Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

LEMUTUZI afunguka kuhusu kazi ambayo amewahi kuikataa akiwa Marekani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 авг 2016
  • LEMUTUZI afunguka kuhusu kazi ambayo amewahi kuikataa akiwa Marekani

Комментарии • 78

  • @shau78
    @shau78 6 лет назад +5

    Zamaradi watu watakukimbia. You are very smart. Le Mutuz you are so relaxed and very smart. Big up man

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад +3

    Pumzika kwaamani William John Samuel Malecella Mungu akurehemu Amen. This case is closed

  • @davidlukumay2226
    @davidlukumay2226 Год назад +2

    Dada hongera sana unajua kuuliza maswali pamoja na kumpa nafasi mtu ,nimesikiliza mpaka mwisho inavutia kwa kweliiiii

  • @georgedaniel4962
    @georgedaniel4962 Год назад +1

    Marekani sio ulaya bhana mbona unatuchanganya.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Год назад +4

    I love this man he was very Honest RIP

  • @salvatorymtunga5906
    @salvatorymtunga5906 Год назад +2

    Huyo jamaa tumecheza naye sana banana, quarter za airwing majumbasita tukiwa wadogo tukiwa shule za msingi.

  • @hilarymapula
    @hilarymapula 7 лет назад +3

    Nimekuelewa sana. ni kweli matajiri hawapendi kukaa na watu wanaolilia shida.

  • @graceneemaramadhaniabdalla7734

    Nimejifunza sana,
    I learned a lot from this man, he was such a kind man

  • @graceneemaramadhaniabdalla7734

    Anajua kuzungumza aiseee.
    Nimempenda anavyozungmza tena kwa kujiamini

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen6346 Год назад +1

    Mungu akupe kauli zabiti kwenye nyumba yako ya milele kweli kifo dakika tu jina linabadilika sasa unaitwa marehem 😭😭😭

  • @yahyakitenge5802
    @yahyakitenge5802 8 лет назад +2

    bonge la shule.maisha ni safari.👏👏👏

  • @uhuru23
    @uhuru23 8 лет назад +3

    very educative interview...

  • @lauchungu1295
    @lauchungu1295 6 лет назад +2

    I like your story from your bagraund...you can make its everywhere you a. never lose hope never give up great things take time

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад +3

    Rest In Peace William nimerudi kwenye hii interview 6 years back kifo nifumbo

  • @jovitakikoti2205
    @jovitakikoti2205 6 лет назад +2

    good speech!!!!!!!!

  • @shau78
    @shau78 6 лет назад +2

    MATAJIRI AU VIONGOZI HAWAPENDI MATATIZO. Nimeipenda hiyo

  • @kaukaofficial1813
    @kaukaofficial1813 6 лет назад +4

    I just learned more from you guys

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324
    @adelaidedaycareprenurseryk6324 7 лет назад +2

    Lemutuz you are a hard worker

  • @wardamgembe6582
    @wardamgembe6582 8 лет назад +1

    wooow akili kubwa sana nimekuelewa bro.

  • @humphreynyimbo2710
    @humphreynyimbo2710 8 лет назад +3

    Lemutuz anajitambua sana,safi sana.wapi mabebez hahahaha.mtu anae jitambua lazima uwe na sehemu ya kukaa,sehemu ya kupatia hela na kula.sio kupiga kelele na unalala kwa mjomba.

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Год назад +1

    Nyie kifo hiki jmn RIP lemutuz

  • @princekagame8203
    @princekagame8203 Год назад

    Zamadi kumbe mrembo hivi naomba no zako jamn😍😍😍

  • @amanijolam4140
    @amanijolam4140 8 лет назад +1

    jamaa yuko makini, Zaidi life style yake nimeipenda sana. Ni mfano wa kuigwa

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 Год назад

    Maisha ya nje kila mtu ana njia yake ya kutoboa kimaisha , Kuna watu wengi tuu tunaishi marekani tumejiajiri, maisha magumu kila sehemu duniani, conclusion ya maisha yake hawezi kuwa conclusion ya maisha yangu naishi marekani maisha yanaenda kupambana mwanaume lazima

  • @tumainimassawa3474
    @tumainimassawa3474 8 лет назад +1

    Great interview.....

  • @samsonmwakikuti5318
    @samsonmwakikuti5318 Год назад

    Pumzika kwa amani brother!

  • @ukweliniamani1988
    @ukweliniamani1988 7 лет назад +3

    le mutuz nimepata faida kubwa sana ktk interview yako big up mzee.

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 Год назад

    Hizo kazi zinalipa tuna nyumba ulaya na africa,yeye ana nini!kazi ni kazi ni nzuri na zinalipa vibaya sana

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Год назад

      kwani kasema azilipi ?

  • @20200p
    @20200p 7 лет назад +3

    alirudi na dollar 1000 bt elimu aliyo ipata ulaya ndio imemfikisha hapo alipo

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 7 лет назад +1

      lily Tom ata sielewi aseme kweli huyo

  • @shadmad1000
    @shadmad1000 8 лет назад +1

    Thanks brother.. Sasa nimekuelewa vizuri!

  • @erastotweve2586
    @erastotweve2586 Год назад

    Le jituzz!!

  • @claratemba44
    @claratemba44 Год назад

    Hii sio bestraft hat Matthias anaweza kuwa mtoto wako

  • @mauwachale
    @mauwachale 8 лет назад

    Hahahahha. ukachomoka ndefu.Aisee Best umeongea Point mnooo.Pole sana kwa ulio pitia

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster6146 6 лет назад +3

    27:55 - 28:12 is my best part from this interview😀

  • @isaackbm1935
    @isaackbm1935 6 лет назад +1

    Lemutuz nakuelewa sana

  • @mularomar3101
    @mularomar3101 8 лет назад

    parabens para boa intrevista le mutuz naçao le akili grand mas por k me bloqueou?

