Naweza Kuacha Biashara Zangu Zote Ila Sitaacha FOREX

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 254

  • @mcdunstanandrew9455
    @mcdunstanandrew9455 4 года назад +18

    Naogelea kwenye pips za blue af napata notification Jeff kapost darasa huko RUclips.. basi siku yangu inaenda vizuri zaidi. Be blessed Mr Shark 🦈

  • @braininc1195
    @braininc1195 4 года назад +18

    Nomaaa sanaaa wa kwanza ku watch great content from great mentor and best personel ever in tanzaniaaaa go virall bro much respect ma boy

  • @gospelthusiast
    @gospelthusiast 4 года назад +22

    Forex tamu sana... Niwashukuru Godfather's of Forex TZ kutuexpose vizuri na hii industry @sir_Jeff @Clintz_Travellah @Elkana_fx. Japo bado tunasuasua but after years am sure Big boys/Sharks watashangaa kwanini pesa mingi inaenda Tanzania😅Vijana wa serikali ya awamu ya tano 😅iyo background music yenyewe... Cant wait for the next...

    • @ramsontv6675
      @ramsontv6675 2 года назад

      Hi mkuu mini nikijana nataka nijikwamue Naomba msaada wake up

    • @ramsontv6675
      @ramsontv6675 2 года назад

      Kaka nakuomba

    • @Chrishenryson-beats
      @Chrishenryson-beats Год назад

      Ahhahha kaka me najifunza kwa nguvu sana hii kitu

  • @daudimwashilindi5333
    @daudimwashilindi5333 4 года назад +8

    I love what you are doing Sir.! God bless you..

  • @makamemachano1974
    @makamemachano1974 4 года назад +5

    You're the best in Tanzania I have dream to be like you. I have dream to be successful trader in Zanzibar

    • @omarsalum4052
      @omarsalum4052 2 месяца назад

      Vipi ushakua tayari successful miaka minne hio

  • @mopimanta5250
    @mopimanta5250 4 года назад +25

    Nahitaji forex coach Kama Wewe. You are so determined, transparent, self-motivated and willing to disseminate your knowledge to others. Nakupataje mkuu?

  • @makamemachano1974
    @makamemachano1974 4 года назад +2

    Sirrjef you're the best nataman kupata angalau siku moja kuzungumza nawewe

  • @kamanda007
    @kamanda007 4 года назад +4

    Nice video, I love forex and I made tons of money too Iakini tukumbushane kidogo forex is very high risk business so be careful

  • @danleeplatnumz8292
    @danleeplatnumz8292 4 года назад +8

    I've always liked your extraordinary contents. Salute bro.

  • @lifeinspiration9726
    @lifeinspiration9726 4 года назад +3

    Nakukubali brother Sirjeff I am from Udsm, pamoja sana

  • @leonardemmanuel6376
    @leonardemmanuel6376 2 года назад +1

    Big up bro 👍👍

  • @tumainigodfrey1565
    @tumainigodfrey1565 3 года назад

    Kuwa na kijana kama ww katika taifa letu,, is the blessing brother

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 4 года назад +1

    Kijana upo vizuri, umeni inspire. Everything is possible under the sun

  • @meddy_upette9511
    @meddy_upette9511 4 года назад +5

    Am so excited to be among your student bro.....Mungu akubariki sana 🔥🔥🔥

    • @bonifacemutisya3272
      @bonifacemutisya3272 4 года назад +1

      Ningetaka kuwa student pia,nitafanyaje

    • @meddy_upette9511
      @meddy_upette9511 4 года назад

      @@hackersforex Mi Najua bro Sihitaji vitu vingine

    • @meddy_upette9511
      @meddy_upette9511 4 года назад +1

      @@bonifacemutisya3272 nipigie 0746117909 nikueleweshe kitu kinagaubaga bro

  • @lydiahkgospel3216
    @lydiahkgospel3216 5 месяцев назад

    You're the best mentor

  • @faustineluswetula2778
    @faustineluswetula2778 4 года назад +1

    Sirjeff ubarikiwe Sana mkuu kwa madini mazito...📈📉💰✍️🌍

  • @lonsmanempire9627
    @lonsmanempire9627 4 года назад +2

    Brother nashukuru sana, umenifanya nipate motivation zaidi ya kujifunza forex

  • @colethakahemela3713
    @colethakahemela3713 2 года назад +1

    Be blessed brw,ungefungua darasa ingekaa poa sn, km lipo toa maelekezo na moungozo kwa watakaohitaji plz

