CHADEMA WANATOA TAMKO MUDA HUU KUHUSU MAANDAMANO KUTOKEA MWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 фев 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 98

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 5 месяцев назад +5

    Mwabukusu Tundu lisu Madeleka Mdude, vichwa vimejaa masini na sio machawa, Mungu atulinde na madhalimu

  • @ephraimkalanje7105
    @ephraimkalanje7105 5 месяцев назад +5

    Hongera Mwabukusi! Very sound arguments and presentation!

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 5 месяцев назад +4

    Mungu awaongoze na awarinde kwa damu ya yesu na awafiche na maadui

  • @StevenMtambo
    @StevenMtambo 5 месяцев назад +4

    Mwabukusi MUNGU akupe zaidi hitaji lako kwani umekuwa lulu ya taifa niwaelewa tu tunao kuelewa binafsi nasema ujengewa mnara wa kumbukumbu kwenye nchi ,,,,unanibariki sana Mzee wangu GOD BLESS YOU

  • @mbaraksalum-of3sv
    @mbaraksalum-of3sv 5 месяцев назад +3

    Hongereni sana Makamanda wetu, tuko pamoja na In'sha'allah Allah yuko pamoja nanyi. Sie tulio mbali na Mwanza tunawaombea kila la kheri mfanikiwe kesho katika Maandamano ya Mwanza. Mie nilishiriki ya Dar na nilitamani niwepo Mwanza lakini Uchumi mbovu uliosababishwa na Sera mbovu hizi za Maccm umesababisha nisiweze kumudu gharama za Nauli kuja Mwanza kushiriki Maandamano ya Ukombozi wa Nchi yetu.

  • @sharifaamrani654
    @sharifaamrani654 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤mabukusi jembe la mungu lilotumwa na mungu wa mbie neno❤

  • @PaulPyumpa
    @PaulPyumpa 5 месяцев назад +2

    Hongera sana bro mtetezi wa haki

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 5 месяцев назад +3

    Huyo mdude kwenye mikutano apewe nafasi kubwa ya kuzungumza anauwezo wa kuongea kwa hisia sana

  • @christinangondi4212
    @christinangondi4212 5 месяцев назад +2

    Marufuku kukaa kimyaaa, big up Mdudeee, Marufuku kupitishwa masheria ya mchongo yanayohusu Uchaguzi

  • @richardhoseni2643
    @richardhoseni2643 5 месяцев назад +2

    Great, keep on going

  • @olelelya5151
    @olelelya5151 5 месяцев назад +4

    Uko sahihi kabisa

  • @Gelenya-ne2ip
    @Gelenya-ne2ip 5 месяцев назад

    Mama anafanya kazi kweli kweli! Hayo mengine ni njaa zenu tu! Waacheni watanzania wafanye kazi zao kujenga nchi Yao!

  • @NaaliShauri
    @NaaliShauri 5 месяцев назад +2

    safi mdude umeongea cha kweli

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 5 месяцев назад +2

    Watanzania tuamke Hakika hawa watu wanahoja nzito sana watanzania tunajuvunia Nini kushabikia viongozi wachache wanaoishi maisha ya kifahari wakati uhalisia wananchi wa kawaida hali zetu ni ngumu kiuchumi kila kitu Bei iko juu

  • @christinangondi4212
    @christinangondi4212 5 месяцев назад

    SURE SURE, Indeed you are a Man of GOD, wote tunapigania Uhuru wa Tanganyika, tunajenga nyumba moja kwa nini tugombanie fito????

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 5 месяцев назад

    Good sana mwabukus

  • @omaryidd4373
    @omaryidd4373 5 месяцев назад +1

    Tupo pamoja hali ngumu hasa arusha

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 5 месяцев назад

    Tunaomba Mungu atujalie urais ushikwe na chamapinzani ili bandar zetu ziturudie wananchi.

  • @user-tx1yb3my3m
    @user-tx1yb3my3m 5 месяцев назад +1

    Ahahahahahahahhahaha mtu akimsikiliza mdude kwa juu juuu anaweza akao a huyu jamaa nimchochez ila anauchungusana anaiona nchi ni yaajabu sana na niyamfumo wa chama kimoja

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 5 месяцев назад +1

    Mdude oyeeerr

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 5 месяцев назад

    Hongera sana wakili tukopa1 kila siku nakuelewa sana

  • @EliaEgbert
    @EliaEgbert 5 месяцев назад

    Chadema kazi kwenu

  • @yussuph-lx7cu
    @yussuph-lx7cu 5 месяцев назад

    Mwabukuzi uko vizuri asante

  • @majaliwakulanga3806
    @majaliwakulanga3806 5 месяцев назад

    Nakubali hilo

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 5 месяцев назад +1

    Nafuu tukawa na serikali mbili kuliko kua na ccm hii ii ilio tunyanyasa kipind kilefu

  • @user-xd1jj8cg2c
    @user-xd1jj8cg2c 5 месяцев назад +1

    Umetumia mfano wa wanajeshi. Huo siyo mfano sahihi. Kikokotoo hakiwahusu hao.

