NJB TV NEWS
NJB TV NEWS
  • Видео 1 539
  • Просмотров 1 455 873

Видео

SOKO LA BROILA NI KUBWA SANA CHANGAMOTO NI WAFUGAJI HAWAFUATI UTAALAMU
Просмотров 1204 часа назад
SOKO LA BROILA NI KUBWA SANA CHANGAMOTO NI WAFUGAJI HAWAFUATI UTAALAMU
BABA AMNAJISI MTOTO WAKE WA MIEZI 6 ASABABISHA KIFO WABUNGE WATAKA AHASIWE
Просмотров 1,3 тыс.4 часа назад
BABA AMNAJISI MTOTO WAKE WA MIEZI 6 ASABABISHA KIFO WABUNGE WATAKA AHASIWE
MFUGAJI WA KUKU ATUMA SALAMU WIZARA ZA MIFUGO NA VIWANDA CHANGAMOTO ZA CHAKULA KUCHAKACHULIWA
Просмотров 2794 часа назад
BAADHI YA WAFUGAJI WA KUKU MJINI NJOMBE WAMERELEZA KUWA WANAPATA HASARA KUTOKANA NA MAKAMPUNI KUUZA CHAKULA KISICHO NA UBORA NA KUSABABISHA KUKU KUFA AU KUSHINDWA KUKUA
WANAKWAYA PAROKIA YA NJOMBE MJINI WAWEZESHA WATOTO YATIMA KUPATA BIMA
Просмотров 3697 часов назад
WANAKWAYA PAROKIA YA NJOMBE MJINI WAWEZESHA WATOTO YATIMA KUPATA BIMA
ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 12 ZIMEPATIKANA KWENYE HARAMBEE UJENZI WA KANISA LA TAG MASHUJAA MAKAMBAKO
Просмотров 2159 часов назад
Fedha zaidi ya shilingi milioni 12 na laki tatu zimepatikana katika harambee ya ujenzi wa kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Mashujaa lililopo kata ya Kivavi mjini Makambako wilayani Njombe huku mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa mkoa wa Songwe @daniel_godfrey_chongolo akichangia kiasi cha shilingi milioni nne. Katika fedha hizo kiasi cha shilingi 5,790,000 taslimu kimepatikana huku ahadi ik...
TUME YA UMWAGILIAJI INATARAJI KUCHIMBA VISIMA 900 MKOANI NJOMBE
Просмотров 16014 часов назад
VISIMA 900 KUCHIMBWA MKOANI NJOMBE Tume ya umagiliaji inataraji kuchimba visima 150 kwa kila halmashauri kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2024/2025 sawa na visima 900 kwa mkoa wa Njombe kwaajili ya kurahisisha upatikanaji wa maji ya umwagiliaji mashamba ya mazao mbalimbali ikiwemo umwagiliaji wa zao la chai Hayo yamebainishwa na mhandisi wa umwagiliaji mkoa wa Njombe mhandisi machage mwema Wakati...
UWT WILAYA YA NJOMBE WAFANYA KONGAMANO KUBWA NA WALEMAVU NJOMBE
Просмотров 23716 часов назад
UWT WILAYA YA NJOMBE WAFANYA KONGAMANO KUBWA NA WALEMAVU NJOMBE
KIONGOZI UWT TAIFA ASIMULIA NAMNA ALIVYO PAMBANIA NDOTO ZA BINTI YAKE MLEMAVU WA KUSIKIA AMBAYE NI-
Просмотров 20316 часов назад
AMESIMULIA HADITHI HIYO YA KUTIA MOYO KA WATU WENYE ULEMAVU KENYE KONGAMANO LA WALEMAVU NA UWT WILAYA YA NJOMBE AMBAPO WAMEJADILI MASULA MBALIMBALI YANAYAOHUSU WATU WENYE ULEMAVU
MKANDARASI BARABARA YA ITON- LUSITU HAJASIMAMA KAZI AME SLOW DOWN ''MENEJA TANROADS MKOA WA NJOMBE
Просмотров 50919 часов назад
Meneja wa Tanroads mkoa wa Njombe leo augost 28 2024 Amewaambia ajumbe a kikao cha maendeleo ya bodi ya barabara TANROADS kuwa ujenzi wa barabara ya itoni -lusitu haujasimama na kwamba mkandarasi anaendelea na shughuli mbalimbali katika mradi huo. Ameyasema hayo wakati akijibu hoja za wajumbe waliolalamikia barabara hiyo kutoendelea kujengwa huku hofu ikitanda kuelekea kipindi cha mvua ambapo k...
TANROADS WAELEZA MIRADI MIKUBWA INAYOENDELEA KUJENGWA MKOANI NJOMBE
Просмотров 15419 часов назад
TANROADS WAELEZA MIRADI MIKUBWA INAYOENDELEA KUJENGWA MKOANI NJOMBE
UFUGAJI KUKU BROILA 200 FAIDA LAKI NNE KWA MWEZI MMOJA
