Kaka Jeff,i see a Legacy in you,you are a true sign of hero, brave and legend,most of Tanzanians still they are lazy in thinking but fast in judging.Remember mti wenye matunda ndio upigwa mawe.I like your vision on this programme, unafanya kazi nzuri na kubwa trust me,wanaokuelewa wapo wengi hata kama hawa comment now but watakuja kutoa ushuhuda one day.
Its real i drop the tears,like the head of the story say!!jeff ur age its differ from the things u says God give u all u want without give up to help others
Sir Jeff Dennis sikupi pole katika yanayokukuta ila nakupa hongera. Amini pamoja na hayo yote bado kunamtu umeisha msaidia kupitia video zako. Wengi ya wale wanakutusi ni wale wenye wivu ambao hawataki wezao wafanikiwe au wapate kujua vile ambavyo unafanya wavijue. Ngozi nyeusi kaka hata ikifanikiwa haitaki mwingine afanikiwe sijui kwanini tunampa shetani nafasi kubwa kiasi hicho. Kumbuka hata Yesu alikuja kukomboa wanadamu lakini wale alikua akiwakomboa walimtukana, walimtesa na walimuua. Keep it up tupo tunaoguswa na video zako na zimetubadilisha usikate tamaa. Amini hiki unachokifanya Mungu kaweka ndaniyako kwaajili ya watu fulani wala nakuombea kwa Mungu azidi kukutia nguvu.
Dah!! Brother. Unajua katika maisha tunatofautiana mtazamo kabisa.. ndomana kwenye njia pameandikwa usipite hapa Ila mwingine anapita. Nacho kushauli brother endelea kutupa nondo.... Yesu alikuwa mwema ila alisemwa Sana na kupondwa Sana... Pia nakumbuka uliwai kusema kwenye kila kitu tufanyacho lazima kunakuwa na nguvu nyingine ya ukinzani... Kwaiyo hata hao waone Kama niwakinzani wako so inabidi uongeze nguvu zaidi.
"Always dogs do what do what dogs do" no matter we huna lengo la kumng'ata lakin yey mmbwa anatakiwa kukung'ata sabu anatakiwa afanye ivo, Jeff I real adore u!
Heshima mlima bro..🙌👊!! Pia sio mama tu kwan bila baba pia tusingekuwepo..tuachane kujiasahau katika hili..wazaz wote wapo sawa kwan madingi wana sacrifice sanaa sema tu mama zetu huonesha mapenz kwa hisia that's why..let us love our parents ( both father and mother)no matter what 🤝
Am get you much brother about what your produce to us daily and daily for learning, thanks God wish you a long life for sure i drop my tears down to this subject from now am remember my mum mostly at the day am complete strand seven she was sold one rooster(jogoo) for me in order to shines as richest guards, thanks blessed
Sijawahi comment anythig RUclips ila leo ndo mara ya kwanza binafsi namkubali sana huyu jamaa, i wish nmekutana nae npate at least an hour ya kuongea nae, he inspires me sana bigup Bro, i hope to be like you oneday🙏🏾
Huwezi kumzia mtu aseme anachokitaka kukisema juu yako.. let them talk ..Never give up brother. To have motivated videos like this ..lololo.. we are blessed bro. Keep going keep doing mzee
Mungu akusimamie sana ktk ili,sikuzote mwenye roho mbaya afanikiwi na akifanikiwa bs utajili wake hua auna baraka anaekutendea ubaya wakat ulimfanyia mazuri jibu ni mungu mungu anaona na ipo siku atakuomba msamaha kwa ili
In Shaa Allah More Blessings kwa Wamama wetu sote Tujitahid kusimama nao na kuwatizama kwa macho mawili mama zetu jamani Kwani hakika ya mama ndo mafanikio yako hapa Dunia na Akhera tuendapo pia.
