Mwanzo Mwisho Mbowe Akifunguka. Maandamano, Mpasuko CHADEMA, Serikali Iache Anasa, Tupo Tayari

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 янв 2024
  • Akiongea leo Januari 13,2024, katika ofisi za CHADEMA zilizopo Mikocheni kwa Warioba, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza maandamano nchi nzima yatakayoanza Januari 24,2023, kupinga miswada ya uchaguzi iliyopelekwa Bungeni ambayo Mbowe ameeleza kuwa maoni yote ya Watanzania hayakuzingatiwa.
    Mbowe pia amejibu hoja za mpasuko ndani ya CHADEMA kwa kueleza kuwa watakilinda chama chao kwa wivu mkubwa huku akisema hakuna mpasuko.
    Pia Mbowe ameitaka serikali ya CCM kuacha kufuja fedha na kuanza kukabiliana na tatizo la kupanda kwa gharama za maisha.

Комментарии • 40

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 6 месяцев назад +4

    Rais wangu nimpendae mrithi wa Mwalimu nyerere hr. Freeman MBOWE 2025 my President 💜

    • @bellahmushi6096
      @bellahmushi6096 6 месяцев назад

      Mbowe ni hazina kubwa ya nchi yetu. Congratulations

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 5 месяцев назад

    Sema Mbowe we ndo Rais wetu hatuwez kuwa nawatu wanaotuongoza wanawanyonya watu wao pole baba etu Mbowe umejitoa mhanga kwajili yetu ssi mungu akutie nguvu

  • @alhajiMbwambo-et2cb
    @alhajiMbwambo-et2cb 6 месяцев назад +1

    Dp would kuja mswaada 😂😂😂😂😂 hahhahah umepigaje apo

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 6 месяцев назад +2

    Wakati ule tunaanzisha mfumo huu wa vyama vingi ninachokijuwa waasisi wa nccr ni ma afsa usalama kutoka dawati la ikulu wakina mabele nyaucho malando na wenzake na chama hiki chadema kilihasisiwa na mwalimu nyerere alimuita mzee mtei msasani na kumshauri aanzishe chadema na maafsa usalama kutoka benki kuu wakaanzisha chadema kazi kwenu wadau

  • @dionizkipanya2355
    @dionizkipanya2355 6 месяцев назад +3

    Tarehe 23 nitakua Daresalam Kufikisha hisia yangu siku ya tarehe 24

  • @user-wz3ne2kc3o
    @user-wz3ne2kc3o 6 месяцев назад +4

    Kumbe mzee haijakubali kuingia mfukoni kwa mama

  • @makenyaelinazi9964
    @makenyaelinazi9964 6 месяцев назад +1

    Tusirud nyuma katiba nijambo kubwa sana na haiwez kupatikana kwa maridhiano chini ya serikali ya ccm

  • @NgambilabalinziBaliguluk-os3ln
    @NgambilabalinziBaliguluk-os3ln 6 месяцев назад +1

    Wa Tanzania Amkeni
    Ni mda Sasa wa kudai haki zetu.

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s 6 месяцев назад +1

    Tz ni nchi ya ajabu na watu wake atujui atuelewi atusikii atueleweki atujifunzi atuna wivu na nchi yetu kwa ayo Kila mtanzania mtafutaji wa liziki atakiwi kwa nchi zilizo tuzunguka Kenya Zambia afrika kusini kwani sisi tumeadhilika na umasikini kiasi tuko kama watumwa mushaara minono kwetu ni zambi tumelizika na kaumasikini ketu tungekuwa chukizo Kila Kona ata aje mkombozi watz awataki sisi ni wabule

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 5 месяцев назад

    Makamanda tuko pamoja hatuwaachi tutakufa wote tukilitetea taifa letu lisipoteze mwelekeo kwanana bila ss au ninyi makamanda nchi hii itauzwa huo ndo ukwer

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 6 месяцев назад +1

    Je ao ma BBM, hivi watumia ubongo au tumbo??? mnapata urais kupitia katiba, ila baada yaku pata urais kiburi na jeuri imebeba mimba ambayo watazaa mtoto karibuni ambae ni machafuko na vita nchini, watu gani ao ma BBM?

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 6 месяцев назад +1

    Kiongozi mahiri sana never seen, wewe mwenyewe viwango vyako ni sawa na wao ma Bwejeje CCM 100.000.000 ndio wewe mwenyewe.... Watu wote wana imani nawe BABA MBOWE!!!!.

