TAZAMA MJENGO MPYA WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA/HAIJAWAHI KUTOKEA..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 34

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 7 месяцев назад +5

    Nimefurahi sana kuona hatua hii. Itawasaidia sana kuepuka pesa za kupanga majengo na kuwasaidia katika kukutana. Kongore sana.

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 7 месяцев назад +4

    Katiba mpya ni sasa watanzania wezangu tungane Kwa pamoja tudai katiba mpya

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 7 месяцев назад +4

    Tupo pamoja kwa ili

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 7 месяцев назад +4

    Tupo tayari hawa ccm tumewachoka wanawalea watu kama Gekul waingiza chupa watoto wa watu

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 7 месяцев назад +2

    Ipo siku ccm wataukimbia hii nchi maana maadui wanaongezeka wao wanaona hamna shida

  • @Pastorsteverotali
    @Pastorsteverotali 7 месяцев назад +3

    TANZANIA TULITAKIWA TUISHI KAMA TUPO MBINGUNI KWA LASILIMALI MUNGU ALIZO WAUMBIA WATANZANIA, BAADA YAKE WANAWAPA WAGENI WAO WANABAKI WANATESEKA MITAANI. WAJIFUNZE KWA NCHI ZA ULAYA NA AMERICA WANAFAIDI MALI ZETUU.

  • @kingj9606
    @kingj9606 7 месяцев назад +2

    Kuandamana ni haki ya wananchi popote pale duniani. Hilo halipingiki. Maandamano lazima.

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 7 месяцев назад

      Je maaandamano huleta katiba mpya???

  • @Pastorsteverotali
    @Pastorsteverotali 7 месяцев назад +2

    MBONA NORWAY KIJANA AKIFIKA MIAKA 18 ANAPEWA NYUMBA NA PESA ZA KUENDESHA MAISHA YAKE, PESA WANATOA WAPI? WANA VYANZO VIWILI TU, GAS NA SAMAKI, TANZANIA TUNAVYONZO VINGAPI? BINTI AKIZAA ANAPEWA HELA PAMOJA NA MTOTO WAKE KWA NINI TANZANIA?

    • @janeshija6638
      @janeshija6638 7 месяцев назад

      TATIZO WATANZANIA NI WABNAFSI HASA VIONGOZI WETU WAMEJIKITA ZAIDI KWA KUJILIMBIKIZIA MALI. WIZI UMEZIDI KWA VIONGOZI WA NCHI. TUAMKE JAMANI NCHI INAUZWA HII HASA BARA.

  • @mbwanaabdallahbwadalizo8779
    @mbwanaabdallahbwadalizo8779 7 месяцев назад +2

    Tumekusikia kiongozi

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r 7 месяцев назад +3

    Maandamano ni lazima,hawa ccm wanatuona mazezeta sana

  • @ofreyking5975
    @ofreyking5975 7 месяцев назад +1

    Haya ndio walisema hamna ofisi saiv cjui watasema nn tena

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 7 месяцев назад +2

    KATIBA MPYA..
    NI SASA.

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 26 дней назад

    Hii ofisi iko wapi kinondoni mmehama

  • @This-f1k
    @This-f1k 7 месяцев назад +1

    Viva chadema

  • @charlesmlacha5465
    @charlesmlacha5465 7 месяцев назад +1

    MPUMBAVU TU NDIO ATAPINGA HAYA MAANDAMANO CCM WAMEONA HILI NI SHAMBA LA BIBI KILA MTU AJICHUMIE ANAVYOTAKA

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 7 месяцев назад +1

    CCM atuwataki

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 7 месяцев назад +1

    Saiz tupo tyr

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 7 месяцев назад

    Kwa hiyo hii ndio makao makuu zaidi ya pale ufipa kinondoni

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 4 месяца назад

    Leo mnamkumbuka baba wa taifa, wakati wote huu mmekuwa mkimbeza na wengine akina Lissu wakisema hakuwa hata kujenga uwanja wa ndege wa Dar es Salaam, ati ulijengwa na wafaransa, na kusahau bila ya ridhia yake hayo yasingetendeka. Let us be honest, mna njaa tu hakuna sera yoyote ile ya kulisaidia taifa letu, you all are like hyaenas waiting for the meat. Kongore kwa jengo lenu la chama.

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk 3 месяца назад

      Ebu siku moja chukuwa kioo halafu angalia hayo makalio yako ndipo utagundua akili yako ipo Kama hayo makalio yako Kila wakati yanatk harufu ya mavi!

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j 7 месяцев назад

    Mbowe anaburuzwa lissu, ww ukikuwa na msimamo na maridhiano, lissu hakuyapenda kabisa kilichobaki ujiuzulu uwe mwanachama tu, huna msimamo..

  • @makengomshana8458
    @makengomshana8458 7 месяцев назад

    MKWARA WAKO HAUJENGI MTAKIMBIA UBELIGIJI NA ITALY. ACHA UTAPELI

    • @user-nn6zq1ok7i
      @user-nn6zq1ok7i 7 месяцев назад +1

      Mkwara maana yake nn wewe UNAONA RASLIMALI na NCHI inateketea ni sawa? Kama unapata faida za kifisadi ungamkono kama haupati kachekiwe hspt

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 7 месяцев назад

      We zombi ndomana ulikubali kuchanjwa mi sikushangai ccm imetufanya tuwe watumwa baada ya wakoloni

  • @makengomshana8458
    @makengomshana8458 7 месяцев назад +1

    IVI WEWE MBOWE NANI ASIYO KUJUWA KWA PROPAGANDA ZA UONGO WEWE MWENYEWE NI MLAFI MBAGUZI NA MDINI

    • @kiatu
      @kiatu 7 месяцев назад

      Haihalarishi kupuuzia mapendekezo ya wadau wachange - swala sio mbowe. Wake up.

    • @ceciliamagalabajimmy4391
      @ceciliamagalabajimmy4391 7 месяцев назад +1

      Wewe sema umelemewa, Mbowe kafanya nini, na wewe umefanya nini!!

    • @sophiemsuya6507
      @sophiemsuya6507 7 месяцев назад +1

      Wewe bado uko gizani tororo

    • @juliuskitaluka1206
      @juliuskitaluka1206 7 месяцев назад

      Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

    • @user-nn6zq1ok7i
      @user-nn6zq1ok7i 7 месяцев назад

      Amina siku inakuja watanyokka

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 7 месяцев назад +1

    CCM atuwataki