Leo nimekumbuka mbali sana kipindi nipo shule mama angu alikua ana nitumia ela nyingi kuliko mwanafunzi yoyote pale shuleni ila siku moja nilirudi nyumbani bila taarifa na nika kuta alikua ananipa ela yote anayo pata ili mimi nisome alafu yeye analala njaa na niliumia sana
Don't worry. Keep it up. Anayekutukana hawezi kukupunguzia chochote ispokuwa kama wewe utaruhusu hayo maneno yakuathiri. God is on your side and a bigger blessing is coming your way. Never give up. You are a blessing to many.
Never ever let a human being get control of your aspiration in life coz we live once to fulfill our life purposes,create and share our own stories and experiences to others in need.Sir Jeff,don't get despaired for the bad other people talk or think about you coz the content you offer is far much worth wile than considering a man's shitty words.please,still need you.
Nimeteseka sana sana kutokana na umaskin ambao tumish kaka kaka jefu daa naamin ipo sku umaskin utaisha na wazaz utajiskia fulaha sana japo skufanikiwa kwenda shule kwasababu ya maisha yetu nitaman kujua sana kingeleza lakin sikufanikiwa nitaweza kutumia fulusa hii yako kujitete kimaisha na familia yetu nakupenda mungu azid kukuweka tu😂😁😀🙌🙏☝
Jefu da nakupenda sana kaka yani hua nacheki video zako najarbu kwendana na ww lakin nafel lakn namuomba mungu na mtanguliza mungu nitapambana had nitoke nilipo na kuisaidia familia yangu nitakufatilia ww miaka yote mungu azid kukuweka ipo sku kaka niko pamoja na ww unapokanyaga nami nafata kaka
I watch ur videos once u upload but I hv never comment on any....But on dis video I cnt pass without saying something."Bro u inspire mme alot, u teach me to have self respect, to value those who stand with me in my tough time as well as to increase my effort on what I believe" BRO U ARE MY ROLE MODEL💪💪💪
Kijana Jeff Molla yuko pamoja na wewe.Usikate tamaa kila mti wenye matunda lazima uchuchwe mawe.kumbuka hata manabii walisurubiwa kwa kosa lisilo lso.Endelea usikate tamaa.Hata Yesu alisalitiwa na mwanafunzi wake.big up my son.
Keep going bro. Never care about who said what, it will always be you and you alone. I real admire the changes you bring to many lives. Thanks for the nice message.
Kiukwel kuna kaul imenigusa sana na pina natumaina itakuwa imewagusa watu wengi, nikwel kuna watu walipata tabu sana kwa ajili yetu na si wengini bali ni mama zetu. Ahsante sana broo
Dah hii video inaumiza sana😿😿😿😿.. much respect kwko bro.. hatuna cha kukulipa ila kwa hizi dua za raia Mungu akuzidishie zaidi na zaidi pale unapo toa..
mti wenye matunda ndio hupigwa mawe na cku zote msema kweli hapendwi fanya kile unachoona ni chema na Mungu atazidi kukubariki napenda video zako zinanijenga sana nakuombea kwa Mungu uyashinde yote bro Jeff
Brian Tracy also anasema,malipo hutayapata kwa uliemsaidia Bali kwa MTU mwingine tofauti na kwa mda tofauti,hatakama hutaki malipo lakn ni unstoppable lazima yaje Tu.coz umeestablish law of attraction (Magnet)
sir jeff money its not a source of evil but "love of money" Kumbuka daima changamoto zinakuja si kwaajili ya kutuangusha bali kutuimarisha na kutusogeza kwenye peek of our success. So be caregious strong and aim to finish your vision....
bro jeff keep it bro yuda mwenyewe alikuwa rafiki wa yesu close kuliko hata huyo mshikaji wako rakn mwisho wa sku alimsaliti sembuse wewe na sio hyo tu shetani mwenyewe alikuwa rafki wa mungu mpaka mungu akampa umalaika mkuu rakini mwsho wa picha akajiona matawi kazingua pambana sir kama mtu mmoja anakuchukia ktk wa tatu hakupunguzii kitu huyo kwanii si mzazi wKO KUSEMA atakuachia laanaa but thenk kwa ujumbee
Broe! We appreciate and we value a lot what you doing. Esp, mimi ni naona kabisa ni kama njia ambayo mwenyezi mungu anaOngea nasi. #So broe. If you will maybe think about to Quit. Just remembering why you started.