Просмотров 30121 час назад
UFUGAJI KUKU BROILA 200 FAIDA LAKI NNE KWA MWEZI MMOJA
PIKIPIKI MLIZOPEWA NA CHAMA SIO ZA KUBEBEA TOTOZ
Просмотров 26721 час назад
PIKIPIKI MLIZOPEWA NA CHAMA SIO ZA KUBEBEA TOTOZ
UWT NJOMBE KUFANYA KONGAMANO KUBWA NA WENYE MAHITAJI MAALUMU KUELEKEA UCHAGUZI
Просмотров 7821 час назад
UWT NJOMBE KUFANYA KONGAMANO KUBWA NA WENYE MAHITAJI MAALUMU KUELEKEA UCHAGUZI
''VYAMA VYA UPINZANIA TANZANIA NI WATOTO TU CCM TUNAWALEA''ALLY HAPI KATIBU MKUU JUMUIYA YA WAZAZ
Просмотров 6221 час назад
SIKLIZA HAPO ALICHOKISEMA KATIBU MKUU WA JUMHIYA YA WAZAZI TAIFA NDUGU ALLY HAPI AKIWA KIJIJI CHA KIDEGEMBIYE
RAIS SAMIA NI MUUNGWANA AMEENDELEZA MIRADI YOTE ALIYOANZISHA MAGUFULI
Просмотров 12721 час назад
RAIS SAMIA NI MUUNGWANA AMEENDELEZA MIRADI YOTE ALIYOANZISHA MAGUFULI
JIMBO LA LUPEMBE HAKUNA CHANGAMOTO YA UMEME VIJIJI VYOTE TUMEWASHA
Просмотров 168День назад
JIMBO LA LUPEMBE HAKUNA CHANGAMOTO YA UMEME VIJIJI VYOTE TUMEWASHA
ALLY HAPI ASHANGAZWA NA MAISHA YA WABENA WA KALE
Просмотров 373День назад
ALLY HAPI ASHANGAZWA NA MAISHA YA WABENA WA KALE
ALLY HAPI AANZA ZIARA YA SIKU 4 MKOANI NJOMBE AWAPONGEZA JUMHIA YA WAZAZI
Просмотров 750День назад
ALLY HAPI AANZA ZIARA YA SIKU 4 MKOANI NJOMBE AWAPONGEZA JUMHIA YA WAZAZI
UKISAIDIA MHITAJI MMOJA DUNIANI HIYO TIKETI YA KWENDA MBINGUNI MAMA YONO MWENYEKITI UWT NJOMBE
Просмотров 173День назад
UKISAIDIA MHITAJI MMOJA DUNIANI HIYO TIKETI YA KWENDA MBINGUNI MAMA YONO MWENYEKITI UWT NJOMBE
SHIRIKA LA SHIPO KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO KIKUU SUA WATOA MAFUNZO UTENGENEZAJI NYAMA ZA MIMEA
Просмотров 262День назад
SHIRIKA LA SHIPO KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO KIKUU SUA WATOA MAFUNZO UTENGENEZAJI NYAMA ZA MIMEA
FUATILIA HAPA JINSI YA KUTENGENEZA NYAMA YA MIMEA PAMOJA NA FAIDA ZAKE
Просмотров 161День назад
FUATILIA HAPA JINSI YA KUTENGENEZA NYAMA YA MIMEA PAMOJA NA FAIDA ZAKE
ALIMUUA MKEWE AKAMKATAKATA NA KUMZIKA
Просмотров 106День назад
ALIMUUA MKEWE AKAMKATAKATA NA KUMZIKA
SIKILIZA HAPO NAMNA SIMBA ALIVYOUAWA BAADA YA KUSAKWA KWA MUDA MREFU MKOA WA NJOMBE
Просмотров 2,1 тыс.День назад
SIKILIZA HAPO NAMNA SIMBA ALIVYOUAWA BAADA YA KUSAKWA KWA MUDA MREFU MKOA WA NJOMBE
SIMBA AUAWA KIJIJI CHA AMANI LUDEWA AMJERUHI MWENYEKITI
Просмотров 2,7 тыс.День назад
SIMBA AUAWA KIJIJI CHA AMANI LUDEWA AMJERUHI MWENYEKITI
WALIO IBIWA BAJAJI WAONGEA KWA HISIA MAUMIVU WANAYOPITIA MBELE YA RC MTAKA
Просмотров 1,3 тыс.14 дней назад
WALIO IBIWA BAJAJI WAONGEA KWA HISIA MAUMIVU WANAYOPITIA MBELE YA RC MTAKA
MADEREVA BAJAJI WAOMBA WEZI WASIACHIWE WAFUNGWE MAISHA
Просмотров 2,2 тыс.14 дней назад
MADEREVA BAJAJI WAOMBA WEZI WASIACHIWE WAFUNGWE MAISHA
WEZI WATANO WA BAJAJI WAKAMATWA NJOMBE WALIMTEKA DEREVA MWENYE NAYO ALIFUNGA GPS
Просмотров 19 тыс.14 дней назад
WEZI WATANO WA BAJAJI WAKAMATWA NJOMBE WALIMTEKA DEREVA MWENYE NAYO ALIFUNGA GPS
BARIDI KALI INAATHIRI TAALUMA NJOMBE WENGINE WAMEFARIKI
Просмотров 3,3 тыс.14 дней назад
BARIDI KALI INAATHIRI TAALUMA NJOMBE WENGINE WAMEFARIKI
WALIOSHIRIKIANA KUBAKA NA KUMLAWITI BINTI DODOMA WAKAMATWA
Просмотров 6314 дней назад
WALIOSHIRIKIANA KUBAKA NA KUMLAWITI BINTI DODOMA WAKAMATWA

