"Maneno ya Huzuni ya Mtoto wa Masogange"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Mtoto wa Masogange amezungumza kuhusu Marehemu Mama yake

Комментарии • 27

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +10

    Imenisikitisha sana kwa uyu mtoto, pole sana mtoto wetu kazi yake Allah haina makosa.

  • @abubakaryomary3985
    @abubakaryomary3985 4 года назад +3

    Pole sana Mwanangu yote ni mipango ya mungu

  • @rahmasimba7607
    @rahmasimba7607 6 лет назад +3

    pole sana mtoto,mungu atakukuza vyema ataakufariji kwa rehma zake.

  • @lisahyacob5497
    @lisahyacob5497 5 лет назад +1

    my umeniachia majonzi cna umefanana na mwanao my nakupend mungu ilaze roho yake pema pepon amina

  • @idayagangs124
    @idayagangs124 6 лет назад +5

    Mungu atakusaidia mtoto wetu

  • @سبحانالله-ح7د
    @سبحانالله-ح7د 6 лет назад +3

    Masikini pole sanaa. Mama alikumbuka kumpigia baba yake. Mtt hajasikia sauti ya mwisho kwa mwanae.inauma kwakweli.

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 4 года назад

      Nakwambia inasikitisha yani usilie tu hivyo hivyo Kwa mwenzio lakin yanauma hata mimi Simu ya mwisho iliniuzunisha ya baba yake alilia Sana alisema alivyoambiwa kwel ndo Kuna mama uyio anasema mumewe alinunaga kwq mkono akamuuliza umdsenaje akasema hapana baba mkubwa naye nasikia alimuagaga, mkewe na shemej yake akiwaambia kwaelini akasema shemej umesemaje akaludia Kwaherin da inasikitisha wanakuwa wa akijuwa safar ikishafika halafu na wenyewe wanakuwaga na uzuni Sana kuwa acha anaona uluma

  • @TheOne-fi6cs
    @TheOne-fi6cs 6 лет назад +3

    Pole mdogo wetu, kazi ya Mola haina makosa, jipe moyo zaidi mwamini muumba na umtumikie naamini utashinda! 😭😭😭

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 6 лет назад +3

    Pole sana mtoto 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @adolfinamaganga6375
    @adolfinamaganga6375 6 лет назад

    pole sana mwenetu Mungu ampe moyo wa ujasiri

  • @elivtv.baseafrica3988
    @elivtv.baseafrica3988 6 лет назад +1

    Pole sana

  • @ianrafiq.t9300
    @ianrafiq.t9300 6 лет назад

    poleni sana ndugu zangu wataanzania kwa kumpoteza shujaa huyo

  • @amirsab1158
    @amirsab1158 6 лет назад +1

    Pole mwangu

  • @josephosborne3818
    @josephosborne3818 5 лет назад +1

    RIP agnes

  • @anethzephulin490
    @anethzephulin490 3 года назад

    Pole baba na mwana

  • @maureenmwimano1973
    @maureenmwimano1973 6 лет назад

    pole sana

  • @andersonmichael3887
    @andersonmichael3887 4 года назад +1

    Mbona mnamsumbua mtoto hamjui maana yakufiwa? Mabwege kweli ungekua wewe unahojiwa mamaako kafa utaonaje?

  • @dianamarua2632
    @dianamarua2632 2 года назад

    Oooh my GOD so painfull😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @t33pelos77
    @t33pelos77 6 лет назад

    pole sana bb na mwana ila uyu mtt kafanana na bb yke lkn pia mm yake

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 5 лет назад

    Polen

  • @Happythabosslady
    @Happythabosslady 5 лет назад

    Mung skulinde mwanang

  • @eziraerastomuhanuka7392
    @eziraerastomuhanuka7392 6 лет назад

    daa

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 6 лет назад +1

    mtoto kafanana na mama yake san

  • @maureenmwimano1973
    @maureenmwimano1973 6 лет назад

    pole sana