  • @benedictmsami4966
    @benedictmsami4966 4 года назад +1

    Yes nakupata kk kama kubeti tu

  • @ramadhanhamisi3397
    @ramadhanhamisi3397 4 года назад +2

    Skills ya kununua bando umenichekesha sana broo

  • @awanfx5281
    @awanfx5281 4 года назад +3

    hi from dubai..like your content...would you mind introducing weekly chart analysis...ningependa kuona unavyotrade

  • @josephthomas7456
    @josephthomas7456 4 года назад

    Kaka nakukubali sana mungu akuzidishie hekima mara dufu

  • @mkulimamjasiriamali2621
    @mkulimamjasiriamali2621 4 года назад +2

    Motivational speakers Wa Bongo huwa wanaassume kila kitu kiko straight hakuna changamoto kitu ambacho siyo kweli, wakubwa fanyeni business hakuna kitu rahisi hiivyo, jamaa hata hii anayofanya anatumia flip chart, camera na You Tube Chanel zote hizo ni gharama, hakuna mtelezo, unaeza kukuta hata jamaa hafanyi yote hayo, msihadaike na lugha za kigeni mara Forex, Mara stock hivyo vyote ukivibadilisha katika kiswahili mambo ni yale yale... Tafteni pesa, no thing easy

    • @jumachanewstrends6899
      @jumachanewstrends6899 28 дней назад

      Mindset huwa ni kitu Cha Kuzingatia sana unaweza kumuona huyo jamaaa anachosema hakina maana lakini kuja kuzinduka unakuta uko mbali kwa kumubeza

  • @PrinciaEmerusabe-km5mb
    @PrinciaEmerusabe-km5mb Год назад

    Thank you so much bro

  • @halifa2599
    @halifa2599 3 года назад

    Upo vinzuri mungu akulinde maadui

  • @eunicemwikali3068
    @eunicemwikali3068 3 года назад

    very good teacher

  • @AlexKAudax
    @AlexKAudax 4 года назад +1

    Nice presentation 👏

  • @amiesanzie7390
    @amiesanzie7390 4 года назад +1

    Nice Bro. Am motivated through yuh

  • @cloudmwikuna1911
    @cloudmwikuna1911 4 года назад +1

    Brother unaachia vitu Nondo sana. Big up to you. Naisubiri kwa ham sana video ya uchambuzi wa brokers. Kip it comming bro!!

  • @issiket
    @issiket 4 года назад +9

    Jeff is unasoma hizi comments? Pls andaa darasa la beginners for few days. Hizi tunaziona you tube always but we are not able to enter the market. Think about it. Naona wapo wahitaji humu nawasoma

    • @amosimichael208
      @amosimichael208 4 года назад +1

      Kweli

    • @frank86001
      @frank86001 4 года назад +2

      Kwel kabisa

    • @meddy_upette9511
      @meddy_upette9511 4 года назад +3

      Bro sidhani kama Jeff anaeza soma ila sikwambii kwaubaya m mwenyewe nimwanafunz wake ila msg yawhatsap Leo sku yatatu. Labda uwe unamfatilia kwenye page yake Instagram kama atapost tena maana juzi kamaliza training ilivoanza j3 namm nilihudhuria

    • @mopimanta5250
      @mopimanta5250 4 года назад +1

      @@meddy_upette9511 tuwasiliane mkuu 255768407977

  • @allydady3409
    @allydady3409 4 года назад

    Asante kwa icho kitu bro ila bado tunaitaj tujifunze tuwe kama ww au Zaid yako

  • @tzchannel6314
    @tzchannel6314 3 года назад

    Nifundishe vizuri

  • @dhodlex_
    @dhodlex_ 4 года назад

    Kaka Je! na hii volatility index ni nzuri kutrade.

  • @yusuphmkenza3019
    @yusuphmkenza3019 4 года назад +1

    kaka wewe ni zaidi ya genius nakukubali sana yani

  • @donaldndesaiya6587
    @donaldndesaiya6587 2 года назад +1

    Great explanation,nakupataje mwanangu?

