Ukweli usioujua kuhusu biashara ya FOREX, Prioh 360 aeleza kwanini wengi WANAFELI au kuwa MATAPELI
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- Prioh 360 akizungumza kuhusu Forex Trading kwenye event ya Maujanja Meet Up iliyofanyika April 29 SeedSpace Tanzanite Park, Victoria Bagamoyo Road, Dar
Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Forex ni ww na saikolojia yako dhidi ya Market,biashara nyingine zinatofautiana na Forex padogo sana kwmb zenyewe hazihusiani chcht na saikolojia ya mtu ila Forex ina kitu kinaitwa market psychology na hapo ndipo traders wanapo iona ngumu na wengine wana fanikiwa wanapo ishinda saikolojia ya soko....Forex hautaki watu wenye emotions,naomba niishie hapo
SnS nyinyi ndo media pekee mliojitolea kuwaelimisha watanzania. kuhusu technology ya financial markets, wenzetu wasauz, WA Kenya,WA Uganda, Botswana wako mbal sana kwenye hii industry sisi bado Kuna wapuuz wanaamin forex is scam
huyu ni trader wa ukweli, sijasema ni big boss, anachokiongea anakifanya , safi, nimejuaje msiniulize
yupo Honest anajua kazi yake
Kinachofanya wafeli ni kukosa displine ya risk management na kukosa consistency and greedy before akue guru waku analyse market na kupredict
Nimegundua ukiwa forex automatically unajikuta ukakiongea kimombo😂😂
Kama mtu unataka kufanya hii biashara cha kwanza kabisa ni lugha jifunze kingereza kwanza maana forex kilakitu ni kwa kingereza, cha. Pili mtu uwe na kazi ya kukuingizia kipato cha kukidhi mahitaji muhimu kabisa kama chakula, mavazi, makazi yani kodi ya nyumba na pesa ya bando, cha tatu ni kusoma soma, soma, soma, soma tena forex inachukua muda kuimaster mm mwenyewe ninajifunza kila uchao na sio kusoma tu ni kuifanya pia yani kuweka trade zako na hii ni kwa kutumia demo acc. Na wazungu sio wajinga kuweka demo yani wanajua ni ngumu ndio maana wakaiweka kwahiyo fanya kwanza kwa kutumia demo na demo yako ifanye iwe kama real acc utaanza kielewa forex taratibu............ vitu vingine vya msingi sana mwamba kashaelezea hapo mm mwenyewe bado niko kwanye njia ya kujifunza nimeona nishee hivi vidogo ninavyovifahamu
Bro wewe umenishibisha sasa hyo ulioongea ndio nimeziba pengo langu la dilema unajua nmeshanunua computer nko na mentor anaenifundisha sasa nna kamtaj kangu ndo kalikua ka urithi nliomba nianze biashara sasa km mil1.5 ndio nko nawaza jmn hiviii na research nliofanya ntatoboa man unaambiwa loss haikwepeki af cna kitegauchumi kingne nakutegemea nikipita mitandaon kilamtu anasema ilimchukua Muda c chini ya mwaka ad kuja kuanza kunufaika sasa kamtaj kenyew ndo hko hpo nitegemee kula kunywa na Ninamtt mchanga na Lea BDO nisome maan ndo nasoma cjaanza ht demo ila nna passion haswa ya kufanya forex ila ndo ivyo mtaj nikiingiza huko ndo unaeza kubebwa je ntakua mgen wa Nan ingekua unapatkn kwa Muda mfupi ningeelekeza huko kwa haraka
Forex is the way to go wewe unakaatu kwa apartment yako ikifika friday unaanza kupiga watu hawaelewi kumbe wewe uko na madollar
Mmh hii ni introduction tu, Nipo kwenye game kwa miaka mitatu now, ila naona kila mtu anajua anachokijua, but in reality forex is all about knowing that hakuna strategy sokoni, unahitaji kujua kusoma price action, na hakuna NAMNA nyingine ya kusoma chart isipokua kujumuisha time and price, siku zote time inaanza then price inafata, kwa hiyo kitu pekee unachoweza kukifanya katika market ni kufuatilia ni mda gani, price Inafanya kitu gani, elewa sessions in details, ila kitu kingine kuwa na objectives za week, elewa candlestick ya week Inaweza ikaelekea wapi, ukishaelewa Sasa tumia hiyo logic week nzima kuelekea kule unakotaka kuelekea, epuka kuwa na idea za busing and selling pressure, wazee mtapotea. Market is not random. Market is being run algorithmically, Kama huamini basi 😊😊
😂😂😂😂😂😂😂 dah we ni real trader man,hii siri tunaijua wachache sanaa man, lakn kuna some of the people bado wanatrade garbage ambazo wanasoma kwenye vitabu na kwenye internet, bila kujua kwamba price iko na algorithm yake na hyo algorithm lazma iwe according to time. Ila wanaobisha unawaacha waendelee kuuziwa course na signal ambazo wanaozitoa hawaelew pia wanachokifanya sokon😂
Mambo vipi kaka naomba namba yako
Kendrick naomba namb yako bruh ineed ur assistance
💯💯💯
hayo yote ndio yanatengeneza strategy buy or sell
Mkuu msaada wa namba yako tafadhari
Qnet wengi matapeli mbona inaonekana wapo wanaotumia Qnet original vibaya
Forex is real sema tz bado watu hawaielewi
Shida nikizungu kuelewa izo terms bt uku kwetu kenya tunaichapa mbaya sana
Waanze na binary options it's easy to trade
Forex, stocks and bonds ni account aifai kukosa
@@kenyre697 Kuna faida
Tanzania watu hawapend kusoma vitu kma hv watakuambia utapel cha kushangaa wanTapeliwa na tuma hela kwa hii namb
Nataman kujifunza vip Kuna faida kubwa
Forex bhana 😅 nili trade nkapiga Pesa 💸 Sana lakini kama una stress usiingie Sokoni ku trade, pia kabla ya kufanya maswala Soma hali ya hewa kwanza, inalipa kinoma. #BLUE ndo rangi yetu Wanangu japo si rahisi, we're risk takers.
