ASKOFU GWAJIMA AWAKA VIKALI BUNGENI AFICHUA UTEKAJI, AMTAJA MAKONDA, "LINAICHAFUA SERIKALI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 53

  • @NixonGerson
    @NixonGerson 8 месяцев назад +1

    Mama Samia hafanyi kazi nzuri cos hateui watendakazi wazuri .. IGP anasikia watu wamepotea na yupo ...sijui kama ingekuwa ni mumewe au mkewe au mtoto wake

  • @bonyemany4260
    @bonyemany4260 8 месяцев назад +1

    Safi sana mheshimiwa gwajima

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 8 месяцев назад +3

    Asante Mbunge wetu... mto nyakasanga ni shida.... tulikuwa tunavuka na miguu... sasa ni hatari.... wachimba mchanga wanatumalizia ardhi kwa kuutanua kina cha mto. Yaani watu wale hawaekewi sasa mjini kweli ni mahali pa kuchimba mchanga?

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 8 месяцев назад +2

    Gwajima❤️❤️❤️💪💪

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Месяц назад +1

    Huruma nawaonea watekaji mana kutubia huwa ni ngumu saana na Mungu huwachukua ktk mazingira bado wako kazini, kizazi chao huwa kinalaana hadi wajukuu wanabeba dhambi ila kama wanao tekwa wanahatarisha usalama hilo suala lingine Kuongoza Nchi kunataka utulivu sio makelele na miruzi

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 8 месяцев назад +2

    Inalilah wainailaih hakika Dunia tunapita2 Gwajima uko kwenye usawa wa wengi tunavyo tegemea jamani ss tusionjua hata ok
    Tunategemea watu kama huyu wa kuigwa🙏🏼

  • @SophiaNjamasi
    @SophiaNjamasi 8 месяцев назад +2

    Hapo umefafanua vizur askofu gwajima tumekuelewa sana

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 8 месяцев назад

    Pole sana Askofu kwa hayo maafa jimboni kwako.Kuhusu wataalamu wa mazingira kwa kifupi hawapo,bali tuna watu ambao wamekariri theory na pia kutoielewa vizuri na ndiyo maana wanashindwa kuchangamsha bongo kwenye issues kama hizi.
    Na hao wahandisi wahusika sijui hata kama wana ufahamu kuhusu hesabu zinazohusisha flood and soil erosion.
    Dawa ni kuwawajibisha wahusika wote kwa kufidia hizo damages kwa sababu wanapokea mshahara bila kuufanyia kihalali.

  • @pastormoseschami7208
    @pastormoseschami7208 8 месяцев назад +3

    Niliwahi kusema Gwajima ni kiongozi wa kuigwa, Naomba wapatikane watu kama Hawa 10 Tanzania

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 8 месяцев назад +2

    Makonda oyeeeeee 🎉🎉🎉🎉🎉

    • @MakuoeJafary
      @MakuoeJafary 8 месяцев назад

      Makonda ni Zaid ya wabunge kanifanya nijue kumbe chama ni kikubwa kuliko viongozi Napo sijui walikuwa hawajui

    • @Werema3760
      @Werema3760 8 месяцев назад +1

      Fikra za kimaskin

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 8 месяцев назад

      @@Werema3760 Mtaumia sana lkn makonda anawatoa jasho. Makonda atabaki kuwa makonda tu

    • @AyubuSimpasa-e9q
      @AyubuSimpasa-e9q 8 месяцев назад

      😂😂😂😂 mngemjua makonda nyie ngoja uchaguzi upite mtaonana ccm huyo atacho wafanyia ndo Tena hoo tumeumia kwa mwaka mmoja mnasahau miaka mi nne mmh

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 8 месяцев назад

      @@AyubuSimpasa-e9q Huo wivu wako makonda wanapiga kazi toka akiwa mkuu wa wilaya akateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa dar alifanya kazi vizur sana akiwa na hayati Magufuli

  • @Kilagulaoscar-g2p
    @Kilagulaoscar-g2p 8 месяцев назад +1

  • @robertbk3508
    @robertbk3508 8 месяцев назад +2

    Kwa kweli kwa mambo yote haya,Gwajima ni mbunge wa kuigwa kweli kweli.

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 8 месяцев назад +2

    Mwandishi NYOKO KABISAA

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 8 месяцев назад +3

    Leo.bashite.unamwita.mueshimiwa.ccm.acheni.usanii

  • @MariamSindano-os7ce
    @MariamSindano-os7ce 8 месяцев назад +1

    Gwajima ni Mbunge wa kuigwa

  • @QueenethNcube
    @QueenethNcube 8 месяцев назад

    Makondo ni mkweli sana

  • @JeradiMaulidi
    @JeradiMaulidi 8 месяцев назад

    Makonda anaonyesha uhalisia went siyokutatua

  • @WinnieMwanjati-pc2hb
    @WinnieMwanjati-pc2hb 7 месяцев назад

    Wabunge wenyewe wamechaguliwa kwa Isani ya rais uñategemea kuwa wanaweza kuwajali wananchi.

