WAFANYABIASHARA SOKO KUU NJOMBE WAFUNGIWA MADUKA, BILA UWOGA WAFUNGUKA MAZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 152

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Год назад +12

    Mungu amlaze mahali pema peponi SHUJAA wetu JPM 💔😭😭poleni sana wafanya biashara 😢😢

  • @tithomhagama
    @tithomhagama Год назад +24

    Dah Nchi yetu kila mtu anajiamulia chakufanya #Magu alisema tutamkumbuka

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Shida kweli kweli nchi hii kweli tutamkumbuka

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Год назад +1

      ndio nilijiuliza hii nchi ina viongozi wa aina gani? yaani migogoro kila secta ya taifa

    • @hawasaid7151
      @hawasaid7151 Год назад

      Na kweli tunamkumbuka, changamoto kama hizi angeshatatua kwa haraka sana😢😢

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Год назад +14

    RIP JPM mtetezi wa wanyonge.😭😭.

  • @cypriankikoti9160
    @cypriankikoti9160 Год назад +12

    Yaani hii nchi ukiwa mzima unamshukuru tuu Mungu ila kuhusu viongozi toka JPM ameondoka mambo yamerudi yaleyale . R. I. P JPM

  • @mauldabdalah2168
    @mauldabdalah2168 Год назад +10

    Ndiomaana mimi sipendi kufanya biashara kwenye vyumba vya halmashauri

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Год назад +7

    Sasa polisi wanatafuta majambazi kumbe wengine wako huku wanaenda mchana kweupe kwa wafanyabiashara.

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 Год назад +8

    halimashauli ni shida nchi nzima

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Год назад +7

    Ni kweli hizi risiti hufutika jmnii

  • @pineapplemelodymaster
    @pineapplemelodymaster Год назад +7

    Sijui tu inchi yetu inaongozwaje kila kiongozi anataka kuibia watu daaah

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Год назад +10

    Daah nchi yetu mashaka sana 😊

  • @athumanhassani805
    @athumanhassani805 Год назад +7

    Hii nchi nikubadisha chama tawala hawa waliopo hakuna

  • @laurianopius2411
    @laurianopius2411 Год назад +11

    Biashara skuiz changmoto, serikali mliangalie hilo kwnye issue za kodi maan ukiona watu wazma wanalia ujue Kuna jambo

  • @joshuamwanilwa4157
    @joshuamwanilwa4157 Год назад +7

    Mama anaupiga mwingi

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Год назад

      kwa hivi , anaupiga mwingi sana 😂😂😂

    • @meryerick6053
      @meryerick6053 Год назад +1

      Hamna jipya nchi imewashinda Kwanza huyo anayeupiga mwingi wote wapigwe chini mpk chama Chao

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle6613 Год назад +3

    Wamezira baada ya swala la kariakoo,wanaendesha mambo kwa hasira sio kwa nidhamu na maadili ya kazi,Sasa wakifunga ndio wanapata hayo mapato?pumbavu kabisa,RIP JPM

  • @samwelclement8108
    @samwelclement8108 Год назад +4

    Dawa ni katiba mpya hapo tutaheshimiana

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Год назад +2

    Hii inchiii inako elekea kubayaaa juz kariakoo Leo njombeee

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 Год назад +1

    Poleni sana wafanya biashara,cha muhimu andikeni barua ya malalamiko na mpeleke ngazi za juu Tamisemi na nakala kwa Waziri Mkuu ili mpate suluhisho la kudumu.

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Год назад +7

    Tatizo hizi kazi wanapeana wtt waviongozi,elimu yenyewe hawana kazi za kupewa mtt wa furani

  • @Dulayoawazi-zj8wr
    @Dulayoawazi-zj8wr Год назад

    Tazania yaovyo daaa ahoo wasenge wafukuzwe

  • @anicethpeter3100
    @anicethpeter3100 Год назад +2

    Magufuli ..alisema iposiku tutamkumbuka haya apa sasa😢

  • @dogotwaanails_mafunzo
    @dogotwaanails_mafunzo Год назад +8

    Samia mama waangalie wafanya biashara wako

  • @komandowainjiliyayesu
    @komandowainjiliyayesu Год назад +3

    Niwezi sana

  • @patrickkasonso3513
    @patrickkasonso3513 Год назад +3

    Ndo walewale wa Kariakoo..wachukulieni hatua wakajibu hayo..

