Asante Kwa kutusanua washirika. Hatutaandika tena nembo ya TAG kwenye baadhi ya vitu tutakavyowanunulia wachungaji wetu.Mfano Magari! Nyumba za kuishi nk.
@@wechemakambo2182 Mimi ni TAG, kipenzi. Gari tumenunua mwaka jana tumeadika jina la mchungaji. 😂. Tumemnunulia uwanja,hati tumeadika jina lake😂. Tatizo ni kuandika jina la Taasisi😂. Au wewe hujaelewa hii kitu🙄
Mmekufa mmekufa mmekufa. Wito wa Mungu huo unawajia wakuu wa Makuhani TAG na mabaraza yenu mnakaa vikao vya kipuuzi. Natumaini Yesu enzi zake angewacharaza bakora Askofu mtokambali na Genge lako maana TAG yetu mnalifanya pango la wanyang'anyi. Sikukuu zote za Kanisa ni kuchangia fedha binafsi wachungaji . Muigeni Magembe nyie viongozi wetu matumbo
Yaani Ht Hawa Wazee Wanavyoimba Sura Zinaonekana Niza KIFARISAYO, KISADUKAYO Maana Haya Ndio Majitu Yaliyomwua Yesu Kristo [Neno]. Makatili Sana, Farisayo Limoja Hapo Naliona Nalijua Nilishawahi Kuishi Kwake Ni Hovyoo Pagani Kabisa, Magembe Big Up Kukimbia Kwenye Kundi Hili La Hawa MBUZIIIH😠😠🤣🤣🤣😂🤣💪🤸
Ujumbe mkuu kwa kanisa YESU ANARUDI. JE UNAMALIZAJE MWENDO. IKIWA UTAKUFA SASA AU UNYAKUO UTAKUKUTA. EEH KANISA UNAMALIZAJE MWENDO. ISIWE KUWA UTUMISHI WAKO NA UMAARUFU WAKO UKAWA BURE. PAULO ANASEMA NAYAHESABU YOTE KUWA KAMA .... 😭😭😭😭😭😭
Mungu ana watu humu humu TAG waliojikana na anawatumia tuna mch Daudi, tunae Daniel, tunae Joseph Marwa na kuna wengine wapo kwenye vijiji labda wewe endelea kuwaza 1Wafm 19:18-19
Askofu kameta ameliweka/amelizungumzia hili jambo kwa hekima ya hali yajuu mnoo, kiasi kwamba kama kuna mT.A.G alifika hatua ya kumchukia mzee Maghembe, lazima arudishe moyo, i wish angelianza yeye tangu mwanzo, pengine mioyo ya baadhi ya watu isingejeruhika kiasi kikubwa.
TAG inaenda kuwa Kubwa sana Majarbu niviwango vya ukuwaji na ukomavu, Mulishinda kwa Kurola Uyo Magembe mdogo sana ana Mahajabu yoyote Kurola alikuwa na mahajabu atar lakin TAG ilizidi kuwa Imala, polen kwa Majarbu mumeshinda
Usiseme hivo kikubwa kuendelea kuliombea kanisa zaidi tunashukuru Mungu hili litapita kama upepo halitalichafua kanisa nasali Kkkt lakin kwenye haya mambo usidhanie ni aibu kwa TAG bali kwa kanisa nzima yaan wakristo waamini wote
Kabisa yaani, tuwe na shukrani na tuwe na fadhila katika maisha yetu hata kama much kaondoka kwa sababu zake kanisa linapaswa kutazama mbele na wala wasitumie kuondoka kwake ndo kumkomesha.Kanisa litumie busara ya hali ya juu.
Ilikuwa kidogo tuu nijiunge na kanisa hili kumbe wale wale Bora nibaki na YESU kwenye hii dhehebu langu, wengi wanaipenda dunia na mambo yaliyomo katika dunia,balaa hili.
