MWANAMKE ALIYELIMA EKA MOJA YA VIAZI NA KUPATA FAIDA MILIONI 8 AHOJIWA, DC NJOMBE AWAPELEKA BBT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024

Комментарии • 98

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 месяца назад +4

    MashaAllah 🙏🙏🙏🙏ukimtanguliza Mungu atakuinua in the most unexpected way.

  • @EmmanueliZani-ur9bi
    @EmmanueliZani-ur9bi 4 месяца назад +5

    Hiyo kazi inafaa sana.
    Asante.

  • @HillaryMachano
    @HillaryMachano 4 месяца назад +2

    Huyu ndo DC Sasa sio yule tunamuona ktk mbio za mwenge tu👏👏🤝

  • @japhetlinus3891
    @japhetlinus3891 4 месяца назад +4

    Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 месяца назад +3

    kaeni tu mjini na kupiga mizinga ya MB kufuatilia Umbea mitandaoni, fursa ziko nyingi huku shambani

  • @mariamsemwa226
    @mariamsemwa226 4 месяца назад +3

    Hapa tumepigwa nakitu kizito kwa eka moja milion 8 😂🙌nabei zenyewe hazielewekagi

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 4 месяца назад

      Labda Mungu alitaka tu kumuinua kiumbe wake angalau kidogo kwa hiyo akamuonyesha hiyo neema

    • @MamodelPark
      @MamodelPark 4 месяца назад +3

      Jaribu kuwa na mawazo chanya. mwenyew kashakwambia faida yake ndo iyo! ww ulokaa nyumbn kwako unataka ubishane nae. Aya endelea kusema wamekupiga

    • @OchoaHomeDecor_
      @OchoaHomeDecor_ 3 месяца назад +1

      Hayo ni mawazo mgando
      Mtu alie shambani anakwambia uhalisia na unakataa
      Unataka tukuamini wewe uliekuwa youtube...
      Hilo ni tatizo
      Hata ukipata milioni 3 kwa hekari moja kama ukilima hekari 10 tayari una milioni 30
      Shida iko wapi?

    • @MwanjiNzala-mo5ni
      @MwanjiNzala-mo5ni 2 месяца назад

      Sijui.hiyo.ekari. imetoa. Gunia.300 labda

  • @millanjunior7356
    @millanjunior7356 20 дней назад

    Watu wengine huwa wapo negative Kila siku kama umepigwa hasara basi hukufuata instructions ndo maana mnafeli fata maelezoya watalaamu na hata Leo hii mkapewa eneo mlime watu wawili lazima hata mavuno yatofautiane Sasa hapa jiulize kwann

  • @deborahlouis8336
    @deborahlouis8336 6 дней назад

    I’m very interested to start please, I need your contact, nataka kujuwa zaid vipi naweza kujihunga na vipi naweza kupata begu hizo please

  • @rehemaothuman3764
    @rehemaothuman3764 2 месяца назад +1

    Tunapataje namba za wausika amcosi au madame hapo

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 4 месяца назад +3

    Tatizo ra africa hiri uongo mwingii jpm ndio arikuwa ananyooshaa sasa wewe kopa jichanganye ire kwako waone wenyeji utapata ukweli

  • @salmabasil385
    @salmabasil385 4 месяца назад +3

    Na hiyo fursa Unaingiaje je lazima uwe ni mkazi wa njombe au?

    • @Zanga93
      @Zanga93 4 месяца назад

      Amna ni wewe tu kuwekeza

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 2 месяца назад

    Dada Utasaidiaje nyumbani kwenu uliko toka -Rungwe,Wewe ni mkuu wa wilaya wa mfano,Kwanini usipate Uwaziri?

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 4 месяца назад +4

    Nipo mkoa wa Njombe mimi ni ngumu saana kuamini

  • @KisendiNyanda93
    @KisendiNyanda93 4 месяца назад +2

    Millard nawe umefikia huku???

  • @DominicKani-ri9le
    @DominicKani-ri9le 4 месяца назад +1

    Rorya BBT mumefika wajameni wengine tuko tayari.ugumu ni mkuu wetu wa wilaya usani umezidi mama president mbadilishe hakumfai huku mpereke mjini

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA 4 месяца назад

      Mkuu wenu wa wilaya ni nani

    • @sharifamsuri
      @sharifamsuri 3 месяца назад

      hicho kiazi kinachukua muda gani kuanzia kupandwa hadi kuvuna?

  • @VerdianaJohakim
    @VerdianaJohakim 4 месяца назад +2

    Sio porojo au uongoo ni UKWELIII,, nipo niombee hapa

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 4 месяца назад

      Mungu wangu nipe namba tutafutane huko njombe tulime wallah

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад

      ​@@omanoman2044unadanganywa kwa heka moja yaani mita sabini kwa sabini hapana

    • @saidimwanyiro5147
      @saidimwanyiro5147 4 месяца назад

      Unalima??