kutaka hela kwa njia rahisi ni risk sana
Camera Man Inabid Ujue Unashoot Kipi Na Kwa Nini
Your video was well-explained, thank you for uploading.
Sky mim bnafx naomba uongelee kuhus Iyoo folex jmaa nmemskilza ila kun sehm smuelew
Nampataje teacher uyo
Mindset ni muhimu,
Believe what you know
Uyu jamaa uenda ayuko vizuri kwenye kuelezea ila kwenye grafu za bussiness ni zaid ya wizard
Sina shaka na hili
Hiki kichwa Kiko poa hatari sana
Punguza iyo kelele
forex ni kamari kuna huwez buy alafu ukapata profit ni scam
Ongea kiswaili uwaeleweshe watanzania wezako apo uelimishi
leo nimemuona kaka mkubwa 🤣🤣🤣🤣 muendeleee kutupa elimu ili tuje tupate cha kuwambia watoto wetu
Big up big man
Sky tunaomba pia uihongeleye siku moja ili tuelewe zaidi
Unataman kujua kuhusu nn mamy
@@johnedward2856 umekua sky😂
ii kwelii Sky tunaomba uongelee ii kitu
@@bajosdamour2347 😂😂
We nae si uingie RUclips uliza kila kitu vipo
forex n nn
Brokers
Terms za forex
yaani kila kitu
Presenter,your name plz
Hii video imenipa nguvu💪
sawa
MTFE unaijua
@@barakanyamafu5937 ndo nin!?
@@allwd ingia you Tobe type MTFE utapata maelezo ninzuri
I appreciate 👊
Forex is knowledge... prioh big up upo vizuri
Wow
keep pushing
Forex is real but only 1% win
Only 0.5% win
Why can't you be among those 1%?
Forex ni mzan wa predict na analysis of market
Mmh
This guy knows wahtbis doing
You tried to explain well! but Still it's foolish business
Business
Tuliofanya network marketing na tunatrade ni hustlers
Acha ujinga😅😅😅😅🙄🙄
Swahili pamahani
Good video. But let me talk about something important, I see that both young and old make mistakes that they shouldn't, I believe that everyone, young and old, should have an investment plan that increases their financial return from three to six figures, investing can be your retirement plan or your investment plan, whatever you want, but the most important thing is that you should have a profitable investment
Investing in Forex or the cryptocurrency market needs a professional to guide you to avoid losses because the signals are not exactly easy to read, that's why you have to invest with an expert to get better profits.
@pearlanderson8197I recommend Thomas Rodriguez his strategies are top notch and I depend on his trading patterns to make me profits I suggest you give him a try 💰💰💰
I recommend Thomas Rodriguez his strategies are top notch and I depend on his trading patterns to make me profits I suggest you give him a try 💰💰💰
He is active via TELEGRAMS...👇👇
@Consultantrodriguez...💌💌
Safi
SNS KWANI HAMJAONA ASLAY KATOA#ALBAM???🇰🇪🇰🇪....
Well said🔥🔥
Ok
Mi binasfi psychology ndo ilionifanya nifeli na niachane nayo!
Same to me....inanizingua sana
Jifunze kusubiri setup ikamilike ,kingine zingatia risk management
@@nyokonyoko7990 Wamesema kinachowasumbua ni psychology it means hao cyo newbies so wameshajifunza basic na strategy anayo ndo maana nimewaambia wajifunze kusubiri setup ikamilike kwa maana ya kwamba kufuata rules walizojiwekea na strategy wanayotumia then risk management nothing more
Psychology unaijua vizuri?