Fanya vitu jeff kwa ajili ya kumfurahisha mwenyezi mungu na si binadamu....unaweza ukamfurahisha binadamu alafu na mwenyezi mungu ukamkwaza at the same time uyo uyo mtu akakuchukulia poa tu
Mr i get you well i really appreciate your works sijui swahili mingi mim elewa kidogo ...🤭🤭big ups for you buddy i purely and surely see you will live long 👉🇦🇺🇦🇺🇦🇺 stay blessed #Billionairekevi #jeffdenis.
Jeff Keep up my brother.... As long as kuna watu watatu watabadilika watu elfu kumi watakutukana utakuwa umefanya kazi njema... Hao watatu wanakuhitaji! Ndio sisi! Endelea baba... Watu watapinga aand it may not be for them... It is for me.... It is for wachache.... 80/20 rule... Thumbs up kaka
@sirjeff nakukubali sana bro, kusimama pekeyako kwa ujasili ndo msingi wa mafanikio. Endelea tu kufanya wema ili kusaidia kijana wa kiTanzania. Binafsi nina moyo wa kusaidia sana na napenda kuona waTanzania wanafanikiwa. Kikubwa ni kukumbuka ulikotoka, Luna watu nawafahamu wako nje ya nchi lkn wanaidharau nchi yao, wanaona wazungu ni bora sana na kudharau wakwao; mambo ya kusikitisha kabsa.
ASALAM ALEYKUM!! kaka JEFF me huwa nafatilia video zako ila huwa sicoment!!! ila niseme kitu leo!!! NAKUPENDA SANA KAKA ANGU!! NIMEJIFUNZA MENGI KUTOKA KWAKO!! HIVYO USIKATE TAMAA WALA USICHOKE KUTUSAIDIA KWA NJIA MOJA AU NYINGINE!!! KUMBUKA HATA MUNGU WETU ANASEMWA VIBAYA!! SEMBUSE SISI WAJA WAKE ( BINADAMU)!!! TUKO PAMOJA!!!!
Kama unamkubali brother Jeff gonga like
Kweli bro
Ilovehim jmn perfect
njema sana katika maisha nilazima kujifunza kupitia wengine hata mimi pia nimejifunza kitu kikubwa sana nakuombea Mungu akutunze
Shukrani kwa mafunzi.
Love from Rwanda 🇷🇼❤
- Nimejifunza Vingi sana, Sina wazazi ila Nafanya Kila niliwezalo nijikwamue Kimaisha, Na Kupitiya ushauri wako Unanisidiya Sana.
Pole sana kwa kutokua na wazazi ..Mafanikio yawe sehemu ya maisha yako
Wewe ni mimi kbs😭
@@sifamdaki966 Ohhh Pole
Kaka Jeff,i see a Legacy in you,you are a true sign of hero, brave and legend,most of Tanzanians still they are lazy in thinking but fast in judging.Remember mti wenye matunda ndio upigwa mawe.I like your vision on this programme, unafanya kazi nzuri na kubwa trust me,wanaokuelewa wapo wengi hata kama hawa comment now but watakuja kutoa ushuhuda one day.
Bro Dennis umenisaidia na nasaha zako Mungu akuweke
Sikua na mpango wa kucoment but Kuna vitu vimenigusa nakuniamsha upya Nia yangu ya ndani ,Mungu akubariki bro jeff
Its real i drop the tears,like the head of the story say!!jeff ur age its differ from the things u says God give u all u want without give up to help others
Sir Jeff Dennis sikupi pole katika yanayokukuta ila nakupa hongera. Amini pamoja na hayo yote bado kunamtu umeisha msaidia kupitia video zako. Wengi ya wale wanakutusi ni wale wenye wivu ambao hawataki wezao wafanikiwe au wapate kujua vile ambavyo unafanya wavijue. Ngozi nyeusi kaka hata ikifanikiwa haitaki mwingine afanikiwe sijui kwanini tunampa shetani nafasi kubwa kiasi hicho.
