MAPYA YAIBUKA MAHAKAMANI KESI YA MWABUKUSI NA TLS/ ''TUSIKUBALI KUCHAGULIWA VIONGOZI''
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- #jambotv
Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam, Ijumaa ya Julai 26.2024 inatarajiwa kusoma hukumu ya kesi iliyofunguliwa na Wakili wa kujitegemea Boniface Mwabukusi dhidi ya TLS (Chama cha Mawakili Tanganyika) ambapo Wakili Mwabukusi anapinga maamuzi ya kamati ya rufani ya chama hicho kumuengua kugombea nafasi ya Rais wa TLS katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mapema mwezi ujao
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Jebra Kambole safi sana leo nmekuona maana nilikua nalijua jina TU.Umeongea vizuri sana Kambole.Mungu atawaongoza hakika.Mwabukusi oyeee
Nakuelewa broo 🎉🎉
Nmekuelewa sana Mraa HECHE
Mmeonesha mstari kua mupo
Safi sana wanasheria,mmejitambua
We appreciate you surely
kama umemkubali Mwabukusi ni FIGHTER nipe likes zangu
Namkubali sana mwabukusu
🔥🔥🔥💪💪💪Mungu awaongoze ili muwe wa kwanza kuikomboa Tanganyika
Mwamba huyu hapo Mungu azidi kukuinuwa tena viwango vya juu
Viva mawakili
😂😂😂 you are strong like 'CHUMA' MUNGU akulinde
Namkubali sana Wakili msomi mwabukusi tupo pamoja sana kaka
Mungu akulinde Kaka Mwabukusi
Tunafuatilia haswaaa Tls jeshi kubwa
Wahubiri wa haki duniani
Kumeanza kunoga mawakili oyeeeee
VIJANA FANYENI YENU KAMA VIJANA WA KENYA, ILI UKOMBOZI WA TANGANYIKA UANZIE HAPO🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️😘🤗
Peke yenu wa somi Sheria ndo mnaweza kuokoa taifa Mungu awasaidie
Tunakutegemea mzee
Muhimu sana watu wapige kura si vinginevyo
TLS mmetuonesha njia. Big up
Hakuna kukubali upuuzi
Jamaaa yupo makini sana
Assnte mkuu mwabukusii
Mi ccm na samia wahuni big up kwa rais wamarekani kutogombea but africa noma sana
Kama Rais ni muhuni af mama yako aliyekuza nje ya ndoa atakuwa nani? Kakoge janaba kwanza acha matusi.
Uhuni ni sifa inayomstahili @@nahlaaasidee1848
@@nahlaaasidee1848Acha upimbi hayo ni maoni yake usimpamngie namna unavyotaka.
Mpka kieleweke
Mwe nahofu ya Mungumtangulizeni mwenye haki
TLS msikubari kuendeshwa na politicians bad guys.
Chagueni rais ambaye ataweza kusimamia misingi ya utawala Bora na sio anaetetea serikali.
Mungu awasimamie.
Ila Mwambukusi ni Jembe💪
Bungee lingekuwa na wanasheria wote ingekuwa poa sana
Hongera mwabukusi
Kshindo Cha wakoma kiliwakimbiza washami mungu akiwa upande wetu ni nani aliye juu yetu waweza kumwita Adonai waweza Eloi Mungu aliye karibu na watu
Kila la heri mawakili wetu
Namwona mwanaharakati mbobezi @Mdudu Nyagali hatar sana
Naomba kufaham kazi kubwa ua tls ni nn kwa watanzania
Very good
❤
Hakika Mr mwabukusi Mungu atende wepesi kwako.Taifa linahitaji huduma yako.
Tuko pamoja MWANASHERIA mwabukuzi,,TLC NDIO CHOMBO CHA KUTETEA HAKI ZA WATANZANIA,,KUPATA VIONGOZI WAKWELI NA WATETEA HAKI ZA WATANZANIA,,TUSIKUBALI CHAMA CHA MAWAKILI KUPORWA NA MACHAWA
Big up Boniface Mwabukusi
Shinda Baba Kututetea Ndomaana Hao Wahuni Hawakutaki
Watashindwa hawamtaki kwa sababu wameuza bandari ila lazima wakae
WAOOOOO!!KUMBE TUNA GEN-T HAPO TLS. BASI HAPO TANGANYIKA INATOKA.
Mungu akuweke maisha marefu
Akutunze na kukulinda
Tls. Rise to your standards. Acheni utoto na siasa siasa MwabuK. Asset kubwa sana kwa taifa. Please kuweni watu wa haki mwanzo hadi mwisho
Mwabukusi usikate tamaaaaaaaa,....Wanajua ukiwa RAIS wa TLS utawabana vilivyo hasa hichi kipindi Cha uchaguzi...