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Год назад +2

    AMKENI AMKENI WATANZANIA, VINGINENYO MTAWAFANYIA KAZI AKINA MWIGULU NCHEMBA NA SERIKALI YAO

    • @cleophacephelician6739
      @cleophacephelician6739 Год назад

      Hapa Mwigulu hausiki, hii ni halmashauri anahusika Mkurugenzi na Afisa biashara wake!

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Год назад +3

    Sasa MAGUFULI umeondoka umetuachia shetani ulisema tutakukumbuka kweli

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +1

    Mungu awasaidie

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle6613 Год назад +3

    RIP JPM

  • @samirymwita7162
    @samirymwita7162 Год назад

    Ahaaaa mwiguluuuuuuuuuuu

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Год назад +10

    Mta mkumbuka magufuli 😢😢

    • @onesmoelias2285
      @onesmoelias2285 Год назад

      @Mohamed Elmi we mhamed kama hfanyi biashara muwe mnaKAA KIMYA BIASHAR ngm sanA sik izi

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 Год назад +1

      @Mohamed Elmi nyie mna lipwa muwe mna msifia huyo

    • @johnmichaellukindo21
      @johnmichaellukindo21 Год назад

      Tutakukumbuka shujaa jpm!

  • @frankkidenya
    @frankkidenya Год назад

    Halimashauri ya njombe ni wahujumu uchumi haiwezekani ndani ya harmashauri Kuna wasomi alafu na hili limeshindikana du atar sana

  • @yasiniselemani3917
    @yasiniselemani3917 Год назад

    Tunahitaji tukae chini na serikali tumalize hizi tofauti watuambia kama sisi hatutakiwi kuishi hapa TZ tutafute inchi yakwenda wabaki wao waajiriwa tu maana wanyonge tunateseka

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Год назад +3

    Tunako elekea kubayaaa sana hii inchi Kila mtu saiz anafanya anacho jisikia

  • @hassanihussein4479
    @hassanihussein4479 Год назад

    Endeleeni kuiweka ccm madarakani

  • @Yohanalumisha
    @Yohanalumisha Год назад

    Iv imagine wee nod baba wa familia utakubali familia Yako iwe na mambo ya ajabu jibu ni hapana tatizo ni uongozi wa juu kuanzia kwa raisi kero hizi mpaka lini tusisifie sifie tu ati mama anaupigwa mwingi anaupiga mwingi wapi familia yake watoto wake wanalialia kila kukicha kweli tutafika hapana

  • @mghuna
    @mghuna Год назад +3

    Nchi kila kukicha mambo ya ajabu

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Год назад +5

    TUNAIBIWA SANA WANANCHI SERIKALI WAJINUFAISHA WAO TU

  • @sakinamixpambe2602
    @sakinamixpambe2602 Год назад

    Poleni sana wafanyabiasha madudu yapo mengi sana Tz

  • @thomasmunis9814
    @thomasmunis9814 Год назад +1

    Daa ukifkiria hii nchi unatamani uende burundi kama alivyo waziri

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Год назад +3

    Hawezi kuwasaidia huyo mama, hana mda wa kuwasaidia, kazi yake ni safari na mikopo.

  • @Yohanalumisha
    @Yohanalumisha Год назад

    Iv imagine unamfungia mtu duka lake kisa hajalipa kodi asa ukifunga atapata wapi pesa ya kulipa pango ivi nchi hii tuna wataalamu wenye akili timamu kweli na uongozi unaanzia juu kama uongozi wa juu haujali matokeo yake ndo haya leo kariakoo leo njombe kesho sijui wapi haki ya nani nchi imejaa wahuni an washenzi sana inauma mana in upumbavu huu

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Год назад

    Mmmh hayo ni maumivu hao ni matapeli na huo ni wizi

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Год назад +2

    Poleni sana. JPM TUTAENDELEA KUKUKUMBUKA DAIMA

  • @chankamba
    @chankamba Год назад +2

    Nchi imekuwa ngumu sana. Magufuri tutamkumbuka ssana

  • @musso238
    @musso238 Год назад

    Safi watu wametoa changamoto zao na ushauri wao 🤙🏾

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 Год назад +3

    Mama chukua hatua baadhi ya watendaji wanakuangusha, wapiga kura wako wanaonewa

  • @barakaadson6627
    @barakaadson6627 Год назад +2

    Magufuri alisema tutamkumbuka Sasa tutamkumbuka kwa machozi!!!