Kumbuka hata Yesu alikuja kukomboa wanadamu lakini wale alikua akiwakomboa walimtukana, walimtesa na walimuua. Keep it up tupo tunaoguswa na video zako na zimetubadilisha usikate tamaa.
Amini hiki unachokifanya Mungu kaweka ndaniyako kwaajili ya watu fulani wala nakuombea kwa Mungu azidi kukutia nguvu.
🙏🙏🙏🙏
Jeff! You have touched my heart when you remind me of struggling for my only mom! I love you mom, one day in shaa Allah, you will stop crying
Dah!! Brother. Unajua katika maisha tunatofautiana mtazamo kabisa.. ndomana kwenye njia pameandikwa usipite hapa Ila mwingine anapita. Nacho kushauli brother endelea kutupa nondo.... Yesu alikuwa mwema ila alisemwa Sana na kupondwa Sana... Pia nakumbuka uliwai kusema kwenye kila kitu tufanyacho lazima kunakuwa na nguvu nyingine ya ukinzani... Kwaiyo hata hao waone Kama niwakinzani wako so inabidi uongeze nguvu zaidi.
Ni kweli kabisa..! lakin binadam hatuna fadhira kabisa hata kama ukifanyiwa kitu gan.....
uko sahihi sana
bro umenifanya niliee from inside heart kwa machozii mm km mwanaumee ubarikiwe sanaaa kaka Jeff u touched my life broh..
"Always dogs do what do what dogs do" no matter we huna lengo la kumng'ata lakin yey mmbwa anatakiwa kukung'ata sabu anatakiwa afanye ivo, Jeff I real adore u!
Heshima mlima bro..🙌👊!! Pia sio mama tu kwan bila baba pia tusingekuwepo..tuachane kujiasahau katika hili..wazaz wote wapo sawa kwan madingi wana sacrifice sanaa sema tu mama zetu huonesha mapenz kwa hisia that's why..let us love our parents ( both father and mother)no matter what 🤝
Well said brother
U change my life in Short time,,,, ur the top, the giant Jeff
Am get you much brother about what your produce to us daily and daily for learning, thanks God wish you a long life for sure i drop my tears down to this subject from now am remember my mum mostly at the day am complete strand seven she was sold one rooster(jogoo) for me in order to shines as richest guards, thanks blessed
Pole sana kiongozi unajua katika maisha kutukanwa ni jambo lakawaida sana hasa pale unapoonesha mafanikio......
Sijawahi comment anythig RUclips ila leo ndo mara ya kwanza binafsi namkubali sana huyu jamaa, i wish nmekutana nae npate at least an hour ya kuongea nae, he inspires me sana bigup Bro, i hope to be like you oneday🙏🏾
Huwezi kumzia mtu aseme anachokitaka kukisema juu yako.. let them talk ..Never give up brother. To have motivated videos like this ..lololo.. we are blessed bro. Keep going keep doing mzee
Thanks broo nimepata funzo kubwa sana Mungu akuzidishie
The video is touching me 😭 This man is really spitting some true facts.. Thank you Sir Jeff
Mungu akusimamie sana ktk ili,sikuzote mwenye roho mbaya afanikiwi na akifanikiwa bs utajili wake hua auna baraka anaekutendea ubaya wakat ulimfanyia mazuri jibu ni mungu mungu anaona na ipo siku atakuomba msamaha kwa ili
In Shaa Allah More Blessings kwa Wamama wetu sote Tujitahid kusimama nao na kuwatizama kwa macho mawili mama zetu jamani Kwani hakika ya mama ndo mafanikio yako hapa Dunia na Akhera tuendapo pia.
