Maisha ni kuchagua ivyo umechagua sehemu sahiii kabisa mungu akulinde upate watoto machotara kaka from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 brother
It was Long Trip and Finally we reach in Georgia. Ulikua unasafiri kwa Gari but sisi tulikua tunasafir kwa Contents zako za RUclips.Stay safe & God bless you together with your Wife.
Nakubali sana kibosi yaanze maisha kaka piga izo dollar paka wakuite yooooooh 😂😂😂😂😂😂😂iyo ndio america 🇺🇲🇺🇲👍👍👍👍 good luck 🌹🌹🌹🌹 from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@@berrymshana4686 i appreciate bro but kila siku nawaambia vijana anything you wish has a price tag and it’s your decision to pay the price or not. Nothing is given everything is earned
It was Long Trip and Finally we reach in Georgia. Ulikua unasafiri kwa Gari but sisi tulikua tunasafir kwa Contents zako za RUclips.Stay safe & God bless you together with your Wife.
Maisha ni kuchagua ivyo umechagua sehemu sahiii kabisa mungu akulinde upate watoto machotara kaka from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 brother
It was Long Trip and Finally we reach in Georgia. Ulikua unasafiri kwa Gari but sisi tulikua tunasafir kwa Contents zako za RUclips.Stay safe & God bless you together with your Wife.
Siku ukitua pale watakuogopa sana mbwa wa pale airport maana ww tena sio mbongo kaka tena wakijua ni america soldier lazima wajambe 😂😂😂😂😂
Allah akufanyie weps kwa kila hatua ishallh kaka
Pazuri sana.🎉
Nakubali
Kibosi sana nyumba kubwa Sana😊
Mim naji vunia tu uyu jamaa si muongo kabisa,yupo busy na mambo yako
God is good
Nakubali sana kibosi yaanze maisha kaka piga izo dollar paka wakuite yooooooh 😂😂😂😂😂😂😂iyo ndio america 🇺🇲🇺🇲👍👍👍👍 good luck 🌹🌹🌹🌹 from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Naomba niwe mke ili niarrange muonekano mzuri wa nyumbani kwetu😂😂
Hello bro I have been locked on your channel since day one you started this channel ..
Iam a pioneer from Kenya 🇰🇪
Iam happy for bro
Mambo ya kota sio😂
Choo fresh hicho wapinga ngoma hapo hapo mwamba😅
Maisha mazuri sana mkuu
Balcony ya mbao very funny
Wamarekan wanaeshim sana ndoa no separation with the spouse kama bongo...bongo unakaa kambin, kambini uko kwenyewe mnaishi collectively kama shule
Kila hatua dua one day yes u.s airfoce
From mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 brother tupo pamoja paka uzeee 😂😂😂
Ngoja wakuleke kwa manyabumbu sasa ndio utazid kurahia jeshi
Salute
Kwani huko hakuna askari kapera?,au Sheria zenu zikoje?
Broo umeua
Nakukubali sana nami moja ya ndoto zangu ni kufika marekan kaka
Kaka Nice house..
Which state are u?
Duh Ngoja wakupeleke Ukraine ukapambane na urusi ndio utajua kazi ya jeshi ngumu au rahisi 😂😂😂😂
Kua jeshi mwishowake ni umligani?
Unaishi maisha watu wanayo wish😂
@@berrymshana4686 i appreciate bro but kila siku nawaambia vijana anything you wish has a price tag and it’s your decision to pay the price or not. Nothing is given everything is earned
Umenikumbuah Movie Moja inaitwa "WE WERE SOLDIERS" Wakati Wanajesh wanatoka Kwenye nyumba kama Hizo wakiaga familia Zao kwenda vitani Vietnam
How can I contact you mshana
It was Long Trip and Finally we reach in Georgia. Ulikua unasafiri kwa Gari but sisi tulikua tunasafir kwa Contents zako za RUclips.Stay safe & God bless you together with your Wife.