VIDEO: MWANAJESHI WA URUSI ALIVYOOMBA ASIUAWE VITANI ALIPOSHAMBULIWA NA DRONE ZA UKRAINE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 157

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 12 часов назад +33

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @Africana255
    @Africana255 13 часов назад +50

    Namwomba MUNGU asitishe vita vya Ukraine. Na pia vile vya Israel.
    Type amen.

    • @Revelation1412.
      @Revelation1412. 13 часов назад

      Amen

    • @josephjohn8363
      @josephjohn8363 12 часов назад

      AMEN

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 11 часов назад

      Vita haiishi hadi makubaliano... Ambayo hayapo😂
      Kwo mwisho wa vita ni mwisho wa mmojawapo

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 11 часов назад +1

      AaminaYaarabi

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 11 часов назад

      ​@@fredducaunthayajakukuta ndo maana.. we bwabwaja huku huvijui vita 😅😅

  • @ZahorSalum-h9q
    @ZahorSalum-h9q 13 часов назад +11

    Huyo nimwanajeshi waukrain

    • @MOSESIMCHUNGUZI
      @MOSESIMCHUNGUZI 12 часов назад +6

      Sasa wewe msenge unaambiwa wa urusi unasema wa ukren, wewe VP? Au umetoka kwa DIDY?

    • @edithaeugeni9695
      @edithaeugeni9695 11 часов назад +1

      Khq kwa Ddi tena😂😂😂😂😂😂🙌​@@MOSESIMCHUNGUZI

    • @ZahorSalum-h9q
      @ZahorSalum-h9q 11 часов назад +2

      @@MOSESIMCHUNGUZI unajua msenge anadall zake moja wapo nimatusi matusi bl mpangilio ukiona mwanaume anatukanatukana jua anasifa mbili moja msenge .au mtt waanje yandoa .Hy..Sasa jitafakari dall hz unazooo? Km unazo majibuyake nisiri yako

    • @lydiadaudi4076
      @lydiadaudi4076 7 часов назад

      ​@@edithaeugeni9695Did analo mbona September hii 😅😅😅

    • @edithaeugeni9695
      @edithaeugeni9695 7 часов назад

      @@lydiadaudi4076 😂😂😂😂😂 Mbona atakoma Mwaka huu

  • @stevenmabungi3245
    @stevenmabungi3245 10 часов назад +2

    Mbona huyo ni mwanajeshi wa Ukraine na siyo Urusi
    Urusi ndiyo imemsaidia huyo mwanajeshi wa Ukraine mbona uongo mwingi nyie

  • @teacherpascal894
    @teacherpascal894 8 часов назад +2

    Propaganda hizo,,huyo ni mwanajeshi wa Ukraine

  • @saeedally268
    @saeedally268 13 часов назад +4

    Huyo anaesema wa urus akili yake haina akili wanajeshi wengi wa urus wamekufa ukraine mpka puttin anakodi mamluki

    • @tekashisixtynin9threewithd727
      @tekashisixtynin9threewithd727 12 часов назад

      Umeongea point sana

    • @stevenmabungi3245
      @stevenmabungi3245 10 часов назад

      Acha uongo Urusi haijawah tumia jeshi lake toka hii operation ianze inatumia mamluki tu Wagner maana hii si vita kwa Urusi ni operation ya kijeshi achen uongo

  • @natual7572
    @natual7572 13 часов назад +2

    Hii channel ni mshirik wa NATO anapnda kukosoa rasia tu habalance hata kidgo

  • @charlesemmanuel2401
    @charlesemmanuel2401 9 часов назад +2

    nimegundua watanzania wengi tunaipenda urusi sio hao mashogaa

  • @josephntungiye6232
    @josephntungiye6232 11 часов назад +5

    Kuanzia leo na unfolow kuma wwe msenge shoga

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 12 часов назад +2

    Mtangazqji hujui unachokiongea kabisa

  • @ChrisUromi
    @ChrisUromi 8 часов назад +3

    Nilikua nakufatilia sahna ila kwa ili umetupiga sikuamini tehna

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 6 часов назад

      fala huyu... analeta story zakutengezwa na mashoga

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 13 часов назад +3

    Ana familia inamtegemea😢😢😢

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 5 часов назад +1

    Kwa hiyo tuoneshe na WA Ukraine pia,,,,, acheni propaganda za west Europe,,,,,,,,,,, Ukraine hawezi mshinda russsia Niko hapa

