MUME AONGEA, MKE, MTOTO, DADA WA KAZI WALIVYOCHOMWA MSITUNI, GARI ILIKUWA YA KWANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 71

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 8 часов назад +12

    Kila unachokipanda utakivuna hakika mungu wetu sikia vilio vya wapendwa hawa hao waliofanya tukio hilo likawakute kizazi na kizaz inaumiza mnooo😢😢

  • @glorified6045
    @glorified6045 7 часов назад +13

    Marehemu alikua MKAGUZI WA NDANI aka internal auditor aka washirika wa CAG; upelelezi uanzie kwenye mafaili aliyokua anafanyia kazi au kazi aliyokua anaenda kupewa, au kazi aliyokua anaenda kuianza. Kuna audit query ilikua inaenda kula kichwa cha mtu kazini, pia kuna mawili Mtoto na dada watakua wameuwawa sababu au watakua walikua wanamjua mtu aliyeenda nyumbani kumfuata mama yao! Au mtu anataka kuonyesha suala ni la kifamilia au visasi nje ya kazi

    • @LuluAquai
      @LuluAquai 6 часов назад

      Uko vizuri,umejitahidi kwenda deep,ila dah watu wanaroho ngumu,Wallah mm nna roho mbaya lkn si chakiwango hiki,nimuue binaadamu mwenzangu,kwa lipi hasa,nataka nn,mtu hata anifanye nn siwezi kuchukua hatua hizi,siwezi kufanya binafsi wala kuwatuma watu wafanye,aun'dhubillah min dhaalika.

    • @MishoniMishoni-l1g
      @MishoniMishoni-l1g 3 часа назад

      @@glorified6045 inawezkn kupoteza ushahidi...
      Binti wa kazi atakuwa anamfahamu

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz 9 часов назад +7

    😢😢😢😢Mauaji ya kinyama binadamu siku siku hizi wamekuwa chui

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 8 часов назад +7

    Mungu wetu halali Wala hasinzii,watapatikana tu kwa uweza wa Mungu

  • @selemanitimbano
    @selemanitimbano 7 часов назад +6

    Mungu tunaomba neema zako tuokoe sisi waja wako

  • @abuu-bakarshaaban6246
    @abuu-bakarshaaban6246 8 часов назад +4

    Hv hii Tanzania Hawa watu wasiojulikana ndio serikal imeshindwa kuwapata had Leo kweli km ni hvo bas afande mkuu aondoke mana hawez kupeleleza

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 8 часов назад +6

    Mmm kunakitu. Wasiibe gali wauwetu tena watoto wadogo na mama yao. Mmm sijuitatizo nini. Inauma jamani😭😭 wauwaji hawatakipesa wanatakaroho za watutuu tenakuchoma moto sijuihawawatu wanatokea nchigani wa ainahi wanarohongumu

    • @LuluAquai
      @LuluAquai 6 часов назад +1

      Hata awe amefanya nn,walichofanyiwa ni dhulma

    • @GiftMariam-w2q
      @GiftMariam-w2q Час назад

      😢😢Mungu wa mbinguni simama mwenyewe baba,wanao tunaangamia

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 5 часов назад +3

    Wezi hao ndani ya serekali ya mama samia wanataka kupoteza ushahidi baada ya ukaguzi daa! 😢

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 6 часов назад +2

    Kunasiri kubwa zidi yamauwaji mengi yanayotokea ,ilakubwa viumbe tujue kunahukumu ya Mungu ,tuache kulipiza visasi hata kwawasio husika ,mtoto kamkosea nani😢😢😢

  • @AhadiKoloi
    @AhadiKoloi 6 часов назад +2

    MUNGU halali, wala hasinzii 😭😭 huwa hajifichi 😭 hakika hatonyamaza kimya 😭😭

  • @vero57
    @vero57 5 часов назад +2

    Wekeni cctv camera majumbani kama muna weza jamani, poleni sana wafiwa

    • @teddymassawe3583
      @teddymassawe3583 4 часа назад

      CCTV camera inasaidia Nini maana wataingia wamevaa kofia za kufunika uso,damu ya mtu inalia nao watapatikana tu,hata ufunge wakishapanga watakuua tu

