Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
LEMUTUZI afunguka kuhusu kazi ambayo amewahi kuikataa akiwa Marekani
- Добавить в
- Мой плейлист
- Посмотреть позже
- Поделиться
Поделиться
HTML-код
Размер видео:
- Опубликовано: 23 авг 2016
- LEMUTUZI afunguka kuhusu kazi ambayo amewahi kuikataa akiwa Marekani
Комментарии • 78
Следующие
Автовоспроизведение
#EXCLUSIVE: LEMUTUZ AANIKA UKWELI WOTE KESI YAKE na MAKONDA, AJIBU KAULI ya DKT BASHIRU....Global TV Online
Просмотров 61 тыс.
FREDY VUNJABEI - MAPENZI NA JOKETI | FAIDA NA HASARA JEZI ZA SIMBA | NILIEMSOMESHA KAOLEWADina Marios tv
Просмотров 49 тыс.
LIVE: CLOUDS 360 KUTOKA NYUMBANI KWA BABA YAKE NA RUGE MUTAHABACLOUDSMEDIA
Просмотров 53 тыс.
JAEHYUN 재현 'Dandelion & Roses' MVSMTOWN
Просмотров 1,1 млн
Guess The McLaren DriverQuadrant
Просмотров 173 тыс.
Rhea Ripley, Liv Morgan, Dominik Mysterio Talk Things Out | WWE Raw Highlights 8/12/24 | WWE on USAWWE on USA
Просмотров 844 тыс.
Flying First Class on Every US Airline (Back to Back)Trek Trendy
Просмотров 532 тыс.
BINAMUBANANGA AMWAGA UKWELI WOTE ALIPO MAKONDA | ASEMA MAZITO KUZUIWA KWA MKUTANO WA CHADEMAEastAfricaRadio
Просмотров 12 тыс.
LIVE: TAMISEMI Yaja na Maamuzi Konki Uchaguzi Serikali za MitaaCLOUDSMEDIA
Просмотров 10
#EXCLUSIVE: LULU DIVA AMWAGA MACHOZI AKISIMULIA KIFO CHA MAMA YAKE, WOSIA ALIOMUACHIA - "USILIE"Global TV Online
Просмотров 35 тыс.
Mkasi - SO5E12 With MajutoMkasiTV
Просмотров 691 тыс.
Nilipoteza vyote nilipoachana na mume wangu Mjerumani, hoteli ya Zenji, kampuni ya tour - FatmaSimulizi Na Sauti
Просмотров 70 тыс.
Sallam Afichua Walichokifanya WCB Baada Kufungiwa Na Media Zote Kubwa | SALAMA NA SALLAM SK PT 2YahStoneTown
Просмотров 87 тыс.
Ruge akizungumzia lawama za TID, kukosana na Ruby, kushuka kimuziki wasanii nkBongo5
Просмотров 35 тыс.
Riots Break Out all over the UK: Is British Multiculturalism Dead? | Vantage with Palki SharmaFirstpost
Просмотров 891 тыс.
Why UK 🇬🇧 is going Bankrupt? : Detailed Economic Case StudyThink School
Просмотров 1,3 млн
تشيبس أهوي! 🗝️🍟 كشف رقائق البطاطس المخفية الخاصة بي! #snacksOne More Arabic
Просмотров 10 млн
Keindahan Malaikat VS Iblis! 😇 Gadget makeup stroberi keren #kecantikanGo Gizmo! Indonesian
Просмотров 2,2 млн
🔴Путин в бешенстве: Украина ждет гигантской мести за Курскую область. DW Новости (13.08.2024)DW на русском
Просмотров 1,2 млн
🎙ТВОИ ЛЮБИМЫЕ ПЕСНИ из ФИЛЬМОВ и МУЛЬТИКОВ🎬Саша Квашеная
Просмотров 545 тыс.
SCHOOLBOY RUNAWAY В РЕАЛЬНОЙ ЖИЗНИ 📚🔔 #schoolboy #runaway #schoolboyrunaway #shorts YOUNGYOUNG
Просмотров 183 тыс.
ВСУ наступают под Курском. Путин требует действий. Эвакуация в Белгородской области. НОВОСТИРадио Свобода. Новости
Просмотров 1,6 млн
Торговаться надо уметь 😂 #тнт #shorts #юмор #шоу #однаждывроссии #кошкина #равдин #картунковаОВР Шоу
Просмотров 337 тыс.
Zamaradi watu watakukimbia. You are very smart. Le Mutuz you are so relaxed and very smart. Big up man
Pumzika kwaamani William John Samuel Malecella Mungu akurehemu Amen. This case is closed
Dada hongera sana unajua kuuliza maswali pamoja na kumpa nafasi mtu ,nimesikiliza mpaka mwisho inavutia kwa kweliiiii
Marekani sio ulaya bhana mbona unatuchanganya.
I love this man he was very Honest RIP
Huyo jamaa tumecheza naye sana banana, quarter za airwing majumbasita tukiwa wadogo tukiwa shule za msingi.
Nimekuelewa sana. ni kweli matajiri hawapendi kukaa na watu wanaolilia shida.
Nimejifunza sana,
I learned a lot from this man, he was such a kind man
Anajua kuzungumza aiseee.
Nimempenda anavyozungmza tena kwa kujiamini
Mungu akupe kauli zabiti kwenye nyumba yako ya milele kweli kifo dakika tu jina linabadilika sasa unaitwa marehem 😭😭😭
bonge la shule.maisha ni safari.👏👏👏
very educative interview...
I like your story from your bagraund...you can make its everywhere you a. never lose hope never give up great things take time
Rest In Peace William nimerudi kwenye hii interview 6 years back kifo nifumbo
Rip very smart 🙏🏾🙏🏾
good speech!!!!!!!!
