Yani wabongo wengi ni wachoyo sana kwa taarifa muhimu za ughaibuni utasikia tu Fulani yupo china mala yupo marekani ila asemi nini ufanye ili ufike uko duuuh laana za Nyerere izi from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Habari mr mshana I like your content.But naomba utuelezee opportunity za kazi za serikalini na private sector zipi nyingi.Maana kibongo bongo private sector ndo zinatoa ajira kwa wingi kuliko government kwa huko vipi.Naomba utu help hapo kwa benefit yangu na kwa wengi zaidi
Yani so poa kaka ww enjoy maisha wabongo walinyimwa elimu kwa iyo dunia ya kwanza wanao enda kutoka bongo ni kama ndoto from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 brother
Bro namimi nataka ku join army lakini sija pata bado kitambulisho like green card bado I’m still using i94 and social security id 🪪 unaweza kukubaliwa?
Braza unachozungumza sio huko tu hata hapa Tz ndo hivyohvyo. Mtu anaweza akapata ajira sehemu analipwa mil 1 kwa mwezi akaona ni pesa nyingi sana akaanza kupanga nyumba nzima,akaanza kuwaza kununua IST yake akaanza mawazo ya club ,starehe kwa hyohyo mil 1, mwisho WA siku madeni yanamuandama.
Am watching from Qatar airways 🇶🇦 bro
Yani wabongo wengi ni wachoyo sana kwa taarifa muhimu za ughaibuni utasikia tu Fulani yupo china mala yupo marekani ila asemi nini ufanye ili ufike uko duuuh laana za Nyerere izi from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Habari mr mshana I like your content.But naomba utuelezee opportunity za kazi za serikalini na private sector zipi nyingi.Maana kibongo bongo private sector ndo zinatoa ajira kwa wingi kuliko government kwa huko vipi.Naomba utu help hapo kwa benefit yangu na kwa wengi zaidi
Good advice.kijana keep up
Dont let emotions be the manager...🙌🏽
So, which are the best ways to investing in Africa especially Tanzania At the time you live in U.S.A ?
Nimependa sana mazingira ya hapo jeshini kaka yako poa sana from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Uniq so much america 🇺🇲🇺🇲👍👍👍
Yani so poa kaka ww enjoy maisha wabongo walinyimwa elimu kwa iyo dunia ya kwanza wanao enda kutoka bongo ni kama ndoto from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 brother
Weweeeeee kumekucha tena pole na safari kaka pamoja sana ❤❤❤❤
Bro namimi nataka ku join army lakini sija pata bado kitambulisho like green card bado I’m still using i94 and social security id 🪪 unaweza kukubaliwa?
Asante sana
Baada ya mateso ni furaha kwa raha zako mtu akitaka raha nae akaumie naye amateur raha. Nakufuatilia nikiwa kariakoo daresalam.
Braza unachozungumza sio huko tu hata hapa Tz ndo hivyohvyo. Mtu anaweza akapata ajira sehemu analipwa mil 1 kwa mwezi akaona ni pesa nyingi sana akaanza kupanga nyumba nzima,akaanza kuwaza kununua IST yake akaanza mawazo ya club ,starehe kwa hyohyo mil 1, mwisho WA siku madeni yanamuandama.
Hongera sana aisee atimae umefika lakin safari ilikuwa ndefu sana
Sasa hizo Sauti Za Nini? Put silence navigation please
Jeshi la bongo nyoso kaka watu wanaishi kwenye nyumbani kama chooni 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
USA army 🎉