NINASHANGAZWA -Kwaya ya Mt. Vincent Pallotti Makiungu Singida (Official Video-HD)_tp

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Video by Tanganyika Productions
    Audio by Holy Trinity Studios

Комментарии • 158

  • @vicentsumbi-ln5bf
    @vicentsumbi-ln5bf 9 месяцев назад +2

    Kwa kweli mungu awabarikini mnooo wanakwaya wa Makiungu naangalia huu wimbo hata sichoki kabisa mmetulia mnaimba vizuri sana kama malaika mbinguni hata wale waliovamiwa na mapepo wakisikiliza nafikiri mapepo yanahama yenyewe.

    • @ESTERMADIRISHA
      @ESTERMADIRISHA 8 месяцев назад +1

      Aminaa Sanaa 🙏✝️✡️☦️☪️

  • @elishameda8006
    @elishameda8006 5 месяцев назад +2

    Nipo Dodoma kibaigwa mbarikiwe sana kwa ujumbe mzuri mimi na familiar yangu tumeupokea

  • @domibenedict8552
    @domibenedict8552 Год назад +2

    Kutoka Parokia ya mafinga iringa,, pongezi kwenu vocal za kutosha ❤kazi nzuri 🎉

    • @christinephinarex1129
      @christinephinarex1129 Год назад

      Salimia wanaMafinga wote....
      I have been there twice... Baridi weeeeh 🤭🤭😷🙄🙄🙄❣❣❣❣
      I love Tanzania 🇹🇿❤
      🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @SimonBernado-r7b
      @SimonBernado-r7b Месяц назад

      ​@@christinephinarex1129video yake

  • @laurentnkoko9122
    @laurentnkoko9122 Год назад +1

    Hongera sana kwayaya Nyumbani nasikia faraja nikisikia nyimbo nzuri n'a mna hii nikiwa Rwanda...MUNGU awapandindishe daima..Amina

  • @lucimwica647
    @lucimwica647 Год назад +1

    Nice song,God bless you,naipenda kazi yenu,Niko Morogoro.

  • @michaelkasilabwa3096
    @michaelkasilabwa3096 15 дней назад

    Kutoka bunjumbura Burundi nimeupenda wimbo ni mzuri sana

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 2 месяца назад +1

    Kutoka nchini Oman naangalia wimbo huu hongereni saana

  • @user-oc2bv1tu7m
    @user-oc2bv1tu7m 5 месяцев назад

    Mungu awabariki Sana pamoja na Familia zetu kwa huu utume mzuri na uliotukuta kwa kutuinjilisha kwa njia ya uimbaji. Wimbo mzuri sana na unatafakarisha sana. Mbarikiwe sana ❤.

  • @fransiscarbrunoh6889
    @fransiscarbrunoh6889 Год назад

    Kwel maarifa ya MUÑGU yanishangaza, hongeren sana kwa kututafakarisha makuu ya Mungu, mwajefya inoo watoto fr, Chima💖🎉🎉🎉👍

  • @justinyosamu895
    @justinyosamu895 Год назад

    Kwakweri mkiimba kwa moyo atawapokea kwa mapendo mazuri mno wimbo unguvu nibara Kazi nzuri sana cheza kwa kunesa kama mnaniita

  • @jorammnada2635
    @jorammnada2635 Год назад

    Aseee tumepiga hatua sasa Mungu aibariki kazi yenu kazi nzurii na hongereni wanakwaya na bila kumsahau hongera kubwa kwa mwalimu Pius Msafiri

  • @emmymgonto4110
    @emmymgonto4110 17 дней назад

    Hongereni kwa kazi nzuri wapendwa

  • @yustinomusic
    @yustinomusic Год назад +1

    Makiungu Mpewe maua yenu kwa kazi nzurii!

  • @glorypeter1194
    @glorypeter1194 Год назад

    Matendo ya Mungu ni ya ajabu mnoo Ee Mungu endelea kutushangaza hongereni wana makiungu kazi njija❣️

  • @neemamdiu-fh8zi
    @neemamdiu-fh8zi Год назад

    Na mimi nineona matendo yako ya ajabu kwenye maisha yangu na sitachoka kukusifu daima

  • @bebibalaka
    @bebibalaka Год назад

    Mzee Daniel khimu Mungu aendelee kumpa nguvu na maarifa zaidi Pamoja sana wote❤❤❤

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph1747 Год назад +2

    I love it I love. Thank you so much for such educative and beautiful song

  • @priscacharles6237
    @priscacharles6237 Год назад

    Maarifa yako Mungu yanishangaza ee Mwenyezi Mungu endelea kutushangaza hongereni 👏

  • @jameschengwali1051
    @jameschengwali1051 Год назад +1

    Wimbo huu una nguvu za kipekee, tazama ulivyoimbwa kwa ustadi wa juu. Mungu awabariki wapendwa

