Very sound arguments and presentation!
Mungu awaongoze na awarinde kwa damu ya yesu na awafiche na maadui
Mwabukusi MUNGU akupe zaidi hitaji lako kwani umekuwa lulu ya taifa niwaelewa tu tunao kuelewa binafsi nasema ujengewa mnara wa kumbukumbu kwenye nchi ,,,,unanibariki sana Mzee wangu GOD BLESS YOU
Hongereni sana Makamanda wetu, tuko pamoja na In'sha'allah Allah yuko pamoja nanyi. Sie tulio mbali na Mwanza tunawaombea kila la kheri mfanikiwe kesho katika Maandamano ya Mwanza. Mie nilishiriki ya Dar na nilitamani niwepo Mwanza lakini Uchumi mbovu uliosababishwa na Sera mbovu hizi za Maccm umesababisha nisiweze kumudu gharama za Nauli kuja Mwanza kushiriki Maandamano ya Ukombozi wa Nchi yetu.
❤❤❤mabukusi jembe la mungu lilotumwa na mungu wa mbie neno❤
Hongera sana bro mtetezi wa haki
Huyo mdude kwenye mikutano apewe nafasi kubwa ya kuzungumza anauwezo wa kuongea kwa hisia sana
Marufuku kukaa kimyaaa, big up Mdudeee, Marufuku kupitishwa masheria ya mchongo yanayohusu Uchaguzi
Great, keep on going
Uko sahihi kabisa
Mama anafanya kazi kweli kweli! Hayo mengine ni njaa zenu tu! Waacheni watanzania wafanye kazi zao kujenga nchi Yao!
safi mdude umeongea cha kweli
Watanzania tuamke Hakika hawa watu wanahoja nzito sana watanzania tunajuvunia Nini kushabikia viongozi wachache wanaoishi maisha ya kifahari wakati uhalisia wananchi wa kawaida hali zetu ni ngumu kiuchumi kila kitu Bei iko juu
Nenda UN
Familia za viongozi ziwepo
SURE SURE, Indeed you are a Man of GOD, wote tunapigania Uhuru wa Tanganyika, tunajenga nyumba moja kwa nini tugombanie fito????
Good sana mwabukus
Tupo pamoja hali ngumu hasa arusha
Tunaomba Mungu atujalie urais ushikwe na chamapinzani ili bandar zetu ziturudie wananchi.
Ahahahahahahahhahaha mtu akimsikiliza mdude kwa juu juuu anaweza akao a huyu jamaa nimchochez ila anauchungusana anaiona nchi ni yaajabu sana na niyamfumo wa chama kimoja
Mdude oyeeerr
Hongera sana wakili tukopa1 kila siku nakuelewa sana
Chadema kazi kwenu
Mwabukuzi uko vizuri asante
Nakubali hilo
Nafuu tukawa na serikali mbili kuliko kua na ccm hii ii ilio tunyanyasa kipind kilefu
Umetumia mfano wa wanajeshi. Huo siyo mfano sahihi. Kikokotoo hakiwahusu hao.
Hakika humu CHADEMA Kuna hoja za Msingi Mno
Tupo makamanda
Maongezi mazuri sana kuelekea uhuru binafsi wa kweli . Piga keleeee?
Hao wanaowauliza kwa nini tunawaunga mkono chadema bongo zao hazichakati na kufikilia timamu,kiufupi hawajielewi wote.
CDM ni majembe.hongereni sana ni wajinga hawatawaelewa.
Wajinga tu
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
Hi MAKOMANDOO WETU MAZOEZI YA UKOMBOZI
Tukopamoja brother
Hamna ishu nyinyi bwana mnapoteza muda tu kelele nyingi matokeo zero
Wewe una inshu?
Kwahyo nn kifanyike?
Zero ni wewe ubongo wako umelala,,jiulize watanzania wanapigania nini?
Utaelewa au ndo nyie wachumia yumbo
Babako sasa anakunywa uji kwa chumvi. Akili ndogo mmelaanika.
Wewe una mvuto endelea na uwakili wako siasa wewe unamvuto unaleta udini wako toka hapa
AMINA TUNAENDELEA KTK TIMU UKONBOZI WA TANGANYIKA NAKU RASIMISHA KATIBA MPYA INAYOKIDHI MAHITAJI YA NCHI YETU
👊✌️👍.