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 5 месяцев назад

    Hakika humu CHADEMA Kuna hoja za Msingi Mno

  • @tadeishirima717
    @tadeishirima717 5 месяцев назад +1

    Tupo makamanda

  • @malamlaaj9852
    @malamlaaj9852 5 месяцев назад

    Maongezi mazuri sana kuelekea uhuru binafsi wa kweli . Piga keleeee?

  • @user-ey8zi1es4p
    @user-ey8zi1es4p 5 месяцев назад

    Hao wanaowauliza kwa nini tunawaunga mkono chadema bongo zao hazichakati na kufikilia timamu,kiufupi hawajielewi wote.

  • @user-ub1xk6yz6l
    @user-ub1xk6yz6l 5 месяцев назад +3

    CDM ni majembe.hongereni sana ni wajinga hawatawaelewa.

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 5 месяцев назад

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 5 месяцев назад

    Hi MAKOMANDOO WETU MAZOEZI YA UKOMBOZI

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 5 месяцев назад

    Tukopamoja brother

  • @peemoneybags410
    @peemoneybags410 5 месяцев назад +4

    Hamna ishu nyinyi bwana mnapoteza muda tu kelele nyingi matokeo zero

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 5 месяцев назад +1

      Wewe una inshu?

    • @FredrickKinyaha
      @FredrickKinyaha 5 месяцев назад +1

      Kwahyo nn kifanyike?

    • @yussuph-lx7cu
      @yussuph-lx7cu 5 месяцев назад +1

      Zero ni wewe ubongo wako umelala,,jiulize watanzania wanapigania nini?

    • @StevenMtambo
      @StevenMtambo 5 месяцев назад +1

      Utaelewa au ndo nyie wachumia yumbo

    • @othmarluwawilo8308
      @othmarluwawilo8308 5 месяцев назад +1

      Babako sasa anakunywa uji kwa chumvi. Akili ndogo mmelaanika.

  • @ameranishebe6331
    @ameranishebe6331 5 месяцев назад

    Wewe una mvuto endelea na uwakili wako siasa wewe unamvuto unaleta udini wako toka hapa

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 5 месяцев назад

    AMINA TUNAENDELEA KTK TIMU UKONBOZI WA TANGANYIKA NAKU RASIMISHA KATIBA MPYA INAYOKIDHI MAHITAJI YA NCHI YETU

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 месяцев назад

    👊✌️👍.

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 5 месяцев назад

    Tutetee mawakil wetu wasomi nchi inaenda pabaya

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u 5 месяцев назад

    Mabango ya Covid 19 wapi Demokrasia ya kweli ni hiyo

  • @user-zx4ww6mq8d
    @user-zx4ww6mq8d 5 месяцев назад

    Hawa wanachadema viongozi wanatafuta uungwaji mkono. tu kwani mtu km Padri Leo ccm kesho chadema tumueleweje kuwa anatafuta haki kwa kila chama ? Ila kubwa zaidi ni kutanguli udini mbele ili ni tishio kwa umoja wa kitaifa maasikofu wanakuwa ndio wasemaji wakuu inatia shaka .. TUJENGE TAHADHARI KWANI TUNAKUMBUKA MAUAJI YA KIMBALI NI WAKINA NANI WALIUSIKA

  • @user-fl4lr2lq3s
    @user-fl4lr2lq3s 5 месяцев назад

    chadema wanafiki inchi inamsiba

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 5 месяцев назад

    Nani zaidi ya Kingunge Ngombale

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 5 месяцев назад

    IN GOD WE TRUST.....IT CAN BE DONE LET'S PLAY OUR PARTY

  • @clemencelisonga8261
    @clemencelisonga8261 5 месяцев назад

    Namimi naomba mniunge kwenye sauti ya watanzania

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 5 месяцев назад +2

    TINAHITAJI UHURU NA KURUDISHA RASLIMALI NA HAKI ZETU ZILIZOPORWA KUPITIA CCM

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 5 месяцев назад

    Kesho TUPO tunakuja

  • @user-vr1uu6ob4t
    @user-vr1uu6ob4t 5 месяцев назад

    Eeeeeeeee hapo hapo

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 5 месяцев назад

    Matatizo ya miguu dawa yake kuacha kula nyama na kuchua Kwa mafuta ya mnyonyo

  • @malamlaaj9852
    @malamlaaj9852 5 месяцев назад

    Bodaboda???! We mzeee.

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 5 месяцев назад

    Safisana mwabukus

  • @joaneskailembo4485
    @joaneskailembo4485 5 месяцев назад

    Umma utashinda tu kwa uhakika

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 5 месяцев назад

    Pambana!MUNGU YUKO KAZINI.

  • @user-fl4lr2lq3s
    @user-fl4lr2lq3s 5 месяцев назад

    mdude mjinga

  • @prochesytesha8040
    @prochesytesha8040 5 месяцев назад

    Pmj

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 5 месяцев назад

    Makonda Kwa Leo anafanya kitu Cha maana,Lakini andeshauri Mabadiliko ya katiba angefanya kitu Cha maana Cha kudumu,

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 5 месяцев назад +2

      Atakuwa ameisaliti CCM yake na analindwa na katiba mbovu ya mwaka 1977 bila ya hivyo hata yeye ilitakiwa awe gerezani.