We are behind you Mayweather 👊
WE STEVEN UNAONYESHA WAZI UNATUMIKA NA……😢😢😢😢MUNGU ASAMEHE MAMBO HAYA TUNATAKA HAKI IANZIE TLS
Taifa makini na watu makini
Mwabukusi yupo sahii kabisa
Watanzania tunafatilia sana
Boniface na mawakili wanao kutetea tunawaamini saaana.
Kataeni kabisa Uhuni hauna nafasi hapo.
😢😮
Mh. Mwabukusi atashinda tu ili mradi mahakama yawe huru yatende haki.tuendelee kumtakia afya njema na ulinzi wa Mungu🙏🙏
×❤
Amani inatokea sheria zikifuatwa na ndio maana sheria zikatungwa kuweka kikomo.
Huyu panya mwabukusi asishinde hii kesi kenge huyu
Ivi huyu si naweza kuwa rais wa nchi?
Mawakili nyie mmeupiga mwingi sana
Hii tls imekuwa ya cdm mbona Iko kisiasa
Lione hili nalo sijui limetokea wapi na Matope yake? Kwahio mpango wenu wakupenyeza Viongozi mnaotaka kuwatumia ktk vyama Mbalimbali ukigonga Mwamba mnajua ni Chadema? Ivi nyie akili zenu zipoje?Ccm mnashida.
Inawezekana serikali ikatoa maelekezo,, tuwe makini wanasheria
Nimeipenda iyo sio Kila wakwanza kuzaliwa ndio atakuwa wakwanza kufa kaka mwabukusi Kila nikiangalia video zako napata msemo kupitia ww mungu yupo nawe kaka
Wanasheria nyie mnaonyesha Bado hamjaiva Endeleeni kupiga Kitabu
Jamani mawakili tulindeni sisi raia kwa kufuata sheria zenu mlizojiwekea mtaheshimika mkijua kuwa nyinyi si wanasiasa. *Mahakama toeni*.
Akika umoja ni nguvu tunaimani kubwa na nyie wana shelia wetu mwabukusi anafaa
INA MAANA MNATAKA KUCHAGUA KUFUATA UMRI AMA KATIBA?
MAMLAKA YA MWISHO TUSICHAGULIWE TUNACHAGUA WENYEWE
Tuko pamoja
Ujobhile gwakukaja.
Tls isiwe kundi la siasa mwambukusi ni wakili Ana haki kamili ya kugombea
Mungu asimamie haki ili watz wapate watu wa kuwatetea Maana viongozi wa CCM wanataka kuongoza watu wasiyojua sheria tunataka wanasheria watakao tetea wananchi siyo kusifia viongozi wasiyokuwa waadilifu
KUNA LIMOJA HAPO LIMESHIBA HELA YA ABDULI😅😅😅😅
NAMTABIRIA KUWA ATASHINDA YEYE KUWA RAIS WA TLS. MSIKUBALI WALE WALIOKUWA MAWAKILI WALIOKUWA WANAFANYA KAZI NA SEREKALI WAIONGOZE TLS KAMA RAIS
Sisi wananchi tunakukubari mwabukusi.
TLS NDO PUMZI YA MWISHO YA UHAKIKA WA MWANANCHI MNYONGE WA NCHI YOYOTE
Tukutakie kila raheri wakiri msomi mwabukusi
Huyo mwenye tumbo kama puto ndio msaliti wenu
Tuko nyuma yako kaka
TLS NI KWELI NI JICHO LINALO MWAGIWA MCHANGA! TUNAIMANI NALO
Kuweni makin na uyo jamaa mwenye tumbo kubwa
😂😂😂
Mbona CK iz usemi Mungu wetu ni mkubwa kuliko wao au ushajua watu watu wamekuta gulia hatua,tushakushtukia wewe
Hapo umecomment kitu gani hujaeleweka, shule. Mawakili ni watafsiri wa sheria hivyo wanapaswa kutenda kila jambo hata linalowahusu kwa kufuata sheria siyo mihemko. . Kumkata mtu nje ya sheria ni sawa na kmnyima haki yake ya kikatiba.
ABDULI ATAKUWA ALIFIKISHA MKONO HUKO😂😂😂
TLS NI NGUZO NA NGOME MUHIMU SANA KTK KULIKOMBOA TAIFA KISIASA, KIUCHUMI NA KIJAMII!
USHINDI WA TLS NI USHINDI WA WANANCHI!
Mwamba mwabukus fahali ya mbeya
KUNA LIMOJA HAPO LIMESHIBA HELA YA ABDULI😅😅😅😅
NAMTABIRIA KUWA ATASHINDA YEYE KUWA RAIS WA TLS. MSIKUBALI WALE WALIOKUWA MAWAKILI WALIOKUWA WANAFANYA KAZI NA SEREKALI WAIONGOZE TLS KAMA RAIS
Tukoi nyuma yako kaka