Kwa kweli mungu awabarikini mnooo wanakwaya wa Makiungu naangalia huu wimbo hata sichoki kabisa mmetulia mnaimba vizuri sana kama malaika mbinguni hata wale waliovamiwa na mapepo wakisikiliza nafikiri mapepo yanahama yenyewe.
Mungu awabariki Sana pamoja na Familia zetu kwa huu utume mzuri na uliotukuta kwa kutuinjilisha kwa njia ya uimbaji. Wimbo mzuri sana na unatafakarisha sana. Mbarikiwe sana ❤.
Uimbaji uliotukuka,,,,, MUNGU Mwenyezi Huruma yako iwe Juu ya hawa waimbaji wape Zawad ya kufika mbinguni hata Kama wanadhambi wasamehe sana maana wameimba vizuri sana
Kwa kweli mungu awabarikini mnooo wanakwaya wa Makiungu naangalia huu wimbo hata sichoki kabisa mmetulia mnaimba vizuri sana kama malaika mbinguni hata wale waliovamiwa na mapepo wakisikiliza nafikiri mapepo yanahama yenyewe.
Aminaa Sanaa 🙏✝️✡️☦️☪️
Nipo Dodoma kibaigwa mbarikiwe sana kwa ujumbe mzuri mimi na familiar yangu tumeupokea
Asante sana
Kutoka Parokia ya mafinga iringa,, pongezi kwenu vocal za kutosha ❤kazi nzuri 🎉
Salimia wanaMafinga wote....
I have been there twice... Baridi weeeeh 🤭🤭😷🙄🙄🙄❣❣❣❣
I love Tanzania 🇹🇿❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@@christinephinarex1129video yake
Hongera sana kwayaya Nyumbani nasikia faraja nikisikia nyimbo nzuri n'a mna hii nikiwa Rwanda...MUNGU awapandindishe daima..Amina
Nice song,God bless you,naipenda kazi yenu,Niko Morogoro.
Kutoka bunjumbura Burundi nimeupenda wimbo ni mzuri sana
Kutoka nchini Oman naangalia wimbo huu hongereni saana
Mungu awabariki Sana pamoja na Familia zetu kwa huu utume mzuri na uliotukuta kwa kutuinjilisha kwa njia ya uimbaji. Wimbo mzuri sana na unatafakarisha sana. Mbarikiwe sana ❤.
Kwel maarifa ya MUÑGU yanishangaza, hongeren sana kwa kututafakarisha makuu ya Mungu, mwajefya inoo watoto fr, Chima💖🎉🎉🎉👍
Kwakweri mkiimba kwa moyo atawapokea kwa mapendo mazuri mno wimbo unguvu nibara Kazi nzuri sana cheza kwa kunesa kama mnaniita
Aseee tumepiga hatua sasa Mungu aibariki kazi yenu kazi nzurii na hongereni wanakwaya na bila kumsahau hongera kubwa kwa mwalimu Pius Msafiri
Hongereni kwa kazi nzuri wapendwa
Makiungu Mpewe maua yenu kwa kazi nzurii!
Matendo ya Mungu ni ya ajabu mnoo Ee Mungu endelea kutushangaza hongereni wana makiungu kazi njija❣️
Na mimi nineona matendo yako ya ajabu kwenye maisha yangu na sitachoka kukusifu daima
Mzee Daniel khimu Mungu aendelee kumpa nguvu na maarifa zaidi Pamoja sana wote❤❤❤
I love it I love. Thank you so much for such educative and beautiful song
Maarifa yako Mungu yanishangaza ee Mwenyezi Mungu endelea kutushangaza hongereni 👏
Wimbo huu una nguvu za kipekee, tazama ulivyoimbwa kwa ustadi wa juu. Mungu awabariki wapendwa
Kwakweri wimbi huu nimeupenda sana hongereni kwa Kazi nzuri sana mungu awabariki Sanaa
Hongereni sana wapendwa, Mungu aibariki kaz yenu ya kumtangaza kwa njia ya uimbaji, ila singida mmebarikiwa hamna mwanamke mweusi, 😅😅😅😅
Hii nyimbo kwangu nahisi ni best ya mwaka big up sana anyandughu.
Mnatutoa sana Wana Makiungu wenzangu Mungu awazidishishie maarifa zaidi ya hayo Amen ❤❤❤❤
Hongereni sana kwa kazi nzuri.... Mungu atukuzwe na mwanadamu atakatifuzwe kwa kazi hii njema
Mzr sana wimbo wa kutafakarisha sana mbarikiwe sana kwa sauti nzr sanna❤❤❤❤❤❤❤❤
A very nice song ,am from 🇰🇪 and we do luv ur songs they inspire
Hongereni sana. Its soo beautiful
Mnasitahili pongezi Mungu ni mwema. Mwajefya.
Hongereni sana kwa kazi nzuri. Asanteni kwa kuinjilisha kwa njia ya nyimbo
Hongerni sana kwa wimbomzuli
matokio ya mabaya video
Uimbaji uliotukuka,,,,, MUNGU Mwenyezi Huruma yako iwe Juu ya hawa waimbaji wape Zawad ya kufika mbinguni hata Kama wanadhambi wasamehe sana maana wameimba vizuri sana
Amina sana nawe ubarikiwe kwa maombi yako kwa Mungu wetu
Wimbo mzuri sana ❤️❤️ injili inaokana Kwa ujumbe unaopokelewa🙏
Pia mpiga kinanda hongera zake . Mungu awabariki Kwaya nzima .