Viongozihawa si wakusimamia imani,niwakutafta pesa,,wanajifariji watu watahama,,elimu nitatizo hawajamaa nahisi tatizo ni education,,niwapigaji Hawa hakuna neno lamungu ni unafikihapa,,
mwongopeni mungu mpaka mtumixhi wa mungu kuamua kutoka kwenye kanisa la tag hapo kuna bonge la tatizo kubwa tag tunakwenda wp viongozi mnatupeleka maeneo gn?
Mimi niliokokea T A G lkn niliumia kwa kitendo cha kumfukuza mchungaji Lukinddo kwa ubaya sana kisa alinunua kigari cha used kwa msaada wa wazungu,akina Swai wa kinondoni,huyu kanemba ni mtoto wa huyo mchungaji Lukindo alitefukuzwa
Laiti angeanza Askofu huyu kutoa kauli isingeleta shida katoa maelezo mazuri ya kutoshelesha lakini yule wa kwanza halafu ndiye mkubwa 😮😮 hotuba yake ilikuwa full vijembe na vichambo utafikiri mwanasiasa wa nchi X any way umeupiga mwingi askofu kameta umewakilisha kwa UZURI Ubarikiwe lakini yule mmmh hapa alituacha na????!!!!!???!!!!!!! Mingi mnoo
Dreva mzr haendeshi gari peke yake. Kuna kioo cha ndani, nje pande 2 (side mirrors), na kioo kikubwa cha dreva kuona barabara. Maana na umuhimu wa vioo hivi ni kuangalia siyo usalama wa gari analoliendesha dreva peke yake, bali magari mengine mbele na nyuma yake, watu ndani na nje ya gari na usalama wa kila kitu barabarani. Basi, pamoja na katiba na kanuni za kanisa ni vema kuangalia upepo uvumavyo kiroho nje ya mfumo wa utawala kunusuru hatima za wafuasi wetu.
Ukisema Ndoa ya miaka 85 haiwezi kushauriwa na mtu mwenye ndoa ya miaka 5 unakosea TAG ni Taasisi, TAG ni dhehebu sio kanisa Kanisa ni Watu, Ni rahisi kumshauri mtu aliekosea na anakubali makosa kuliko aliekosea na anajiona yuko sahihi..hawezi kubadilika. MUNGU ATUSAIDIE TAG🙏🏽
Ukiwa mjuaji kila mtu anamakosa kwako hasa ukiwa umejaa chuki kwa TAG hata kiongozi unamwona kama mkosa kwako bora kunyamaza ni hekima pia siyo lazima umnenee mabaya mkuu wa watu(Biblia isemavyo)
Hilo sio dhehebu ni dhehebu la wajanjawajanja wa mjini, sio la kwenda mbinguni mungu awaulumie nyie viongozi, wa TAG mungu hiko siku atawapiga viboko alivyo vipata farao kwa kuwayesa watu wa mungu msiwe kama kama chama cha ccm
baada ya wewe kuondoka umesikia kanisa limekufa,hatuongozwi na mtu,wapo wengi wakubwa waliondoka na bado kanisa lipo na linasonga mbele,haujalazimishwa TAG,hutaki pasha unataka kulelewa baki,Mungu anaheshimu sana uongozi so kama unajua kuna mtu anayumbishwa na huduma imekula kwako.
Wagalatia 2:11-16 Neno: Bibilia Takatifu Paulo Anampinga Petro 11 Lakini Petro alipofika Antiokia, mimi nilimpinga hadhar ani kwa kuwa alikuwa amekosea. 12 Kwa sababu kabla ya watu kadhaa waliotoka kwa Yakobo hawajafika, alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa mengine. Lakini baada ya hao watu kufika ali ji tenga, akaacha kula pamoja na watu wa mataifa mengine, kwa kuwaogopa wale wa kundi la tohara. 13 Pia Wayahudi wengine wal iungana naye katika unafiki huu, hata Barnaba naye akashawishika kuwaunga mkono. 14 Nilipoona kwamba msimamo wao kuhusu ukweli wa Injili hau kuwa wazi, nilimwambia Petro mbele za watu wote, “Ikiwa wewe uliye Myahudi unaishi kama watu wa mataifa, na huishi kama Myahudi, unawezaje kuwalazimisha watu wa mataifa mengine waishi kama Wayahudi?” Habari Njema Aliyohubiri Paulo
Uamshoo unatakiwa... Porojo hazitakiwi, kemeeni dhambi na mambo ya kidunia makanisani, kemeeniiiiii
Asante Kwa kutusanua washirika. Hatutaandika tena nembo ya TAG kwenye baadhi ya vitu tutakavyowanunulia wachungaji wetu.Mfano Magari! Nyumba za kuishi nk.
