MAPYA YAIBUKA MAHAKAMANI KESI YA MWABUKUSI NA TLS/ ''TUSIKUBALI KUCHAGULIWA VIONGOZI''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #jambotv
    Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam, Ijumaa ya Julai 26.2024 inatarajiwa kusoma hukumu ya kesi iliyofunguliwa na Wakili wa kujitegemea Boniface Mwabukusi dhidi ya TLS (Chama cha Mawakili Tanganyika) ambapo Wakili Mwabukusi anapinga maamuzi ya kamati ya rufani ya chama hicho kumuengua kugombea nafasi ya Rais wa TLS katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mapema mwezi ujao
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 93

  • @omariabeid3291
    @omariabeid3291 2 месяца назад +2

    Jebra Kambole safi sana leo nmekuona maana nilikua nalijua jina TU.Umeongea vizuri sana Kambole.Mungu atawaongoza hakika.Mwabukusi oyeee

  • @MmbagaMmbaga
    @MmbagaMmbaga 2 месяца назад +1

    Nakuelewa broo 🎉🎉

  • @omariabeid3291
    @omariabeid3291 2 месяца назад +1

    Nmekuelewa sana Mraa HECHE

  • @omariabeid3291
    @omariabeid3291 2 месяца назад +1

    Mmeonesha mstari kua mupo

  • @erastocyprian3555
    @erastocyprian3555 2 месяца назад +1

    Safi sana wanasheria,mmejitambua

  • @omariabeid3291
    @omariabeid3291 2 месяца назад

    We appreciate you surely

  • @RabihuHussein
    @RabihuHussein 2 месяца назад +8

    kama umemkubali Mwabukusi ni FIGHTER nipe likes zangu

  • @barakalowasa425
    @barakalowasa425 2 месяца назад +16

    Namkubali sana mwabukusu

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 месяца назад +1

    🔥🔥🔥💪💪💪Mungu awaongoze ili muwe wa kwanza kuikomboa Tanganyika

  • @EricUbalijoro-x1l
    @EricUbalijoro-x1l 2 месяца назад +8

    Mwamba huyu hapo Mungu azidi kukuinuwa tena viwango vya juu

  • @richardhoseni2643
    @richardhoseni2643 2 месяца назад +8

    Viva mawakili

  • @christinangondi4212
    @christinangondi4212 2 месяца назад +1

    😂😂😂 you are strong like 'CHUMA' MUNGU akulinde

  • @daudisalum9574
    @daudisalum9574 2 месяца назад +5

    Namkubali sana Wakili msomi mwabukusi tupo pamoja sana kaka

  • @KwiniJoel
    @KwiniJoel 2 месяца назад +6

    Mungu akulinde Kaka Mwabukusi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 месяца назад +12

    Tunafuatilia haswaaa Tls jeshi kubwa

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 месяца назад +7

    Wahubiri wa haki duniani

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 2 месяца назад +8

    Kumeanza kunoga mawakili oyeeeee

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 месяца назад +1

    VIJANA FANYENI YENU KAMA VIJANA WA KENYA, ILI UKOMBOZI WA TANGANYIKA UANZIE HAPO🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️😘🤗

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 2 месяца назад +1

    Peke yenu wa somi Sheria ndo mnaweza kuokoa taifa Mungu awasaidie

  • @JaluoJeusi
    @JaluoJeusi 2 месяца назад +9

    Tunakutegemea mzee

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 2 месяца назад +6

    Muhimu sana watu wapige kura si vinginevyo

  • @duniakidogo8516
    @duniakidogo8516 2 месяца назад +2

    TLS mmetuonesha njia. Big up
    Hakuna kukubali upuuzi

  • @sylivanusbernard3325
    @sylivanusbernard3325 2 месяца назад

    Jamaaa yupo makini sana

  • @josephmallya5525
    @josephmallya5525 2 месяца назад +8

    Assnte mkuu mwabukusii

  • @AlouiseNgenDanDumwe
    @AlouiseNgenDanDumwe 2 месяца назад +4

    Mi ccm na samia wahuni big up kwa rais wamarekani kutogombea but africa noma sana

    • @nahlaaasidee1848
      @nahlaaasidee1848 2 месяца назад

      Kama Rais ni muhuni af mama yako aliyekuza nje ya ndoa atakuwa nani? Kakoge janaba kwanza acha matusi.

    • @HassanWasiwasi-lq1kh
      @HassanWasiwasi-lq1kh 2 месяца назад

      Uhuni ni sifa inayomstahili ​@@nahlaaasidee1848

    • @geraldgedi4657
      @geraldgedi4657 2 месяца назад

      ​@@nahlaaasidee1848Acha upimbi hayo ni maoni yake usimpamngie namna unavyotaka.