Asante Sir Jeff hongera Sana mungu akubariki
Tufunze ili nasisi tuwafunze wenzetu
Leo nimekumbuka mbali sana kipindi nipo shule mama angu alikua ana nitumia ela nyingi kuliko mwanafunzi yoyote pale shuleni ila siku moja nilirudi nyumbani bila taarifa na nika kuta alikua ananipa ela yote anayo pata ili mimi nisome alafu yeye analala njaa na niliumia sana
Pole sna
Mother's Love.❤
Mmmh acha bc
You are my role model from now Mr. Dennis
That is how men are,keep going bro ,I like it🔥🔥🔥
Don't worry. Keep it up. Anayekutukana hawezi kukupunguzia chochote ispokuwa kama wewe utaruhusu hayo maneno yakuathiri. God is on your side and a bigger blessing is coming your way. Never give up. You are a blessing to many.
#hustler your real giant brother appreciate ❤
Never ever let a human being get control of your aspiration in life coz we live once to fulfill our life purposes,create and share our own stories and experiences to others in need.Sir Jeff,don't get despaired for the bad other people talk or think about you coz the content you offer is far much worth wile than considering a man's shitty words.please,still need you.
Nimeteseka sana sana kutokana na umaskin ambao tumish kaka kaka jefu daa naamin ipo sku umaskin utaisha na wazaz utajiskia fulaha sana japo skufanikiwa kwenda shule kwasababu ya maisha yetu nitaman kujua sana kingeleza lakin sikufanikiwa nitaweza kutumia fulusa hii yako kujitete kimaisha na familia yetu nakupenda mungu azid kukuweka tu😂😁😀🙌🙏☝
Jefu da nakupenda sana kaka yani hua nacheki video zako najarbu kwendana na ww lakin nafel lakn namuomba mungu na mtanguliza mungu nitapambana had nitoke nilipo na kuisaidia familia yangu nitakufatilia ww miaka yote mungu azid kukuweka ipo sku kaka niko pamoja na ww unapokanyaga nami nafata kaka
I watch ur videos once u upload but I hv never comment on any....But on dis video I cnt pass without saying something."Bro u inspire mme alot, u teach me to have self respect, to value those who stand with me in my tough time as well as to increase my effort on what I believe" BRO U ARE MY ROLE MODEL💪💪💪
Shukraan Sir Jeff umenifungua Akili ulipo zungumzia mzazi
Ahsante broo.🙏
Kijana Jeff Molla yuko pamoja na wewe.Usikate tamaa kila mti wenye matunda lazima uchuchwe mawe.kumbuka hata manabii walisurubiwa kwa kosa lisilo lso.Endelea usikate tamaa.Hata Yesu alisalitiwa na mwanafunzi wake.big up my son.
Bro Jeff nakubali sana ushauri wako Mungu akujaalie afya njema siku zote.
Doooh! Huwa tunaxahau xan hilo swala makn sana bro salut kwako
Thenks br mungu akuweke
Mungu akuzaidie mno,from kenya.
Asante kaka yangu, vumilia matusi, kwa ajili yangu, na wengine Kama Mimi.
Hakika
Thanks my bos God bless you.
Dah pole Sana bro Jerry. Binadam tupo ivyo but USIKATE TAMAA bdo tu nakupenda na tunaihtaj elimu yako. Pull up stand again.
Umeeeleze kwa hisia kali bro this is real big up kaka
Kaka jeff ahsante sana Mungu akubarki sana kaka
Asante bro nimekosa chakusema kwa hilo.moja tu nakuombea Kila lakheri
Keep going bro. Never care about who said what, it will always be you and you alone. I real admire the changes you bring to many lives. Thanks for the nice message.
