Marehemu alikua MKAGUZI WA NDANI aka internal auditor aka washirika wa CAG; upelelezi uanzie kwenye mafaili aliyokua anafanyia kazi au kazi aliyokua anaenda kupewa, au kazi aliyokua anaenda kuianza. Kuna audit query ilikua inaenda kula kichwa cha mtu kazini, pia kuna mawili Mtoto na dada watakua wameuwawa sababu au watakua walikua wanamjua mtu aliyeenda nyumbani kumfuata mama yao! Au mtu anataka kuonyesha suala ni la kifamilia au visasi nje ya kazi
Uko vizuri,umejitahidi kwenda deep,ila dah watu wanaroho ngumu,Wallah mm nna roho mbaya lkn si chakiwango hiki,nimuue binaadamu mwenzangu,kwa lipi hasa,nataka nn,mtu hata anifanye nn siwezi kuchukua hatua hizi,siwezi kufanya binafsi wala kuwatuma watu wafanye,aun'dhubillah min dhaalika.
Mmm kunakitu. Wasiibe gali wauwetu tena watoto wadogo na mama yao. Mmm sijuitatizo nini. Inauma jamani😭😭 wauwaji hawatakipesa wanatakaroho za watutuu tenakuchoma moto sijuihawawatu wanatokea nchigani wa ainahi wanarohongumu
Kunasiri kubwa zidi yamauwaji mengi yanayotokea ,ilakubwa viumbe tujue kunahukumu ya Mungu ,tuache kulipiza visasi hata kwawasio husika ,mtoto kamkosea nani😢😢😢
We Acha tu,sikuzote huwa nawaza wanaouwawa wanavyostrugle,ebu waza alau kwa sekunde mbili tu,unajua kinavyofuata mm ni kuuwawa,nn utakachokuwa unawaza,mm nafikiri mama aliwaomba dada na mtoto wake waachowe ila yeye wamfanye watakavyo lkn hawakumsikiliza,so mama alistrugle na maumivu ya aina mbili,moja uchungu anaoupata yeye na wakati hiohuo uchungu wa mwanae na dada wakazi
Kuna jambo nyuma ya pazia nkisema nkwamba hao wasiojulikana wamewafundisha wahalifu jins nyingine ya mauaji huko kazini kuna namna hii laana itawajibika kwa hao walioyatenda kwani haitaxha mtu mpaka muda ukifika wakufa kwao
Nashukuru nilihama Tanganyika miaka kibao iliyopita vichogo mbwa nyie Mavi kunuka mmekuwa wakatili kama wanyama wa mwituni Na Rais wenu bibi tozo bogus huyo hamna kitu anafanya huyo kilaza waziri wa mambo ya ndani ilitakiwa afukuzwe kazi !
Kuna kisasi hapo sio bure jaman aiseee serikal ichunguze kwa kina kwa nn mauwaji yanazidi aiseee mama samia ongea kitu mama ongea kitu mama hya mambo nimengi snaaaa 😢😢😢😢😢😢
MIMI KILA SIKU HUWA NA SEMA USIMFANYIE MTU KITU KIBAYA.KIKAMIUMIZA HALAFU UNAJIGAMBA UNASEMA ATANIFANYA NINI WENGINE WANAMAKASIRIKO HAWANA HURUMA YA MUNGU HUKUADHIBU ZAIDI YA YALE ULIYOMFANYIA HALAFU .WEWE UNAKUWA UMESAHAU .PLEACE ACHEN KUUMIZA WATU
Kila unachokipanda utakivuna hakika mungu wetu sikia vilio vya wapendwa hawa hao waliofanya tukio hilo likawakute kizazi na kizaz inaumiza mnooo😢😢
Marehemu alikua MKAGUZI WA NDANI aka internal auditor aka washirika wa CAG; upelelezi uanzie kwenye mafaili aliyokua anafanyia kazi au kazi aliyokua anaenda kupewa, au kazi aliyokua anaenda kuianza. Kuna audit query ilikua inaenda kula kichwa cha mtu kazini, pia kuna mawili Mtoto na dada watakua wameuwawa sababu au watakua walikua wanamjua mtu aliyeenda nyumbani kumfuata mama yao! Au mtu anataka kuonyesha suala ni la kifamilia au visasi nje ya kazi
Uko vizuri,umejitahidi kwenda deep,ila dah watu wanaroho ngumu,Wallah mm nna roho mbaya lkn si chakiwango hiki,nimuue binaadamu mwenzangu,kwa lipi hasa,nataka nn,mtu hata anifanye nn siwezi kuchukua hatua hizi,siwezi kufanya binafsi wala kuwatuma watu wafanye,aun'dhubillah min dhaalika.
@@glorified6045 inawezkn kupoteza ushahidi...
