Mungu akubariki Mheshimiwa Makonda kama Mkuu wa Wakuu wa Mikoa Tanzania Vijana wapambanaji tunakukubali Taifa zima. Hizi Sekta ambazo sio rasmi ndiyo zinagusa maisha ya vijana wengi ambao ni wapambanaji. Good job and Big up
Hongera kwa waandalizi na hongera kwa mkuu wa mkoa kwa kuwaunga mkono wachezaji wa mchezo huu, umeonesha kuwajali na hii itaamsha ari ya washiriki na pia kitakuwa kivutio katika mji huu na itaongeza uchumi wa watu wa Arusha
Imekaa poa sana, lakini ningeshauri kwakua nia ni kukuza utalii basi jina la mashindano yangeitwa jina hata la mbuga za wanyama yoyote Tanzania, ili kukuza utalii
Ujinga wa watu weusi mpaka leo tupo utumwani, Yesu hana mpango na sisi watu weusi, vijana wake wa ulaya ndio walitupa hiyo imani baada ya kutuswagwa utumwa. Labda vijana wake wa ulaya ndio anawatetea, we bakia hivyo hivyo
Mungu akulinde Makonda ila wanawake mmeniangusha yaani hata mmoja wa kushiriki kwenye mashindano hapana 50/50 iko wap? Hebu tuache uvivu tunaweza tushiriki❤
Sio kumchukia ila too much is hurmfull yaani inachosha kujipendekeza kumekuwa kero kila kitu Mama ifike wakati ipunguzwe hii style. Hii tabia ilishika hatamu enzi ya Mwendazake ila sasa inachosha kila kitu ni Mama sijawahi kusikia wakisifiwa watanzania kwa ulipaji wa kodi utaskia zimetoka kwa dah
Jiji la Arusha Jiji la Wajanja inafaa kuwa na Mbunge kama Makonda wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 hakikisheni Makonda anakuwa Mbunge wenu. Huyu akiwa Mbunge kisha Mungu akamsaidia akawa Waziri nakuambia hiyo Wizara watumishi watalala na viatu maana kazi itapigwa usiku na mchana.
Kwani kama ni mashindano ya Samia kwanini yako mkoa mmoja hii haiko Sawa kwa mtazamo wangu lakini kama ni Jambo la raisi Rais ni wawote ila haya tuone picha liendelee😢
Hakuna kitu kirahisi kama kuchezea akili za watanzania, ni wepesi wa kudanganywa kwa kupewa vitu vidogo vidogo. Wanaridhika kwa kudanganywa na vitu vidogo wanasahau mtaka cha uvunguni hawaoni mbali hawana upeo kabisa sijui nani kawaroga .Inashangaza kwamba hawaoni wanaperembwa ili wajisahau wawape nafasi wenye kula nyama wao wanaambulia mtori .Yaani wanaonjeshwa bali kula wanakula wengine. Ndio maana kila siku anabuni jambo jipya hapoi yupo kwenye mkakati maalumu wa kucheza na madhaifu yetu.Upinzani mkali upo Arusha kanda ya Kaskazini nimemaliza .
Unazingua haya mashindano yapo kila mwaka sio kwamba makonda ndio ameyaleta makonda ameyaongezea nguvu tu arusha sio mkoa wa kuuteka kirahs hvo vyote anavyofanya makonda vilikuwepo sema tu havikua na sapoti
Wabongo acheni wivu Samia ni rais wenu hata mumchukie kila mbongo utaskia analia na jina kwani si na ww ufanye kaz ili ufikie level ya kutajwa kila sehem tafuta hela ww acha mambo yaso na tija yoyote kwako
@@AliJuma-go4rc Kwani jina lina nini Mafia kaletwa DC mpya miezi 3 tu kuletwa ukaja mwenge pale pale akatayarisha uwanja wa kusheherekea mbio za mwenge na usiku ule ule ukatangazwa ule uwanja wa michezo uitwe Maposongo Alena jina la babu yake si basi na watu wote wapo happy kwani wamepita ma Dc wangapi mbona hawajaitwa hata majina ya barabara za mtaa
Wakuu wa Mikoa wengine nawaomba waige mfano wa Makonda badala ya kukaa ofisini kujilipa posho na kufuga vitambi na matumbo makubwa wangemsaidia Rais Samia kwa kujiongeza na kuwa wabunifu tukawa na kina Makonda wengi nakuambia hili Taifa tungefika mbali.