MATAJIRI AU VIONGOZI HAWAPENDI MATATIZO. Nimeipenda hiyo
I just learned more from you guys
Lemutuz you are a hard worker
wooow akili kubwa sana nimekuelewa bro.
Lemutuz anajitambua sana,safi sana.wapi mabebez hahahaha.mtu anae jitambua lazima uwe na sehemu ya kukaa,sehemu ya kupatia hela na kula.sio kupiga kelele na unalala kwa mjomba.
Humphrey Nyimbo
Nyie kifo hiki jmn RIP lemutuz
Zamadi kumbe mrembo hivi naomba no zako jamn😍😍😍
jamaa yuko makini, Zaidi life style yake nimeipenda sana. Ni mfano wa kuigwa
Maisha ya nje kila mtu ana njia yake ya kutoboa kimaisha , Kuna watu wengi tuu tunaishi marekani tumejiajiri, maisha magumu kila sehemu duniani, conclusion ya maisha yake hawezi kuwa conclusion ya maisha yangu naishi marekani maisha yanaenda kupambana mwanaume lazima
Great interview.....
Pumzika kwa amani brother!
le mutuz nimepata faida kubwa sana ktk interview yako big up mzee.
Hizo kazi zinalipa tuna nyumba ulaya na africa,yeye ana nini!kazi ni kazi ni nzuri na zinalipa vibaya sana
kwani kasema azilipi ?
alirudi na dollar 1000 bt elimu aliyo ipata ulaya ndio imemfikisha hapo alipo
lily Tom ata sielewi aseme kweli huyo
Thanks brother.. Sasa nimekuelewa vizuri!
Le jituzz!!
Hii sio bestraft hat Matthias anaweza kuwa mtoto wako
Hahahahha. ukachomoka ndefu.Aisee Best umeongea Point mnooo.Pole sana kwa ulio pitia
27:55 - 28:12 is my best part from this interview😀
Lemutuz nakuelewa sana
parabens para boa intrevista le mutuz naçao le akili grand mas por k me bloqueou?
dah Zama uilipata mjib maswal...jamaa anaakili
yah, hiyo kazi ya kuwacare mataahira ndiyo kzi inayowatoa watu wanaohusle ulaya, mfano kumuangalia na kumuhudumia taahira kwa saa moja unalipwa pound 9 mpaka 12 kea uingereza, kama mtu anafanya hiyo kazi masaa 10 kila siks anatngeneza shillings ngapi? ni zaidi ya hata menveja wa bank.... just thinking loud man!!!!
Tunsuuuuuuu 🙏
Malekani duuuh hahahahahaahah
Yeap you learn how to hold Yourself / Real Big up.
Watoto wengi wa matajiri hua wanasaidiwa na wazazi wao,wakitoboa wanakuja kutudanganya kua wali hustle 😁
😁Ukiacha kibamia chake jamaa anaupeo mkubwa, though lifestyle yake inawaboa wengi
jamaa anaupeo mkubwa sana was mambo
Muachen le mutuzi wetu kabisa eti kasema malekan Kila ulimi uteleza
Mbona huyu jamaa anaonekana kama anatupa chai hv😀😀 hakuna real expression ya anachokizungumza na face expressions Mmmm?????🙆
Hayo anayoongea nikifikilia ni mtoto wa malecela najiuliza WHY?
Sie sind kitu cha kucheka
rip Lemuruz, u are a great guy and educative
SONGA MBELE LEMUTUZ , KIKUBWA KAKA JARIBU KU CONTROL MWILI ILI KUEPUKA HEART ATTACK USIYAPE NAFASI MAJUNGU MUNGU AKUTETEE
Maskini ulimtabiria ...dah...rip
malekani?????
Anaongea ukweli kuhusu ulaya sio rahisi weh wale mataahira wanakutia bonge la kabari weh acheni tu tunavyoteseka
kweli umeelimisha kaka
wooow
I'm so proud of you brother your the men lemutu big up for giving the true story
Eti kulea matahira duh
Mzee vitu vitatu ulivomalizia umeniinspire vibaya mno
Nimecheka kwa sauti ila dah kumbe tabu sana
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
ndo kulivyo! siendi
Wangapi tupo leo 2021 kusikiliza elimu mtaani ya big lemutuz? Naamini ni degree tosha ya maisha, tusubiri vyeti tu.
show off
mhh
Nonsense
Huyu alikuwa mvivu ndio maana ni basi
Huyu ni mvivu ndio maana ni masikini ulaya uchagui kazi
mange
kuna uongo flani
umeanza kujisifia kwamba umo kwenye kundi la watu wenye akili.
juu
umeishi kwa miaka 25 bila kutambua kuwa kumbe nipo utumwani!
kwenye maelezo yako unajisahau, unasema ni ngumu kutengeneza pesa lakini hapo hapo unajisifia kwamba ulikuwa unalipwa vizuri kuliko mtanzania yeyote na ukafanikiwa kutengeneza pesa.
wenye akili wapo silicon valley wanafanya mambo na wengi wao wageni na wao ndio wameweza hata kuwasomesha watoto wao kwenye skuli ambazo miaka ya nyuma wakisoma watu weupe wa kimarekani.
kwa miaka 25 umeweza kufungua blog tu hahaha
wenzio wanafanya kazi wanasoma na wanasaidia wazee na jamaa... wewe umeishi kivyako tu.
source of income babaaa ndio utapata pakukaa, kula la kuvaa kwa hiyo usijaribu kutowa tafsiri ya capitalism ambayo haipo.
Donald trump anavaa suit na matajiri wengi tu... wewe unawapotosha hawa vijana wa Tanzania wasio jitambuaa
wooow akili kubwa sana nimekuelewa bro.