WAKULIMA KATA ZA MTWANGO NA KICHIWA WALIOFYEKEWA MAHINDI WANENA MAZITO WATUMA SALAMU KAWA MH RAIS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 мар 2023
  • SIKU CHACHE BAADA YA MAMALAKA YA MAJI MJI WA MAKAMBAKO MAKUWASA KUFYEKA MAHINDI YA WAKULIMA KATIKA BONDE LA MTO FUKULWA KWENYE KATA ZA MTWANGO NA KICHIWA WILAYANI NJOMBE ZAIDI YA EKARI 15 VIONGOZI WA SERIKALI ZA VIJIJI NA KATA KWA KUSHIRIKIANA NA WANANCHI WAMEIOMBA SERIKALI KUINGILIA KATI JAMBO HILO ILI KUEPUSHA HASARA AMBAZO WAKULIMA HAO WANAPATA KATIKA MISIMU WA KILIMO.
    TARIFA ZAIDI NA PROSPER MFUGALE NJOMBE MTWANGO
    WAKULIMA HAO WAKIZUNGUMZA NA ITV WAMESEMA MAHINDI HAYO YALIYOFYEKWA YALIPANDWA NA KUKUZIWA MBOLEA ZA RUZUKU ZILIZOTOLEWA NA SERIKALI NA KUWA WAKO HATARINI KUKUMBWA BAA LA NJAA.
    Cue in wakulima
    DIWANI VITI MAALUMU KATA YA MTWANGO ROIDA WANDELAGE AKIZUNGUMZA KWENYE MKUTANO WA HADHARA NA WAKULIMA HAO AMESEMA
    Cue inroida wandelage ndiwan viti maalumu kata ya Mtwango na Edwin swale mbunge jimbo la lupembe
    MKURUGENZI WA MAMLAKA YA MAJI MJI MDOGO WA MAKAMBAKO MAKUWASA MHANDISI ALFONCE LUFYAGILE AMEZUNGUMZIA SAKATA HILO KWA NJIA YA KWA KUWA ALIKUWA NJE YA OFISI KIKAZI.
    Cue in sauti ya alphonce lufyagile mkurugenzi MAKUWASA

Комментарии • 17

  • @kostamhogofela6335
    @kostamhogofela6335 Год назад

    Njombe TV mbarikiwe sanaa kumbe tulichelewa sanaa nimeona umuhimu wa habari za Mkoa wetu

  • @khalifanoti6974
    @khalifanoti6974 4 месяца назад

    Mzee umeongea vizuri sana na inawezekana huyo meneja wa maji ni mpinzani.haitskii mema serikali yetu

  • @denisnyamle2690
    @denisnyamle2690 Год назад

    Hovyosana

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Год назад

    Ndo wafekewe chakulaaa?????

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Год назад

    Unafyekaje chakula

  • @eliahkayombo7029
    @eliahkayombo7029 Год назад

    manager awalipe fidia wakulima

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 5 месяцев назад

    Kukata mahindi ya Mtanzania mmoja huyo meneja ni sawa na kutuambia Watanzania kufeni

  • @husenihamza7591
    @husenihamza7591 Год назад

    Mmmh mpaka kufyeka mimea kwa yeyote aliyewahi kulima ni uuajii bila kupepesa maneno mahindi ni temporary sio mazao ya kudumu asamehewejeee kwa hilii ufyeke mazaooo duuu

  • @georgemngongo6555
    @georgemngongo6555 3 месяца назад

    Wenda. Kichaa. Kimemkuta.

  • @zabronnyamba5939
    @zabronnyamba5939 Год назад

    Haowario husika wamatwe kabisa

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Год назад

    Viongozi wapuuzi namna hii wangepata demotion ill iwe fundisho

  • @nardhismhagama6266
    @nardhismhagama6266 Год назад

    Komesha hao wanna ccm inakula kwao

  • @user-je8bh5ez9v
    @user-je8bh5ez9v Год назад

    Serikali wapo sahihi,lakini walikuwa wapi wakati hao wakulima wakiandaa hayo mashamba,kwanini hiyo hasara isibebwe nawatumishi wa halimashauri toka kwenye mishahara ya watumishi wa halimashauri walioshindwa kuzuia hilo wanaoona ni tatizo leo?

  • @eliahkayombo7029
    @eliahkayombo7029 Год назад

    Huyo manager wa maji makambako hana utu na amelelewa tamilia ya kitajiri yaani ni wakishua

  • @faithkinyaga2032
    @faithkinyaga2032 Год назад

    Jaman kuna sheria lazima kuwe na utu, mtoto wa mkulima huwa naumia sana haya nikiyaona,unafyeka mahindi kweli utapata unachokitaka baba

  • @aklinndelwa1832
    @aklinndelwa1832 Год назад

    Hao watu walilipwa fidia kuzuiwa kulima? Kwa sababu kama eneo si oevu mradi umekuja umewakuta inakuwaje wazuiwe bila fidia?

  • @khalifanoti6974
    @khalifanoti6974 4 месяца назад

    Mahindi yanapandwa yeye yuko anayaona nahawakukatazwa.