'HOUSE GIRL' AJICHANGANYA MBELE YA POLISI ADAKWA KWA KUMJERUHI MTOTO WA 'BOSS' WAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 41

  • @syliviasimon8415
    @syliviasimon8415 2 месяца назад

    Ee Mungu wangu tunaomba ulinzi wako, maishani mwetuuuu

  • @HassanRashid-s5s
    @HassanRashid-s5s 2 месяца назад +7

    Waliyomteka jamaa yetu akatupwavmtoni awajulikani na wajakamatwa je na mauwaji ya mbagala hiii nchii

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 месяца назад +3

    Hatuna. Ulinzi ktk dunia hii ni kulia na MUNGU MAANA shetani ndo adui yetu no 1

  • @fridagustaphmwenda6658
    @fridagustaphmwenda6658 2 месяца назад +5

    Ukiona mtu anatetea maiaji ujue naye ni muuaji tu😊

  • @MiishHassan-qm1et
    @MiishHassan-qm1et 2 месяца назад +1

    Kazi nzur aadabishwe kdg😂

  • @DottoChobwi
    @DottoChobwi 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri kamanda wetu

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 2 месяца назад +3

    Nilijua tu atakamatwa tu maana polisi wakiamua haufiki popote

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 2 месяца назад +6

    Wafanyakaz mnawakamata ila waliomteka sativa mmmmh

    • @Mjeda-q1m
      @Mjeda-q1m 2 месяца назад

      Waliomteka sativa watapelekwa mahakamani lini?

  • @AloyceEmanueli
    @AloyceEmanueli 2 месяца назад

    Acheni kutufany watt wadogo Kama mmemkamata mbona hamumuonesh tumuonee?? Mnafukia mamb meng mpk mnasema taarifa za kutekwq watt ni za huongo ili wananch wasiwe na was was wkt watot wetu wanazd kupotea kila day

  • @SalimAthuman-xh7ci
    @SalimAthuman-xh7ci 2 месяца назад

    Safi kamanda

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 2 месяца назад +2

    Watu wahalifu km huyu na wale Wanaowabaka watoto wanaolawiti watoto wauliwe!!!’

    • @siamnyone8403
      @siamnyone8403 2 месяца назад

      Chizi anakuwaga kwa jirani ......😔😔Akiwa ndani kwako sio chizi

  • @ElneySheddy-is1dv
    @ElneySheddy-is1dv 2 месяца назад

    Porisi💪🙏

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 2 месяца назад

    Asante kamanda kwa ushauri wa maana

  • @HassinaAlharthi
    @HassinaAlharthi 2 месяца назад

    Mungu atawalipa kwa jitihada zenu

  • @hajially4527
    @hajially4527 2 месяца назад +4

    Kwanini nayeye msimkate koromeo ili iwe ngoma droo

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e 2 месяца назад +2

      Kwa hiyo unataka upanga Kwa upanga?!

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 месяца назад +1

    NA WEWE ACHA MAMBO YAKO HV BANDARI NA MTOTO KIPI NI BORA?

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 2 месяца назад

    Hivi ki Swahili kikoje kulinda watoto na watu ambassador wana umri mdogo😮😮😮😮😮

  • @MarthaMoris-zg2bj
    @MarthaMoris-zg2bj 2 месяца назад

    Good

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 2 месяца назад

    Inawezekana huyo binti kuna kitu nyuma au mtu. Jambo la ajabu kabisa.

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 2 месяца назад

    Mulilo unaonea wanyonge tuu waliouuza bandari zetu mbona hujawakamata

  • @AngelinaMwalongo
    @AngelinaMwalongo 2 месяца назад +2

    Afungwe miaka Mia mpumbavu huyo

    • @fridagustaphmwenda6658
      @fridagustaphmwenda6658 2 месяца назад

      Umeona eeeeh maana hafai katika jamii

    • @MiishHassan-qm1et
      @MiishHassan-qm1et 2 месяца назад

      Lkn hajauwa miak mia ya Nini atahukumiwa miaka ya kawaida sio yote hiyo

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 2 месяца назад

      Ninyi akina mama mjaribu kujihoji ikiwa ma house girl wenu mnawatendea nini? sidhani kwamba huyo binti angefanya hilo jambo ikiwa hateseki na kzna ile kauli ya mama wa mtoto kwamba huyo binti alikuwa mhuni tu, hii inaashiria kwamba alikuwa anaishi na bomu analolijua sasa likamlipukia. Mungu amponye mtoto.Wito kwa police tusaidieni kuwagia nguvuni na wanaowateka watu msikae kimya.

  • @MaryamKhawar-h3j
    @MaryamKhawar-h3j 2 месяца назад

    Kama alikua anateseka kwa bosi wje angenda kwenye viombo vya dola sio kumumiza mtoto anamakosa gani mtoto mdogo

    • @mariafranklyimo6406
      @mariafranklyimo6406 2 месяца назад

      Shida ni huyo mtu mzima anaemnyanyasa mtoto wa mwenzie sa huyu binti unadhan si mapepp tuu yanamuingia

  • @KhadijaSalum-nf5mf
    @KhadijaSalum-nf5mf 2 месяца назад

    Afingwe tu

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 2 месяца назад +2

    Hapo ukweri utajilikana na mujifunze kuishi vizuri na wafanyakazi wenu

    • @fridagustaphmwenda6658
      @fridagustaphmwenda6658 2 месяца назад +2

      Wewe na ww utakuwaa muhusika huenda ikawa ulimshawishi huyo binti

    • @NyotaBalolane.
      @NyotaBalolane. 2 месяца назад +1

      Kutokuishi vizuri ndo ku sema amchinje mtoto? Yaani una mpasheriya Mungu akusamehe

    • @AishaHussein-en3wf
      @AishaHussein-en3wf 2 месяца назад +1

      Kweli kabisa,mabosi baazi wanaatesa wadada,wapewe elim waishi nao vizur

    • @Wendynaturalandfoodproducts
      @Wendynaturalandfoodproducts 2 месяца назад

      Ndio amchinje mtoto sasa..mfyuuuuu akafie jela uko ​@@AishaHussein-en3wf

    • @KwizeLee
      @KwizeLee 2 месяца назад

      @@NyotaBalolane.Mungu amusame kweli

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 2 месяца назад

    Mmh