😂😂😂,
Nimecheka kwa sauti, ila nimewaza kwa kina sana
@@noelmarapachi1808 😂😂. Kwa hali hii hatuwezi. Maana katiba ni ya kibabe kama hivyo. Sasa akipokonywa nyumba katika hali ya uzee ataenda wapi?
Hata usipoandika itakuwa mali ya TAG
Khe hv kumbe hamumtoleagi kristo mnatoaga kw mutu hahaha😅
@@wechemakambo2182 Mimi ni TAG, kipenzi. Gari tumenunua mwaka jana tumeadika jina la mchungaji. 😂. Tumemnunulia uwanja,hati tumeadika jina lake😂. Tatizo ni kuandika jina la Taasisi😂. Au wewe hujaelewa hii kitu🙄
Asante sana kwa taarifa nzuri na kwa uongozi mzuri sana TAG ni kanisa zuri sana ❤❤❤
Ameni Ameni utukufu kwa Bwana hongereni viongozi wetu kwa kazi njema
Baba Askofu Mungu awabariki sana! Kama mwili wa Kristo siyo vizuri kuzifumbia macho roho za aina hii (kiburi) ni vizuri mlivyo muachia aende!
Kwamba aliyeondoka ana kiburi, MUNGU akusamehe sanaa
Mungu akusamehe Kwa kauli hii
Eti ana kiburi na Kulola mlisema hivyo
MUNGU akuhurimie hujui usemalo
Mmekufa mmekufa mmekufa. Wito wa Mungu huo unawajia wakuu wa Makuhani TAG na mabaraza yenu mnakaa vikao vya kipuuzi. Natumaini Yesu enzi zake angewacharaza bakora Askofu mtokambali na Genge lako maana TAG yetu mnalifanya pango la wanyang'anyi. Sikukuu zote za Kanisa ni kuchangia fedha binafsi wachungaji . Muigeni Magembe nyie viongozi wetu matumbo
Mungu awabariki sana tena sana Viongozi wetu
Yaani Ht Hawa Wazee Wanavyoimba Sura Zinaonekana Niza KIFARISAYO, KISADUKAYO Maana Haya Ndio Majitu Yaliyomwua Yesu Kristo [Neno]. Makatili Sana, Farisayo Limoja Hapo Naliona Nalijua Nilishawahi Kuishi Kwake Ni Hovyoo Pagani Kabisa, Magembe Big Up Kukimbia Kwenye Kundi Hili La Hawa MBUZIIIH😠😠🤣🤣🤣😂🤣💪🤸
Marudio ya mgogoro wa Kulora na Lazaro..
kazi ya Mungu ni ya Mungu tu,Jina la Bwana libarikiwe kwa ufafanuzi mnzuri ,ALL THE BEST TAG MAJUMBASITA
Hivi ndivyo hawa wazee wa dini walivyo muuwa Bwana Yesu
Ujumbe mkuu kwa kanisa
YESU ANARUDI. JE UNAMALIZAJE MWENDO. IKIWA UTAKUFA SASA AU UNYAKUO UTAKUKUTA.
EEH KANISA UNAMALIZAJE MWENDO. ISIWE KUWA UTUMISHI WAKO NA UMAARUFU WAKO UKAWA BURE.
