GEOF LEAH AMPINGA GAMONDI | KWA KAULI YAKE YA HAJAWAHI KUWA NA TIMU BORA KAMA YANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 16

  • @IsihakaMakoa
    @IsihakaMakoa 4 месяца назад

    Iyo.redio.yenu.ndoomana.sikuizi.watu.hawasikilizi

  • @shehehussein2712
    @shehehussein2712 4 месяца назад

    Huyu jef kweli ni mchambuzi kweli huyu jamaa mnaiyabisha hiyo redio

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 4 месяца назад

    HUYU MVUTA BANGI NA SIKU ZOTE HUWA ANAIPINGA YANGA TU....YEYE KASEMA KWA MUJIBU WA MAONO YAKE GAMONDI SASA WEWE MBUGILA MMOJA KWANN UPINGE MAWAZO YAKE???

  • @IbrahimMohamed-wm3zf
    @IbrahimMohamed-wm3zf 4 месяца назад +1

    This guy geof Leah is so illiterate I think efm hapa mmepuyanga huyu mtu hapana ana hoja za kitoto na Hana uweledi wa tafsiri ya mawazo ya mtu...that ws Gamondis opinion na Yuko kwenye wakati sahihi kusifia alichonacho

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 4 месяца назад

    Tanzania tuna watu wajinga wengi ila huyo Geofrey ana kipaji cha ujinga

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 4 месяца назад

    Kilaza

  • @mussamussa9446
    @mussamussa9446 4 месяца назад +1

    Huyu Geoff Leah ni sifuri kabisaaaaa

    • @mussamussa9446
      @mussamussa9446 4 месяца назад +1

      time bora unaangalia variables nyingi sio ubora wa squard tu.huyu ni kiraza sana haloo

  • @UrassaPaschal
    @UrassaPaschal 4 месяца назад

    Geof Leah umepoteza madini kabisa hivi hicho ni kitu cha kuzungumza dakika zote hizo??? Ni kwel usemavyo lkn pia unaumia nini? Mbona kitu simple Sana kueleweka...embu tafuta madini tupe nondo Acha blabla Kaka nilikuwa nakuelewa Sana siku hizi unachoma sana

  • @ngwandubenedictor7320
    @ngwandubenedictor7320 4 месяца назад

    Simple question Kwa nini hakusema kauli hiyo alipokuwa huko ?

  • @IbrahimMohamed-wm3zf
    @IbrahimMohamed-wm3zf 4 месяца назад

    Ww umesema huwezi msifia mpenzi wako wa zamani kisa umeoa utamsifia uliemuoa..ulitaka Gamondi asifie kikosi Cha miaka 20 hata aina ya soka imechange...unadhani hao uliowataja wangecheza mpira wakati huu

  • @mchjohnmasegese8193
    @mchjohnmasegese8193 4 месяца назад

    Sasa mtu kasema alivyoona yeye.wewe unaumia nini

  • @DaudiMuya-jx3rg
    @DaudiMuya-jx3rg 4 месяца назад

    Bora ukae kimya Jeff,hauna jipya unawapotezea muda wataalam apo

  • @AmiriMalenge-kc5jk
    @AmiriMalenge-kc5jk 4 месяца назад

    Sasa uko mamelod alikua coach mkuu

  • @MkuzoSmart-sb9gh
    @MkuzoSmart-sb9gh 4 месяца назад

    Matako huyu

  • @AceB4real
    @AceB4real 4 месяца назад

    Kalewa huyu leo