    • @maishabakari2919
      @maishabakari2919 4 месяца назад

      Naomba namba yako ya simu

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 4 месяца назад +1

    Viazi vyenyewe ni vitamu, vina unga???

  • @johson575
    @johson575 4 месяца назад +1

    😊😊😊

  • @flaviankiria8251
    @flaviankiria8251 2 месяца назад

    Nnaeneolangu hekamoja hapa kisarawe pwani mnaweza kunisaidiaje kulima hivyo viazi?

  • @AishaBethod
    @AishaBethod 4 месяца назад

    Mm hilo nimeliona nikweli

  • @Chuma-vk4jg
    @Chuma-vk4jg 3 месяца назад

  • @hekimaluvanda5337
    @hekimaluvanda5337 4 месяца назад

    Kumekucha 🎉🎉🎉🎉

  • @justice607
    @justice607 4 месяца назад

    Ingia shambani huitengeneze hiyo mill. 8😅😅

  • @ivomhagama9796
    @ivomhagama9796 4 месяца назад +1

    Inawezekana ama isiwezekane kupata faida ya million nane,ikiwa bei ikawa juu elfu hamsni ni kweli ila ikiwa elfu 30.ni faida kidogo.ikiwa elfu 20 kipeto umepigwa.

    • @veromwanji
      @veromwanji 4 месяца назад

      Niulizeni Mimi

    • @ivomhagama9796
      @ivomhagama9796 4 месяца назад

      @@veromwanji haya nakuuliza nambie ndugu

    • @ivomhagama9796
      @ivomhagama9796 4 месяца назад

      @@veromwanji Au nipe namba unielezee vizuri

    • @MwanjiNzala-mo5ni
      @MwanjiNzala-mo5ni 2 месяца назад

      Hat kama.bei 50 labda angesema matzo jumla.m8.ila sio.faida.

    • @RenaldaMunishi509
      @RenaldaMunishi509 2 месяца назад

      ​@@MwanjiNzala-mo5nimbona hata huyo mama kasema faida mil 8 hadi9? Kwahyo na yeye anatudanganya?

  • @aminiajabiri2949
    @aminiajabiri2949 4 месяца назад

    Na mimi nataka naomba namba ya sim

  • @joyceKingu
    @joyceKingu 4 месяца назад

    Dada umefanya la maana kufanya hiyo project.

  • @jacobmichael1896
    @jacobmichael1896 4 месяца назад

    Mbengu inapatikana wapi?

  • @charlesolomi9514
    @charlesolomi9514 4 месяца назад

    Wakilima wote ivo gunia itafika 50,000

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 4 месяца назад +1

    Hizo Bei ni nyundoo 🤣🤣🤣🤣 mnajitangazia biashara

  • @JumaMigezo
    @JumaMigezo 3 месяца назад

    DC kasema heka 1 inatoa gunia 180 adi 200 uyu mama ambae ni mkulima anasema heka 1 inatoa gunia 120 mpaka 130 😂😂

  • @gabriellaizer9925
    @gabriellaizer9925 4 месяца назад +1

    Acha uongo Mheshimiwa tafadhali

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад

      Mita sabini kwa sabini jamani au zaidi hii si kweli

  • @alextercisio
    @alextercisio 4 месяца назад

    Hii viazi Kenya ndio tunalima na uwa na pesa sana uku huitwa shagi ..but hiyo bei yenu eti sijui millioni ngapi sijui pesa ya Tz iko aje labda niabiwe ..
    Kenya hii ngunia moja ni 4000ksh ~35dollars

    • @Soon815
      @Soon815 4 месяца назад

      Huku ni 20 dollars

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 4 месяца назад

      Sasa nyie huko kwenu bei ndio ipo juu huku gunia moja ni 15 mpaka 20 dollars

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 4 месяца назад

    Hhaaaa haya 😂😂😂

  • @devothakassimu8289
    @devothakassimu8289 4 месяца назад

    Tunaomba mtufikie mkoa wa songwe, wilaya ya ileje, umalila

  • @KeisiMwasanyika
    @KeisiMwasanyika 3 месяца назад

    Tuhungeni na sisi tupo njombe msanyo uku lugalawa

  • @gogozitodumelannzi5
    @gogozitodumelannzi5 4 месяца назад

    huyu mama napafahamu kwake nitamuuliza

  • @CasmirKiwale
    @CasmirKiwale 4 месяца назад

    Watu walime

  • @DANYMHEMA-zo3cq
    @DANYMHEMA-zo3cq 4 месяца назад

    Kipimo vp au

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft 4 месяца назад

    Mm nlichogundua hapa ni kua huyo mkuu hiyo ml 8 hivyo viazi hakuuzia hapa Tz ameenda kuuza nje na ndio mana wakulima wenyeji wanakataa kama sio kweli kwasbb wao wanauzi hapa hapa ✍️

