POLISI WAMEMNASA DADA wa KAZI ANAYETUHUMIWA KUMJERUHI MTOTO SHINGONI - ANASWA KWENYE JUMBA BOVU
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- POLISI WAMEMNASA DADA wa KAZI ANAYETUHUMIWA KUMJERUHI MTOTO SHINGONI - ANASWA KWENYE JUMBA BOVU
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Duu bora aisee hebu ahojiwe vizuri tujue ilikua kuaje huenda kuna watu walishirikiana nae wazizi pia tuwe makini na watoto wetu
Pole mama mungu nimwema atapona
Huyo mtoto hawezi kumchinja mtoto rabunda rakini sizani
Kweli kabisa afande ❤❤❤❤
Polisi wakikutaka rafiki yangu unapatikana, labda ujifiche kaburini. Nahata hivyo, unaweza fukuliwa.
Walezi wengine wanajeuri ukte binti alkuw ananyanysika ndo shetan kamuingia duuuh
We bint nakuonea urum wamuoj vizur ukut kun mtu kamtum daah na kam maboss wananyanyas bor hat ungemuach kwa jiran na kuondok
Yan kumkamata house gal mnatangaza kwa ushindi hivyo mngewakamata walomteka sativa ningeona mko vizuri lakini hako ka bint hata mm ningekadaka😎
Sàsa wewe hicho umeona nimkitumkidogo? Wahalifu wote wanatakiwa kukamatwa.
@@BenedictaMagantg we nawe sijui mke wa polisi unakiherehere km wao nadhani hujasoma kichwa cha habari na ujue namaana gan nahisi km ulisoma sekondari ulipata 0
@@PrinceHendry-hp8vv😂
Allar zaidi kumlinda mtt wetu apone
Duh kumbe jina tu milembe wampime akili kwanza
😢
Kwanza huyo mama mwenye mtoto anatakiwa ashtakiwe kwa kosa la kuajiri mtoto alive chini ya umri ulio chini ya miaka 18 kwani naye bado ni mtoto ....
Unadhan kila sheria kuifuata utaweza kikubwa waajir kuwa na utu
Bint wa zaid ya miaka 18 kuishi naye yataka moyo mana n mkubwa mwenzio
Majina mengine ni liana aitwe milembe sasa mnaona alichokifanya
Dunia hii bint mdogo utasema nn kizimban .
Kumbe hajashikwa au
Amekamatwa