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Год назад +1

    Kumekucha kumekucha kumekucha
    Mmmmhhh Sielewi yaaani
    Tz yangu ina Nini sijui daahhh

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Год назад +1

    Nchi inaongozwa na shetani

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Год назад +2

    Mkiambiwa MUNGU alikataa mwanamke asiongoze hamuelewi

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 Год назад

    Huko kuna Mtaka Anthony, msihofu ukweli utajulikana na wahusika watabainika na hatua watachukuliwa.

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Год назад

    Hapo mkuu wa mkoa atawasaidia tu

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 Год назад +1

    Huyu mama nchi aiiangalie vzuri shauri akee

  • @samwelclement8108
    @samwelclement8108 Год назад +4

    Katiba mpya ni muhim tupambane

    • @birianination7097
      @birianination7097 Год назад

      Sasa hapo katiba mpya inasaidia nini

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Год назад

      katiba ikisha andikwa kitabuni ndio itaondoa haya , kani katiba ya sasa inaruhusu , 😂😂😂labda yaje yazidi

  • @allykadege4733
    @allykadege4733 Год назад

    Aliyejenga amekwenda wawo hawajui umuhimu wawanyonge

  • @YusraMadodo-sl5oh
    @YusraMadodo-sl5oh Год назад

    Hivi nchi Mungu ndiyo anaiogoza na waziri mkuu Kassim majaliwa tutateseka san

  • @sikujuahamisi7252
    @sikujuahamisi7252 Год назад

    Mama samia piga kazi

  • @luciasiwingwa3866
    @luciasiwingwa3866 Год назад

    Hiyo fungafunga ipo hata soko la sido mbeya ,tena wanatumia nguvu sanaaa, hii nchi kila mtu anamabavu kwenye kitengo chake ,shida ni Sheria za nchii kila mtu zimempa ubabe

  • @sempaysensey6486
    @sempaysensey6486 Год назад

    Mama Samia
    Mama Samia
    Mama samia
    Wewe ndio Raisi wa nchi yetu
    Sasa pls huu ni muda wako
    Wakutatua haya hii nikero kwa maendeleo ya raia wako na taifa kwa ujumla simamia hili Mama

  • @majigedioniz8049
    @majigedioniz8049 Год назад +1

    Npeni mauwa yangu

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle6613 Год назад +1

    Siku hzi Kuna control number za wakubwa mlikuwa hamjui ndugu zetu?poleni bhana,sisi tumeshuka maana nchi inaenda kasi sana

  • @hashimuuhehwa1320
    @hashimuuhehwa1320 Год назад

    Wafanyabiashara ni wapuuzi sanaa walishindwa kuunga wakati Kariakoo Wamegoma hawana umoja hawa

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 Год назад

    Baba akiwa zaifu nyumba Zima nao wanakua zaifu

  • @majigedioniz8049
    @majigedioniz8049 Год назад

    Dah pole sana ila najivunia kuzaliwa kanda ya ziwa ndiko wanatokea viongozi watetezi wawanyonge na watenda haki

    • @umojamedia4167
      @umojamedia4167 Год назад

      Mwanza vp ule mgomo wa watu wa bar na club umeisha?

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Год назад

    Wembe 2025 mbona CCM wanatutesa sana, ivi watanzania bado hatuelewi tuuu daaah

  • @bakarimakame4694
    @bakarimakame4694 Год назад

    Jmn mama wanyooshee

  • @EagleCrown-pb9qv
    @EagleCrown-pb9qv Год назад +1

    Inshort ni kwamba sasa ivi ni la manyani....🤔🇹🇿🙏🏿

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад +6

    Mlianza tozo mkarudi kodi ya pango kwa wamiliki wa nyumba, mkaja TRA, mmeahamia kodi za halmashauri kidogo kidogo mtatufikia waenda kwa miguu tulipie lesen yakutembea barabara 😢😢

    • @khaijakadija2082
      @khaijakadija2082 Год назад

      😂😂😂

    • @onesmoelias2285
      @onesmoelias2285 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂 da umechekesha sanA

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 Год назад

      @@onesmoelias2285 Wee cheka tu ndiyo ujipate uko misele mara boom tupatie kibali chakutembea njia hii🙋🏃🏃

    • @onesmoelias2285
      @onesmoelias2285 Год назад

      @@cheiknamouna2058 nikuhamia burund kwel msemo was nchemba

    • @MabulamalembekaMoris
      @MabulamalembekaMoris Год назад

      Aisee ikiwa hivyo mi najitoa mhanga nakufa naye atakaye niomba leseni ya kutembea kwa miguu 😢😢😢

