Ukweli usioujua kuhusu biashara ya FOREX, Prioh 360 aeleza kwanini wengi WANAFELI au kuwa MATAPELI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Prioh 360 akizungumza kuhusu Forex Trading kwenye event ya Maujanja Meet Up iliyofanyika April 29 SeedSpace Tanzanite Park, Victoria Bagamoyo Road, Dar
    Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Комментарии • 137

  • @geofreymanyologa9489
    @geofreymanyologa9489 Год назад +22

    Forex ni ww na saikolojia yako dhidi ya Market,biashara nyingine zinatofautiana na Forex padogo sana kwmb zenyewe hazihusiani chcht na saikolojia ya mtu ila Forex ina kitu kinaitwa market psychology na hapo ndipo traders wanapo iona ngumu na wengine wana fanikiwa wanapo ishinda saikolojia ya soko....Forex hautaki watu wenye emotions,naomba niishie hapo

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui Год назад +15

    SnS nyinyi ndo media pekee mliojitolea kuwaelimisha watanzania. kuhusu technology ya financial markets, wenzetu wasauz, WA Kenya,WA Uganda, Botswana wako mbal sana kwenye hii industry sisi bado Kuna wapuuz wanaamin forex is scam

  • @TomFelix-s9t
    @TomFelix-s9t Год назад +21

    huyu ni trader wa ukweli, sijasema ni big boss, anachokiongea anakifanya , safi, nimejuaje msiniulize

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Год назад

      yupo Honest anajua kazi yake

  • @kenyre697
    @kenyre697 Год назад +13

    Kinachofanya wafeli ni kukosa displine ya risk management na kukosa consistency and greedy before akue guru waku analyse market na kupredict

  • @alphamchele672
    @alphamchele672 9 месяцев назад +3

    Nimegundua ukiwa forex automatically unajikuta ukakiongea kimombo😂😂

  • @waltertesha3312
    @waltertesha3312 Год назад +6

    Kama mtu unataka kufanya hii biashara cha kwanza kabisa ni lugha jifunze kingereza kwanza maana forex kilakitu ni kwa kingereza, cha. Pili mtu uwe na kazi ya kukuingizia kipato cha kukidhi mahitaji muhimu kabisa kama chakula, mavazi, makazi yani kodi ya nyumba na pesa ya bando, cha tatu ni kusoma soma, soma, soma, soma tena forex inachukua muda kuimaster mm mwenyewe ninajifunza kila uchao na sio kusoma tu ni kuifanya pia yani kuweka trade zako na hii ni kwa kutumia demo acc. Na wazungu sio wajinga kuweka demo yani wanajua ni ngumu ndio maana wakaiweka kwahiyo fanya kwanza kwa kutumia demo na demo yako ifanye iwe kama real acc utaanza kielewa forex taratibu............ vitu vingine vya msingi sana mwamba kashaelezea hapo mm mwenyewe bado niko kwanye njia ya kujifunza nimeona nishee hivi vidogo ninavyovifahamu

    • @mack_B.
      @mack_B. Год назад

      Bro wewe umenishibisha sasa hyo ulioongea ndio nimeziba pengo langu la dilema unajua nmeshanunua computer nko na mentor anaenifundisha sasa nna kamtaj kangu ndo kalikua ka urithi nliomba nianze biashara sasa km mil1.5 ndio nko nawaza jmn hiviii na research nliofanya ntatoboa man unaambiwa loss haikwepeki af cna kitegauchumi kingne nakutegemea nikipita mitandaon kilamtu anasema ilimchukua Muda c chini ya mwaka ad kuja kuanza kunufaika sasa kamtaj kenyew ndo hko hpo nitegemee kula kunywa na Ninamtt mchanga na Lea BDO nisome maan ndo nasoma cjaanza ht demo ila nna passion haswa ya kufanya forex ila ndo ivyo mtaj nikiingiza huko ndo unaeza kubebwa je ntakua mgen wa Nan ingekua unapatkn kwa Muda mfupi ningeelekeza huko kwa haraka

  • @kenyre697
    @kenyre697 Год назад +10

    Forex is the way to go wewe unakaatu kwa apartment yako ikifika friday unaanza kupiga watu hawaelewi kumbe wewe uko na madollar