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 13 часов назад +2

    Huyo ni wa ukrain ila mbona za uzuri hutumi😂

  • @fidahusseinkassim9778
    @fidahusseinkassim9778 13 часов назад +10

    Kijani wanatumia russia,blue ukraine,inaonekane huyo askari aliojeruhiwa ni wa ukraine,sio russia

    • @paulntalima6998
      @paulntalima6998 12 часов назад

      Mazwazwa wanavyojitekenya

    • @theempire4058
      @theempire4058 11 часов назад

      ​@@paulntalima6998😅😅😅😅😅

    • @theempire4058
      @theempire4058 11 часов назад

      ​@@paulntalima6998kama kawaida ya 😅😅😅

  • @mustaphakisanzo479
    @mustaphakisanzo479 12 часов назад +3

    Hii midia nayo Isha kua ya kichoko siku hizi

  • @danielmgonja9906
    @danielmgonja9906 13 часов назад +8

    Huyo ni Ukraine kbsa aise mbona waongo ivo

  • @BallackEnock-p1e
    @BallackEnock-p1e 13 часов назад +3

    😁😁😁😁eti aliandaa na maji kabisaaaa

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 4 часа назад

      Wanayo 😳nini chaajabu hapo

  • @expert5898
    @expert5898 8 часов назад +1

    Itakuwa ni kweli ndiomaana wamemchukua sura yake direct

  • @SimbaM2kufu
    @SimbaM2kufu 12 часов назад +7

    Kawaida sana. Kuna video nyingi sana za wanajeshi wa Urusi wanasaidia wanajeshi wa Ukraine.

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 12 часов назад +2

    Hii siyo kweli kabisa uwongo mtupu

  • @mcharo255
    @mcharo255 8 часов назад +1

    Staged.... Waonekane weny hurum san

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 10 часов назад +1

    Ujawai kuona wanajeshi wa Urusi kuidaka Drone ya Ukraine

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 8 часов назад +1

    Muandishi huna chochote unacho juwa kuhusu hi vita

  • @vannyapple3401
    @vannyapple3401 13 часов назад +2

    Kwan urus hawaf achen ujinga

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche 13 часов назад +1

      Aliwepo tu sala za ukreini ache kwafuata mkumbu wa matangazo ya uwongo.

  • @yohanakateko
    @yohanakateko 13 часов назад +2

    Wanajeshi hawataki ujinga wanasiasa ndo wanaharibu mambo

    • @jostamzxkaole3113
      @jostamzxkaole3113 13 часов назад

      😂😂👍.. kilamtu anapenda amani.. hakuna anaependa kupigana🫣😂

    • @yohanakateko
      @yohanakateko 11 часов назад

      @@jostamzxkaole3113 wanasiasa ndo washenzi

  • @simonmwandu2214
    @simonmwandu2214 11 часов назад +1

    Hii media nimeshakuwa na uongo mwingi

  • @josephntungiye6232
    @josephntungiye6232 11 часов назад +6

    Huyu Millard Ayo tv itakua nishoga kitambo sana

  • @chindemasoftware
    @chindemasoftware 8 часов назад +1

    Kwamza mbona kama ni mu ukrain huyo

  • @Revelation1412.
    @Revelation1412. 13 часов назад +1

    Kwakweli wanajeshi huwa nawahurumia sana yaani wao ni mbuzi wa kafara na viongozi na raia wanashangilia daah 😢

