'HOUSE GIRL' AJICHANGANYA MBELE YA POLISI ADAKWA KWA KUMJERUHI MTOTO WA 'BOSS' WAKE
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Ee Mungu wangu tunaomba ulinzi wako, maishani mwetuuuu
Waliyomteka jamaa yetu akatupwavmtoni awajulikani na wajakamatwa je na mauwaji ya mbagala hiii nchii
Hatuna. Ulinzi ktk dunia hii ni kulia na MUNGU MAANA shetani ndo adui yetu no 1
Ukiona mtu anatetea maiaji ujue naye ni muuaji tu😊
Kazi nzur aadabishwe kdg😂
Kazi nzuri kamanda wetu
Nilijua tu atakamatwa tu maana polisi wakiamua haufiki popote
Wafanyakaz mnawakamata ila waliomteka sativa mmmmh
Waliomteka sativa watapelekwa mahakamani lini?
Acheni kutufany watt wadogo Kama mmemkamata mbona hamumuonesh tumuonee?? Mnafukia mamb meng mpk mnasema taarifa za kutekwq watt ni za huongo ili wananch wasiwe na was was wkt watot wetu wanazd kupotea kila day
Safi kamanda
Watu wahalifu km huyu na wale Wanaowabaka watoto wanaolawiti watoto wauliwe!!!’
Chizi anakuwaga kwa jirani ......😔😔Akiwa ndani kwako sio chizi
Porisi💪🙏
Asante kamanda kwa ushauri wa maana
Mungu atawalipa kwa jitihada zenu
Kwanini nayeye msimkate koromeo ili iwe ngoma droo
Kwa hiyo unataka upanga Kwa upanga?!
NA WEWE ACHA MAMBO YAKO HV BANDARI NA MTOTO KIPI NI BORA?
Hivi ki Swahili kikoje kulinda watoto na watu ambassador wana umri mdogo😮😮😮😮😮
Good
Inawezekana huyo binti kuna kitu nyuma au mtu. Jambo la ajabu kabisa.
Pepo
Mulilo unaonea wanyonge tuu waliouuza bandari zetu mbona hujawakamata
Uko nje ya mada iliyopo mezan
Afungwe miaka Mia mpumbavu huyo
Umeona eeeeh maana hafai katika jamii
Lkn hajauwa miak mia ya Nini atahukumiwa miaka ya kawaida sio yote hiyo
Ninyi akina mama mjaribu kujihoji ikiwa ma house girl wenu mnawatendea nini? sidhani kwamba huyo binti angefanya hilo jambo ikiwa hateseki na kzna ile kauli ya mama wa mtoto kwamba huyo binti alikuwa mhuni tu, hii inaashiria kwamba alikuwa anaishi na bomu analolijua sasa likamlipukia. Mungu amponye mtoto.Wito kwa police tusaidieni kuwagia nguvuni na wanaowateka watu msikae kimya.
Kama alikua anateseka kwa bosi wje angenda kwenye viombo vya dola sio kumumiza mtoto anamakosa gani mtoto mdogo
Shida ni huyo mtu mzima anaemnyanyasa mtoto wa mwenzie sa huyu binti unadhan si mapepp tuu yanamuingia
Afingwe tu
Hapo ukweri utajilikana na mujifunze kuishi vizuri na wafanyakazi wenu
Wewe na ww utakuwaa muhusika huenda ikawa ulimshawishi huyo binti
Kutokuishi vizuri ndo ku sema amchinje mtoto? Yaani una mpasheriya Mungu akusamehe
Kweli kabisa,mabosi baazi wanaatesa wadada,wapewe elim waishi nao vizur
Ndio amchinje mtoto sasa..mfyuuuuu akafie jela uko @@AishaHussein-en3wf
@@NyotaBalolane.Mungu amusame kweli
Mmh