  • @kendricgeorge603
    @kendricgeorge603 Год назад +12

    Mmh hii ni introduction tu, Nipo kwenye game kwa miaka mitatu now, ila naona kila mtu anajua anachokijua, but in reality forex is all about knowing that hakuna strategy sokoni, unahitaji kujua kusoma price action, na hakuna NAMNA nyingine ya kusoma chart isipokua kujumuisha time and price, siku zote time inaanza then price inafata, kwa hiyo kitu pekee unachoweza kukifanya katika market ni kufuatilia ni mda gani, price Inafanya kitu gani, elewa sessions in details, ila kitu kingine kuwa na objectives za week, elewa candlestick ya week Inaweza ikaelekea wapi, ukishaelewa Sasa tumia hiyo logic week nzima kuelekea kule unakotaka kuelekea, epuka kuwa na idea za busing and selling pressure, wazee mtapotea. Market is not random. Market is being run algorithmically, Kama huamini basi 😊😊

    • @tygerabdully6250
      @tygerabdully6250 Год назад +3

      😂😂😂😂😂😂😂 dah we ni real trader man,hii siri tunaijua wachache sanaa man, lakn kuna some of the people bado wanatrade garbage ambazo wanasoma kwenye vitabu na kwenye internet, bila kujua kwamba price iko na algorithm yake na hyo algorithm lazma iwe according to time. Ila wanaobisha unawaacha waendelee kuuziwa course na signal ambazo wanaozitoa hawaelew pia wanachokifanya sokon😂

    • @yusuphkilamuhama
      @yusuphkilamuhama Год назад

      Mambo vipi kaka naomba namba yako

    • @collinsstanley6126
      @collinsstanley6126 Год назад

      Kendrick naomba namb yako bruh ineed ur assistance
      💯💯💯

    • @dominicsule6999
      @dominicsule6999 Год назад

      hayo yote ndio yanatengeneza strategy buy or sell

    • @isackjulius1832
      @isackjulius1832 Год назад

      Mkuu msaada wa namba yako tafadhari

  • @eldephoncemalley4816
    @eldephoncemalley4816 Год назад +7

    Qnet wengi matapeli mbona inaonekana wapo wanaotumia Qnet original vibaya

  • @jumarwambo7420
    @jumarwambo7420 Год назад +14

    Forex is real sema tz bado watu hawaielewi

    • @kenyre697
      @kenyre697 Год назад +2

      Shida nikizungu kuelewa izo terms bt uku kwetu kenya tunaichapa mbaya sana

    • @kenyre697
      @kenyre697 Год назад +2

      Waanze na binary options it's easy to trade

    • @kenyre697
      @kenyre697 Год назад +2

      Forex, stocks and bonds ni account aifai kukosa

    • @michaelsamson9663
      @michaelsamson9663 Год назад +1

      @@kenyre697 Kuna faida

    • @RamadhaniRajabu-rs2yd
      @RamadhaniRajabu-rs2yd Год назад

      Tanzania watu hawapend kusoma vitu kma hv watakuambia utapel cha kushangaa wanTapeliwa na tuma hela kwa hii namb

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Год назад +7

    Nataman kujifunza vip Kuna faida kubwa

  • @leadflavour_tz
    @leadflavour_tz Год назад +7

    Forex bhana 😅 nili trade nkapiga Pesa 💸 Sana lakini kama una stress usiingie Sokoni ku trade, pia kabla ya kufanya maswala Soma hali ya hewa kwanza, inalipa kinoma. #BLUE ndo rangi yetu Wanangu japo si rahisi, we're risk takers.

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Год назад +3

    kutaka hela kwa njia rahisi ni risk sana

  • @emmanueltimba1011
    @emmanueltimba1011 Год назад +3

    Camera Man Inabid Ujue Unashoot Kipi Na Kwa Nini

  • @AnthonysTradingChannel
    @AnthonysTradingChannel Год назад +4

    Your video was well-explained, thank you for uploading.