@@nyokonyoko7990 Mpaka mtu anasema kinachomsumbua ni psychology it means strategy tayari anayo anachotakiwa kufanya ni kustick kwenye hyo strategy kwa kusubiri setup ikamilike ndo aingie sokoni then ajifunze ku manage risk hpo atakuwa hajacheza na emotions zke cause ameingia kwenye high probability setup na ame risk kiasi ambacho yupo tayari kukipoteza Period.
Uyu ni Pro trader ,naqubal saaana.
Safi kabisa huyu ni mwamba haswa,SNS mtafute na mwamba anaitwa Pipstorm,Pipsmakertz.....
Forex is Real na nikiona baadhi ya wasiojua chochote wanaponda tu huwa inanishangaza na kuniumiza...
Lakini maisha ni kuchagua njia uitakayo mwenyewe🤣🤣🤣
How can I know like them kaka?
Tunaomba mtuambie kuwa MTFE ni scama au ni sehem salama ya kuwekeza
ushapata majibu sasa😂😂🤷🏾♀️
Unaongea sana
Huwa naboreka sana kuona mtanzania anazungumza na audience ambayo Ni ya kitanzania halafu akaanza kuchanganya lugha ya kingereza! Basi bora uongee kingereza kabisa tujue Ila huu ushamba wa sentensi moja kiswahili ya pili kingereza unaboa na unakata!
Kabisa yan hapo anawafundisha tuu wanaojua hiyo biashara au wenye aidia nayo lakini kama mimi hapo sielewi hata kimoja
Biashara inafanyika kwa kiingereza na course zote znafundisha na unasoma kwa kiingerza bro ko hakisei yupo sawa
Q NET? 😂😂😂PUNGUZENI NJAA SNS TUNAWAAMINI ILA MNACHOKIFANYA KUWAPA AIRTIME HAWA MATAPELI TUTAANZA KUWAPUUZA HIVI Q NET HAMJUI KUWA NI MATAPELI , JUZI TU KALYANDA IMELIZA WATU LEO TENA UNALETA MAMBO YA NETWORK MARKETING, WATANZANIA WANAJIFUNZA SIO WAJINGA.
wewe jamaa unaishi ulimwengu WA 21century ukiwa na mindset za 19 century., kama unaamini Forex ni utapeli umefel aisee afu mpo weng sana
Pole sana kama adi sasa ujui kua forex ni moja ya biashara kubwa dunian
forex ni scam acha kudanganya watu forex ni kamari
eti una buy alafu unapata profit hakuna hiyo kitu uwez buy bila ku sell alafu upate profit hiyo ni scam
@@ptechn6184 we jamaa kama umeamua kuwa mjinga na kuwa masikini Kaa na ujinga wako na umasikini wako, watu tume drop chuo sababu ya forex na tuna somesha wadogo zetu bcoz of forex pole sana Kwa adhabu uliyopewa ya ujinga
Babypips ndo msingi mzima wazee 😂
Ogea kiswahii wew
😀😀😀 uzungu mwingi unaboa
Huyu mtaamu wenyu hajawafafanulia vizuri amepitijia juju2
Kaacha nini?
vingi sn apo kaviacha
na sio kuwa lbda ajui anajua ila wa bongo wanatshana sn
Well,good,excellent Presentation!!
Tatizo la FOREX nasikia ni kama kamari I mean bahati nasibu bora Ufanye Sport Market kwenye crytpo......hauwezi poteza msingi wako au mtaji.
Nipe maujanja kidogo boss kuhusu hiyo sports market kwenye crypto chief
Kumbe unasikia tu huna uhakika
Hii ulosema hapa Sport marketing ni nn kaka
Kiukweli niwambie ndg zangu wa Tanzania hakuna Hela inayo patikana kirahisi jaman nahasa Hawa watu wa kuchanganya laugh ni hatari sana chamsingi tu muweni makini sana
saikoloji ya forex ni betting.ingekuwa kila mtu kuwini basi isingekuwa kila mtu
MTFE nayo mnaijua
Hao matapeli nanitofauti kabisa na Forex
MTFE
matapeli usithubutu utalia
@@nyokonyoko7990 wewe nae ni tapeli tu hayo MTFE sijui Qnet na Kalyanda na maplatform mengn ya namna hiyo ni yautapeli tu hakuna kitu utapata nakama ukipata bas ni bahati yako, kwan hujui wangap wamelizwa hizo platform au unakaza fuvu tu, ndezi wewe forex na crypto ndiyo real sio hayo maujinga yako
Forex ni kama kamali tuuh shauli yenu😂😂
😂😂 endelea kuamini hivyo kama umeliwa wee uliingia bila silaha😂😂
😂😂😂😂 haujui unacho kiongea ila ni sawa tu kwasababu Forex sio kwa kila mtu.
scam
ushawah jaribu wakakuscam, au unaskiaga kuna scamers?
Matapeli ninyi
Tafuta hekima.
Akili yako n finyu
akili za kimasikin
FOREX sio utapeli broo
tuna familia kk ndo kazi zetu acha kusem utapel km madaftar yalkushnda ucvamie ucvo vjua