  • @KaseMwaliyoyo-mb3wp
    @KaseMwaliyoyo-mb3wp 6 месяцев назад

    Walianza lini kuongoza Kuna nini ikukulu mbona hawataki wenzao waongoze mmetupitishia viongozi hewa hawapo kutuongoza Kama mjumbe wa eneo hayupo wachie wenzenu watuongoze ubabe hautakiwi mungu yupo

  • @possianokigwinya9988
    @possianokigwinya9988 6 месяцев назад

    Waambie maana wamegeuza nchi kuwa genge la watu wachache wakiiendasha kwa anasa ya kufoji hela za walipa kodi maskini wa nchi hii.

  • @johansenerasto5890
    @johansenerasto5890 6 месяцев назад

    ❤❤

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 6 месяцев назад

    Mbona mnataka kujivuruga andamaneni

  • @bellahmushi6096
    @bellahmushi6096 6 месяцев назад

    Tatizo ni kwa watanzania kudhubutu kuandamana. Laiti watakuwa na huo ujasiri

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 6 месяцев назад

    Jaribu uone kilicho mfanya kanga asiote manyoya ya shingo.

  • @kanoa645
    @kanoa645 6 месяцев назад

    Mh....sio MBEYA tena????.....
    Mh....Mbowe mbina sijakuelewa?????

  • @johnrogath1066
    @johnrogath1066 6 месяцев назад

    Huyu jamaa ni zawadi kabisa

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 6 месяцев назад

    Hapo mlivyo wajanja mmeisha andaa makazi na tiketi za kwenda ubelgiji sisi mnatuacha bongo tunanyooka

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 6 месяцев назад

    Mh

  • @user-wo7eh4pp1h
    @user-wo7eh4pp1h 6 месяцев назад

    not fit at all

  • @rahimzuberi2673
    @rahimzuberi2673 6 месяцев назад

    DJ kabadilisha track kutoka dp world kuja muswada wa tume

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 6 месяцев назад

      Kwani uko dunia gani? mswada wa dp world ulishapuuzwa na serikali ya ccm kwa kiburi na ccm imesha Tia saini mkataba wa kubinafsisha Bandari za tanganyika milele

    • @stewartdyamvunye-wz6rn
      @stewartdyamvunye-wz6rn 6 месяцев назад

      Nakuunga mkono 100%. DJ kabadili track toka DP world sasa tunaogelea ktika sintofahamu ya katiba/tume huru. Tulianza au tulikuwa na: tume ya warioba track ikabadilishwa ikaja, maridhiano na mama anaupiga mwingi! Tukasahau ya Warioba. Yakaja ya ufisadi na ripoti ya CAG. Ikatumbukizwa ya DP World. Yakaja ya umma na wanaharakati kupiga kelele hali ngumu ya maisha, unyanyasaji wa wanyonge, yakatumbukizwa ya Makonda kuteuliwa msemaji wa ccm. Na sasa tuna moto huu wa miswaada kulalamikiwa, nachelea kufikiria safari hii DJ atabadilisha track na kutuingizia sakata gani jingine la kutusahaulisha ya katiba na mengi ya nyuma na "maisha" yanaendelea!

  • @makengomshana8458
    @makengomshana8458 6 месяцев назад

    WEWE MBOWE ACHA UCHOCHEZI WAKO NENDA UKA ANDAMANE MKEE WAKO NA WATOTO ZAKO SIO WA TANZANIA

  • @emmanuelmringo5029
    @emmanuelmringo5029 6 месяцев назад

    Wewe mbowe Acha ujinga sisi kama sisi atuwezi fanya upuuzi wa kuandamana wakati January ni ngumu ayo maandamano ya nanipa chakula au italisha family yangu Acha ujinga wewe ni mtu mzima una heshima zako lakini unajishusha dhamani

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 6 месяцев назад

    we mbowe ni mzee kulamba asali wamizangaombe kwanini unaingia kwenye uchaguzi kila msimu kama chaguzi siyo halali

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 6 месяцев назад

    Mnaimba za CCM???

    • @haruntongo6703
      @haruntongo6703 6 месяцев назад

      Mbowe unamatatizo.kichwani.usishawishi.viongozi.wandini

  • @bongo39
    @bongo39 6 месяцев назад

    Tunajua ni vibaraka ndio maana mko kwa lolote ila kama mnawashwa ngizeni matako yenu muone moto wake

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 6 месяцев назад

    Mbowe uongozi wa kidikteta umepitwa na wakati achia jihuzuru tupate na mwanga mwingine

  • @feruzmbaya1967
    @feruzmbaya1967 6 месяцев назад

    Ivi mbowe umelogwa kutukaribisha wanaCcm kwenye maandamano ya ujinga wako yanayotishia usalama wetu duh wewe ni shetani na ibilisi mkubwa shindwa ulegee