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 8 часов назад +8

    Sijui kwanini watu wanaua watoto wadogo Yani kweli mungu ainglie kati

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 7 часов назад

      Na wasichana wa kazi jmn

    • @melch3097
      @melch3097 6 часов назад

      Hakuna cha mungu, chukua hatua

  • @RhodaMloge
    @RhodaMloge 7 часов назад +7

    Daah na mtoto aliwakosea nini 😭😭

    • @LuluAquai
      @LuluAquai 6 часов назад

      We Acha tu,sikuzote huwa nawaza wanaouwawa wanavyostrugle,ebu waza alau kwa sekunde mbili tu,unajua kinavyofuata mm ni kuuwawa,nn utakachokuwa unawaza,mm nafikiri mama aliwaomba dada na mtoto wake waachowe ila yeye wamfanye watakavyo lkn hawakumsikiliza,so mama alistrugle na maumivu ya aina mbili,moja uchungu anaoupata yeye na wakati hiohuo uchungu wa mwanae na dada wakazi

  • @isabellahassani3652
    @isabellahassani3652 5 часов назад +1

    Duh jamani dunia hii tunaenda wapi, watu tunaangamia 😢😢😢

  • @HildaMlay-wq5oj
    @HildaMlay-wq5oj 8 часов назад +1

    Wapumzike kwa Amani, Inauma sana

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 8 часов назад +1

    R.I.P poleni sana wafiwa

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 9 часов назад +1

    Kuna jambo nyuma ya pazia nkisema nkwamba hao wasiojulikana wamewafundisha wahalifu jins nyingine ya mauaji huko kazini kuna namna hii laana itawajibika kwa hao walioyatenda kwani haitaxha mtu mpaka muda ukifika wakufa kwao

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 8 часов назад

      Kweli kabisa ulichoongea kwamba hawa wasiojulikana wameleta matendo ya visasi kwa muegemeo wa wasiojulikana.

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 8 часов назад +1

    Poleni sana wafiwa

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 8 часов назад +1

    Poleni sana

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 14 минут назад

    Nashukuru nilihama Tanganyika miaka kibao iliyopita vichogo mbwa nyie Mavi kunuka mmekuwa wakatili kama wanyama wa mwituni Na Rais wenu bibi tozo bogus huyo hamna kitu anafanya huyo kilaza waziri wa mambo ya ndani ilitakiwa afukuzwe kazi !

  • @zenobiagenuine537
    @zenobiagenuine537 3 часа назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Dunia imekua uwanja wa fujo ,amani imetoweka,upendo umeota mizizi,watu wanauana Kama wanyama,Ee Mwenyezi Mungu ,inuka ututeee watoto wako ,Usinyamaze Baba wewe ndiye mtoa hukumu halali ,

  • @leahhankungwe1129
    @leahhankungwe1129 3 часа назад

    Kweli inasikitisha sana, ingekuwa Sumbawanga wahusika wangeshaanza kudondoka mmoja baada ya mwingine

  • @joemoen194
    @joemoen194 8 часов назад

    So sad news!
    Mungu atusaidie!
    Watu wabaya wanaelekea kuwa wingi kuzidi wema 🙏🙏🙏

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 7 часов назад

    Eee mungu handeni yetu imekumbwa na nini ee mwenyezi mungu tulinde sisi wew ndie mtetezi wetu yarraby 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @gaudensiajohn7047
    @gaudensiajohn7047 9 часов назад +4

    Maumivu walionayo family kwasasa mungu awasaidie Sana kuupokea msiba huu kwa Imani poleni Sana family jamaa na marafiki wa family hii

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 5 часов назад

    Kuna kisasi hapo sio bure jaman aiseee serikal ichunguze kwa kina kwa nn mauwaji yanazidi aiseee mama samia ongea kitu mama ongea kitu mama hya mambo nimengi snaaaa 😢😢😢😢😢😢

  • @YohanaMussa-y5h
    @YohanaMussa-y5h 6 часов назад

    Vitendo vya mauaji/utekaji watu vimekithiri sana hapa nchi.

