Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Asante naomba kujua mchakato uliokuwa unaendelea hapo maana mumechukua mda kidogo naomba nijue process zote alizokua anafanya
Asante sana kaka tutafutie kazi ya usafi ambayo hayi itaji vyete vyashure
Babu unazungumzia nyumba lami tu huko vijijini tanzania hakuna izo nyumba si zitaliwa na mchwa
Weither ya us mchwa awezi kuishi wala mbuu
Hizo nyumba sidhani kama ni za kukaa watu zinaonesha kama ni za holidays UK pia zipo ukichoka mjini unakodisha camp unaenda kwa wiki labda au wiki 2 na kuna kuwa na duka mnapika pia yani ni hivyo
Inawezekana maana huku US camping ndio mambo yao
Wonderful broo so nice thx so much
Good job bro.
😂😂😂😂😂cc kufikiri na kufanya ni zero bob
Wakwanza leo tupo pamoja kaka😊
🙏🏻👍
Bro husemi ni wapi.
Ni Washington state
Bongo labda wajengewe ram earth house nyumba za udongo kama za wakoloni mwanzoni zenye ukuta mnene wameboresha za kisasa
Kaka ata uku rombo moshi kilimanjoro zipo kuna baridi sana
Mbao ghali bongo
Bongo panyaroad wengii
Wejaa unataka wazazi wetu wapgwe vibeliti nni
Muchwa utaila mbao ya nyumbani 😅
Tuna kuelewa kaka
Halafu wenzetu hata vijijini lkn kila nyumba ina gari
Imajini kijijini kwenu kila nyumba ina gari😀✊🏼
Nyumba ya mbao na yatopo yatope garama yake chini acha kuongopea
Ila ni salama zaidi kwa gali za hewa tofauti
Wanatumia mbao za mkongo au zaminazi?
Nafurahia unavyoangushia video kama hivi
Karibu 👊🏼
Nimependa kweli maisha ya Bush mie mpishi kaka nisaisie kufika huko jamani 😢 sema kizungu sijui😮
Kufika USA ni kutafta visa na visa zipo aina nyingi ni ww ss kuangalia unaweza kuipambania ipi
Acha zarau unaita vinyumba. Ziite nyumba
Their tiny 😂
Inaonekana una zarau Sana unaita kiduka!!
Fitina za kibongo inapigwa moto
Hakuna kitu kama hicho
Wacha ujinga wewe ujenge nyumba za mbao vipi mchwa utajipangaje
Nyumba zaaina hiyo nilizikuta Zimbabwe
Sehemu gani Zimbabwe?
@@mshanatheblacksmith brawayo nilikuwa naenda thauthi Africa
@@mshanatheblacksmith napia nimeshi Zimbabwe takri bani miezi 6
Toa michongo ya kz cio iv killa siku boy wew usione cc wajinga
You don’t have to be here
Huwajui mchwa wa bongo wewe
Wananjaa kinoma 😂😂😂
😂😂au sio
Asante naomba kujua mchakato uliokuwa unaendelea hapo maana mumechukua mda kidogo naomba nijue process zote alizokua anafanya
Asante sana kaka tutafutie kazi ya usafi ambayo hayi itaji vyete vyashure
Babu unazungumzia nyumba lami tu huko vijijini tanzania hakuna izo nyumba si zitaliwa na mchwa
Weither ya us mchwa awezi kuishi wala mbuu
Hizo nyumba sidhani kama ni za kukaa watu zinaonesha kama ni za holidays UK pia zipo ukichoka mjini unakodisha camp unaenda kwa wiki labda au wiki 2 na kuna kuwa na duka mnapika pia yani ni hivyo
Inawezekana maana huku US camping ndio mambo yao
Wonderful broo so nice thx so much
Good job bro.
😂😂😂😂😂cc kufikiri na kufanya ni zero bob
Wakwanza leo tupo pamoja kaka😊
🙏🏻👍
Bro husemi ni wapi.
Ni Washington state
Bongo labda wajengewe ram earth house nyumba za udongo kama za wakoloni mwanzoni zenye ukuta mnene wameboresha za kisasa
Kaka ata uku rombo moshi kilimanjoro zipo kuna baridi sana
Mbao ghali bongo
Bongo panyaroad wengii
Wejaa unataka wazazi wetu wapgwe vibeliti nni
Muchwa utaila mbao ya nyumbani 😅
Tuna kuelewa kaka
Halafu wenzetu hata vijijini lkn kila nyumba ina gari
Imajini kijijini kwenu kila nyumba ina gari😀✊🏼
Nyumba ya mbao na yatopo yatope garama yake chini acha kuongopea
Ila ni salama zaidi kwa gali za hewa tofauti
Wanatumia mbao za mkongo au zaminazi?
Nafurahia unavyoangushia video kama hivi
Karibu 👊🏼
Nimependa kweli maisha ya Bush mie mpishi kaka nisaisie kufika huko jamani 😢 sema kizungu sijui😮
Kufika USA ni kutafta visa na visa zipo aina nyingi ni ww ss kuangalia unaweza kuipambania ipi
Acha zarau unaita vinyumba. Ziite nyumba
Their tiny 😂
Inaonekana una zarau Sana unaita kiduka!!
Fitina za kibongo inapigwa moto
Hakuna kitu kama hicho
Wacha ujinga wewe ujenge nyumba za mbao vipi mchwa utajipangaje
Nyumba zaaina hiyo nilizikuta Zimbabwe
Sehemu gani Zimbabwe?
@@mshanatheblacksmith brawayo nilikuwa naenda thauthi Africa
@@mshanatheblacksmith napia nimeshi Zimbabwe takri bani miezi 6
Toa michongo ya kz cio iv killa siku boy wew usione cc wajinga
You don’t have to be here
Huwajui mchwa wa bongo wewe
Wananjaa kinoma 😂😂😂
😂😂au sio