PAULO ANASEMA NAYAHESABU YOTE KUWA KAMA ....
😭😭😭😭😭😭
Aleluyah... Kazi ya Mungu Iendelee Mtumishi wa Bwana Mchungaji Kanemba
Well said, glory to God.
Mmmh!
Wanadamu bhana🙌
N nlQ
Kazi na iendeleee
Duuuuuu😢 kanisa tuombe😢😢
Neno kanisa letu zuri nalichukia mana ni kweli linakuwa kanisa la kwenu si la Mungu
Umeeleweka baba a asielewa hauwezi kuwalazimisha.
Mungu bariki kanisa letu
Mh! Ishakuw din tuu sasa!
Askofu hekima yako ni kubwa sana, una Mungu na TAG ina MUNGU. MUNGU anirehemu mimi na sote ambao tulizungumza mabaya kwa kukurupuka.
Mungu WA TAG amepoaa
Hakuna alie juu ya sheria aliekua awali ameenda tofauti na miongozo ya dhehebu basi si vibaya akipisha aje atakae kubaliana na miongozo iliopo
Hata kama miongozo ni michafu
Kwani amekiuka kipengele gani?
Jamani tumuogopeni mungu.
Napongeza kwa kukabidhi mali ya Tag kwa amani pongezi kwa magembe bila chembe ya tamaa
MUNGU awabariki viongozi wetu sisi tunawaombeaa
TAG ishakufa. Kwishinei. Lipo kidini zaidi.
Hayo ni mawazo yako
Mungu ana watu humu humu TAG waliojikana na anawatumia tuna mch Daudi, tunae Daniel, tunae Joseph Marwa na kuna wengine wapo kwenye vijiji labda wewe endelea kuwaza 1Wafm 19:18-19
Wewe ndo ushajifia na utaicha hakuna wakuiua hata siku moja, umejifia wewe na utaicha ikiendelea kuchanua pole yako
@@saimonseleka8792Hao mtawakumbatia kwasababu hawakemei uchafu kama magembe,siku wakikemea mtawafukuza kama panya
Perception zako tu
Mungu akubariki sana baba Askofu
Ukitaka ugomvi na madhehebu gusa mali zao,lakini ukiondoka na watu hawana shida,shida iko kwenye mali kuliko roho za watu
Matumbo ya watu sio mchezoooo
Askofu kameta ameliweka/amelizungumzia hili jambo kwa hekima ya hali yajuu mnoo, kiasi kwamba kama kuna mT.A.G alifika hatua ya kumchukia mzee Maghembe, lazima arudishe moyo, i wish angelianza yeye tangu mwanzo, pengine mioyo ya baadhi ya watu isingejeruhika kiasi kikubwa.
Nzr sana hiyo
Huu ni ukomavu mkubwa wa uongozi. Barikiwa sana Bishop.
Mch Kanemba ni mashine ya kazi no worry
Angekuwa mashine ya kazi angekemea uchafu kama magembe
Nimesali sana kwenye kanisa lake, lkn MKE wake anajinadi sana na anamnadi sana mume wake Yani ni kama siasa Sasa... MKE wake udunia mwingiiii
Mchungaji kinembe big up
TAG inaenda kuwa Kubwa sana Majarbu niviwango vya ukuwaji na ukomavu, Mulishinda kwa Kurola Uyo Magembe mdogo sana ana Mahajabu yoyote Kurola alikuwa na mahajabu atar lakin TAG ilizidi kuwa Imala, polen kwa Majarbu mumeshinda
Wewe ni Mchanga sana kiroho,ombea kanisa,kanisa laweza pia kuanguka
Hujui hata unachokiongea dini imekufunga
Usiseme hivo kikubwa kuendelea kuliombea kanisa zaidi tunashukuru Mungu hili litapita kama upepo halitalichafua kanisa nasali Kkkt lakin kwenye haya mambo usidhanie ni aibu kwa TAG bali kwa kanisa nzima yaan wakristo waamini wote
Hali ya kanisa unaiona ni nzuriii???? Ukomavu WA KIROHO bila UAMSHO,?? Ukomavu WA kiroho na makanisani usanii ni mwingi!!!???