    • @GabrielSky64
      @GabrielSky64 12 часов назад

      Kabisa maskini wanao umia ni familia zwo😢😢😢😢

  • @razakiissa9127
    @razakiissa9127 12 минут назад

    propaganda za wa ukrain hasa kwenye vyombo vyao vya habari kam the Sun, bbc, telegraph ndo stori yenyew mwisho wa siku wakimaliza ku record video wanamuua

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 7 часов назад +1

    Mungu ni mwema

  • @RashidAhamed-kq6pt
    @RashidAhamed-kq6pt 13 часов назад +1

    Uwongo

  • @BallackEnock-p1e
    @BallackEnock-p1e 13 часов назад +4

    Hiyo ni propaganda,wa Ukraine wasingemuacha akiwa hai,hiyo imetengenezwa,msitufanye wajinga,kwa upendo Gani walionao

  • @sbboymkaliofficial9108
    @sbboymkaliofficial9108 10 часов назад

    Mbona za Ukraine wakiuliwa usemi acha shobo pi Didy hakutaki 😂😂

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 8 часов назад

    Haoo jamaaa ni ndugu, halafuu ni majiranii,anayewachonganishaa ni wahington na Brussels

  • @sbboymkaliofficial9108
    @sbboymkaliofficial9108 10 часов назад

    Mbona za Ukraine wakiuliwa usemi acha shobo pi Didy hakutaki 😂😂

  • @GiftMushi-t5z
    @GiftMushi-t5z 9 часов назад +1

    Wee ulitaka asemeje? Hakuna aliye tayari kufa pia usisahau akitoka hapo anaendelea na majukumu yake mstari wa mbele hii Ni Vita haina huruma wee endelea na umagharibi wako was upinde

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 13 часов назад

    Daah naumia sana Nikiona hivi uhai ni Jambo lenye dhamani Kubwa sana kwa binadamu inatia huruma Sana 😢😢😢😢. Ni heri basi wamfunge hata jera. Vita uviskie tu hakun mmbabe

  • @SuolFat
    @SuolFat 11 часов назад

    Naziona comment za wanaomuunga mkono mwakharamu wanakanusha taarifa Kila anae muunga mkono putini mwakharamu

  • @PeterJumanne-d6b
    @PeterJumanne-d6b 9 часов назад

    Hawa watu ni kama kaka na dada ikumbukwe kabla ya 1991 Ukraine na Urusi walikua nchi moja ya umoja wa kisoviet

  • @Rakim-y2z
    @Rakim-y2z 3 часа назад

    Huyo ni mwanajeshi wa Ukraine hata sura yaonekana hiyo

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 12 часов назад

    Huo ndio utu ,hongera sana wanajeshi wa Ukraine kwa kuonyesha utu.

  • @yasintamsuya
    @yasintamsuya 5 часов назад

    Anafamilia jamani nyie maisha sema tu wakati wake ulikua bado😢

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 13 часов назад

    😂😂😂Propagandists at it again. So waliandaa na maji kwenye drone 😅.

  • @Adolphine-if
    @Adolphine-if 13 часов назад +1

    Huyo ni mwanajeshi wa Ukraine 🇺🇦 na siyo wa Urusi, waongo nyie.

  • @yusafbayu7016
    @yusafbayu7016 10 часов назад

    Nyie tuna juwa mna fanya Kaz na vyombo vya magharibi mana sijawai kuona ma zuri ya urusi mpaka ukrain tu

  • @IssahMohammed-o2l
    @IssahMohammed-o2l 7 часов назад

    Na anapete kidoleni, anandoa funzo kubwa Sana hili

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 11 часов назад

    SAWA AYO , TUNAOMBA UPDATE ZA DADA ALIYEBAKWA NONDO NA WENZIE KIPI KINAENDELEA

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg 10 часов назад

    Hyo ni video ya ki propaganda za ukraine hakuna kitu kama icho

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 9 часов назад

    Ofacuse Millad, i smell someth, anyway,,

  • @MrishoMambo
    @MrishoMambo 9 часов назад

    Acha usenge mbona hauoneshe hata nembo ya urusi

  • @mrabdultv8356
    @mrabdultv8356 12 часов назад +5

    huyo siyo askari wa Urussi mtizame hata combat yake siyo y russia

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 11 часов назад

      Hata kiongozi wa Lebanon ameshauliwa saa mingi lakini Bado mnabisha😊😊 mtu ameshaanza kukabidhiwa mabkra 72 saa mingi 😅😅