  • @allyiddi5866
    @allyiddi5866 5 месяцев назад

    Hakuna anayeweza kuponya pepo kwa jina langu ila kwa uwezo wa baba aliye juu acha uongo we mzee

    • @user-ub1xk6yz6l
      @user-ub1xk6yz6l 5 месяцев назад

      Hii imetoka kitabu kipi na Aya ipi tuoneshe hapa

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 5 месяцев назад +1

    Manyumbu mnaandamana Mwanza Dar es Salaam imewashinda?...Mnaongea pumba tuuuu Mhe Rais kawawezesha vijana kwa kuwapa bot na kuwajengea miundombinu.

    • @kurwanjonge4586
      @kurwanjonge4586 5 месяцев назад

      We fala nini

    • @user-mm6sm9rt9x
      @user-mm6sm9rt9x 5 месяцев назад

      Acha ujinga pumba mwenyewe
      Utakuwa unafikri Kwa kutumia matope. Watu wanaongea mambo mhimu unasema pumba. Kama hujui kinachoendelea nyamaza.

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 5 месяцев назад

    Walevi hao hooo et makamanda

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 5 месяцев назад

    SHADRACK ,MESHARCK. NA ABENDEGO TUNAKUJA MM NINAKUJA NA NILIWASHAWISHI NITAWAHUDUMIA KILA KITU😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👩‍🦽👬🚴👯🧎👭👫🧑‍🤝‍🧑🧑‍🤝‍🧑🧑‍🤝‍🧑👬🚴🚴🚴🚴👯🧎👭👫🧑‍🤝‍🧑🧑‍🤝‍🧑🧑‍🤝‍🧑😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿👩‍🦽👩‍🦽👩‍🦽👩‍🦽👩‍🦽👬👬🚴🚴🚴👯👯🧎🧎🧎🧎👭👭👫🧑‍🤝‍🧑🧑‍🤝‍🧑🧑‍🤝‍🧑🦾🦾🦾🦾🦾🦾🦾🦾🦾🦾🦾🦾

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 5 месяцев назад

    Makenge wa nchi kavu nyie

    • @melch3097
      @melch3097 5 месяцев назад

      Unapenda ndio maana unafuatlia

    • @harunamtiko117
      @harunamtiko117 5 месяцев назад

      Tatzo umeleft group uza endelea kuuza tgo 😂😂😂

  • @gabrielmwikanu1160
    @gabrielmwikanu1160 5 месяцев назад

    Umri umeenda Mzee.
    Acha Fujo, juandae kufaa salama ,
    Acha kuivuruga nchi
    Weee ni mwongo 🎉 tamaa nyingi huna maana yoyote

  • @allyiddi5866
    @allyiddi5866 5 месяцев назад

    Chadema anzisheni dini mtapata wafuwai wa kutosha kuwa na kanisa kubwa

  • @allyiddi5866
    @allyiddi5866 5 месяцев назад

    Hakuna mtanzania aliyejituma ila inatumwa na tamasha zako hakuna mtanzania aliyekutumeni

  • @EliaEgbert
    @EliaEgbert 5 месяцев назад

    Nyinyi ni kikundi cha wauni mmejawa na tamaa

  • @johnjoycemalusu4886
    @johnjoycemalusu4886 5 месяцев назад +1

    Acheni upumbavu tunamsiba sasahivi,

    • @melch3097
      @melch3097 5 месяцев назад +1

      Maisha lazima yaendelee, wote tutakufa

    • @yussuph-lx7cu
      @yussuph-lx7cu 5 месяцев назад +3

      Nakule kwenye bunge la mchongo wambie WASITISHE ,kwasababu kuna msiba

    • @gabrielmwikanu1160
      @gabrielmwikanu1160 5 месяцев назад

      Hanna hata aibu
      Wenzenu wako ktk msiba mkubwa.
      Nyie mnatafuta madaraka
      Slaa mnafiki Sana .
      Na umri unakusuta

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 5 месяцев назад +1

    Tumewachoka. tuko na makonda tu sasa. Tunamfuatilia kijiji kwa kijiji.makonda hoye

    • @othmarluwawilo8308
      @othmarluwawilo8308 5 месяцев назад

      Mnakula mavi ya Bashite

    • @officialkinghimself2637
      @officialkinghimself2637 5 месяцев назад

      Wewe ni miongini mwa wapumbavu kama hao majambazi

    • @evancemosha7862
      @evancemosha7862 5 месяцев назад +1

      Sawa kaa na Makonda sisi tuko na katiba pamoja na watanzania😅

    • @melch3097
      @melch3097 5 месяцев назад

      Ukichoka kalala, shida iko wapi

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 5 месяцев назад

      @@officialkinghimself2637 hakuna majambazi kama watu flan hiv wako chadema