Ni kwel kabisa linaenda kuw kubw km dini nyingine likiwa na wapenz kila kona ila yamkin bila Mungu.
Mchungaji ameondoka mnampa zawadi gani kwa muda alio kaa na nyinyi na kuwaletea maendeleo
Kabisa yaani, tuwe na shukrani na tuwe na fadhila katika maisha yetu hata kama much kaondoka kwa sababu zake kanisa linapaswa kutazama mbele na wala wasitumie kuondoka kwake ndo kumkomesha.Kanisa litumie busara ya hali ya juu.
Fanyeni kazi ya Mungu ili tufike kwa Baba, acheni polojo na kulea uovu
Ilikuwa kidogo tuu nijiunge na kanisa hili kumbe wale wale Bora nibaki na YESU kwenye hii dhehebu langu, wengi wanaipenda dunia na mambo yaliyomo katika dunia,balaa hili.
Mh heri ubaki na dheheb lko lipi hlo pengne tungeshea mawazo?
Washirika mjifunze msinunue chochote kwajina lakanisa,,Hao niwachungaji wa viwanja magari na majengo,,nimakatilikweli,,alieletwa atachemka,,mungu hadhihakiwi mtakipata,, wema nimbegu huyumzee atapata vitu vya thamani zaidi yahivyo,,mmechoka kweli amewapa vyote kwa amani mtumishi wamungu ,,
Kuna maigizo, kukomoana, ubinadamu. Kama yamefanyika kwa ajili ya Mungu na si maigizo au kumdhalilisha mtumishi mwenzenu, mbarikiwe
Tag kubwa weeee haitishiwi nyau
Et anaitishia kuondoka TAG aondoke ata na familia yake af asikilizie kama ..............
Et anaitishia kuondoka TAG aondoke ata na familia yake af asikilizie kama ..............
@@PaulMwenda-w9vMungu akusamehe
@@PaulMwenda-w9v dhehebu na udini ni changamoto
Pesa Tamu😊😊😊
❤...hiii ndio TAG sasa, magembe aende kwa amani na TAG inaenda mbele
Katika yote Yesu atukuzwe
Shida umewaza dini ukasahau wokovu ka tag ilivyo
Fact @@mgonzamsuya2039
Dini haimpeleki mtu mbinguni
😂😂😂hawa jamaaaa
Wayahudi
Mungu kama kwel kunanamna wamemuumiza Mzee magembe tunaomba utujibie kwa uwazi
Very sad
Ha ha haaaaa, Mungu atahukum kw hak sik hyo
Ila nyie muogopen mungu
Bwana Asifiwe watumishi ila mnajua kuwa yesu anawaona na yesu yupo hapa duniani na a meingia kanisani kwanu na mmemkataa
Ametumika sana TAG huyo baba Magembe ,
Amna kazi yamungu hapo dada hizo nikazi na biashara zawatu niwatu Wanabuni miradi yaomesha lumbana vyakutosha ndio mna waza makabidhiano
Hamna lolote Magembe kawachana makavu
Mnatangaza kumujuwa MUNGU au kanisa nibiashala Kwa sasa
Tamaa na mali na kushindwa kukemea dhambi
Ni urahisi kunena kinywani, ila kweli ipo moyoni, achunguzaye MIOYO ajua kweli yote.
Wezi2
Magembe mumemshukuru?😅
Viongozihawa si wakusimamia imani,niwakutafta pesa,,wanajifariji watu watahama,,elimu nitatizo hawajamaa nahisi tatizo ni education,,niwapigaji Hawa hakuna neno lamungu ni unafikihapa,,
Na wote wako na vitambi 😅
mwongopeni mungu mpaka mtumixhi wa mungu kuamua kutoka kwenye kanisa la tag hapo kuna bonge la tatizo kubwa tag tunakwenda wp viongozi mnatupeleka maeneo gn?