  • @saidmabanga388
    @saidmabanga388 2 месяца назад +10

    Mpka kieleweke

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 месяца назад +4

    Mwe nahofu ya Mungumtangulizeni mwenye haki

  • @kbhazina
    @kbhazina 2 месяца назад +4

    TLS msikubari kuendeshwa na politicians bad guys.
    Chagueni rais ambaye ataweza kusimamia misingi ya utawala Bora na sio anaetetea serikali.
    Mungu awasimamie.
    Ila Mwambukusi ni Jembe💪

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 2 месяца назад +6

    Bungee lingekuwa na wanasheria wote ingekuwa poa sana

  • @LoitushulYamat
    @LoitushulYamat 2 месяца назад +4

    Hongera mwabukusi

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 месяца назад +2

    Kshindo Cha wakoma kiliwakimbiza washami mungu akiwa upande wetu ni nani aliye juu yetu waweza kumwita Adonai waweza Eloi Mungu aliye karibu na watu

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 2 месяца назад +5

    Kila la heri mawakili wetu

  • @omariabeid3291
    @omariabeid3291 2 месяца назад

    Namwona mwanaharakati mbobezi @Mdudu Nyagali hatar sana

  • @R-wt5ry
    @R-wt5ry 2 месяца назад

    Naomba kufaham kazi kubwa ua tls ni nn kwa watanzania

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 месяца назад

    Very good

  • @DominicMassao
    @DominicMassao 2 месяца назад

  • @JuhudiJotham
    @JuhudiJotham 2 месяца назад

    Hakika Mr mwabukusi Mungu atende wepesi kwako.Taifa linahitaji huduma yako.

  • @YussufPandu-es7ou
    @YussufPandu-es7ou 2 месяца назад +6

    Tuko pamoja MWANASHERIA mwabukuzi,,TLC NDIO CHOMBO CHA KUTETEA HAKI ZA WATANZANIA,,KUPATA VIONGOZI WAKWELI NA WATETEA HAKI ZA WATANZANIA,,TUSIKUBALI CHAMA CHA MAWAKILI KUPORWA NA MACHAWA

  • @lucyenock542
    @lucyenock542 2 месяца назад +4

    Big up Boniface Mwabukusi

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp 2 месяца назад +3

    Shinda Baba Kututetea Ndomaana Hao Wahuni Hawakutaki

    • @richardhoseni2643
      @richardhoseni2643 2 месяца назад +1

      Watashindwa hawamtaki kwa sababu wameuza bandari ila lazima wakae

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 месяца назад

    WAOOOOO!!KUMBE TUNA GEN-T HAPO TLS. BASI HAPO TANGANYIKA INATOKA.

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb 2 месяца назад +1

    Mungu akuweke maisha marefu

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 2 месяца назад

    Tls. Rise to your standards. Acheni utoto na siasa siasa MwabuK. Asset kubwa sana kwa taifa. Please kuweni watu wa haki mwanzo hadi mwisho

  • @evaristmshanga
    @evaristmshanga 2 месяца назад

    Mwabukusi usikate tamaaaaaaaa,....Wanajua ukiwa RAIS wa TLS utawabana vilivyo hasa hichi kipindi Cha uchaguzi...

  • @waziradam2794
    @waziradam2794 2 месяца назад

    We are behind you Mayweather 👊

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 месяца назад

    WE STEVEN UNAONYESHA WAZI UNATUMIKA NA……😢😢😢😢MUNGU ASAMEHE MAMBO HAYA TUNATAKA HAKI IANZIE TLS

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 2 месяца назад +3

    Taifa makini na watu makini

  • @JoshuaKamusiara
    @JoshuaKamusiara 2 месяца назад

    Mwabukusi yupo sahii kabisa

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 2 месяца назад

    Watanzania tunafatilia sana

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 2 месяца назад +2

    Boniface na mawakili wanao kutetea tunawaamini saaana.
    Kataeni kabisa Uhuni hauna nafasi hapo.

  • @evelina9621
    @evelina9621 2 месяца назад +1

    😢😮

  • @TheodosiaSangka
    @TheodosiaSangka 2 месяца назад

    Mh. Mwabukusi atashinda tu ili mradi mahakama yawe huru yatende haki.tuendelee kumtakia afya njema na ulinzi wa Mungu🙏🙏

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi 2 месяца назад

    Amani inatokea sheria zikifuatwa na ndio maana sheria zikatungwa kuweka kikomo.

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 2 месяца назад

    Huyu panya mwabukusi asishinde hii kesi kenge huyu

  • @GeorgeKaduma-z5z
    @GeorgeKaduma-z5z 2 месяца назад

    Ivi huyu si naweza kuwa rais wa nchi?

  • @YangaNews
    @YangaNews 2 месяца назад +2

    Mawakili nyie mmeupiga mwingi sana

  • @josephchaba6007
    @josephchaba6007 2 месяца назад +2

    Hii tls imekuwa ya cdm mbona Iko kisiasa

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 2 месяца назад +3

      Lione hili nalo sijui limetokea wapi na Matope yake? Kwahio mpango wenu wakupenyeza Viongozi mnaotaka kuwatumia ktk vyama Mbalimbali ukigonga Mwamba mnajua ni Chadema? Ivi nyie akili zenu zipoje?Ccm mnashida.

