WAZIRI MKUU AIAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA BWALO LA MIL.774 "YEYOTE ALIYEINGIA TUTAMCHUKUA HUKO HUKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024

Комментарии • 24

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 13 дней назад +2

    Wanyonge tunazidishiwa makodi na matozo kibao na wakubwa wanabugia mihela mungu awachome moto.

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 13 дней назад +1

    Kuna mkubwa alisema kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake, RIP MAGUFULI

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 14 дней назад +2

    Mh Majaliwa ni mtekelezaji.. anaweza kuwachapa viboko

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 13 дней назад +1

    Wafukuzwe wote wahusika hamna jinsi mijizi kwenye Serikali hii imejqa funga wote wataifishwe mali zao

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 13 дней назад +1

    Mkoa tunaviongozi wengi inakuwaje mpaka madawati aje akague Waziri Mkuu!!! Kazi ni uchawa tu kufanya kazi njema ahaaaa nyoko!!!

  • @Gamba81
    @Gamba81 13 дней назад +1

    Kila kitu hapo atasingiziwa marehemu 😢

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 14 дней назад +1

    Wafukuzwe na Wafungwe miaka mia jela maana rushwa hata dini hazitaki

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 14 дней назад +1

    Mkuu uko vizuri

  • @mazikub5272
    @mazikub5272 13 дней назад +1

    Urefu wa kamba

  • @DavidNdaha
    @DavidNdaha 9 дней назад

    Hivi serekali mpaka wamalize Pesa Bado ukaguzi kwanini Jamani!!

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 10 дней назад

    Kwa nini hamuanzi wawe wanarudisha pesa na mnawanyonga

  • @mwakimedia291
    @mwakimedia291 13 дней назад

    Daaa wanazipiga

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 13 дней назад

    Warudishe hiyo hela halafu wafungwe miaka 20 jela.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 13 дней назад

    Dah milioni 774 kwa lipi

  • @radojembe7347
    @radojembe7347 14 дней назад

    Ni huzuni sanaa

  • @muhsinikoki4060
    @muhsinikoki4060 14 дней назад

    nyie hakunalolote wote niwaizi tu nyie hakunalolote

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 13 дней назад

    Kazi za kupeana hizo

    • @YasiniMkakile
      @YasiniMkakile 13 дней назад

      Tanzania ipitishe sheria kwamba kiongozi akiiba achinjwe kichwa ili ufisadi ukome pia atolewe macho.

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e 13 дней назад

    Kwan ww ulikuwa wap? Kpnd pesa hzo znapgwa? Ofs yako haizungukii mrida?

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 13 дней назад

    Kwanza jengo lona onekana lime kosewa japo sio mtaalam wa ujenz mbona lina sura mbaya hivyo

    • @husseinmramba
      @husseinmramba 13 дней назад +1

      Acha kuongea vitu usiojua, haya ni mambo serious

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 13 дней назад

      Mungu ndiye aliyekosea kumuumba akiwa na mdomo wa kuongea. Ajabu Mungu kajificha binadamu hatuwezi kukutana naye kumuhoji kwa nini aliumba mdomo wa fulani kuongea au kutoa maoni kwenye vitu serious. Mwenyewe mamlaka juu ya wenye mwili ni Mungu tu. Vyeo vyetu, utajiri wetu,uzuri wetu. Vyote ubatili chini ya jua. Tungekuwa serious kama vile, huo uzembe usinge tokea.

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 13 дней назад

      @@husseinmramba ila kwa kuwa nchi ni mali yao tuwaache wa endelee kufanya watakavyo