Mema gani mnamfukuza mtu kwenye kanisa aliloteseka nalo,mbingu gani mnaenda,Mungu yupi mnamtumikia?
Ameni
Mimi niliokokea T A G lkn niliumia kwa kitendo cha kumfukuza mchungaji Lukinddo kwa ubaya sana kisa alinunua kigari cha used kwa msaada wa wazungu,akina Swai wa kinondoni,huyu kanemba ni mtoto wa huyo mchungaji Lukindo alitefukuzwa
Laiti angeanza Askofu huyu kutoa kauli isingeleta shida katoa maelezo mazuri ya kutoshelesha lakini yule wa kwanza halafu ndiye mkubwa 😮😮 hotuba yake ilikuwa full vijembe na vichambo utafikiri mwanasiasa wa nchi X any way umeupiga mwingi askofu kameta umewakilisha kwa UZURI Ubarikiwe lakini yule mmmh hapa alituacha na????!!!!!???!!!!!!! Mingi mnoo
Kweli kabisa yule alijaa machambo tu. Angalau huyu anahekima sana
Sisi tunaangalia tu mbele
Ila endesheni kanisa kama taasisi pia punguzeni michango
Ila Kesho itasema
Wezi tu nyie
Kazi kuwatuma waumini wenu wanapita kwenye bars kuchangisha walevi
Ndo maana sijawahi kuukubali mfumo wa sadaka wa makanisani.
Dreva mzr haendeshi gari peke yake. Kuna kioo cha ndani, nje pande 2 (side mirrors), na kioo kikubwa cha dreva kuona barabara. Maana na umuhimu wa vioo hivi ni kuangalia siyo usalama wa gari analoliendesha dreva peke yake, bali magari mengine mbele na nyuma yake, watu ndani na nje ya gari na usalama wa kila kitu barabarani. Basi, pamoja na katiba na kanuni za kanisa ni vema kuangalia upepo uvumavyo kiroho nje ya mfumo wa utawala kunusuru hatima za wafuasi wetu.
Mwaka bado aujaisha tutaona mengi sana mpka mali za kanisani zina madalali mengi tutaona bora wange maliza tu kihekima kuliko hekaheka za kuvuana utu
mnge mwachia tu huyo mzee magembe hilo gali kalitumikia kanisa miaka 50 ni mingi mno..
Lakini jamani mngempa hata gari Moja kama hamna ugonvi kweli
Janja janja
Ukisema Ndoa ya miaka 85 haiwezi kushauriwa na mtu mwenye ndoa ya miaka 5 unakosea
TAG ni Taasisi, TAG ni dhehebu sio kanisa
Kanisa ni Watu,
Ni rahisi kumshauri mtu aliekosea na anakubali makosa kuliko aliekosea na anajiona yuko sahihi..hawezi kubadilika. MUNGU ATUSAIDIE TAG🙏🏽
Unaeza mfuata tu magembe usijilazimishe kikubaki TAG kama haupendi
@@PaulMwenda-w9vkuwa mwelewa kwani hakuna wachungaji vijana wanachunga wazee na kewasaidia katika kunjua Mungu na hata katika mambo ya kifamilia
Ukiwa mjuaji kila mtu anamakosa kwako hasa ukiwa umejaa chuki kwa TAG hata kiongozi unamwona kama mkosa kwako bora kunyamaza ni hekima pia siyo lazima umnenee mabaya mkuu wa watu(Biblia isemavyo)
@@PaulMwenda-w9v kwa taarifa yako Baba yangu ni Askofu wa TAG so endelea kutetea dini kama itakupeleka mbinguni. KRISTO NDIE NJIA YETU SIO DHEHEBU
@@EmmanuelMwanjala Wewe mbona hujanyamaza 🤣
Eti gari ya mchungaji ni mali ya TAG
Hakuna lolote roho mbaya tu yaan mtu atumike zaidi ya miaka 56 ,Leo munanyanganya Hadi gari kwahyo tag yote hakunako hata mmoja aliye na roho wa mungu