  • @justinyosamu895
    @justinyosamu895 Год назад

    Kwakweri wimbi huu nimeupenda sana hongereni kwa Kazi nzuri sana mungu awabariki Sanaa

  • @yustogembege9161
    @yustogembege9161 Год назад

    Hongereni sana wapendwa, Mungu aibariki kaz yenu ya kumtangaza kwa njia ya uimbaji, ila singida mmebarikiwa hamna mwanamke mweusi, 😅😅😅😅

  • @deusdedithrichard952
    @deusdedithrichard952 11 месяцев назад

    Hii nyimbo kwangu nahisi ni best ya mwaka big up sana anyandughu.

  • @bebibalaka
    @bebibalaka Год назад

    Mnatutoa sana Wana Makiungu wenzangu Mungu awazidishishie maarifa zaidi ya hayo Amen ❤❤❤❤

  • @BaltazaryMwanga-dp2tq
    @BaltazaryMwanga-dp2tq Год назад

    Hongereni sana kwa kazi nzuri.... Mungu atukuzwe na mwanadamu atakatifuzwe kwa kazi hii njema

  • @euphrasiashirima2692
    @euphrasiashirima2692 Год назад

    Mzr sana wimbo wa kutafakarisha sana mbarikiwe sana kwa sauti nzr sanna❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @DuncanGitari
    @DuncanGitari 5 месяцев назад +1

    A very nice song ,am from 🇰🇪 and we do luv ur songs they inspire

  • @rebeccasidere279
    @rebeccasidere279 Год назад +1

    Hongereni sana. Its soo beautiful

    • @martinsambaa2188
      @martinsambaa2188 Год назад

      Mnasitahili pongezi Mungu ni mwema. Mwajefya.

    • @philipinaawe736
      @philipinaawe736 Год назад

      Hongereni sana kwa kazi nzuri. Asanteni kwa kuinjilisha kwa njia ya nyimbo

    • @elizamgaya
      @elizamgaya Год назад

      Hongerni sana kwa wimbomzuli

    • @SimonBernado-r7b
      @SimonBernado-r7b Месяц назад

      ​matokio ya mabaya video

  • @stevenkalenzo6457
    @stevenkalenzo6457 10 месяцев назад +1

    Uimbaji uliotukuka,,,,, MUNGU Mwenyezi Huruma yako iwe Juu ya hawa waimbaji wape Zawad ya kufika mbinguni hata Kama wanadhambi wasamehe sana maana wameimba vizuri sana

    • @MariethaPeter
      @MariethaPeter 10 месяцев назад +2

      Amina sana nawe ubarikiwe kwa maombi yako kwa Mungu wetu

  • @AnordKalenge-wx7qk
    @AnordKalenge-wx7qk Год назад

    Wimbo mzuri sana ❤️❤️ injili inaokana Kwa ujumbe unaopokelewa🙏

  • @claverysuwi3983
    @claverysuwi3983 11 месяцев назад

    Pia mpiga kinanda hongera zake . Mungu awabariki Kwaya nzima .

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph1747 Год назад

    Wimbo mzuri sana hongereni ndugu zetu.
    Na mmependeza sana tu. Lovely ❤🎉

  • @ManenoGongo-fx8vq
    @ManenoGongo-fx8vq 5 месяцев назад +1

    Sina nakusema mbarikiwe sana kwa huduma zenu

  • @SesiliaJulius-ek1zh
    @SesiliaJulius-ek1zh 11 месяцев назад

    Very nice👍 tafakari kwa Sana. Mungu awatunze wapendwa

  • @EmanuelLazaro-v1e
    @EmanuelLazaro-v1e Год назад

    Mungu afanye kubwa zaidi ya hili wanakwaya wangu

  • @edafridakimu7663
    @edafridakimu7663 11 месяцев назад

    Hongereni sana wanakwaya wa nyumbani wimbo nzuri sana👏👏👏

  • @FelisterPaschal-j1g
    @FelisterPaschal-j1g 4 месяца назад

    Ninafurahaa😂🎉 mama yangu mpendwa JENNIFER ROBERT yupo humu anamwimbia Mungu🎉🎉🎉❤❤ananifanya nitamani kuimba kwaya 🎉

  • @georgeyoram8638
    @georgeyoram8638 2 месяца назад

    Wow! Nyimbo ina viwango vya juu sana!🙏🙏🙏🔥🔥🔥

  • @selviansebastian7675
    @selviansebastian7675 6 месяцев назад

    Mm wimbo mzuri mno ongereni sana katika uinjilishaji

  • @VicentMajaliwa
    @VicentMajaliwa Год назад

    Hongereni Sanaa wanakwaya,, Mungu awabariki wote Amina.

