Enjoy life kaka muda wako acha na masenge ya hapa bongo kula raha zako tupo pamoja paka uzeee from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
This sounds amazing...home huku tulichelewa kuweka sawa miundo mbinu mpaka miaka hii inalazimika kuvunja makazi ya watu ili uongeze upana wa barabara. Wakati road reserve ziliwekwa kitambo!! So naamini kuna watu wanapata exposure toka videos hizi! Safi Bro
Mkuu hapo umetisha sana aiseee,,,hiyo elimu nimeipenda sana. Hizo barabara za emerge na exit ziko safi kwasababu hakuna kusimama kuangalia kushoto kulia
@@mshanatheblacksmith Sometimes the Chinese will offer you what you want with regard of how much you offered. Also it depends on how much our leaders are exposed to things of world standard. Without exposure, our countries will always be underdogs.
Wewe piga keleleeeeeeeeeee ok kwema ndugu naona safari bado ya moto 🌹🌹🌹🌹 from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Asante kwa elimu brother mshana nimekupata vizuri 💪🏽💪🏽✊🏾
Texas is beautiful also the weather is like bongo🎉🎉🎉no ice no winter so nice❤
Mambo vipi kaka mshana,,,jaribu sana siku Moja ujaribu kuangalia kunguni pembezoni mwa vitanda vyote vya mahoteli
Enjoy life kaka muda wako acha na masenge ya hapa bongo kula raha zako tupo pamoja paka uzeee from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
I love america beautiful land so much fun my friend good luck 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲 from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wataelewa tu iyo ni world 🌎🌎 america from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
This sounds amazing...home huku tulichelewa kuweka sawa miundo mbinu mpaka miaka hii inalazimika kuvunja makazi ya watu ili uongeze upana wa barabara. Wakati road reserve ziliwekwa kitambo!! So naamini kuna watu wanapata exposure toka videos hizi! Safi Bro
Tupo pamoja paka uzeee in mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 mdau hapa wangu
Mkuu hapo umetisha sana aiseee,,,hiyo elimu nimeipenda sana. Hizo barabara za emerge na exit ziko safi kwasababu hakuna kusimama kuangalia kushoto kulia
@@MJM52 kabisa zinasaidia sana I don’t know why Tz tunawalipa wa China watujengee still hawajatujengea kwa namna ya kuzingatia usalama barabarani
@@mshanatheblacksmith Sometimes the Chinese will offer you what you want with regard of how much you offered. Also it depends on how much our leaders are exposed to things of world standard. Without exposure, our countries will always be underdogs.
Bongo mzee magufuli angekaa angalau kidogo tungepiga atua
Yan shemeji anajua miji yte na mitaa?
Nataka nije huko ninunue truck yangu ya used niendeshe mwenyewe
Then anakuja mtu anakwambia mshana wew sio mzalendo hahaha......Uzalendo ndio kitu gani uzalendo huku unasurubika na maisha mambeghesi
Hawa jamaa wamarekani ni next level aisee😅😅😅 uko mbingun sjui kukoje kama US kali iv
@@FreeGod368 😂🤣you know that your funny? Keep praying
@@mshanatheblacksmith sure broo🤣🤣🙏
Mbinguni mji na barabara zake ni za dahabu!
Nikiongezea,,utachukua pasi la moto halafu piga pembezoni mwa godoro uangalie mzee,,, otherwise napenda video zako..
Fyujo