Bro wewe ni mti wenye matunda, Lazima utarushiwa mawe....Keep it up bro 💪
Kiukwel kuna kaul imenigusa sana na pina natumaina itakuwa imewagusa watu wengi, nikwel kuna watu walipata tabu sana kwa ajili yetu na si wengini bali ni mama zetu. Ahsante sana broo
siku zote tenda wema nenda zako akifanya jambo tegemea malipo kutoka kwa mwenyez mungu sio kwa wanadamu unaambiwaga kuna watu na viatu.
Pole Sana kaka mungu u pamoja nasi
This guy is a gem. I wish I could meet up with him and learn more
Dah broh uko sawa kabisa
Watu walio umia snaa Ndio wanajali na Wana huruma sna na wanaweza kukusaidia hata Mawazo shukran sn
Inauma sana jeff, mm yalishanikuta makubwa zaidi ya hayo, unampa mtu mtaji wa milioni 100 halafu anaanza kukutangaza umempa hela za mashetani, majini
Namie nipe mtaji natata..
Mhhh bro
Nakubali sana brother ... You got the spirit of BROTHERHOOD.. Nice brother
Bro Jeff umenigusa kwa moyo😔hakuna kama mam... Mungu akubariki kwa madini unayotupa🙏🏾
Dah hii video inaumiza sana😿😿😿😿.. much respect kwko bro.. hatuna cha kukulipa ila kwa hizi dua za raia Mungu akuzidishie zaidi na zaidi pale unapo toa..
mti wenye matunda ndio hupigwa mawe na cku zote msema kweli hapendwi fanya kile unachoona ni chema na Mungu atazidi kukubariki
napenda video zako zinanijenga sana nakuombea kwa Mungu uyashinde yote bro Jeff
Pole sana kaka, Mungu atakulipa kwa kile unachokifanya, u binadamu kazi
Strong brother✊🏿.. imekaa poa sana.. respected!
You are my role model brother ☺️☺️,may Almighty bless you🙏🙏🙏
Bro Dennis waswahili hunena tenda wema uende zako usitegemee malipo huo ndio ushauri wangu
Brian Tracy also anasema,malipo hutayapata kwa uliemsaidia Bali kwa MTU mwingine tofauti na kwa mda tofauti,hatakama hutaki malipo lakn ni unstoppable lazima yaje Tu.coz umeestablish law of attraction (Magnet)
Kwel asingoje malipo
Nakukubal San bro Ubarikiwe na Mungu
sir jeff money its not a source of evil but "love of money" Kumbuka daima changamoto zinakuja si kwaajili ya kutuangusha bali kutuimarisha na kutusogeza kwenye peek of our success. So be caregious strong and aim to finish your vision....
May God bless you
Mungu akutie nguvu usonge mbele na maono uliyobeba 🙏🏽
Mwenye masikio naamini amesikia haya kutoka kwa Mr Jeff Mungu akupe uzima uzidii kutufungua macho
Asante kaka Jeff
Pore sana Jeff mungu ajujarie uvumrivu
Keep going bro! Mama is everything that we have to keep and cherish! They sacrifice alot for us to stand!!
Mungu akutie nguvu
Kama unaweza tungeomba ufungue group LA Whatsapp kwa fansi wako wa karibu wa RUclips like me
napenda sana video zako zinanipa nguvu big up
Be blessed sir jeff. U inspire youth we keep praying on you
Namkubali sana brother Jeff na nimekuwa nikimfuatilia
Dah,,,,!! Nimeona Leo surA yako kaka umeikunja Yaan sio kawaida yako kabsa hata tabasamu Duh.. Binadamu cc sio kabsa ... Pole sana
kweli upo vizur kuna kitu nimejifunza natamani nikuone live Mungu akubariki sana kijana
Umenigusa sana brother Jeff mungu akubaliki
Thanks so much bro 🙏
Usichoke bro we n mmoja wa watu wanaonifanya niendelee kupambana Mungu azidi kukupa uhai na maarifa matusi yageuke yawe mibaraka
bro jeff keep it bro yuda mwenyewe alikuwa rafiki wa yesu close kuliko hata huyo mshikaji wako rakn mwisho wa sku alimsaliti sembuse wewe na sio hyo tu shetani mwenyewe alikuwa rafki wa mungu mpaka mungu akampa umalaika mkuu rakini mwsho wa picha akajiona matawi kazingua pambana sir kama mtu mmoja anakuchukia ktk wa tatu hakupunguzii kitu huyo kwanii si mzazi wKO KUSEMA atakuachia laanaa but thenk kwa ujumbee
Broe! We appreciate and we value a lot what you doing. Esp, mimi ni naona kabisa ni kama njia ambayo mwenyezi mungu anaOngea nasi. #So broe. If you will maybe think about to Quit. Just remembering why you started.
