US.Army wanalipia $6000💵 kusafirisha vitu vyetu| I can’t imagine maisha ya USA bila jeshi. - GA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 58

  • @Ashi_Mushi
    @Ashi_Mushi 14 дней назад +1

    This Man, makes me changed become improving mind🎉❤

  • @johnjplusfood2135
    @johnjplusfood2135 18 дней назад +3

    Nakukubali sana bro Mungu aendelee kukulinda Kaka.

  • @daviddonatus8121
    @daviddonatus8121 18 дней назад +4

    Georgia nipazuri pia kaka..... hongera sana

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 18 дней назад +1

    Iyo kazi ndooo nataka mm akika ni ndoto zangu kuwa military kwenye hiii dunia tena america 🇺🇲🇺🇲👍 good experience from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 brother

  • @GliwakGliwak
    @GliwakGliwak 17 дней назад +1

    Kuna Kazi nyingi tuu zinalipa relocation. Mimi nililipiwa, flights, hotel, vehicle transportation, house furniture, etc etc. Hakikisha unasoma wakati ukiwa bado jeshini chukua hata madarasa 2 kwa semester. Good luck.

  • @USAIDforRichardMooresAgency
    @USAIDforRichardMooresAgency 18 дней назад +5

    Wewe wewe 👉 Bwana Jeshi we we usirudi Tanzania 😂😂 Tanzania imeuzwa baki uko uko 🇺🇸✌️

  • @caramamttv
    @caramamttv 11 дней назад

    Bro I hv dream to enjoy usa army 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 18 дней назад

    Kaka ongela sana nakubali sana u s a awana ujanja ujanja kwenye maisha ya mtu jamani umepata nakuombea sana kaka tuangalie na sisi najua ww una moyo mzuri I love america 🇺🇲🇺🇲👍👍👍👍👍👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @blacksingapore
    @blacksingapore 17 дней назад +1

    Bless you bro 👏🏾👏🏾

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 18 дней назад +1

    Bongo nyoso kaka pambana mpambanaji wewe ongela kwa mafanikio na sio mchoyo tangu mwanzo nipo nawe kaka tupe na connection from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @BuhetySharia
    @BuhetySharia 18 дней назад +1

    Kak mungu akubariki bn .. we'll meet one day inshallah

  • @caramamttv
    @caramamttv 11 дней назад

    Bro I hv dream to enjoy usa army

  • @Ngwalithegreattrainer
    @Ngwalithegreattrainer 18 дней назад +2

    Aise balaa wewe kweli unahama kaka😂😂

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx 17 дней назад +1

    The hidden truthful

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 18 дней назад +1

    Soon Insha Allah nakuona

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 18 дней назад

    Atoki mtu hapa kaka unaondoka lini hapo kaka ❤

  • @Therapist_kicha
    @Therapist_kicha 18 дней назад +1

    Samahan sana kaka

  • @paskalbleno
    @paskalbleno 17 дней назад

    kaka napenda sana jeshi nitafanyeje nijiunge najeeshi uko marekani

  • @_benytz1573
    @_benytz1573 18 дней назад +1

    Mkuu nauliza hapo kwenye kuchagua kati ya active and reserve
    Kwa mtu aliyechagua reserve anaweza kwenda kuajiriwa sehemu nyingine na kulipwa.....????

  • @omanhh2875
    @omanhh2875 18 дней назад +1

    Kila la kher kaka

  • @tunauzapweza3501
    @tunauzapweza3501 16 дней назад

    Huku bongo mtu unaweza kujihisi una LAANA to the extent lazima nifike marekani😊

  • @AmiduOmar
    @AmiduOmar 17 дней назад

    I might be in the States this year I want to join Navy. M'bongo nipo Namibia hapa.

  • @user-ki9wu6no3d
    @user-ki9wu6no3d 18 дней назад +1

    Hiyo ni sawa Lazima iwe hivyo kwasababu Wewe pia Maisha Yako ume ya sucrifice to death anytime Ukihitajik kwenda vitani also your Life lipo kweny mikono ya US Government Ukiondoa Mungu

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 18 дней назад

    Kaka lifanyie kazi jambo letu la group

  • @dr_toyota.3371
    @dr_toyota.3371 18 дней назад +1

    Tupe vlog ya safari , tunasubiri

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 18 дней назад

    HONGERA SANA SAANA

  • @charlesjohn9893
    @charlesjohn9893 7 дней назад

    Hii nzuri san mkuu..Naomba mkuu unisaidie namba yako ya WhatsApp

  • @daviddonatus8121
    @daviddonatus8121 18 дней назад

    Nakumbuka kabla ujaenda jeshi uliwahi sema ni rahisi....