Ndivyo walivyo watu waovu,wanachukua vyote bila ulivyo jinyima wewe na familia yako
Hilo sio dhehebu ni dhehebu la wajanjawajanja wa mjini, sio la kwenda mbinguni mungu awaulumie nyie viongozi, wa TAG mungu hiko siku atawapiga viboko alivyo vipata farao kwa kuwayesa watu wa mungu msiwe kama kama chama cha ccm
Leave them mind your business
TAG TAG TAG ,,,, Jina na ukubwa wa dhehebu usiwafanye kujihesabia haki, kwanini kukataa kukosolewa ,
Katika yooote yaliyo tokea kumbukeni kwamba tunapita duniani sio kwetu mali zote tutaziacha
Kiburi Cha KIDINI kwamba nyie ni WA zamani
Wezi Tu hawa,,,,wanaibia watu sadaka,,,,,mijitu mizima,,,hapana hata aibu
😢
T.A.G imekufa haibadiliki tunabakia hapo
Na ile tigo pesa iliyowekwa magomeni itakuwaje na yupo mchungaji mwingine
Lazima waanze kukombaniaaa😅
TAG wanafanya kazi ya Mungu kama siasa...nilioa na kufungia ndoa huko lkn nimehamia fpct kwa sasa
Humo kuna maagent wengi sana sasa hivi.
Kaka Gerald fpct nako yale yale, je unakumbuka enzi ya askofu mkuu tz batenzi, na eliekuwa muhasibu wa fpct tz mzee tawale? Msingi ni kwenda zako.
baada ya wewe kuondoka umesikia kanisa limekufa,hatuongozwi na mtu,wapo wengi wakubwa waliondoka na bado kanisa lipo na linasonga mbele,haujalazimishwa TAG,hutaki pasha unataka kulelewa baki,Mungu anaheshimu sana uongozi so kama unajua kuna mtu anayumbishwa na huduma imekula kwako.
@@noelmasambuli2737 hoja yako hapa ni nini? Nimejaribu kusoma zaidi ya mara moja sijakuelewa bado
@@FrankMandanda Batenzi namfahamu lkn kuhusu hicho kisa sifahamu kabisa
Lipo kubwa linakuja TAG, kwa Nini kutoa milioni moja mbele ya kamera, , kuburi kitawaagusha
Tubadili jina tuite majumba 7 itasaidia uamsho...Namba 7 ni ya muhimu biblically.
Centralised 😂😂😂😂
Mungu,wetu.anajibu.kwa.wakati.yeye,ndiye.anae.tujua.tuache.kujiinua.mtumikien.mungu😅
Mamlaka inaonekana zaidi kuliko injili
Makanisa sikuhizi yamegeuzwa mitaji ya biashara za watu
Wagalatia 2:11-16
Neno: Bibilia Takatifu
Paulo Anampinga Petro
11 Lakini Petro alipofika Antiokia, mimi nilimpinga hadhar ani kwa kuwa alikuwa amekosea. 12 Kwa sababu kabla ya watu kadhaa waliotoka kwa Yakobo hawajafika, alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa mengine. Lakini baada ya hao watu kufika ali ji tenga, akaacha kula pamoja na watu wa mataifa mengine, kwa kuwaogopa wale wa kundi la tohara. 13 Pia Wayahudi wengine wal iungana naye katika unafiki huu, hata Barnaba naye akashawishika kuwaunga mkono.
14 Nilipoona kwamba msimamo wao kuhusu ukweli wa Injili hau kuwa wazi, nilimwambia Petro mbele za watu wote, “Ikiwa wewe uliye Myahudi unaishi kama watu wa mataifa, na huishi kama Myahudi, unawezaje kuwalazimisha watu wa mataifa mengine waishi kama Wayahudi?” Habari Njema Aliyohubiri Paulo
Hypocrisy will kill u people