U.S. vijijini wanavyofanya kazi,kuongeza ajira vijijini, Drive thru zao,nyumba ndogo za mbao🇺🇸

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 45

  • @tasa24h
    @tasa24h 5 месяцев назад

    Asante naomba kujua mchakato uliokuwa unaendelea hapo maana mumechukua mda kidogo naomba nijue process zote alizokua anafanya

  • @user-dx6xy5ib4t
    @user-dx6xy5ib4t 5 месяцев назад

    Asante sana kaka tutafutie kazi ya usafi ambayo hayi itaji vyete vyashure

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 5 месяцев назад +3

    Babu unazungumzia nyumba lami tu huko vijijini tanzania hakuna izo nyumba si zitaliwa na mchwa

    • @jonaskasaizi8581
      @jonaskasaizi8581 5 месяцев назад

      Weither ya us mchwa awezi kuishi wala mbuu

  • @aysheraden7718
    @aysheraden7718 5 месяцев назад +2

    Hizo nyumba sidhani kama ni za kukaa watu zinaonesha kama ni za holidays UK pia zipo ukichoka mjini unakodisha camp unaenda kwa wiki labda au wiki 2 na kuna kuwa na duka mnapika pia yani ni hivyo

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 5 месяцев назад

    Wonderful broo so nice thx so much

  • @husseinsalimbora3534
    @husseinsalimbora3534 5 месяцев назад +1

    Good job bro.

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 5 месяцев назад

    😂😂😂😂😂cc kufikiri na kufanya ni zero bob

  • @Zuu673
    @Zuu673 5 месяцев назад +1

    Wakwanza leo tupo pamoja kaka😊

  • @Sure254
    @Sure254 5 месяцев назад +1

    Bro husemi ni wapi.

  • @heritier5119
    @heritier5119 5 месяцев назад

    Bongo labda wajengewe ram earth house nyumba za udongo kama za wakoloni mwanzoni zenye ukuta mnene wameboresha za kisasa

  • @user-zd1cd5yj5o
    @user-zd1cd5yj5o 4 месяца назад

    Kaka ata uku rombo moshi kilimanjoro zipo kuna baridi sana

  • @heritier5119
    @heritier5119 5 месяцев назад

    Mbao ghali bongo

  • @gadsentz6519
    @gadsentz6519 5 месяцев назад

    Bongo panyaroad wengii

  • @user-iu1qq3kp3m
    @user-iu1qq3kp3m 5 месяцев назад

    Wejaa unataka wazazi wetu wapgwe vibeliti nni

  • @LeahVlogstoday
    @LeahVlogstoday 5 месяцев назад

    Muchwa utaila mbao ya nyumbani 😅

  • @Bakarisultanindima-uk6ml
    @Bakarisultanindima-uk6ml 5 месяцев назад +1

    Tuna kuelewa kaka

  • @saidmassoud856
    @saidmassoud856 5 месяцев назад +1

    Halafu wenzetu hata vijijini lkn kila nyumba ina gari

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  5 месяцев назад

      Imajini kijijini kwenu kila nyumba ina gari😀✊🏼

  • @timotheokiss4870
    @timotheokiss4870 5 месяцев назад +1

    Nyumba ya mbao na yatopo yatope garama yake chini acha kuongopea

  • @samuelnkana5632
    @samuelnkana5632 5 месяцев назад

    Wanatumia mbao za mkongo au zaminazi?

  • @MkuziSaha-ll6ex
    @MkuziSaha-ll6ex 5 месяцев назад +1

    Nafurahia unavyoangushia video kama hivi

  • @Zuu673
    @Zuu673 5 месяцев назад

    Nimependa kweli maisha ya Bush mie mpishi kaka nisaisie kufika huko jamani 😢 sema kizungu sijui😮

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  5 месяцев назад +3

      Kufika USA ni kutafta visa na visa zipo aina nyingi ni ww ss kuangalia unaweza kuipambania ipi

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t 5 месяцев назад

    Acha zarau unaita vinyumba. Ziite nyumba

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t 5 месяцев назад

    Inaonekana una zarau Sana unaita kiduka!!

  • @heritier5119
    @heritier5119 5 месяцев назад

    Fitina za kibongo inapigwa moto

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 5 месяцев назад

    Wacha ujinga wewe ujenge nyumba za mbao vipi mchwa utajipangaje

  • @luckysichone6705
    @luckysichone6705 5 месяцев назад +1

    Nyumba zaaina hiyo nilizikuta Zimbabwe

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  5 месяцев назад

      Sehemu gani Zimbabwe?

    • @luckysichone6705
      @luckysichone6705 5 месяцев назад +1

      @@mshanatheblacksmith brawayo nilikuwa naenda thauthi Africa

    • @luckysichone6705
      @luckysichone6705 5 месяцев назад

      @@mshanatheblacksmith napia nimeshi Zimbabwe takri bani miezi 6

  • @kanukanute1514
    @kanukanute1514 5 месяцев назад

    Toa michongo ya kz cio iv killa siku boy wew usione cc wajinga

  • @heritier5119
    @heritier5119 5 месяцев назад +1

    Huwajui mchwa wa bongo wewe