  • @Bridge2024
    @Bridge2024 18 дней назад

    Mshana the black smith hemu tengeneza clip inayoelezea background Yako kutoka Tanzania to America?

  • @allykaranja4398
    @allykaranja4398 18 дней назад

    vp kuhusu likizo zenu, muna chukua mda gani months ama weeks leave after training?

  • @LikkleVybz-o9g
    @LikkleVybz-o9g 18 дней назад

    Which work do u do in the military

  • @BuhetySharia
    @BuhetySharia 18 дней назад +1

    Kaka pesa yote hyo ..kwnn usichukue guta

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  18 дней назад

      Pesa tule wenyewe?😂 but mumbuka ingetakiwa nilipe kwanza kabla yakurudishiwa pesa yangu na cha juu, most likely ningetumia pesa ndogo kussafirisha the thing is sitaki stress hyo for this time

  • @HassanAhmed-di9jq
    @HassanAhmed-di9jq 17 дней назад

    Sawa subir ssa uende huko rushia 😂😂😂

  • @Bin_Slyim
    @Bin_Slyim 18 дней назад +1

    Inshu sio kwamba hatutaki kujiunga tunataka hasaa lkn tunaishi hali ya kuwa hatuna GREEN CARD so inatuwia ugumu kujiunga kwasasa mie binafs mwaka wa kupata green card basi wala sichelewi najiunga USA ARMY mchana kweupeeee nsaini mkataba wangu wa miaka mitano nkimalza hapo kibati narudi Bongo stak strees tena 🙌🏽

    • @abubakariemilian9125
      @abubakariemilian9125 18 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂 dah " sitaki stress"

    • @abubakariemilian9125
      @abubakariemilian9125 18 дней назад

      Green card ni njia rahisi ya kufika unyamwezini lakin kwa watu wenye kipato Cha chini & kati ni very Expensive kulipia zile Costs baada ya kupata Green Card. Almost 7.5M

    • @Bin_Slyim
      @Bin_Slyim 18 дней назад

      ​​@@abubakariemilian9125green card hainunuliwi kaka na kama wangekuwa wanaziuza kwa umuhimu wake USA basi ndan ya masaa kadhaa tu zitakuwa zimesh kwisha hata iwe inauzwa mil 20 ila green card huwa unapata kwa njia tu ya ndoa endapo umeoa au kuolewa na usa citizens,Lottery au boss wako raia wa marekani aku spons n.k laah sivo hata ukae miaka mia marekani kama huna bahati ya😂 green card hutoipata hata kweny account yako uwe na million 100 😂😂

  • @Johnsonkayila
    @Johnsonkayila 18 дней назад

    Hello, naweza kupata mawasiliano yako?

  • @ESP-l3g
    @ESP-l3g 18 дней назад

    and write and receive many messages

  • @Therapist_kicha
    @Therapist_kicha 18 дней назад +1

    Naomba kaka nisaidie jinsi ya kujiunga na jeshi la marekani hadi wakukubalie kuwa mwanajeshi wa us army kama ww..apo

  • @Therapist_kicha
    @Therapist_kicha 18 дней назад

    Vigezo gani vinahtajika kujiunga na jeshi la marekani??

  • @user-kf5ln5gs2f
    @user-kf5ln5gs2f 18 дней назад

    Bro ningepeta kuuliza kitu kwani kujiunga na jeshi la U.S.A vigezo vya elimu??

  • @raphaeldesigner2
    @raphaeldesigner2 17 дней назад

    Bro mbona sasa fursa za kazi nyingine hauonyeshi sasaivi, unaonyesha tu mambo ya jeshi wengine hatupo interested au sasaivi fursa nyingine huwezi kuonyesha?

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  17 дней назад

      @@raphaeldesigner2 nitaangele ucjal naongelea jeshi coz nilikuwa nimefungiwa na jeshi kwa mda mrefu so watu wengi walihitaji kujua

  • @Mjomba_Side
    @Mjomba_Side 18 дней назад

    Deployment wapi?

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 18 дней назад

    👊👊👊👊👊🤝🤝🤝🤝🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @kevinmushi8209
    @kevinmushi8209 18 дней назад

    Mimi napenda kua FBI wa us

  • @GraceWilliam-d1w
    @GraceWilliam-d1w 18 дней назад

    Mwisho miaka minagapi kujiunga na jeshi hapo usa

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 18 дней назад

    Kaka bongo imeuzwa wapale wanaenda congo wakulya wanaenda somalia wasukuma wanaenda sudani je wewe😂😂😂😂 utaenda wapi baki uko ila tuvute sisi mafaita tuje 😂😂 from mwanza 15:49 😂😂😂 tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