Mh Makonda God bless you unachachukubwa ya kuwajenga Vijana ndani na nje Ya Arusha Barikiwa kakaangu
Mungu akubariki Mheshimiwa Makonda kama Mkuu wa Wakuu wa Mikoa Tanzania Vijana wapambanaji tunakukubali Taifa zima. Hizi Sekta ambazo sio rasmi ndiyo zinagusa maisha ya vijana wengi ambao ni wapambanaji. Good job and Big up
Ahadi imekuwa kweli namuona yule mtendaji mwenye miwani uliyemwita aje afanyekazi office ya mkuu wa mkoa well done🎉
😂😂😂🫡🫡🫡
Sijamuona hapo ila namkumbuka jamaa yupo smart aisee
Hongera kwa waandalizi na hongera kwa mkuu wa mkoa kwa kuwaunga mkono wachezaji wa mchezo huu, umeonesha kuwajali na hii itaamsha ari ya washiriki na pia kitakuwa kivutio katika mji huu na itaongeza uchumi wa watu wa Arusha
May God give you better health and more strength
Imekaa poa sana, lakini ningeshauri kwakua nia ni kukuza utalii basi jina la mashindano yangeitwa jina hata la mbuga za wanyama yoyote Tanzania, ili kukuza utalii
Yan wabongo kutajwa Samia mutoe makosa cjui mnaumizwa na nn haya jina tu ndo wataliii hawatokuja
Uko na akili sanaaa wwe joh
@@AliJuma-go4rckwani kakosea nini mbona unashida wewe
Maoni mazury sana kaka sema ni mwanzo maybe Races ijayoo watatumia
@@AliJuma-go4rcwewe ndo kichwa mgando mwenzio katoa mawazo mazuri wewe unaleta upuuzi😂😂
makonda wewe sio mtu wa kawaida umeletwa na mungu endelea kupambana mkuu vijana tuko nyuma yako
Yesu Kristo azidi kukutetea na kukulinda daima hongereni sana Wana Arusha kwa kupata jembe kama hilo
🥰🥰🥰👏👏👏
Yesu Ninani yako wewe?Bwana Wamungu au Yeye Ndiye Mungu?😅
@@khadi-z4o kwani mtume ninani yako wewe mbona unakuwa jambazi wakuvamia Imani zawatu 🙃
@@JurbegMtume Nimtume na Mungu Ni Mungu Hakuzaa Wala Hakuzaliwa Na Hana Mfano wowote nakitu chochote ama mtu yoyote Duniyani.Ndomaana Akaitwa MUNGU.
Ujinga wa watu weusi mpaka leo tupo utumwani, Yesu hana mpango na sisi watu weusi, vijana wake wa ulaya ndio walitupa hiyo imani baada ya kutuswagwa utumwa. Labda vijana wake wa ulaya ndio anawatetea, we bakia hivyo hivyo
Mr president makonda respect sana
Ila wana Arusha sikuiz hatupumua kwa burudan tunazopata,ni back to back Alhamdullilah 😊
Mmeperembwa kweli ili mtoe kura 😅
Inabidi uhamie uku kwetu arusha
asante ayo kazi nzuri kaka one day niwe kama ww..🤔
Mh makonda wewe nomaaaaa sanaaa
Mungu akulinde Makonda ila wanawake mmeniangusha yaani hata mmoja wa kushiriki kwenye mashindano hapana 50/50 iko wap? Hebu tuache uvivu tunaweza tushiriki❤
😅😅😅😅😂😂😂😂😂
Mbona ww ujashiriki
We kuweza😂😂😂
😂😂😂
Longer mdogo wangu
Namuona John mdenye
Mambo mengi mnayapatia jina la Rais. Mambo mengi yasiwekwe kwenye siasa bali taifa. Kwakua 100% ni Rais Wa Tanzania, lakini kuna ambao hawampendi.
Sasa kama humpendi rais vyake unavitakia nini?
Yan watu wote mwenye akili ya kufkiria ni ww tu? Acha wivu wa kijinga fanya kaz na ww jina lako liwekwe sehem kama hizo 😂😂😂
Sio kumchukia ila too much is hurmfull yaani inachosha kujipendekeza kumekuwa kero kila kitu Mama ifike wakati ipunguzwe hii style. Hii tabia ilishika hatamu enzi ya Mwendazake ila sasa inachosha kila kitu ni Mama sijawahi kusikia wakisifiwa watanzania kwa ulipaji wa kodi utaskia zimetoka kwa dah
Mh makonda ni mbunifu sana kwa kweli
M/Mungu Akupe UmrinMrefu Makonda
Nimekuja kukuangalia mkuu nikiwa na huzuni mnooo😢
Jiji la Arusha Jiji la Wajanja inafaa kuwa na Mbunge kama Makonda wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 hakikisheni Makonda anakuwa Mbunge wenu. Huyu akiwa Mbunge kisha Mungu akamsaidia akawa Waziri nakuambia hiyo Wizara watumishi watalala na viatu maana kazi itapigwa usiku na mchana.
ati watala na viatu..yaani nimechecka mpka nikaanguka kwa kiti aiii jmni wewe😂🤣
Sio masihara🎉🎉🎉.