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 4 месяца назад +1

    Panya kweli nyie

  • @ezrakiduko6135
    @ezrakiduko6135 2 месяца назад +1

    Wanaofeli wanakurupuka bila kutumia watalaam

  • @japhetlinus3891
    @japhetlinus3891 4 месяца назад

    Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar

    • @CasmirKiwale
      @CasmirKiwale 4 месяца назад

      Ilikuaje bro..niandikie mawasiliano yako

    • @CasmirKiwale
      @CasmirKiwale 4 месяца назад

      Ilikuaje kaka.. niandikie mawasiliano yako

    • @CasmirKiwale
      @CasmirKiwale 4 месяца назад

      Niandikie mawasiliano yako

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 2 месяца назад +1

    Hongereni kina mama na vijana kwa juhudi ya mnao zifanya kwa kutafuta hela kwa uhalali najasho kuliko kufuatilia mashetani ya maframason kwa kutafuta. utajiri washetani bila kutoka jasho

  • @VerdianaJohakim
    @VerdianaJohakim 4 месяца назад +1

    Hyo ni kwelii jamanii ukikifuatilia vemaa inatoa Sana hyoo

  • @MagrethNjavike-hy2en
    @MagrethNjavike-hy2en 4 месяца назад +1

    Inawezekana sangita inazaa sana

  • @celestinermantenga2463
    @celestinermantenga2463 4 месяца назад

    Hata hivyo kwa mkuu wa wilaya umepata hasara, aliye nacho huongezewa.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 4 месяца назад +2

    Siyo kweli

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад

      Kwa Hela Moja Nina mashaka

    • @trueman9641
      @trueman9641 4 месяца назад

      Kwanini?

    • @OchoaHomeDecor_
      @OchoaHomeDecor_ 3 месяца назад +1

      Watu wanafanya wanafanikiwa nyie mmekaa mnapiga porojo hapa
      Ndiomaana watanzania na waafrika wengi ni masikini haswaa

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Месяц назад

      ​@@OchoaHomeDecor_Kuna kaka yangu amenishawishi na kilimo hiki kwa maelezo yake ukifuata utaratibu mzuri na Mwenyezi Mungu akikufanyia wepesi mafanikio yapo

  • @tatujamadary8028
    @tatujamadary8028 4 месяца назад

    Je nilitaka mbegu nitaipataje

  • @omarymkwizu9366
    @omarymkwizu9366 4 месяца назад

    Hii kitu imekua na upendeleo Sana wengi tumeachwa.

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc 4 месяца назад +2

    Acheni porojo hizo jmn kaah

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад

      Kwa heka moja faida milioni 8 hapana tumepigwa na nondo kichwani

    • @anoldjose7793
      @anoldjose7793 4 месяца назад +1

      @@MiriamAbdallah umeona ee😂😂

    • @ayoubmwangonji2357
      @ayoubmwangonji2357 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂 matapeli

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад

      @@anoldjose7793 kwa mimi mkulima haingii akilini, kwa heka moja yaani mita sabini Kwa sabini sio kweli

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 4 месяца назад

    🥴🥴🥴🥴🥴🤐🤐😷😷

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 4 месяца назад

    Hivyo viazi ndani ni vya njano au vyeupe???

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 4 месяца назад

      Vyeupe

    • @shyfettymtunda4619
      @shyfettymtunda4619 4 месяца назад +1

      @@EddahBure-te7ft Hivyo wala chipsi hawavipendi sana.Wanapenda viazi vya njano ndani.

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 4 месяца назад

      @@shyfettymtunda4619 eti eeh bas mm bora kiazi nione kikubwa tu ndo napenda sijui kama vina njano au laa ngoja ntaanza kuchunguza

  • @EliauMtishbi-os5ky
    @EliauMtishbi-os5ky 4 месяца назад +1

    Wapeni Vijana mikopo ya kuanzia

  • @ZawadiKazungu-qp8uw
    @ZawadiKazungu-qp8uw 3 месяца назад +1

    Na Kenya Je

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 месяца назад

    Naijua hii😂😂😂

  • @japhetlinus3891
    @japhetlinus3891 4 месяца назад +1

    Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar

    • @Madam255
      @Madam255 4 месяца назад

      Kupata hasara haimanishi kwamba hautafanikiwa kwa. Mara nyingine

    • @japhetlinus3891
      @japhetlinus3891 4 месяца назад +1

      @@Madam255 . Shida iliyopo hapo Ni kwamb huyo aliehojiwa kahojiwa wakat Bei ya kiaz imepanda,naakat mwez uliopita tumeuza viaz 35 had 30 ..unasemaje Kuna faid na kuwashaur klwatu wawekeze kwa wing na wakat unajua chakul kikiwa king lazima kishuke Bei..

    • @celestinermantenga2463
      @celestinermantenga2463 4 месяца назад +1

      8mil. Inapendeza sana.