You are so generous Brother 💙
Dah iv kwann hao wapumbavu wanakuoneaga sana jmn 😒😒 Pole sana kaka! Stay strong Mungu akutie nguvu.. 🙏
Mungu akubariki bro kaza moyo kande walimwengu hawaishiwi maneno!!
If there is anyone insulting this man may god curse him/her big up mzee jeff mungu atakulipa kwa mambo yako
Fanya vitu jeff kwa ajili ya kumfurahisha mwenyezi mungu na si binadamu....unaweza ukamfurahisha binadamu alafu na mwenyezi mungu ukamkwaza at the same time uyo uyo mtu akakuchukulia poa tu
Thank you Broo thank you so much
Good bless u my friend
Nakukubali.sana kaka.
Sema sir.jeff,unaongeaga fact sana ntafatilia na ni fan wako respects
Brother ninasoma bingi sana kwak umenifany niw na good life Thx sanaaa
Mr i get you well i really appreciate your works sijui swahili mingi mim elewa kidogo ...🤭🤭big ups for you buddy i purely and surely see you will live long 👉🇦🇺🇦🇺🇦🇺 stay blessed #Billionairekevi #jeffdenis.
bro mungu akulipe kwa wema wako
Brother you are best keep it up. Lov u my mom.
Duuuuu broo pole sana kaka sisi wanadamu haturidhiki
Mungu akujalie Moyo wa chuma uendelee kutusaidia vijana.
You are the living soul.Mungu akusimamie
Jeff Keep up my brother.... As long as kuna watu watatu watabadilika watu elfu kumi watakutukana utakuwa umefanya kazi njema... Hao watatu wanakuhitaji! Ndio sisi! Endelea baba... Watu watapinga aand it may not be for them... It is for me.... It is for wachache.... 80/20 rule... Thumbs up kaka
@sirjeff nakukubali sana bro, kusimama pekeyako kwa ujasili ndo msingi wa mafanikio. Endelea tu kufanya wema ili kusaidia kijana wa kiTanzania. Binafsi nina moyo wa kusaidia sana na napenda kuona waTanzania wanafanikiwa. Kikubwa ni kukumbuka ulikotoka, Luna watu nawafahamu wako nje ya nchi lkn wanaidharau nchi yao, wanaona wazungu ni bora sana na kudharau wakwao; mambo ya kusikitisha kabsa.
Jeff usichokee sisi tuko pamoja na wewe achana na viborotooooooooo,,💝💝💝💝💝💝💝
Pole sana ndugu kwa kweli hii inaumiza sana
ASALAM ALEYKUM!! kaka JEFF me huwa nafatilia video zako ila huwa sicoment!!! ila niseme kitu leo!!! NAKUPENDA SANA KAKA ANGU!! NIMEJIFUNZA MENGI KUTOKA KWAKO!! HIVYO USIKATE TAMAA WALA USICHOKE KUTUSAIDIA KWA NJIA MOJA AU NYINGINE!!! KUMBUKA HATA MUNGU WETU ANASEMWA VIBAYA!! SEMBUSE SISI WAJA WAKE ( BINADAMU)!!! TUKO PAMOJA!!!!
Be Blessed Brother. Imenivutia na kunifungua kitu kikubwa Sana