    • @faidamuhamed3011
      @faidamuhamed3011 6 часов назад

      Watu mpo makini hadi nawaelewa aisee

  • @EmmanuelNyinyigwa-m1o
    @EmmanuelNyinyigwa-m1o 11 часов назад

    Acheni SASA vita tuishi pamoja😊

  • @DareAziz-g3s
    @DareAziz-g3s 9 часов назад

    Sisi binadamu tungejua tungependana tu

  • @YamunguMatamya
    @YamunguMatamya 10 часов назад

    Huyu ni mwanajeshi wa Ukraine Kaka

  • @mohamedhaji4827
    @mohamedhaji4827 11 часов назад

    Ayo tv inapotosha habari za kimataifa

  • @KhadijaMwenda
    @KhadijaMwenda 10 часов назад

    Hii kaz ni ya heshima ila ni ngumu sana 😢😢

  • @abdullahchabukila6686
    @abdullahchabukila6686 8 часов назад

    Amtupangi kivyo usituambie ivyo 😅 russia 🇷🇺🙌

  • @JosephOjwang-o4h
    @JosephOjwang-o4h 9 часов назад

    Nikweli iyo ni wa urusi sio Ukraine

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 7 часов назад

    Hii stori ya MCHONGO😅

  • @mustafamasudi8093
    @mustafamasudi8093 10 часов назад

    Mtangzaji ni mjinga hujui kitu

  • @amanbeyanga8055
    @amanbeyanga8055 9 часов назад

    Miladi Ayo wewe ni mwandishi unaejielewa,lakini hapa pole sana kwa kutokutambua propaganda za Ukraine na maghalibi,au unajua lakini umeamua kutuonesha ulivo pro USA hapa tuliosoma Cuba hautuganyi chochote

    • @RehemaJustine-co2kp
      @RehemaJustine-co2kp 7 часов назад

      Shida inapoanzia no kwamba wewe uko timu Russia! Hivyo utataka kisemwe kile ambacho moyo wako unataka 😂😂 pole

  • @sbboymkaliofficial9108
    @sbboymkaliofficial9108 10 часов назад +3

    Mbona za Ukraine wakiuliwa usemi acha shobo pi Didy hakutaki 😂😂

  • @edmundngongi5455
    @edmundngongi5455 10 часов назад

    Hapo mmetudanganya huyo ni mwanajeshi wa Ukraine 🇺🇦

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 10 часов назад

    Milard leo nakupiga block maana hii leo ni uxhoko hiyo video rt wenyewe alipost kua ni wa ukirein

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 7 часов назад

    Mrusii atashindwa tuu vita yeye ndio chanzo Chaa vitaa atalegeaa tuuu ukreni atukati tamaa mbele kwambelee mpaka kieleweke tuuuuuu💪💪💪🤛💯😎

  • @kasomishedrack5027
    @kasomishedrack5027 2 часа назад

    Urusi ni shetani mweusi tenà angepigwa mpaka apigike.Nani alimtuma avamie nchi ya watu bila kuchokozwa.

    • @MustaphaManole
      @MustaphaManole 23 минуты назад

      Akili huna marekan mwenyew anajua akianzisha vita na urus Aya iwe Karne hawez kushinda ndomana anaigopa urus Ina silah za maangamiz ya ulimwengu kwa dk 8 tu

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 12 часов назад

    Propaganda hazitaisha

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 10 часов назад

    Ukraine lazima ashinde hiyo vita..zingatia neno "lazima"

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 13 часов назад +3

    Ww ujuwi kitu ata majeshi ya urusi. Usienda kutangaza mambo ya vita.