Binti wa kazi atakuwa anamfahamu
😢😢😢😢Mauaji ya kinyama binadamu siku siku hizi wamekuwa chui
Mungu wetu halali Wala hasinzii,watapatikana tu kwa uweza wa Mungu
Mungu tunaomba neema zako tuokoe sisi waja wako
Hv hii Tanzania Hawa watu wasiojulikana ndio serikal imeshindwa kuwapata had Leo kweli km ni hvo bas afande mkuu aondoke mana hawez kupeleleza
Mmm kunakitu. Wasiibe gali wauwetu tena watoto wadogo na mama yao. Mmm sijuitatizo nini. Inauma jamani😭😭 wauwaji hawatakipesa wanatakaroho za watutuu tenakuchoma moto sijuihawawatu wanatokea nchigani wa ainahi wanarohongumu
Hata awe amefanya nn,walichofanyiwa ni dhulma
😢😢Mungu wa mbinguni simama mwenyewe baba,wanao tunaangamia
Wezi hao ndani ya serekali ya mama samia wanataka kupoteza ushahidi baada ya ukaguzi daa! 😢
Kunasiri kubwa zidi yamauwaji mengi yanayotokea ,ilakubwa viumbe tujue kunahukumu ya Mungu ,tuache kulipiza visasi hata kwawasio husika ,mtoto kamkosea nani😢😢😢
MUNGU halali, wala hasinzii 😭😭 huwa hajifichi 😭 hakika hatonyamaza kimya 😭😭
Wekeni cctv camera majumbani kama muna weza jamani, poleni sana wafiwa
CCTV camera inasaidia Nini maana wataingia wamevaa kofia za kufunika uso,damu ya mtu inalia nao watapatikana tu,hata ufunge wakishapanga watakuua tu
Sijui kwanini watu wanaua watoto wadogo Yani kweli mungu ainglie kati
Na wasichana wa kazi jmn
Hakuna cha mungu, chukua hatua
Daah na mtoto aliwakosea nini 😭😭
We Acha tu,sikuzote huwa nawaza wanaouwawa wanavyostrugle,ebu waza alau kwa sekunde mbili tu,unajua kinavyofuata mm ni kuuwawa,nn utakachokuwa unawaza,mm nafikiri mama aliwaomba dada na mtoto wake waachowe ila yeye wamfanye watakavyo lkn hawakumsikiliza,so mama alistrugle na maumivu ya aina mbili,moja uchungu anaoupata yeye na wakati hiohuo uchungu wa mwanae na dada wakazi
Duh jamani dunia hii tunaenda wapi, watu tunaangamia 😢😢😢
Wapumzike kwa Amani, Inauma sana
R.I.P poleni sana wafiwa
Kuna jambo nyuma ya pazia nkisema nkwamba hao wasiojulikana wamewafundisha wahalifu jins nyingine ya mauaji huko kazini kuna namna hii laana itawajibika kwa hao walioyatenda kwani haitaxha mtu mpaka muda ukifika wakufa kwao
Kweli kabisa ulichoongea kwamba hawa wasiojulikana wameleta matendo ya visasi kwa muegemeo wa wasiojulikana.
Poleni sana wafiwa
Poleni sana
Nashukuru nilihama Tanganyika miaka kibao iliyopita vichogo mbwa nyie Mavi kunuka mmekuwa wakatili kama wanyama wa mwituni Na Rais wenu bibi tozo bogus huyo hamna kitu anafanya huyo kilaza waziri wa mambo ya ndani ilitakiwa afukuzwe kazi !
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Dunia imekua uwanja wa fujo ,amani imetoweka,upendo umeota mizizi,watu wanauana Kama wanyama,Ee Mwenyezi Mungu ,inuka ututeee watoto wako ,Usinyamaze Baba wewe ndiye mtoa hukumu halali ,
Kweli inasikitisha sana, ingekuwa Sumbawanga wahusika wangeshaanza kudondoka mmoja baada ya mwingine
So sad news!
Mungu atusaidie!
Watu wabaya wanaelekea kuwa wingi kuzidi wema 🙏🙏🙏
Eee mungu handeni yetu imekumbwa na nini ee mwenyezi mungu tulinde sisi wew ndie mtetezi wetu yarraby 🤲🤲🤲🤲🤲
Maumivu walionayo family kwasasa mungu awasaidie Sana kuupokea msiba huu kwa Imani poleni Sana family jamaa na marafiki wa family hii
Kuna kisasi hapo sio bure jaman aiseee serikal ichunguze kwa kina kwa nn mauwaji yanazidi aiseee mama samia ongea kitu mama ongea kitu mama hya mambo nimengi snaaaa 😢😢😢😢😢😢
Vitendo vya mauaji/utekaji watu vimekithiri sana hapa nchi.
Hapa lazima kuna kitu ila ukweli anaujua mungu😢😢 haiwezekani watu wauawe hivi( watu tumekua wakatili sana aiseeeh)😢😢😢
Raha ya milele uwape ee bwana na mwanga milele uwaangazie wapunzike Kwa amani amina
Jamani jamani mtoto mzuri daah 😢😢
Sadly.May their souls rest in peace
R,I,P Mungu watie nguvu Familia
Poleni sana wanafamilia😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Yani kwa kweli Tanzania inatisha
Wamewakosea nn au niwivu tu
Jamni nini hiiii tanzania yetu jmn
Innalillah WA inna Lillah rajiuon
Wachaga wamuachi mtu salama
Poleni sana jmn inauma
Imani mbaya sana😢😢😢
😂pole sana jmn
Naumia sana 😭😭😭
Pole sana 😢😢😢😢
daa! 😢😢
Ni hatari sana
Subhana Allah
R.I.P🕊️ 😭
Jaman poleni sana
My God Tanzania,inatisha mauji nagopa Tanzania machozi ya watanzani watu wanatekwa, Mungu tetea wanao,poleni sana , watanzani watu wanauwawa.
Acha kulia lia mungu, chukua hatua
😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Lakini huyu mume mmmh!
Ni mpole tu kujieleza mtihani.Kila Wakati anabadili maelezo
Mpolee kitaeleweka tu
@@hyacintagugu7 umeonaeee
@@ruthchaz4536 napata wasiwasi ase
Rip
MIMI KILA SIKU HUWA NA SEMA USIMFANYIE MTU KITU KIBAYA.KIKAMIUMIZA HALAFU UNAJIGAMBA UNASEMA ATANIFANYA NINI WENGINE WANAMAKASIRIKO HAWANA HURUMA YA MUNGU HUKUADHIBU ZAIDI YA YALE ULIYOMFANYIA HALAFU .WEWE UNAKUWA UMESAHAU .PLEACE ACHEN KUUMIZA WATU
Nyota ya kiongozi ni ipi?
Tv hub