  • @JonathanNelson-l8h
    @JonathanNelson-l8h 7 часов назад

    Hapa lazima kuna kitu ila ukweli anaujua mungu😢😢 haiwezekani watu wauawe hivi( watu tumekua wakatili sana aiseeeh)😢😢😢

  • @JosephHhariy
    @JosephHhariy 4 часа назад

    Raha ya milele uwape ee bwana na mwanga milele uwaangazie wapunzike Kwa amani amina

  • @RoseNjoka_23
    @RoseNjoka_23 3 часа назад

    Jamani jamani mtoto mzuri daah 😢😢

  • @atupelemwasambili4476
    @atupelemwasambili4476 9 часов назад

    Sadly.May their souls rest in peace

  • @MariaMboya-v9y
    @MariaMboya-v9y 7 часов назад

    R,I,P Mungu watie nguvu Familia

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 7 часов назад

    Poleni sana wanafamilia😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 8 часов назад

    Yani kwa kweli Tanzania inatisha

  • @AshuraIsa
    @AshuraIsa 5 часов назад

    Wamewakosea nn au niwivu tu

  • @JosephKingwere
    @JosephKingwere 8 часов назад

    Jamni nini hiiii tanzania yetu jmn

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 7 часов назад

    Innalillah WA inna Lillah rajiuon

  • @MaurusMpinga
    @MaurusMpinga 7 часов назад

    Wachaga wamuachi mtu salama

  • @FekiHappy
    @FekiHappy 7 часов назад

    Poleni sana jmn inauma

  • @navioma4882
    @navioma4882 8 часов назад

    Imani mbaya sana😢😢😢

  • @christianbudoya9041
    @christianbudoya9041 6 часов назад

    😂pole sana jmn

  • @emmanicko1535
    @emmanicko1535 7 часов назад

    Naumia sana 😭😭😭

  • @TatuZuberi-qq9yu
    @TatuZuberi-qq9yu 6 часов назад

    Pole sana 😢😢😢😢

  • @dancerboy2686
    @dancerboy2686 9 часов назад

    daa! 😢😢

  • @teclamichael8126
    @teclamichael8126 6 часов назад

    Ni hatari sana

  • @mwanakhamisimwinyimatano1185
    @mwanakhamisimwinyimatano1185 7 часов назад

    Subhana Allah

  • @SesiliaFaustin
    @SesiliaFaustin 4 часа назад

    R.I.P🕊️ 😭

  • @JescaTungu
    @JescaTungu 9 часов назад +3

    Jaman poleni sana

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 7 часов назад

    My God Tanzania,inatisha mauji nagopa Tanzania machozi ya watanzani watu wanatekwa, Mungu tetea wanao,poleni sana , watanzani watu wanauwawa.

    • @melch3097
      @melch3097 6 часов назад

      Acha kulia lia mungu, chukua hatua

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 6 часов назад

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @MishoniMishoni-l1g
    @MishoniMishoni-l1g 7 часов назад +1

    Lakini huyu mume mmmh!

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 8 часов назад +2

    Rip

  • @christianponera5330
    @christianponera5330 6 часов назад

    MIMI KILA SIKU HUWA NA SEMA USIMFANYIE MTU KITU KIBAYA.KIKAMIUMIZA HALAFU UNAJIGAMBA UNASEMA ATANIFANYA NINI WENGINE WANAMAKASIRIKO HAWANA HURUMA YA MUNGU HUKUADHIBU ZAIDI YA YALE ULIYOMFANYIA HALAFU .WEWE UNAKUWA UMESAHAU .PLEACE ACHEN KUUMIZA WATU

  • @ShangweEsrom-n5v
    @ShangweEsrom-n5v 7 часов назад

    Tv hub