WAELEZA BASI LA KALUBANDIKA LILIVYOTEKWA NA MAJAMBAZI
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- //Watu Wanaodhaniwa kuwa majambazi wavamia magari ya mizigo n abasi barabara ya lupembe Njombe//
WATU WANAODHANIWA KUWA MAJAMBAZI WAMEVAMIA MAGARI YA MIZIGO PAMOJA NA BASI MOJA LA ABIRIA KATIKA ENEO LA NYALIVI KATIKATI KIJIJI CHA KIDEGEMBIYE NA NYOMBO BARABARA YA NJOMBE- LUPEMBE HALAMSHAURI YA WILAYA YA NJOMBE AMBAPO INASEMEKANA WAMEPORA FEDHA NA SIMU ZA ABIRIA TUKIO AMBALO LIMETOKEA HAPO FEBRUARY 22 MAJIRA YA MBILI USIKU.
TAARIFA ZAIDI NA PROSPER MFUGALE NJOMBE
DEREVA WA BASI LA ABIRIA AMBAYE ALIFANIKIWA KUTOROKA BAADA YA KUPIGWA NA MAPANGA PAMOJA NA KONDAKTA WAKE AMBAYE ALISALIA KATIKA BASI NA ABIRIA BADA YA KUAMRIWA KUSALIMISHA MALI ZAO KWA HIARI ZIKIWEMO FEDHA NA SIMU WAMESEMA.
Cue in Bernad kawogo dereva wa abasi na mwanin hongoli kondakta
KAIMU MKANGA MFAWIDHI HOSPITALI YA MJI NJOMBE KIBENA DR AYUBU MTULO AMEELEZA KUWA HALI MGONJWA MMOJA AMBAYE NI DEREVA WA BASI.
Cue in Dr Ayubu mtulo kaimu mganga mfawidi hospitali ya mji njombe kibena
AKIZUNGUMZA KWA NJIA YA SIMU KAMANDA WA POLISI MKOA WA NJOMBE HAMIS ISSA AMESEMA YUKO KATIKA ENEO AMBALO UVAMIZI UMEFANYIKA KWAAJILI UCHUNGUZI ZAIDI.
Cue in Sauti ya Hamis Issa kamanda wa polisi mkoa wa njombe
Pia beni pole rafik angu
Pole mwamin jirani angu
Hongoli rafik angu mungu mwema tutakuwa saw
Poleni Sana ndugu wate mliokutana maswaibu hayo
Poleni sana
Mama Samia amewaskia. Watatulia kama walivyotulia panya road
mh