  • @happymahega2000
    @happymahega2000 4 года назад +1

    I love this guy wallah

  • @emotional_feelingsfeelings5780
    @emotional_feelingsfeelings5780 2 года назад

    Moto Uendeleeee Kaka Coz Kimya Kwa Mda Hadi Sasa

  • @josephleonard2735
    @josephleonard2735 4 года назад +1

    Nice lesson Sir

  • @ibrahimshauri9467
    @ibrahimshauri9467 4 года назад +2

    Yesss sir nipo mkao was kula ili tuchimbe elimu

  • @joerfamednoag7458
    @joerfamednoag7458 4 года назад +1

    I love so much forex trading. Napenda Sana videos zako. Kwasasa naweza ku trade without stress

    • @CM-sf8lb
      @CM-sf8lb 4 года назад

      Big up Bro Jeff...ila unazungumzia sana kuhusu kupata.......nahivyo unaweka ushawishi mkubwa wa watu kudhani swala la kutrade na kupata ......kuwa more transparent.....hii Forx trading ni sawa na betting au kamali yoyote zinavyochezwa......Risk ni kubwa lakini na faida pia nikubwa ukipata halikadhalika hasara nayo nikubwa ukikosa.......waeleweshe viajana wenzako wasije wajue yote ili waamue kunyoa /kusuka....hata palle lasvegar dar upanga unaweza cheza hizo na ukakopa kudabo pesa yako halafu ukapata pesa kubwa na kurudisha......USHAURI WANGU TU>>>Kama unamtaji wa kuazima au mdogo uliobaki dont risk kufanya hii Foex trading fanya kitu kingine kwanza halafu mega kidogo ujaribu na hii ya FD......ili ukipigwa ucife kifo cha mende....

    • @shadrackkamugisha4481
      @shadrackkamugisha4481 2 года назад

      @@CM-sf8lb forex sio kubeti na wala haifanani na kubeti kwa sababu ukibeti unapoteza kila kitu tofauti na forex

  • @mohamedimbaga6583
    @mohamedimbaga6583 4 года назад +5

    Tuko pamoja kila wakati, #tunaendelea kujifunza

  • @praygodmunuo862
    @praygodmunuo862 4 года назад

    bro you are nice aisee nakubali kazi zako

  • @issabazir
    @issabazir 2 года назад

    daah nakubali sana kaka angu issa kutoka bukoba natamani sana kunifunza kuusu forex

  • @daudidaudi4077
    @daudidaudi4077 4 года назад +4

    Bro imekaa poa sana! Nko nahitaji kujua zaidi about fx na naamini siko peke yangu so,ningeomba uone utaratibu ambao utaweza kutusaidia bro tunataman sana nasi siku moja tuwe watu wa kutoa ushuhuhuda abt fx confidently kama wewe🙏🙏

  • @malinarda3873
    @malinarda3873 4 года назад

    Your good brother

  • @frank86001
    @frank86001 4 года назад +18

    Binafsi bado nasubiria kwa hamu sana ahadi yako ya kutufundisha namna ya kuanza biashara ya FOREX nimeandaa capital kila siku na chungulia RUclips Please Jeff tunyooshee roho tuanze Ku Trade pia

    • @brightben4473
      @brightben4473 4 года назад +2

      Usianze na ku trade real kwanza ndani ya mwezi mmoja wa kwanza ukisha ona umeanza kuelewa anza kuweka pesa kidgo kidgo hakikisha unapata faida faida katika kiasi kile ulicho kiweka ndio uje u invest ukiweka mtaji mkubwa utakuja kuumia sana cha msingi bro anza kuweka pesa kidgo kidgo usianze kuweka pesa nyingi kwa mara yako ya kwanza mana mwanzoni lazima upate loss kwasababu kuna vitu unakua huvijui

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 4 года назад +3

      Ili mtu ajue forex na awe na adabu anatakiwa ajifunze kwene real account kwa micro lot 0.01 hii itamfundisha emotional na kuku push kutafuta Elimina sahihi baada ya hasara

    • @Chrishenryson-beats
      @Chrishenryson-beats Год назад

      @@kwisa4899Hahhaha fx sio biashara ya kuvamia lazima ujifunze kwa utulivu

  • @boniphacejoseph3985
    @boniphacejoseph3985 4 года назад +3

    Tupe kaka vitu konki😂😂🔥🔥imekaa poa Sana

  • @jumalihumbo8937
    @jumalihumbo8937 2 года назад

    Upo vzr sn mzee

  • @sekigosi4902
    @sekigosi4902 3 года назад +1

    Wow👏👏👏👏👏

  • @thomasmathias9204
    @thomasmathias9204 2 года назад

    Good unatisha kiongozi

  • @matelainnocent8350
    @matelainnocent8350 4 года назад +1

    Brain food thanks Man

  • @AIG7187
    @AIG7187 4 года назад

    Hongera sana bro
    #Shukrani kwa kutuelimisha

  • @yonaeckzaudy9858
    @yonaeckzaudy9858 3 года назад

    Nakukubali sana bro

  • @traderdan7707
    @traderdan7707 4 года назад +2

    Thank you so much Jeff
    Can't wait for the next video, bless up

    • @janecknziku9779
      @janecknziku9779 3 года назад

      Samahani unaweza ukanifundisha namba yakutumua traderdan

  • @gabrielgabito4197
    @gabrielgabito4197 4 года назад +5

    Broo nimefatilia video zako almost zote,,i've deducted you got high iq and almost genius.Salute you broo