Комментарии

  • @kilianakitanda9470
    @kilianakitanda9470 18 часов назад

    Huyu jamaa angepewa kitengo sasa shida ofisin wamewekwa machawa tu hawana akili hata Moja wanawaza kupiga tu.

  • @Egbethelneus-wj3bq
    @Egbethelneus-wj3bq День назад

    Njombe imalaaaa❤

  • @martinhipolitichuwa366
    @martinhipolitichuwa366 День назад

    Hoja za huyu kaka zizingatiwe na serikali. Pia nashauri viongozi wetu tuwe tuchukua ushauri na kuwashirikisha watz waelewa na wenye utaalamu ktk mambo muhimu, serikali tutambue kuwa SIO wanasiasa tu ndio wa kushauri mambo... wengi wao hutupotosha tu kwa maslahi yao ya kisiasa

  • @adilkharusi7980
    @adilkharusi7980 2 дня назад

    Watu kama hao wahukumiwe kwa kukatwa uumee wake kwa kila anaebaka ahukumiwe hivo

  • @ImanSaid-q4i
    @ImanSaid-q4i 2 дня назад

    Ipitishwe sheria ya kifo kwa wabakaji

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 2 дня назад

    Shotcat tutaumaliza vijana wababa kama umeona au umesimuliwa kuna shotkat ya mafanikio jiulize na pia uliza wazee wako wao kwanini wanateseka kupita njia ndefu na fupi ipo?