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 Год назад +3

    Sky mim bnafx naomba uongelee kuhus Iyoo folex jmaa nmemskilza ila kun sehm smuelew

  • @KapamaMohamed-d9g
    @KapamaMohamed-d9g 8 месяцев назад +3

    Nampataje teacher uyo

  • @stephansonhenry-id4wg
    @stephansonhenry-id4wg Год назад +5

    Mindset ni muhimu,

  • @jodan82
    @jodan82 Год назад +6

    Believe what you know

  • @husseinkombo-3447
    @husseinkombo-3447 Год назад +3

    Uyu jamaa uenda ayuko vizuri kwenye kuelezea ila kwenye grafu za bussiness ni zaid ya wizard

  • @alimohamed4712
    @alimohamed4712 Год назад +4

    Hiki kichwa Kiko poa hatari sana

  • @mikemart3297
    @mikemart3297 2 месяца назад

    Punguza iyo kelele

  • @ptechn6184
    @ptechn6184 Год назад +1

    forex ni kamari kuna huwez buy alafu ukapata profit ni scam

  • @johncharles-bo6mc
    @johncharles-bo6mc 11 месяцев назад +1

    Ongea kiswaili uwaeleweshe watanzania wezako apo uelimishi

  • @pipsJoker
    @pipsJoker Год назад +1

    leo nimemuona kaka mkubwa 🤣🤣🤣🤣 muendeleee kutupa elimu ili tuje tupate cha kuwambia watoto wetu

  • @InvestmentTips_Global
    @InvestmentTips_Global Год назад +4

    Big up big man

  • @queenbibisha1961
    @queenbibisha1961 Год назад +3

    Sky tunaomba pia uihongeleye siku moja ili tuelewe zaidi

  • @EmmanuelKabipe-nr1np
    @EmmanuelKabipe-nr1np Год назад +2

    Presenter,your name plz

  • @allwd
    @allwd Год назад +5

    Hii video imenipa nguvu💪

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Год назад +3

    I appreciate 👊

  • @priscusfabian957
    @priscusfabian957 Год назад +8

    Forex is knowledge... prioh big up upo vizuri

  • @sheilaally9490
    @sheilaally9490 Год назад +5

    Wow

  • @thepenatech5102
    @thepenatech5102 Год назад +4

    Forex is real but only 1% win

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Год назад +2

    Mmh

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Год назад +1

    This guy knows wahtbis doing

  • @stonemsaku7416
    @stonemsaku7416 Год назад +4

    You tried to explain well! but Still it's foolish business

  • @hedarufines7763
    @hedarufines7763 Год назад +2

    Business

  • @gildasnyaki3812
    @gildasnyaki3812 Год назад +1

    Tuliofanya network marketing na tunatrade ni hustlers

    • @js-mi6xt
      @js-mi6xt Год назад

      Acha ujinga😅😅😅😅🙄🙄

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Год назад +1

    Swahili pamahani

  • @jonesleonard7249
    @jonesleonard7249 Год назад +4

    Good video. But let me talk about something important, I see that both young and old make mistakes that they shouldn't, I believe that everyone, young and old, should have an investment plan that increases their financial return from three to six figures, investing can be your retirement plan or your investment plan, whatever you want, but the most important thing is that you should have a profitable investment

    • @jonesleonard7249
      @jonesleonard7249 Год назад +1

      Investing in Forex or the cryptocurrency market needs a professional to guide you to avoid losses because the signals are not exactly easy to read, that's why you have to invest with an expert to get better profits.

    • @jonesleonard7249
      @jonesleonard7249 Год назад +1

      ​@pearlanderson8197I recommend Thomas Rodriguez his strategies are top notch and I depend on his trading patterns to make me profits I suggest you give him a try 💰💰💰

    • @jonesleonard7249
      @jonesleonard7249 Год назад +1

      I recommend Thomas Rodriguez his strategies are top notch and I depend on his trading patterns to make me profits I suggest you give him a try 💰💰💰

    • @jonesleonard7249
      @jonesleonard7249 Год назад +1

      He is active via TELEGRAMS...👇👇

    • @jonesleonard7249
      @jonesleonard7249 Год назад +1

      @Consultantrodriguez...💌💌

  • @1robbyposh
    @1robbyposh Год назад +1

    Safi

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 Год назад

    SNS KWANI HAMJAONA ASLAY KATOA#ALBAM???🇰🇪🇰🇪....