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 4 года назад

    God bless you bro hapo kwenye kuwafundisha wanao nme papenda san

  • @boscolupenza5965
    @boscolupenza5965 4 года назад +1

    Thank you

  • @Kaka-qj3iv
    @Kaka-qj3iv 4 года назад +1

    Sir jeff si bora ungeanza topic one ya forex hadi topic ya mwisho. Na utupe softcopy books maana bro tumeshagundua forex ni bomba ila hatuwez kuifanya hatuna mtu wa kutuongoza . So ni bora tumalize forex kabisa bro kisha uende mada nyingine . Tujaze material za kutosha bro kuhusu iyo forex

  • @joshuamallya811
    @joshuamallya811 3 года назад

    great bro.. natamani kukutana na wewe once,,,

  • @maishayahaya7449
    @maishayahaya7449 4 года назад

    JAH BLESSING YOU BROTHER.

  • @esthertarimo2321
    @esthertarimo2321 2 года назад

    Samahn kaka mm nmeanz hii meta trade lkn sjui naanzaj kubuy na kusell na kupta hyo hela

  • @rahelmashamba1890
    @rahelmashamba1890 4 года назад

    Sir GOD bless You

  • @annachales9623
    @annachales9623 4 года назад +1

    Ila wewe kaka unavutia unavyo toa elimu mchangamfu sana😂😂😂😂

  • @emmanuelmmasi7283
    @emmanuelmmasi7283 4 года назад +6

    Oi sir jeff tifanyie mwelekezo jins ya kujifunza ayo mambo maana bado sielew nahis wengi tumejaribu ila hatuelew profit ipoje wala loss

    • @meddy_upette9511
      @meddy_upette9511 4 года назад +1

      0746117909 nikupe ushauri ntakueleza vtu vyamsing ili viweze kukusaidia kama mbeleni utapenda kuwa trader....Free sihitaji chochote

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 4 года назад +2

    i love it my self tooo,

  • @leonardmadelemo9104
    @leonardmadelemo9104 4 года назад

    Nc bro get u well

  • @twahaally1969
    @twahaally1969 4 года назад +1

    Imekaa poa sana...

  • @NEWMOVIES-ln3gg
    @NEWMOVIES-ln3gg 4 года назад +1

    am so excited...brooo

  • @willyelia820
    @willyelia820 Год назад

    Naomba mawasiliano yako Boss

  • @ibrahimsabri9437
    @ibrahimsabri9437 Год назад

    Hii no kweli laki kuwa million

  • @thedeucesfam7261
    @thedeucesfam7261 4 года назад +1

    You r doing a great job bruh...but can you teach how to enter into a market and buy or sell

  • @manchestercitybettartv5922
    @manchestercitybettartv5922 4 года назад

    jombaa. nakupataje ili na mm nije kujifunza kijana mwenzio

  • @happyobeth8599
    @happyobeth8599 4 года назад

    Hili somo ni somo pana saana wachache ndo wataelewa mie najitahidi kufatilia saana hapa cjaelewa

  • @S.A_thebeatmaker877
    @S.A_thebeatmaker877 4 года назад +3

    Hello kaka
    Naitwa said mhangwa
    Natokea morogoro
    Kiukweli naitaji msaada maana
    Nimepoteza sana pesa mpaka sasa

    • @meddy_upette9511
      @meddy_upette9511 4 года назад +1

      Bro SirJeff kamaliza mentorship jana ilikuwa ni lakimoja tu

    • @elishaalex1747
      @elishaalex1747 4 года назад

      @@meddy_upette9511 aise huwa anafanya tu dar bro @menipo Arusha naomba akiwa na plan ya huku unichek boss

  • @henerikos.muhagaze4967
    @henerikos.muhagaze4967 2 года назад

    Hii kitu ilipostiwa around 2yrs ago. Vp kwa sasa as we speak 2023 ikoje, any update please

  • @fatmasalim7035
    @fatmasalim7035 2 года назад

    Asante sana Kaka lakini kitu Kimoja iwant to do this business but idont know how I start au natakiwa kudownload nini nifanyeje pls?