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 2 месяца назад

    Inawezekana serikali ikatoa maelekezo,, tuwe makini wanasheria

  • @zaydamos874
    @zaydamos874 2 месяца назад

    Nimeipenda iyo sio Kila wakwanza kuzaliwa ndio atakuwa wakwanza kufa kaka mwabukusi Kila nikiangalia video zako napata msemo kupitia ww mungu yupo nawe kaka

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 2 месяца назад

    Wanasheria nyie mnaonyesha Bado hamjaiva Endeleeni kupiga Kitabu

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 2 месяца назад +1

    Jamani mawakili tulindeni sisi raia kwa kufuata sheria zenu mlizojiwekea mtaheshimika mkijua kuwa nyinyi si wanasiasa. *Mahakama toeni*.

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 2 месяца назад +1

    Akika umoja ni nguvu tunaimani kubwa na nyie wana shelia wetu mwabukusi anafaa

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 2 месяца назад +2

    INA MAANA MNATAKA KUCHAGUA KUFUATA UMRI AMA KATIBA?

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 месяца назад +1

    MAMLAKA YA MWISHO TUSICHAGULIWE TUNACHAGUA WENYEWE

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 2 месяца назад +1

    Tuko pamoja

  • @MwatijaFikoti
    @MwatijaFikoti 2 месяца назад +3

    Ujobhile gwakukaja.

  • @salehkioza-xo8ti
    @salehkioza-xo8ti 2 месяца назад +10

    Tls isiwe kundi la siasa mwambukusi ni wakili Ana haki kamili ya kugombea

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso 2 месяца назад

    Mungu asimamie haki ili watz wapate watu wa kuwatetea Maana viongozi wa CCM wanataka kuongoza watu wasiyojua sheria tunataka wanasheria watakao tetea wananchi siyo kusifia viongozi wasiyokuwa waadilifu

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 месяца назад

    KUNA LIMOJA HAPO LIMESHIBA HELA YA ABDULI😅😅😅😅

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 месяца назад

    NAMTABIRIA KUWA ATASHINDA YEYE KUWA RAIS WA TLS. MSIKUBALI WALE WALIOKUWA MAWAKILI WALIOKUWA WANAFANYA KAZI NA SEREKALI WAIONGOZE TLS KAMA RAIS

  • @IlseAloyce
    @IlseAloyce 2 месяца назад +4

    Sisi wananchi tunakukubari mwabukusi.

  • @deohank5995
    @deohank5995 2 месяца назад

    TLS NDO PUMZI YA MWISHO YA UHAKIKA WA MWANANCHI MNYONGE WA NCHI YOYOTE

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 2 месяца назад

    Tukutakie kila raheri wakiri msomi mwabukusi

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 2 месяца назад +1

    Huyo mwenye tumbo kama puto ndio msaliti wenu

  • @antidiusalfred4686
    @antidiusalfred4686 2 месяца назад +1

    Tuko nyuma yako kaka

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 2 месяца назад

    TLS NI KWELI NI JICHO LINALO MWAGIWA MCHANGA! TUNAIMANI NALO

  • @yudatadeimdoe9215
    @yudatadeimdoe9215 2 месяца назад

    Kuweni makin na uyo jamaa mwenye tumbo kubwa

  • @AbdulrahmaniNjechele
    @AbdulrahmaniNjechele 2 месяца назад

    Mbona CK iz usemi Mungu wetu ni mkubwa kuliko wao au ushajua watu watu wamekuta gulia hatua,tushakushtukia wewe

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 2 месяца назад +2

      Hapo umecomment kitu gani hujaeleweka, shule. Mawakili ni watafsiri wa sheria hivyo wanapaswa kutenda kila jambo hata linalowahusu kwa kufuata sheria siyo mihemko. . Kumkata mtu nje ya sheria ni sawa na kmnyima haki yake ya kikatiba.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 месяца назад

    ABDULI ATAKUWA ALIFIKISHA MKONO HUKO😂😂😂

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 2 месяца назад +1

    TLS NI NGUZO NA NGOME MUHIMU SANA KTK KULIKOMBOA TAIFA KISIASA, KIUCHUMI NA KIJAMII!
    USHINDI WA TLS NI USHINDI WA WANANCHI!

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 2 месяца назад +3

    Mwamba mwabukus fahali ya mbeya

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 месяца назад

    KUNA LIMOJA HAPO LIMESHIBA HELA YA ABDULI😅😅😅😅

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 месяца назад

    NAMTABIRIA KUWA ATASHINDA YEYE KUWA RAIS WA TLS. MSIKUBALI WALE WALIOKUWA MAWAKILI WALIOKUWA WANAFANYA KAZI NA SEREKALI WAIONGOZE TLS KAMA RAIS

  • @antidiusalfred4686
    @antidiusalfred4686 2 месяца назад +1

    Tukoi nyuma yako kaka