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 Год назад +1

    Well said🔥🔥

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Год назад +1

    Ok

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata3483 Год назад +2

    Mi binasfi psychology ndo ilionifanya nifeli na niachane nayo!

    • @alexandermilanzi9860
      @alexandermilanzi9860 Год назад

      Same to me....inanizingua sana

    • @ewaldkessy5989
      @ewaldkessy5989 Год назад +2

      Jifunze kusubiri setup ikamilike ,kingine zingatia risk management

    • @ewaldkessy5989
      @ewaldkessy5989 Год назад

      @@nyokonyoko7990 Wamesema kinachowasumbua ni psychology it means hao cyo newbies so wameshajifunza basic na strategy anayo ndo maana nimewaambia wajifunze kusubiri setup ikamilike kwa maana ya kwamba kufuata rules walizojiwekea na strategy wanayotumia then risk management nothing more

    • @getrudemkinga793
      @getrudemkinga793 Год назад

      Psychology unaijua vizuri?

    • @ewaldkessy5989
      @ewaldkessy5989 Год назад

      @@nyokonyoko7990 Mpaka mtu anasema kinachomsumbua ni psychology it means strategy tayari anayo anachotakiwa kufanya ni kustick kwenye hyo strategy kwa kusubiri setup ikamilike ndo aingie sokoni then ajifunze ku manage risk hpo atakuwa hajacheza na emotions zke cause ameingia kwenye high probability setup na ame risk kiasi ambacho yupo tayari kukipoteza Period.

  • @godlovemanase3423
    @godlovemanase3423 Год назад

    Uyu ni Pro trader ,naqubal saaana.

  • @RithaPhellan-qw3uh
    @RithaPhellan-qw3uh Год назад +2

    Safi kabisa huyu ni mwamba haswa,SNS mtafute na mwamba anaitwa Pipstorm,Pipsmakertz.....
    Forex is Real na nikiona baadhi ya wasiojua chochote wanaponda tu huwa inanishangaza na kuniumiza...
    Lakini maisha ni kuchagua njia uitakayo mwenyewe🤣🤣🤣

  • @kingnyamafutv8646
    @kingnyamafutv8646 Год назад

    Tunaomba mtuambie kuwa MTFE ni scama au ni sehem salama ya kuwekeza

    • @thynerwith130
      @thynerwith130 Год назад +2

      ushapata majibu sasa😂😂🤷🏾‍♀️

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 Год назад

    Unaongea sana

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 Год назад

    Huwa naboreka sana kuona mtanzania anazungumza na audience ambayo Ni ya kitanzania halafu akaanza kuchanganya lugha ya kingereza! Basi bora uongee kingereza kabisa tujue Ila huu ushamba wa sentensi moja kiswahili ya pili kingereza unaboa na unakata!

    • @themoredwamichano8636
      @themoredwamichano8636 Год назад

      Kabisa yan hapo anawafundisha tuu wanaojua hiyo biashara au wenye aidia nayo lakini kama mimi hapo sielewi hata kimoja

    • @classicscoresmartine9098
      @classicscoresmartine9098 Год назад

      Biashara inafanyika kwa kiingereza na course zote znafundisha na unasoma kwa kiingerza bro ko hakisei yupo sawa

  • @simonballu1124
    @simonballu1124 Год назад +3

    Q NET? 😂😂😂PUNGUZENI NJAA SNS TUNAWAAMINI ILA MNACHOKIFANYA KUWAPA AIRTIME HAWA MATAPELI TUTAANZA KUWAPUUZA HIVI Q NET HAMJUI KUWA NI MATAPELI , JUZI TU KALYANDA IMELIZA WATU LEO TENA UNALETA MAMBO YA NETWORK MARKETING, WATANZANIA WANAJIFUNZA SIO WAJINGA.