  • @rashidyrashidyjuma414
    @rashidyrashidyjuma414 Год назад

    Haya mambo ya kupiga kula haya miaka inayo kuja watu watakua awapigi kula . Hawa viongozi wenyewe hawa liziki hii miaka wanayo peana

  • @BenLeeBl
    @BenLeeBl Год назад

    Kufupi ccm kaz imewashinda kuendesha hii nchi

  • @Dulayoawazi-zj8wr
    @Dulayoawazi-zj8wr Год назад

    ahoo wasenge

  • @pineapplemelodymaster
    @pineapplemelodymaster Год назад +4

    Hii inchi itafika hatua tutaanza kulipuana muda sio mrefu

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 Год назад

    HAHAH nchi irisamehe tilion 360 kwa kuwafurahisha mabwana zao nnje pesa ambazo magufuli arizipambania sahv selikali inatesa watu uhuni kira kona

  • @ninaseleman5738
    @ninaseleman5738 Год назад

    Wanatk kutuuwa njaa

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Год назад +1

    Halmashauri wamekula pesa za Wafanyabiashara.

  • @charlesjaphet5768
    @charlesjaphet5768 Год назад

    Hawa ccm hii nchi imeshawashinda tutanyanyasika mpaka tufe kwahyo mtetezi wetu ni mikono yetu wenyewe kupiga kura ifikapo uchaguzi kuwaondoa madarakani,

  • @yosefamlumbe7044
    @yosefamlumbe7044 Год назад

    pigen fimbo hao vibaka wa halimashauli nimajizi wakubw a

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Год назад +1

    Hatuna rais, kwa sasa Tanzania tumetekwa,

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Год назад

    Hii Nnchi aina viongozi ina majizi

  • @petrolconrad4250
    @petrolconrad4250 Год назад

    ISHU NI ELIMU

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle6613 Год назад +1

    Shida watendaji wa serikali uelewa mdogo na kanuni ya nature akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa

  • @Yohanalumisha
    @Yohanalumisha Год назад

    Tatizo la nchii hii ni raisi kwa nn asitoe tamko taasisi zote ziko chini yake kelele hizi mpaka lini jamani hii nchi yeti sote

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 Год назад

    👀

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Год назад +1

    Wananchi hawapati Haki zao kama Wananchi.

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Год назад +1

    kweli hii ni nchi ina viongozi ? 😂😂😂

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re Год назад +1

    Tanzania bye bye 👋 👋

  • @thomasgabriel588
    @thomasgabriel588 Год назад

    Mkurugenzi awajibike hayuko makini

  • @kingnicky2568
    @kingnicky2568 Год назад

    Mama alisema kila mtu ale kwa kamba yake xxa hzo n kamba za watu …😂😂

  • @peninacharles9757
    @peninacharles9757 Год назад

    Kwani lazima mumlilie mama Samia ✍️✍️

  • @salwasalum6758
    @salwasalum6758 Год назад

    Nchi ngumu hiii dahhh

  • @husseintwaha1737
    @husseintwaha1737 Год назад

    Ccm wamechoka kabisa hawawezi tena hata kututawala

  • @victorwilliam1111
    @victorwilliam1111 Год назад

    Haya sasa

  • @sevelintino6181
    @sevelintino6181 Год назад

    Kiukweli naumiaga sana hii mipangilio ya kuumiza wananchi ukute hao wanao wasumbua walisomeshwa na wazazi

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Год назад

    Tulia rudi mbeya haraka katatue kero,

  • @ismail-vf4zw
    @ismail-vf4zw Год назад

    Siku hizi watu wanafanya wanavyojiskia,

  • @honestmosha6203
    @honestmosha6203 Год назад +1

    Raisi awe makini sana kunawatu wanamuharibia nchi kwa jinsi hii

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Год назад +1

      makini ipate wapi , raisi wenyewe kakamatiwa kamba na kina Kikwete na kinana

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Год назад

    Nchi imejaa uchafu mwingi wizi mashoga wasiokemewa na kuwashughulikia kilichobakia ni siye kuuzwa

  • @gracesanga7801
    @gracesanga7801 Год назад

    Hee halmashauri yetu hii

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg Год назад +1

    😢

  • @4hestatecompany20
    @4hestatecompany20 Год назад

    Tunakopa na tutazd kukopa pesa znaenda uko dunian

  • @frankmaligo5749
    @frankmaligo5749 Год назад +1

    Mh