  • @MICHAKATONOAH
    @MICHAKATONOAH 4 года назад +3

    Forex ni biashara nzuri Ila nyuma yake Kuna brokers, wanaliza watu

  • @Man-B4Real
    @Man-B4Real 3 года назад +2

    Sirjeff nimekupata hapo kwenye leverage swali langu n hili inakuaje sasa mpaka mtu anachoma acc ikiwa ame deposit 100usd kwa leverage ya 1:300 ambayo n 30000usd?

  • @michaelalbertus8672
    @michaelalbertus8672 4 года назад

    Nawashangaa sana,ukweli ni kwamba jamaa anaeleza yake maana yy ameshafanikiwa,kasoma mjauu awez toa anavyotrade kamwe,ndo tatizo ya walioendelea awez kukwambia anavyopata profit,tunamwona mjanja

  • @NEWMOVIES-ln3gg
    @NEWMOVIES-ln3gg 4 года назад +2

    am interested...

  • @madindangonde4044
    @madindangonde4044 4 года назад +10

    ILIVONGUMU FOREX KAMA HUNA UTAYARI WA UHAKIKA TAMAA ATAKUNYEMEREA LKN NI TAMU UKISHAIFAHAMU

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 4 года назад +1

    Fx is not for a weaker person need strong 💪 people

  • @nelsonmichael556
    @nelsonmichael556 4 года назад

    Nakuelewa sana bro!

  • @paulntulo4512
    @paulntulo4512 4 года назад +1

    Bro asante Sana kwa elimu ambayo unatupatia kila siku.....naomba uweze kuwazungumzia "brokers" ni wapi wazuri na ambao hawafai

  • @shiftleader5553
    @shiftleader5553 4 года назад +1

    How do you deal with taxes. ? How do you claim and pay taxes in Tanzania for trading Forex and other financial market? Thanks.

  • @benjaminidd3209
    @benjaminidd3209 4 года назад +2

    Nakupataje ili unifundishe nipo dar

  • @bashiralihassan8240
    @bashiralihassan8240 4 года назад

    Si rahisi kama unavyosema, levarage hiyo uliyoigusia hapo ni upaga wenye ncha mbili, inakupa fursa ya kupata faida maradufu, na pia incase of a loss, inakuwa maradufu vile vile waeleze watazamaji uwezekano wakupoteza pesa zote na hiyo levarage upo.

  • @sebastianikoles3618
    @sebastianikoles3618 4 года назад +2

    Bro mimi naisubiri sana hyo video kuhusu ma brokers natamani kujua ni broker gan mzur ambae hana limitation nyingi

  • @LoveofAfrica-d5d
    @LoveofAfrica-d5d 8 месяцев назад

    Ivi uyu Dennis alienda wapi adi siku izi hana video mpyaa

  • @braininc1195
    @braininc1195 4 года назад +9

    Jeff kama jeff ani we jamaa ujui tu venyewee unathaman kubwa kwa vijana kwa content zako

  • @innocentshao8291
    @innocentshao8291 4 года назад +1

    Uelewek brother naona umefungua kupiga pesa tuuu maana kila siku unafundisha kipya umalizi. Ingia kwa walim wanaofundisha elimu ya ujasiriamali ujifunze

  • @edwardgodfrey5665
    @edwardgodfrey5665 4 года назад

    Asante kwa Video nzuri inayotupa maarifa,Je nawezaje kuanza ku trade ikiwa sijawahi kufanya trading

  • @Savvyclips7
    @Savvyclips7 4 года назад

    Uko powa xan bro.....

  • @girah339
    @girah339 3 года назад

    Brother .... good content....
    But can you manage my forex account .

  • @amosimichael208
    @amosimichael208 4 года назад +1

    We need class sir jeff

  • @nathanielcharlesmvula1205
    @nathanielcharlesmvula1205 4 года назад +1

    Ulianza na mtaji wa shilingi ngapi????

  • @kingcopper_tz
    @kingcopper_tz 4 года назад

    imekaa .poa sana imekaa vizuri sanaa

  • @ngasamabula418
    @ngasamabula418 3 года назад

    Perfect

  • @sir.godwindavid.8425
    @sir.godwindavid.8425 4 года назад

    Very lucky

  • @erisonguonahom6984
    @erisonguonahom6984 4 года назад +1

    Nice