  • @Tiem255
    @Tiem255 Год назад

    safi sana kazi nzuri sana Tp👏👏👏🔥🔥🔥

  • @MagrethAlexanda-hw6vs
    @MagrethAlexanda-hw6vs 9 месяцев назад +1

    Hongeren sana wanashida wimbo mzur

  • @magrethnjovi5972
    @magrethnjovi5972 Год назад

    🎉Ni kweli kabisa !! Yanashangaza.Hongeleni sana❤❤❤.

  • @G_Cuthbert
    @G_Cuthbert Год назад +1

    Matendo ya Mungu yanashangaza sana! ❤

    • @piousmsafiri4413
      @piousmsafiri4413 Год назад +1

      Asante sana wapendwa kwa pongezi Mungu wetu apewe sifa na utukufu siku zote kwakuwa yote tumepokea kutoka kwake aliye asili ya yote.

    • @G_Cuthbert
      @G_Cuthbert Год назад

      @@piousmsafiri4413 Kila wakati!

  • @NahashonYego-zb9fk
    @NahashonYego-zb9fk 2 месяца назад

    I feel the melody of the song ❤️❤️❤️❤️

  • @FilbetSenge
    @FilbetSenge Год назад

    Nawapongeza sana wanasingida wenzangu kwa kaz ya utume by filibet mtinko

  • @TinnaKhemu-sn5qt
    @TinnaKhemu-sn5qt Год назад

    Hongereni sana wanakwaya wote Mungu awatunzee vyema

  • @yohanafaustine1363
    @yohanafaustine1363 Год назад

    Nina shangazwa na matendo yako ee MUNGU. Hongereni waimbaji wimbo mzuri

  • @ramseyramadhani2220
    @ramseyramadhani2220 Год назад

    Mungu awatangulie kwenye uinjilishaji wanasingida

  • @lucimwica647
    @lucimwica647 Год назад

    Hongereni kwa uinjilisha ,Mungu azidi kuwainua,

  • @stevenkalenzo6457
    @stevenkalenzo6457 10 месяцев назад +1

    Mbarikiwe mnoooo watu wa MUNGU

  • @claverysuwi3983
    @claverysuwi3983 11 месяцев назад

    Kwaya imeimba vizuri sana . Hongera zao .

  • @beatrisikimario8233
    @beatrisikimario8233 Год назад

    Jina la Bwana libarikiwe🙏, hongereni sana wanakwaya

  • @FredrickMpoma-sg4em
    @FredrickMpoma-sg4em 9 месяцев назад

    Kwa kweli wimbo umetulia na mmeutendea haki ni mzuri sana

  • @SalatinaSalatinamnadages-op6lx

    Hongereni sana kwaya yangu pendwa nawamis sanaaaaa

  • @justinyosamu895
    @justinyosamu895 Год назад

    Maste l love you kwazi nzuuuuri sana wimbo huu unigusa sana

  • @FalexMichael
    @FalexMichael 4 месяца назад

    Mmetisha sana na muona na mke wang vizur sana mama watoto wang

  • @ernestpilla9179
    @ernestpilla9179 5 месяцев назад

    Naomba mawasiliano na uongozi wa kwaya hii tafadhali 🙏🙏

  • @mabulachayayi5797
    @mabulachayayi5797 Год назад

    Hongereni sana wapendwa katika, Kristo. Wimbo mzuri sana.❤

  • @martinmhando8351
    @martinmhando8351 Год назад

    Kazi nzuri sana, hongereni sana wanakwaya

  • @user-so6le5oh1g
    @user-so6le5oh1g 11 месяцев назад

    Mmeimba vizur honereni sana nduguzangu❤

  • @zush31
    @zush31 29 дней назад

    Kutoka Lusaka +260 huu wimbo unanifuraisha sana sana.

  • @rosenungu3980
    @rosenungu3980 Год назад

    Hongereni sana Kwa kazi nzuri namwona Mzee Daniel Kimu,Kaka yangu Lucas ,Alfonsina Mungu awatunze na utume mwema

  • @user-mz7kf2od8v
    @user-mz7kf2od8v Год назад

    Asate Mungu kwa kua mkatoriki wimbo neuro sana

  • @user-qu6tz8bg4j
    @user-qu6tz8bg4j Год назад

    Nimependa Sana wimbo huu inapendeza Sana kiristo ni leo na Jana

  • @user-ko3cm8ot5y
    @user-ko3cm8ot5y 6 месяцев назад

    ❤❤hongelen kwa wimbo mzur sana

  • @euphemiakimani3355
    @euphemiakimani3355 Год назад +2

    Very nice song. Keep it up

  • @FloridaWilfred-b9t
    @FloridaWilfred-b9t Год назад

    Hongeren kwa sauti ya kuimba mungu awabariki sana

  • @falexmichael5856
    @falexmichael5856 Год назад

    Makiungu mmeendelea hongeren sana

  • @user-do2im6yb4w
    @user-do2im6yb4w 11 месяцев назад

    Hongereni sana ndugu zangu wimbo ni 🔥🔥💞

  • @FrankJoseph-z6n
    @FrankJoseph-z6n Месяц назад

    Hongeren sana jamani

  • @MathewNgimba-fd5vn
    @MathewNgimba-fd5vn 11 месяцев назад

    Asanten saaana wanafamilia yangu nmeangalia video mpka chozi la furaha limenitoka an nataman ata kiumbe mie ngekuwepo lkn kisala tulikuw wote

