Sababu za baadhi ya wabongo kutofika mbali wakifika Ulaya/USA| Tumeingia Kambini GA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 17

  • @brotherdaugy1073
    @brotherdaugy1073 8 дней назад

    Am watching from Qatar airways 🇶🇦 bro

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 11 дней назад +2

    Yani wabongo wengi ni wachoyo sana kwa taarifa muhimu za ughaibuni utasikia tu Fulani yupo china mala yupo marekani ila asemi nini ufanye ili ufike uko duuuh laana za Nyerere izi from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @amouraboubakar
    @amouraboubakar 11 дней назад +2

    Habari mr mshana I like your content.But naomba utuelezee opportunity za kazi za serikalini na private sector zipi nyingi.Maana kibongo bongo private sector ndo zinatoa ajira kwa wingi kuliko government kwa huko vipi.Naomba utu help hapo kwa benefit yangu na kwa wengi zaidi

  • @NicholasKuria-fz5yk
    @NicholasKuria-fz5yk 11 дней назад +1

    Good advice.kijana keep up

  • @andrewmmbaga1665
    @andrewmmbaga1665 10 дней назад

    Dont let emotions be the manager...🙌🏽

  • @abubakariemilian9125
    @abubakariemilian9125 11 дней назад +1

    So, which are the best ways to investing in Africa especially Tanzania At the time you live in U.S.A ?

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 11 дней назад

    Nimependa sana mazingira ya hapo jeshini kaka yako poa sana from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Uniq so much america 🇺🇲🇺🇲👍👍👍

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 11 дней назад

    Yani so poa kaka ww enjoy maisha wabongo walinyimwa elimu kwa iyo dunia ya kwanza wanao enda kutoka bongo ni kama ndoto from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 brother

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 11 дней назад

    Weweeeeee kumekucha tena pole na safari kaka pamoja sana ❤❤❤❤

  • @Mr.issa1-o2c
    @Mr.issa1-o2c 4 дня назад

    Bro namimi nataka ku join army lakini sija pata bado kitambulisho like green card bado I’m still using i94 and social security id 🪪 unaweza kukubaliwa?

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 11 дней назад

    Asante sana

  • @IbrahimKimath-u9z
    @IbrahimKimath-u9z 11 дней назад +2

    Baada ya mateso ni furaha kwa raha zako mtu akitaka raha nae akaumie naye amateur raha. Nakufuatilia nikiwa kariakoo daresalam.

  • @vocalizertz6868
    @vocalizertz6868 10 дней назад +1

    Braza unachozungumza sio huko tu hata hapa Tz ndo hivyohvyo. Mtu anaweza akapata ajira sehemu analipwa mil 1 kwa mwezi akaona ni pesa nyingi sana akaanza kupanga nyumba nzima,akaanza kuwaza kununua IST yake akaanza mawazo ya club ,starehe kwa hyohyo mil 1, mwisho WA siku madeni yanamuandama.

  • @daviddonatus8121
    @daviddonatus8121 11 дней назад

    Hongera sana aisee atimae umefika lakin safari ilikuwa ndefu sana

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 11 дней назад

    Sasa hizo Sauti Za Nini? Put silence navigation please

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 11 дней назад

    Jeshi la bongo nyoso kaka watu wanaishi kwenye nyumbani kama chooni 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kevinmushi8209
    @kevinmushi8209 11 дней назад

    USA army 🎉