Wimbo mzuri sana hongereni ndugu zetu.
Na mmependeza sana tu. Lovely ❤🎉
Sina nakusema mbarikiwe sana kwa huduma zenu
Very nice👍 tafakari kwa Sana. Mungu awatunze wapendwa
Mungu afanye kubwa zaidi ya hili wanakwaya wangu
Hongereni sana wanakwaya wa nyumbani wimbo nzuri sana👏👏👏
Ninafurahaa😂🎉 mama yangu mpendwa JENNIFER ROBERT yupo humu anamwimbia Mungu🎉🎉🎉❤❤ananifanya nitamani kuimba kwaya 🎉
Wow! Nyimbo ina viwango vya juu sana!🙏🙏🙏🔥🔥🔥
Mm wimbo mzuri mno ongereni sana katika uinjilishaji
Hongereni Sanaa wanakwaya,, Mungu awabariki wote Amina.
safi sana kazi nzuri sana Tp👏👏👏🔥🔥🔥
Hongeren sana wanashida wimbo mzur
🎉Ni kweli kabisa !! Yanashangaza.Hongeleni sana❤❤❤.
Matendo ya Mungu yanashangaza sana! ❤
Asante sana wapendwa kwa pongezi Mungu wetu apewe sifa na utukufu siku zote kwakuwa yote tumepokea kutoka kwake aliye asili ya yote.
@@piousmsafiri4413 Kila wakati!
I feel the melody of the song ❤️❤️❤️❤️
Nawapongeza sana wanasingida wenzangu kwa kaz ya utume by filibet mtinko
Hongereni sana wanakwaya wote Mungu awatunzee vyema
Nina shangazwa na matendo yako ee MUNGU. Hongereni waimbaji wimbo mzuri
Mungu awatangulie kwenye uinjilishaji wanasingida
Hongereni kwa uinjilisha ,Mungu azidi kuwainua,
Mbarikiwe mnoooo watu wa MUNGU
Kwaya imeimba vizuri sana . Hongera zao .
Jina la Bwana libarikiwe🙏, hongereni sana wanakwaya
Kwa kweli wimbo umetulia na mmeutendea haki ni mzuri sana
Hongereni sana kwaya yangu pendwa nawamis sanaaaaa
Maste l love you kwazi nzuuuuri sana wimbo huu unigusa sana
Mmetisha sana na muona na mke wang vizur sana mama watoto wang
Naomba mawasiliano na uongozi wa kwaya hii tafadhali 🙏🙏
0784631268
Shukrani sana Ndugu Barikiwa @@TanganyikaProductions
Hongereni sana wapendwa katika, Kristo. Wimbo mzuri sana.❤
Kazi nzuri sana, hongereni sana wanakwaya
Mmeimba vizur honereni sana nduguzangu❤
Kutoka Lusaka +260 huu wimbo unanifuraisha sana sana.
Hongereni sana Kwa kazi nzuri namwona Mzee Daniel Kimu,Kaka yangu Lucas ,Alfonsina Mungu awatunze na utume mwema
Asate Mungu kwa kua mkatoriki wimbo neuro sana
Nimependa Sana wimbo huu inapendeza Sana kiristo ni leo na Jana
❤❤hongelen kwa wimbo mzur sana
Very nice song. Keep it up
Hongeren kwa sauti ya kuimba mungu awabariki sana
Makiungu mmeendelea hongeren sana
Hongereni sana ndugu zangu wimbo ni 🔥🔥💞
Hongeren sana jamani
Asanten saaana wanafamilia yangu nmeangalia video mpka chozi la furaha limenitoka an nataman ata kiumbe mie ngekuwepo lkn kisala tulikuw wote
Hongereni, Mungu ni mwema
Wimbo mzuri isipokuwa tempo imekuwa too slow kiasi kwamba ukiusikiliza unaboreka.
Hongera sana kwa uimbaji mzuri mungu awabariki sana❤😮🎉
Hongereni wapendwa mungu awatie nguvu
Wimbo safi kabisa na utulivu wa vocal🎉
kwakweli wimbo huu umenigusa
wimbo mzuri sana naomba mnisaidie nakala yake
Ninawapongeza sana Wanakwaya wa Makiungu
Very nice song mbarikiwe sana 🎉
Mungu azid kuwabariki sana
Hongeren sana jmn
Hongereni sana kwa utume....
Msafir mungu aendelee kukupa uhai mref kaka angu
Hongeren sana wanasingida wimbo mzur
Kazi nzuriii
Hongereni sana tafakari nzuri
Hongeren sanaaa jamniii
Kazi nzuri mno
Ni mzuri kweli wimbo
Kweli hii ndio maana ya kumsifu Mungu
Very encouraging
Hongerah sana kwaya mt vin
Jamani hongereni hasa mdg angu Jeny
Matukio ya dodoma
❤️❤️❤️
Good work of God , keep it up!
Very nice Mungu awabariki
Mmependeza
nikwel wimbo nimzur sana jamani
Very nice song congrats
Excellent tonal quality
Wimbo huu ume nikosha sana