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 2 дня назад

    Hata mende anapenda watoto wake ndomana anahitaji mayai yake sehemu salama ,binadamu tumepewa utashi na Mungu 😢mwana wa Adamu una nini usije watoto?je! Watoto watajuje wazi kama wazazi ndowanzilishi wa laana na mabalaaa makubwa hivi?

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 2 дня назад

    Hakuna cha ubakaji mambo ya waganga hayo

  • @user-do1ug7de3g
    @user-do1ug7de3g 2 дня назад

    Mbona asant yesu mala domi kamkamata mama ake

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 2 дня назад

    Mbuyuni inatishua

  • @user-hi3mj6hw3u
    @user-hi3mj6hw3u 3 дня назад

    Piga kaz

  • @tonyking6796
    @tonyking6796 3 дня назад

    Kitu nzuri saana hii

  • @AndreaMsemwa-f2z
    @AndreaMsemwa-f2z 4 дня назад

    Jamani kweli bara bara ni mbaya sana sana tuu nauli zanapanda kila siku

  • @musso238
    @musso238 5 дней назад

    Tukio la mama mmelo sio

  • @joshuaaizack6973
    @joshuaaizack6973 5 дней назад

    Kawaida sana kwa Njoss, Kambi ya Jeshi

  • @MarioLyanzile-v8p
    @MarioLyanzile-v8p 6 дней назад

    Inauzwa mlion moja laki mbili na nusu

  • @AdamLuoga
    @AdamLuoga 7 дней назад

    Imekaa vizuri

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 8 дней назад

    Mwizi akikamatwa piga ua hawafai hao watu

  • @user-tt8yz8pn2p
    @user-tt8yz8pn2p 8 дней назад

    Thanks for share that education please give the overview for establishing a vetenary business

  • @graysonpastory1918
    @graysonpastory1918 8 дней назад

    Siisikii kabisa wilaya ya Wanging'ombe, especially barabara kutoka Wanging'ombe hadi igwachanya na igwachanya hadi njombe kupitia mtandu nyumbanitu

  • @shytv369
    @shytv369 9 дней назад

    Hiii kazi kina viongozi wapo humo na wanapenda kuajidi vijana kuwapeleka dubai

  • @VenanceMichaelkayuniVeny-r9e
    @VenanceMichaelkayuniVeny-r9e 9 дней назад

    Wapigwe haooo

  • @rosenyato8729
    @rosenyato8729 9 дней назад

    Jamani Kidegembye yetu safi sana

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 10 дней назад

    Poleni sana poleni.plice mbona wanaweza kukamata wengine kwanini hao wanaiuwa watu napesa zao hawakatwi.Kunawakili hpo.

  • @EniadaMpelembwa-g2z
    @EniadaMpelembwa-g2z 10 дней назад

    Ubalikiwe sana mama yetu mungu akubaliki

  • @user-fj6rr8yv2v
    @user-fj6rr8yv2v 10 дней назад

    Tatizo masharti ni magumu

  • @officialyohanamalisa1873
    @officialyohanamalisa1873 10 дней назад

    Yano Dora wanajadili Njombe?? Haya vizuri, anayechukua hayo maoni ili afanye influence kwenye dira ya taifa ya maendeleo? Anaongea point kubwa kuliko hata uwezo wa wanaomsikiliza, ndio masna most of them wanachati na kisubiri posho ya kikao waondoke. Alipaswa kuwakilisha kwenye Vikao vya sera na kamati za bunge jikoni huko.