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 13 часов назад

    Hii haija ingia kwa akili

  • @AmiriNyaki
    @AmiriNyaki 8 часов назад

    Propaganda za hizo

  • @AmarinoBahha-p7y
    @AmarinoBahha-p7y 10 часов назад

    Uongo uongo uongo uongo huyo ni mamluki wa magharibi

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 10 часов назад

    Maskini weeeh 😢

  • @gildopitapita1383
    @gildopitapita1383 12 часов назад

    Amen mungu atukuze

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 8 часов назад

    Propanga hizo

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 12 часов назад

    Vita vibaya saana

  • @bagaileshabani3179
    @bagaileshabani3179 11 часов назад

    Propaganda hizo

  • @SaidMbulwa-ks4mk
    @SaidMbulwa-ks4mk 10 часов назад

    Maajabu

  • @abdullahchabukila6686
    @abdullahchabukila6686 8 часов назад

    Propaganda

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 11 часов назад

    Amen

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 12 часов назад +3

    Hii ni habar ya uongo ni propaganda za kuonyeaha eti Ukraine ni wema mmesha shindwa vita ombeni poo tu mrusi machine kubwaa

    • @RehemaJustine-co2kp
      @RehemaJustine-co2kp 7 часов назад

      Urusi mashine kubwa kweli? Hadi Leo bado anajamba jamba! Anajiuliza atawezaje kuimaliza Ukraine? Acha ataabike uchumi wake uzidi kudorora,maana USA kamuekea Ukraine km chambo tu. Ili asiweze kuwa the super power! Maana hicho ndicho alikuwa anataka kuwa Russia

  • @AgustaZaile
    @AgustaZaile 12 часов назад +2

    Huyu ni mwanajeshi wa Ukraine pumbavu nyie

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 7 часов назад

    😢😢😢😢😢😢

  • @Jurbeg
    @Jurbeg 9 часов назад

    😢😢😢🙏🙏🙏

  • @siasasiasa6238
    @siasasiasa6238 12 часов назад +2

    endelea kuwa kibaraka wa wakoloni hvyohvy

  • @shabanidaruweshi-jw5jy
    @shabanidaruweshi-jw5jy 12 часов назад +2

    Hii chanel sasa tutakua atuangalii waongo

  • @AgustaZaile
    @AgustaZaile 12 часов назад +2

    Media inayounga mkono ushoga hii

  • @abdulismail6072
    @abdulismail6072 12 часов назад +2

    Propaganda hiyo nyie hamna habar za manana kuhusu vita habari zote tunappata sns ndio mchonngo huo umekamilika

  • @ngadumbishi1405
    @ngadumbishi1405 12 часов назад +1

    Izo ni propaganda za mzee zelesk wenye d mbili tunestuka 😂😂

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 12 часов назад +1

    Ni Mrusi huyo,na hicho ni kikosi cha Ukraine kilichomkamata kinaitwa K2 Battalion.Russia wanakiogopa Sana.!

    • @josephntungiye6232
      @josephntungiye6232 12 часов назад

      We kuma kaakimya hujui lolote shoga wewe, Ukraine Wana kikosi hani kinacho mtisha putin? Ukraine wanapigwa kilasiku Robo tatu yanchi imechukuliwa na urus alafu unaongea usenge usenge hapa

    • @jackwildlife
      @jackwildlife 11 часов назад +1

      Haya matusi yote ni ya nini? Kisa unaipenda Urusi na hutaki kusikia kinyume chake? Haimaanishi utaupindisha ukweli kwa matusi

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu 9 часов назад

    Hawa ni family moja ... sema marekani ndio huwa chonganisha

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 10 часов назад

    Vita itaisha tu mungu mwema!

  • @Maxpaul-oi8pw
    @Maxpaul-oi8pw 13 часов назад

    Vita ni mbaya sana