    • @IMANWILLIAM-bl2ui
      @IMANWILLIAM-bl2ui Год назад

      wewe jamaa unaishi ulimwengu WA 21century ukiwa na mindset za 19 century., kama unaamini Forex ni utapeli umefel aisee afu mpo weng sana

    • @beatricefrankngalubutu1448
      @beatricefrankngalubutu1448 Год назад

      Pole sana kama adi sasa ujui kua forex ni moja ya biashara kubwa dunian

    • @ptechn6184
      @ptechn6184 Год назад

      forex ni scam acha kudanganya watu forex ni kamari

    • @ptechn6184
      @ptechn6184 Год назад

      eti una buy alafu unapata profit hakuna hiyo kitu uwez buy bila ku sell alafu upate profit hiyo ni scam

    • @IMANWILLIAM-bl2ui
      @IMANWILLIAM-bl2ui Год назад

      @@ptechn6184 we jamaa kama umeamua kuwa mjinga na kuwa masikini Kaa na ujinga wako na umasikini wako, watu tume drop chuo sababu ya forex na tuna somesha wadogo zetu bcoz of forex pole sana Kwa adhabu uliyopewa ya ujinga

  • @stephansonhenry-id4wg
    @stephansonhenry-id4wg Год назад +1

    Babypips ndo msingi mzima wazee 😂

  • @mazengojohn2090
    @mazengojohn2090 Год назад

    Ogea kiswahii wew

  • @kenyre697
    @kenyre697 Год назад

    Huyu mtaamu wenyu hajawafafanulia vizuri amepitijia juju2

  • @EmmanuelKabipe-nr1np
    @EmmanuelKabipe-nr1np Год назад +2

    Well,good,excellent Presentation!!

  • @nyauclassictv805
    @nyauclassictv805 Год назад +1

    Tatizo la FOREX nasikia ni kama kamari I mean bahati nasibu bora Ufanye Sport Market kwenye crytpo......hauwezi poteza msingi wako au mtaji.

    • @farajithabiti8359
      @farajithabiti8359 Год назад +1

      Nipe maujanja kidogo boss kuhusu hiyo sports market kwenye crypto chief

    • @iammalinarda
      @iammalinarda Год назад

      Kumbe unasikia tu huna uhakika

    • @EREVUKATV
      @EREVUKATV Год назад

      Hii ulosema hapa Sport marketing ni nn kaka

  • @ENGAPUNEEMAACHANNEL
    @ENGAPUNEEMAACHANNEL Год назад

    Kiukweli niwambie ndg zangu wa Tanzania hakuna Hela inayo patikana kirahisi jaman nahasa Hawa watu wa kuchanganya laugh ni hatari sana chamsingi tu muweni makini sana

  • @chizcom4229
    @chizcom4229 Год назад

    saikoloji ya forex ni betting.ingekuwa kila mtu kuwini basi isingekuwa kila mtu

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 Год назад +1

    MTFE nayo mnaijua

    • @jofreykabobe
      @jofreykabobe Год назад

      Hao matapeli nanitofauti kabisa na Forex

    • @harmonize_tz774
      @harmonize_tz774 Год назад

      MTFE
      matapeli usithubutu utalia

    • @jofreykabobe
      @jofreykabobe Год назад

      @@nyokonyoko7990 wewe nae ni tapeli tu hayo MTFE sijui Qnet na Kalyanda na maplatform mengn ya namna hiyo ni yautapeli tu hakuna kitu utapata nakama ukipata bas ni bahati yako, kwan hujui wangap wamelizwa hizo platform au unakaza fuvu tu, ndezi wewe forex na crypto ndiyo real sio hayo maujinga yako

  • @DBSSportau
    @DBSSportau Год назад

    Forex ni kama kamali tuuh shauli yenu😂😂

    • @olesambekelaizer1117
      @olesambekelaizer1117 Год назад

      😂😂 endelea kuamini hivyo kama umeliwa wee uliingia bila silaha😂😂

    • @geofreymanyologa9489
      @geofreymanyologa9489 Год назад

      😂😂😂😂 haujui unacho kiongea ila ni sawa tu kwasababu Forex sio kwa kila mtu.

  • @iwambimpya1924
    @iwambimpya1924 Год назад +1

    scam

    • @introverthustler
      @introverthustler Год назад

      ushawah jaribu wakakuscam, au unaskiaga kuna scamers?

  • @samwelmrisho3476
    @samwelmrisho3476 Год назад

    Matapeli ninyi