  • @AlfaniMohammed-zk1hn
    @AlfaniMohammed-zk1hn 10 дней назад

    Hunaakiri ww

  • @EliahKayombo
    @EliahKayombo 11 дней назад

    Hee Kuna masimba AMAN Mungu wangu nakumbuka Kuna siku tulipita usiku saa saba tukitokea Ibumi mwee tungekuwa na masimba

  • @apiovlwiwa9619
    @apiovlwiwa9619 11 дней назад

    Hongera sana, mawazo mazuri. Sema asidharau sana vyuo vyetu vya ndani.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 11 дней назад

    NAMPA HONGERA KIJANA KUKOSA KUWALETEA UBISHI WATEKAJI NA KUKOSA KUJELUIWA YUPO SALAMA

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 12 дней назад

    Rabbi nsataraa Erick

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 12 дней назад

    Laanahtullah huyo n kua tu

  • @naumusanga4278
    @naumusanga4278 12 дней назад

    Poleni

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 12 дней назад

    Nakuunga mkono iwe hivi kwa copper pia. Badala ya kuwapa nguvu wawekezaji wa nje na kutudharau wa ndani.

  • @aloycebabene6239
    @aloycebabene6239 12 дней назад

    Huyu ni msomi ila anaweza zaidi siasa kuliko kuanzisha kampuni.

  • @user-sp2pp7ih5y
    @user-sp2pp7ih5y 12 дней назад

    Hongera

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 13 дней назад

    Shauri yenu

  • @JamesMnyanga
    @JamesMnyanga 13 дней назад

    hongereni

  • @SurprisedCardinal-fz5ks
    @SurprisedCardinal-fz5ks 13 дней назад

    Wafungwa maisha ili wajifunze.

  • @andrewkwayu2797
    @andrewkwayu2797 13 дней назад

    Mawazo mazuri. Serikali sikivu kazi kwake!

  • @EugenFrednand-v9m
    @EugenFrednand-v9m 13 дней назад

    Inaitwa GPRS

  • @geofreyngogo6665
    @geofreyngogo6665 13 дней назад

    Nimevutwa sana na hoja yake kuhusu kuwekeza kwenye viwanda badala ya kuwa wachuuzi wa bidhaa za wachina lakini hofu yangu ni kwamba hatuna mkakati madhubuti wa kuwaandaa vijana ili wasiwe kikwazo kwa wenye maono na mitaji. Kukosekana kwa uaminifu kunakochangiwa na tamaa ya utajiri wa haraka usiotokana na jasho lao kumekuwa ni kisababishi kikubwa cha viwanda na biashara nyingi kufa. Jambo lililo dhahiri ni kwamba ufisadi unaosikika miongoni mwa wenye dhamana ya kuhakikisha tunagawana keki ya taifa kwa usawa ni kichocheo kikubwa cha tabia hii mbaya miongoni mwa vijana wa kitanzania.

  • @IsayaIlomo-ib1yh
    @IsayaIlomo-ib1yh 13 дней назад

    Hao ni wezi

  • @IsayaIlomo-ib1yh
    @IsayaIlomo-ib1yh 13 дней назад

    Hao ni wezi

  • @IsayaIlomo-ib1yh
    @IsayaIlomo-ib1yh 13 дней назад

    Hao ni wezi

  • @justfad_026
    @justfad_026 14 дней назад

    hakuna GPS ya binadamu nimfunge mke wangu

    • @MsNajma-j7e
      @MsNajma-j7e 10 дней назад

      😂😂😂😂😂😂we mweu kweri eti nimfungie mke na wwe akufungie

    • @justfad_026
      @justfad_026 7 дней назад

      @@MsNajma-j7e hahahaha

  • @beckhammlowe4029
    @beckhammlowe4029 14 дней назад

    RPC kijiji chaIlininda kiangaliwe

    • @njbtv2982
      @njbtv2982 14 дней назад

      Nipigie 0766880828

  • @Andres-qt6kp
    @Andres-qt6kp 14 дней назад

    GPS sio JPS

  • @DaruMcv
    @DaruMcv 14 дней назад

    Unatangaza biashara😂