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 8 месяцев назад +1

    Askofu gwajima hao wabunge wote kama kutakutakuwa na uchaguzi wa haki basi hawarudi bungeni....😂

  • @IilianKimwani
    @IilianKimwani 8 месяцев назад +1

    Mbunge huyu anaogea nondo Kali tu Kila kukicha anafaa sana kuwa na uongozi zaidi ya ubunge

    • @Werema3760
      @Werema3760 8 месяцев назад +1

      Utamwelewa ni nani mbele

  • @chachacharles7763
    @chachacharles7763 8 месяцев назад +1

    Kaongea vizuri kuhusu mito, ila kusema makonda anachokifanya eti ni kibaya , hapo gwajima umekosea. Kwani hao wanaoeleza Kwa makonda si ukweli na kwamba serikali Ione na ifanyie kazi.
    Kwani anweza kuzani kuwa mambo Yako sawa kumbe hayako sawa.
    Muache makonda apige kazi CCM OYEEE

    • @onelovetz7935
      @onelovetz7935 8 месяцев назад

      Makonda huko vizuri yeye aendelee kuwa funua kwasasa wako uchi aendelee kuwafunua kwa Sasa wako uchi siwalimusaliti JPM aendelee kuwafunua Hadi wajitambue

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 8 месяцев назад

      Sikiliza vizuri Wala hajasema kuwa Makonda kafanya kitu kibaya

    • @williammbuzimai5744
      @williammbuzimai5744 8 месяцев назад

      Wewe ni chachacha kweli😣😣😣

  • @jumasaleiman
    @jumasaleiman 8 месяцев назад +2

    Safii ngwajima wewe ni mtazania usioo na ubaguzii

  • @AD-qi3wb
    @AD-qi3wb 7 месяцев назад

    Bashite lol

  • @GodwineMuchunguzi
    @GodwineMuchunguzi 8 месяцев назад

    Gwajima acha uongo wajumbe wamitaa wanakudanganyaa

  • @GamanielKatani-nw8ll
    @GamanielKatani-nw8ll 8 месяцев назад

    Jamani mvua sio kwetu dunia nzima kwa sasa miundumbinu kwa baadhi nyngine ndio sababu shida moja sísi watanzania huu tupenda kulaumu kwa mbangilio nadhani kujitolea sio dhambi na kutenda basi watu wenye hela wanatakiwa wawe wanakarabati sio mbaka serikali mbona inawekana

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 8 месяцев назад

    Makonda hajaichafua serikali anasikiliza mallalamiko na anatatua matatizo ya wananchi

  • @immaculataroeser9094
    @immaculataroeser9094 5 месяцев назад

    Hivi wewe Gwajima askofu wanamna gani una roho kama ya shetani unamchukia mwanadamu mwenzio hivyo?Halafu unajidai unafufua wafu, shame on you.

  • @erastomapunda1444
    @erastomapunda1444 8 месяцев назад

    Huyu mbunge yuko na akili sana ila shida ipo chama anacho kiwakilisha

  • @TrustElbashil
    @TrustElbashil 8 месяцев назад

    Watu kutokujua sababu watu niwasahaulifu swali makonda wakati ni mkuu wa mkoa wa dar watu wlipotea walitekwa waliuwawa walitupwa baharini je alitoa kauli gani?watu watoe majibu alafu tulinganishe na majibu anayotoa Kila kukicha

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 8 месяцев назад

    Unataka anyamanze huo ndio uhalisia wa Tanzania amewafunua mko uchi kuvaa hamuwezi hoja siyo hiyo hoja yamusingi wanachukuliwa hatua hao wanaofanya hayo mmemusaliti JPM acha awafunue

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 8 месяцев назад

    Kama wanainchi wanajielewa hao wabunge si wakurudi tena bungeni kabisa

  • @FedyKafyulilo-iz2nw
    @FedyKafyulilo-iz2nw 8 месяцев назад

    Mwandishi,anashida kwani makonda kafanya nn mbwa ww mwandishi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 8 месяцев назад

    Wanadaresalaam wamekufa, wamekosa makazi na kupoteza kila kitu na hawakupokea msaad wo wote. Chalamila alisema serikali hatafanya cho chote. Watu wajisaidue wenewe

  • @RobertKajege
    @RobertKajege 8 месяцев назад +2

    Yaani tokea mwenezi ameingia madarakani idadi ya kuteka na watu kuuawa na kupotea imeongezeka kwa kasi kubwa sana , pengine Rais amemrudisha mwenezi ili kazi ya utekaji na utesaji iendelee

    • @meshack3266
      @meshack3266 8 месяцев назад +1

      Elew kinacho ongelew k ya mbwa wewe Makonda anasaidia kuyajua Madudu afu unacoment umbwea

    • @muhammadalibhaz1390
      @muhammadalibhaz1390 8 месяцев назад +1

      nemc badala ya kukagua njia za maji ili ziwe wazi badala yake wanawaonea wenye viwanda kwa kuwasumbua na kutonza faini

    • @ALEXANDERELIKADO
      @ALEXANDERELIKADO 8 месяцев назад

      Dog square

  • @MakuoeJafary
    @MakuoeJafary 8 месяцев назад

    Wabunge nyinyi umeme mbona umuuweki uwo uzalula au sio swala la wananchi

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka 8 месяцев назад

    Umeme hoyeee siku tatu haupo kidumu chama Cha mapindizi

  • @Kadebecomedy
    @Kadebecomedy 8 месяцев назад

    Huyu gwajima atakuwa anatatizo

  • @PaulTajiri-i6b
    @PaulTajiri-i6b 8 месяцев назад

    Mimi inashagaa kabisa viongozi ccm ananyamasa na wao anajua kuogoza icnhi na magufuli amefugua watanzania macho na amekubali kufa juu wetu Sasa nyie viongozi unatusaliti na sisi tunaagalia nyie

  • @tansomabula9621
    @tansomabula9621 8 месяцев назад

    L

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 8 месяцев назад

    Mshenzi mkubwa wewe unayemsema Rais wetu na mdogo wetu makonda kwenda huko mshenzi mkubwa wewe tunampenda samia na makonda namajaliwa na kwajima pigeni kazi mungu atawabariki