Tutetee mawakil wetu wasomi nchi inaenda pabaya
Mabango ya Covid 19 wapi Demokrasia ya kweli ni hiyo
Hawa wanachadema viongozi wanatafuta uungwaji mkono. tu kwani mtu km Padri Leo ccm kesho chadema tumueleweje kuwa anatafuta haki kwa kila chama ? Ila kubwa zaidi ni kutanguli udini mbele ili ni tishio kwa umoja wa kitaifa maasikofu wanakuwa ndio wasemaji wakuu inatia shaka .. TUJENGE TAHADHARI KWANI TUNAKUMBUKA MAUAJI YA KIMBALI NI WAKINA NANI WALIUSIKA
chadema wanafiki inchi inamsiba
Nani zaidi ya Kingunge Ngombale
IN GOD WE TRUST.....IT CAN BE DONE LET'S PLAY OUR PARTY
Namimi naomba mniunge kwenye sauti ya watanzania
TINAHITAJI UHURU NA KURUDISHA RASLIMALI NA HAKI ZETU ZILIZOPORWA KUPITIA CCM
Kesho TUPO tunakuja
Eeeeeeeee hapo hapo
Matatizo ya miguu dawa yake kuacha kula nyama na kuchua Kwa mafuta ya mnyonyo
Bodaboda???! We mzeee.
Safisana mwabukus
Umma utashinda tu kwa uhakika
Pambana!MUNGU YUKO KAZINI.
mdude mjinga
Pmj
Makonda Kwa Leo anafanya kitu Cha maana,Lakini andeshauri Mabadiliko ya katiba angefanya kitu Cha maana Cha kudumu,
Atakuwa ameisaliti CCM yake na analindwa na katiba mbovu ya mwaka 1977 bila ya hivyo hata yeye ilitakiwa awe gerezani.
Hakuna anayeweza kuponya pepo kwa jina langu ila kwa uwezo wa baba aliye juu acha uongo we mzee
Hii imetoka kitabu kipi na Aya ipi tuoneshe hapa
Manyumbu mnaandamana Mwanza Dar es Salaam imewashinda?...Mnaongea pumba tuuuu Mhe Rais kawawezesha vijana kwa kuwapa bot na kuwajengea miundombinu.
We fala nini
Acha ujinga pumba mwenyewe
Utakuwa unafikri Kwa kutumia matope. Watu wanaongea mambo mhimu unasema pumba. Kama hujui kinachoendelea nyamaza.
Walevi hao hooo et makamanda
SHADRACK ,MESHARCK. NA ABENDEGO TUNAKUJA MM NINAKUJA NA NILIWASHAWISHI NITAWAHUDUMIA KILA KITU😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👩🦽👬🚴👯🧎👭👫🧑🤝🧑🧑🤝🧑🧑🤝🧑👬🚴🚴🚴🚴👯🧎👭👫🧑🤝🧑🧑🤝🧑🧑🤝🧑😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿👩🦽👩🦽👩🦽👩🦽👩🦽👬👬🚴🚴🚴👯👯🧎🧎🧎🧎👭👭👫🧑🤝🧑🧑🤝🧑🧑🤝🧑🦾🦾🦾🦾🦾🦾🦾🦾🦾🦾🦾🦾
Makenge wa nchi kavu nyie
Unapenda ndio maana unafuatlia
Tatzo umeleft group uza endelea kuuza tgo 😂😂😂
Umri umeenda Mzee.
Acha Fujo, juandae kufaa salama ,
Acha kuivuruga nchi
Weee ni mwongo 🎉 tamaa nyingi huna maana yoyote
Chadema anzisheni dini mtapata wafuwai wa kutosha kuwa na kanisa kubwa
Hakuna mtanzania aliyejituma ila inatumwa na tamasha zako hakuna mtanzania aliyekutumeni
Nyinyi ni kikundi cha wauni mmejawa na tamaa
Acheni upumbavu tunamsiba sasahivi,
Maisha lazima yaendelee, wote tutakufa
Nakule kwenye bunge la mchongo wambie WASITISHE ,kwasababu kuna msiba
Hanna hata aibu
Wenzenu wako ktk msiba mkubwa.
Nyie mnatafuta madaraka
Slaa mnafiki Sana .
Na umri unakusuta
Tumewachoka. tuko na makonda tu sasa. Tunamfuatilia kijiji kwa kijiji.makonda hoye
Mnakula mavi ya Bashite
Wewe ni miongini mwa wapumbavu kama hao majambazi
Sawa kaa na Makonda sisi tuko na katiba pamoja na watanzania😅
Ukichoka kalala, shida iko wapi
@@officialkinghimself2637 hakuna majambazi kama watu flan hiv wako chadema