Mwanzo Mwisho Mbowe Akifunguka. Maandamano, Mpasuko CHADEMA, Serikali Iache Anasa, Tupo Tayari
HTML-код
- Опубликовано: 12 янв 2024
- Akiongea leo Januari 13,2024, katika ofisi za CHADEMA zilizopo Mikocheni kwa Warioba, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza maandamano nchi nzima yatakayoanza Januari 24,2023, kupinga miswada ya uchaguzi iliyopelekwa Bungeni ambayo Mbowe ameeleza kuwa maoni yote ya Watanzania hayakuzingatiwa.
Mbowe pia amejibu hoja za mpasuko ndani ya CHADEMA kwa kueleza kuwa watakilinda chama chao kwa wivu mkubwa huku akisema hakuna mpasuko.
Pia Mbowe ameitaka serikali ya CCM kuacha kufuja fedha na kuanza kukabiliana na tatizo la kupanda kwa gharama za maisha.
Rais wangu nimpendae mrithi wa Mwalimu nyerere hr. Freeman MBOWE 2025 my President 💜
Mbowe ni hazina kubwa ya nchi yetu. Congratulations
Sema Mbowe we ndo Rais wetu hatuwez kuwa nawatu wanaotuongoza wanawanyonya watu wao pole baba etu Mbowe umejitoa mhanga kwajili yetu ssi mungu akutie nguvu
Dp would kuja mswaada 😂😂😂😂😂 hahhahah umepigaje apo
Wakati ule tunaanzisha mfumo huu wa vyama vingi ninachokijuwa waasisi wa nccr ni ma afsa usalama kutoka dawati la ikulu wakina mabele nyaucho malando na wenzake na chama hiki chadema kilihasisiwa na mwalimu nyerere alimuita mzee mtei msasani na kumshauri aanzishe chadema na maafsa usalama kutoka benki kuu wakaanzisha chadema kazi kwenu wadau
Tarehe 23 nitakua Daresalam Kufikisha hisia yangu siku ya tarehe 24
Kumbe mzee haijakubali kuingia mfukoni kwa mama
Tusirud nyuma katiba nijambo kubwa sana na haiwez kupatikana kwa maridhiano chini ya serikali ya ccm
Wa Tanzania Amkeni
Ni mda Sasa wa kudai haki zetu.
Tz ni nchi ya ajabu na watu wake atujui atuelewi atusikii atueleweki atujifunzi atuna wivu na nchi yetu kwa ayo Kila mtanzania mtafutaji wa liziki atakiwi kwa nchi zilizo tuzunguka Kenya Zambia afrika kusini kwani sisi tumeadhilika na umasikini kiasi tuko kama watumwa mushaara minono kwetu ni zambi tumelizika na kaumasikini ketu tungekuwa chukizo Kila Kona ata aje mkombozi watz awataki sisi ni wabule
Makamanda tuko pamoja hatuwaachi tutakufa wote tukilitetea taifa letu lisipoteze mwelekeo kwanana bila ss au ninyi makamanda nchi hii itauzwa huo ndo ukwer
Je ao ma BBM, hivi watumia ubongo au tumbo??? mnapata urais kupitia katiba, ila baada yaku pata urais kiburi na jeuri imebeba mimba ambayo watazaa mtoto karibuni ambae ni machafuko na vita nchini, watu gani ao ma BBM?
Kiongozi mahiri sana never seen, wewe mwenyewe viwango vyako ni sawa na wao ma Bwejeje CCM 100.000.000 ndio wewe mwenyewe.... Watu wote wana imani nawe BABA MBOWE!!!!.
Walianza lini kuongoza Kuna nini ikukulu mbona hawataki wenzao waongoze mmetupitishia viongozi hewa hawapo kutuongoza Kama mjumbe wa eneo hayupo wachie wenzenu watuongoze ubabe hautakiwi mungu yupo
Waambie maana wamegeuza nchi kuwa genge la watu wachache wakiiendasha kwa anasa ya kufoji hela za walipa kodi maskini wa nchi hii.
❤❤
Mbona mnataka kujivuruga andamaneni
Tatizo ni kwa watanzania kudhubutu kuandamana. Laiti watakuwa na huo ujasiri
Jaribu uone kilicho mfanya kanga asiote manyoya ya shingo.
Mh....sio MBEYA tena????.....
Mh....Mbowe mbina sijakuelewa?????
Huyu jamaa ni zawadi kabisa
Hapo mlivyo wajanja mmeisha andaa makazi na tiketi za kwenda ubelgiji sisi mnatuacha bongo tunanyooka
Acha ujinga wwe usitumie makalio kufikir
Mh
not fit at all
DJ kabadilisha track kutoka dp world kuja muswada wa tume
Kwani uko dunia gani? mswada wa dp world ulishapuuzwa na serikali ya ccm kwa kiburi na ccm imesha Tia saini mkataba wa kubinafsisha Bandari za tanganyika milele
Nakuunga mkono 100%. DJ kabadili track toka DP world sasa tunaogelea ktika sintofahamu ya katiba/tume huru. Tulianza au tulikuwa na: tume ya warioba track ikabadilishwa ikaja, maridhiano na mama anaupiga mwingi! Tukasahau ya Warioba. Yakaja ya ufisadi na ripoti ya CAG. Ikatumbukizwa ya DP World. Yakaja ya umma na wanaharakati kupiga kelele hali ngumu ya maisha, unyanyasaji wa wanyonge, yakatumbukizwa ya Makonda kuteuliwa msemaji wa ccm. Na sasa tuna moto huu wa miswaada kulalamikiwa, nachelea kufikiria safari hii DJ atabadilisha track na kutuingizia sakata gani jingine la kutusahaulisha ya katiba na mengi ya nyuma na "maisha" yanaendelea!
WEWE MBOWE ACHA UCHOCHEZI WAKO NENDA UKA ANDAMANE MKEE WAKO NA WATOTO ZAKO SIO WA TANZANIA
Wewe hutak katiba mpya
Wewe mbowe Acha ujinga sisi kama sisi atuwezi fanya upuuzi wa kuandamana wakati January ni ngumu ayo maandamano ya nanipa chakula au italisha family yangu Acha ujinga wewe ni mtu mzima una heshima zako lakini unajishusha dhamani
we mbowe ni mzee kulamba asali wamizangaombe kwanini unaingia kwenye uchaguzi kila msimu kama chaguzi siyo halali
Mnaimba za CCM???
Mbowe unamatatizo.kichwani.usishawishi.viongozi.wandini
Tunajua ni vibaraka ndio maana mko kwa lolote ila kama mnawashwa ngizeni matako yenu muone moto wake
Tumtangulize mungu kwa kila jambo
Mbowe uongozi wa kidikteta umepitwa na wakati achia jihuzuru tupate na mwanga mwingine
Ivi mbowe umelogwa kutukaribisha wanaCcm kwenye maandamano ya ujinga wako yanayotishia usalama wetu duh wewe ni shetani na ibilisi mkubwa shindwa ulegee