Safi sana
Aangalie wahuni wa huko Arusha wasije wakamvamia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ingekuwa vyema mungewapa cheki hiyo cash haitoleta mauwaji mji wenyewe ni wa matukio jamani 😢😢
Hayo ndio maendeleo ya viongozi wa ccm,,kikombe kilicho jaa maji hakiitaji maji mengine
Nchi ya matajiri ..muwape na ndege pia🎉... 😅
Wazo zuri sana ili lengo likuze utalii zaidi kuliko siasa
Makonda oyee
Jina la Samia sijalikubali
hapo imekaa vizuri
Makonda mpaka sasa kuna sehemu watu wanasema ww unastahili ata kuwa rais wa nchi nzima siyo mkoa tu
Makonda unahakili sana
Daaaaa ila Makonda????
Kwani kama ni mashindano ya Samia kwanini yako mkoa mmoja hii haiko Sawa kwa mtazamo wangu lakini kama ni Jambo la raisi Rais ni wawote ila haya tuone picha liendelee😢
👋🙏🙏🙏
Hakuna kitu kirahisi kama kuchezea akili za watanzania, ni wepesi wa kudanganywa kwa kupewa vitu vidogo vidogo. Wanaridhika kwa kudanganywa na vitu vidogo wanasahau mtaka cha uvunguni hawaoni mbali hawana upeo kabisa sijui nani kawaroga .Inashangaza kwamba hawaoni wanaperembwa ili wajisahau wawape nafasi wenye kula nyama wao wanaambulia mtori .Yaani wanaonjeshwa bali kula wanakula wengine. Ndio maana kila siku anabuni jambo jipya hapoi yupo kwenye mkakati maalumu wa kucheza na madhaifu yetu.Upinzani mkali upo Arusha kanda ya Kaskazini nimemaliza .
Unazingua haya mashindano yapo kila mwaka sio kwamba makonda ndio ameyaleta makonda ameyaongezea nguvu tu arusha sio mkoa wa kuuteka kirahs hvo vyote anavyofanya makonda vilikuwepo sema tu havikua na sapoti
Haya mashindano yanafanyika karibia kila mwaka hapa Arusha ila kwa alivyo yaanda muheshimiwa Makonda sasa ndio yamekuwa na mvuto hongera sana Makonda.
Saf sana
Ingeitwa ,, utalii wetu na vipaji vyetu
Wabongo acheni wivu Samia ni rais wenu hata mumchukie kila mbongo utaskia analia na jina kwani si na ww ufanye kaz ili ufikie level ya kutajwa kila sehem tafuta hela ww acha mambo yaso na tija yoyote kwako
@@AliJuma-go4rc
Kwani jina lina nini Mafia kaletwa DC mpya miezi 3 tu kuletwa ukaja mwenge pale pale akatayarisha uwanja wa kusheherekea mbio za mwenge na usiku ule ule ukatangazwa ule uwanja wa michezo uitwe Maposongo Alena jina la babu yake si basi na watu wote wapo happy kwani wamepita ma Dc wangapi mbona hawajaitwa hata majina ya barabara za mtaa
Wewe jamaa ni mbunifu sanaaa mahisi ww ni mkuu wa wakuu wa mikoa yote tanzania
Kwa kwel
Namuona masoud hapo hahahahaha
Chugga km mbele
Spining
Wakuu wa mkoa mjifunze kit
Wakuu wa Mikoa wengine nawaomba waige mfano wa Makonda badala ya kukaa ofisini kujilipa posho na kufuga vitambi na matumbo makubwa wangemsaidia Rais Samia kwa kujiongeza na kuwa wabunifu tukawa na kina Makonda wengi nakuambia hili Taifa tungefika mbali.
Huyu Makonda ni damu yamagufuli tumuombe Mungu haje awe rais watanzania ila acha kumsifia mama
@@titongome3037Yupo kumpigia Mama abaki Madarakani wewe unadhani yupo kwa ajili ya nani ?😅
Myteves😂
Hawa wazungu tungewabagua tu! Tuwakate kwenye mashindano hata kama wameshiriki