  • @peterlulu8639
    @peterlulu8639 Год назад

    Hongereni, Mungu ni mwema

    • @victorombay6625
      @victorombay6625 Год назад

      Wimbo mzuri isipokuwa tempo imekuwa too slow kiasi kwamba ukiusikiliza unaboreka.

    • @SarahKikoti-gy9bs
      @SarahKikoti-gy9bs 3 месяца назад

      Hongera sana kwa uimbaji mzuri mungu awabariki sana❤😮🎉

  • @millaniakirway
    @millaniakirway 10 месяцев назад

    Hongereni wapendwa mungu awatie nguvu

  • @stevenmushi9490
    @stevenmushi9490 Год назад

    Wimbo safi kabisa na utulivu wa vocal🎉

  • @BahatiDaniel-w2g
    @BahatiDaniel-w2g 18 дней назад

    kwakweli wimbo huu umenigusa

  • @popla_tz
    @popla_tz 7 месяцев назад

    wimbo mzuri sana naomba mnisaidie nakala yake

  • @erasmichuwa4049
    @erasmichuwa4049 9 месяцев назад

    Ninawapongeza sana Wanakwaya wa Makiungu

  • @EuniceJerop-lw7zp
    @EuniceJerop-lw7zp 3 месяца назад

    Very nice song mbarikiwe sana 🎉

  • @abisaimwanga
    @abisaimwanga Год назад

    Mungu azid kuwabariki sana

  • @cesiliajoseph1362
    @cesiliajoseph1362 6 месяцев назад

    Hongeren sana jmn

  • @marycwenga5687
    @marycwenga5687 11 месяцев назад

    Hongereni sana kwa utume....

  • @cesiliajoseph1362
    @cesiliajoseph1362 6 месяцев назад

    Msafir mungu aendelee kukupa uhai mref kaka angu

  • @MagrethAlexanda-hw6vs
    @MagrethAlexanda-hw6vs 9 месяцев назад

    Hongeren sana wanasingida wimbo mzur

  • @jorammnada2635
    @jorammnada2635 Год назад

    Kazi nzuriii

  • @hellenmrema2855
    @hellenmrema2855 Год назад

    Hongereni sana tafakari nzuri

  • @user-jv6vi8yw5r
    @user-jv6vi8yw5r 10 месяцев назад

    Hongeren sanaaa jamniii

  • @mt.cesiliampanda7062
    @mt.cesiliampanda7062 Год назад

    Kazi nzuri mno

  • @HongeraMdendemi
    @HongeraMdendemi 9 месяцев назад

    Ni mzuri kweli wimbo

  • @edwinchisala4954
    @edwinchisala4954 11 месяцев назад

    Kweli hii ndio maana ya kumsifu Mungu

  • @RoseNechesa-u7z
    @RoseNechesa-u7z 8 месяцев назад +1

    Very encouraging

  • @user-zs1yi3db2e
    @user-zs1yi3db2e 6 месяцев назад

    Hongerah sana kwaya mt vin

  • @reginakairo-jq7bh
    @reginakairo-jq7bh 10 месяцев назад

    Jamani hongereni hasa mdg angu Jeny

  • @SimonBernado-r7b
    @SimonBernado-r7b Месяц назад

    Matukio ya dodoma

  • @PhilipoAndrea-qe5zv
    @PhilipoAndrea-qe5zv 11 месяцев назад +1

    ❤️❤️❤️

  • @WanjiruGachigo
    @WanjiruGachigo Год назад

    Very nice Mungu awabariki

  • @Renatus-bm8fe
    @Renatus-bm8fe 4 месяца назад

    Mmependeza

  • @PrskaPrska-mx7wl
    @PrskaPrska-mx7wl 10 месяцев назад

    nikwel wimbo nimzur sana jamani

  • @josephmuna-j4k
    @josephmuna-j4k Год назад

    Very nice song congrats

  • @elizabethonyango9396
    @elizabethonyango9396 Год назад

    Excellent tonal quality

  • @user-xc3uc6ku8e
    @user-xc3uc6ku8e 9 месяцев назад

    Wimbo huu ume nikosha sana