POLISI WAMEMNASA DADA wa KAZI ANAYETUHUMIWA KUMJERUHI MTOTO SHINGONI - ANASWA KWENYE JUMBA BOVU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • POLISI WAMEMNASA DADA wa KAZI ANAYETUHUMIWA KUMJERUHI MTOTO SHINGONI - ANASWA KWENYE JUMBA BOVU
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 21

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 месяца назад +2

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @shamimuabdallah8801
    @shamimuabdallah8801 2 месяца назад +4

    Duu bora aisee hebu ahojiwe vizuri tujue ilikua kuaje huenda kuna watu walishirikiana nae wazizi pia tuwe makini na watoto wetu

  • @zawadikajuna3522
    @zawadikajuna3522 2 месяца назад

    Pole mama mungu nimwema atapona

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 2 месяца назад +3

    Huyo mtoto hawezi kumchinja mtoto rabunda rakini sizani

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 2 месяца назад

    Kweli kabisa afande ❤❤❤❤

  • @rahimhamza557
    @rahimhamza557 2 месяца назад

    Polisi wakikutaka rafiki yangu unapatikana, labda ujifiche kaburini. Nahata hivyo, unaweza fukuliwa.

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 2 месяца назад +1

    Walezi wengine wanajeuri ukte binti alkuw ananyanysika ndo shetan kamuingia duuuh

  • @NoelaJohn-p5d
    @NoelaJohn-p5d 2 месяца назад +1

    We bint nakuonea urum wamuoj vizur ukut kun mtu kamtum daah na kam maboss wananyanyas bor hat ungemuach kwa jiran na kuondok

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 2 месяца назад +3

    Yan kumkamata house gal mnatangaza kwa ushindi hivyo mngewakamata walomteka sativa ningeona mko vizuri lakini hako ka bint hata mm ningekadaka😎

    • @BenedictaMagantg
      @BenedictaMagantg 2 месяца назад +1

      Sàsa wewe hicho umeona nimkitumkidogo? Wahalifu wote wanatakiwa kukamatwa.

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 2 месяца назад

      @@BenedictaMagantg we nawe sijui mke wa polisi unakiherehere km wao nadhani hujasoma kichwa cha habari na ujue namaana gan nahisi km ulisoma sekondari ulipata 0

    • @teddygabriel5662
      @teddygabriel5662 2 месяца назад

      ​@@PrinceHendry-hp8vv😂

  • @AliAli-m5k9l
    @AliAli-m5k9l 2 месяца назад

    Allar zaidi kumlinda mtt wetu apone

  • @Zuu673
    @Zuu673 2 месяца назад

    Duh kumbe jina tu milembe wampime akili kwanza

  • @Mariamhaji-v7i
    @Mariamhaji-v7i 2 месяца назад

    😢

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 2 месяца назад +2

    Kwanza huyo mama mwenye mtoto anatakiwa ashtakiwe kwa kosa la kuajiri mtoto alive chini ya umri ulio chini ya miaka 18 kwani naye bado ni mtoto ....

    • @teddygabriel5662
      @teddygabriel5662 2 месяца назад +1

      Unadhan kila sheria kuifuata utaweza kikubwa waajir kuwa na utu
      Bint wa zaid ya miaka 18 kuishi naye yataka moyo mana n mkubwa mwenzio

  • @SamsunGalaxy-e5k
    @SamsunGalaxy-e5k 2 месяца назад

    Majina mengine ni liana aitwe milembe sasa mnaona alichokifanya

  • @Saidy-eu1hc
    @Saidy-eu1hc 2 месяца назад

    Dunia hii bint mdogo utasema nn kizimban .

  • @hasinaalrahbi6681
    @hasinaalrahbi6681 2 месяца назад

    Kumbe hajashikwa au