  • @marciakassimkassim2012
    @marciakassimkassim2012 8 лет назад +3

    dah Zama uilipata mjib maswal...jamaa anaakili

  • @tunsumegideonmwamboneke9639
    @tunsumegideonmwamboneke9639 8 лет назад +2

    yah, hiyo kazi ya kuwacare mataahira ndiyo kzi inayowatoa watu wanaohusle ulaya, mfano kumuangalia na kumuhudumia taahira kwa saa moja unalipwa pound 9 mpaka 12 kea uingereza, kama mtu anafanya hiyo kazi masaa 10 kila siks anatngeneza shillings ngapi? ni zaidi ya hata menveja wa bank.... just thinking loud man!!!!

  • @ibrahimmkoko5850
    @ibrahimmkoko5850 8 лет назад +2

    Malekani duuuh hahahahahaahah

  • @snsxsnsx3144
    @snsxsnsx3144 6 лет назад

    Yeap you learn how to hold Yourself / Real Big up.

  • @Boaz22
    @Boaz22 Год назад +1

    Watoto wengi wa matajiri hua wanasaidiwa na wazazi wao,wakitoboa wanakuja kutudanganya kua wali hustle 😁

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster6146 6 лет назад +2

    😁Ukiacha kibamia chake jamaa anaupeo mkubwa, though lifestyle yake inawaboa wengi

  • @gottaboy4178
    @gottaboy4178 8 лет назад +4

    jamaa anaupeo mkubwa sana was mambo

  • @sashalamar8215
    @sashalamar8215 8 лет назад +1

    Muachen le mutuzi wetu kabisa eti kasema malekan Kila ulimi uteleza

  • @jamesmethuselafredrick6064
    @jamesmethuselafredrick6064 6 лет назад +3

    Mbona huyu jamaa anaonekana kama anatupa chai hv😀😀 hakuna real expression ya anachokizungumza na face expressions Mmmm?????🙆

  • @bossandingy412
    @bossandingy412 Год назад

    Hayo anayoongea nikifikilia ni mtoto wa malecela najiuliza WHY?

  • @claratemba44
    @claratemba44 Год назад

    Sie sind kitu cha kucheka

  • @daud405
    @daud405 Год назад +2

    rip Lemuruz, u are a great guy and educative

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324
    @adelaidedaycareprenurseryk6324 7 лет назад +1

    SONGA MBELE LEMUTUZ , KIKUBWA KAKA JARIBU KU CONTROL MWILI ILI KUEPUKA HEART ATTACK USIYAPE NAFASI MAJUNGU MUNGU AKUTETEE

  • @rahimamkamba5032
    @rahimamkamba5032 8 лет назад +2

    malekani?????

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Год назад

    Anaongea ukweli kuhusu ulaya sio rahisi weh wale mataahira wanakutia bonge la kabari weh acheni tu tunavyoteseka

  • @mbonishabani1399
    @mbonishabani1399 8 лет назад

    kweli umeelimisha kaka

  • @wardamgembe6582
    @wardamgembe6582 8 лет назад +1

    wooow

    • @samamuri8172
      @samamuri8172 8 лет назад

      I'm so proud of you brother your the men lemutu big up for giving the true story

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Год назад

    Eti kulea matahira duh

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Год назад

    Mzee vitu vitatu ulivomalizia umeniinspire vibaya mno

  • @revinastephen1702
    @revinastephen1702 6 лет назад

    Nimecheka kwa sauti ila dah kumbe tabu sana

  • @rukiahussein9737
    @rukiahussein9737 8 лет назад +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @renaldakamugishazeramulake940
    @renaldakamugishazeramulake940 7 лет назад

    ndo kulivyo! siendi

  • @shabanihamisi115
    @shabanihamisi115 3 года назад

    Wangapi tupo leo 2021 kusikiliza elimu mtaani ya big lemutuz? Naamini ni degree tosha ya maisha, tusubiri vyeti tu.

  • @mdakilwa1170
    @mdakilwa1170 7 лет назад +1

    show off

  • @thuweintheprince882
    @thuweintheprince882 8 лет назад

    mhh

  • @mohamedimohamedi8029
    @mohamedimohamedi8029 6 лет назад

    Nonsense

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 Год назад

    Huyu alikuwa mvivu ndio maana ni basi
    Huyu ni mvivu ndio maana ni masikini ulaya uchagui kazi

  • @dvdmaro903
    @dvdmaro903 6 лет назад

    mange

  • @ayoubaadil6385
    @ayoubaadil6385 7 лет назад

    kuna uongo flani

  • @TheBlkk100mk
    @TheBlkk100mk 8 лет назад +1

    umeanza kujisifia kwamba umo kwenye kundi la watu wenye akili.
    juu
    umeishi kwa miaka 25 bila kutambua kuwa kumbe nipo utumwani!
    kwenye maelezo yako unajisahau, unasema ni ngumu kutengeneza pesa lakini hapo hapo unajisifia kwamba ulikuwa unalipwa vizuri kuliko mtanzania yeyote na ukafanikiwa kutengeneza pesa.
    wenye akili wapo silicon valley wanafanya mambo na wengi wao wageni na wao ndio wameweza hata kuwasomesha watoto wao kwenye skuli ambazo miaka ya nyuma wakisoma watu weupe wa kimarekani.
    kwa miaka 25 umeweza kufungua blog tu hahaha
    wenzio wanafanya kazi wanasoma na wanasaidia wazee na jamaa... wewe umeishi kivyako tu.

  • @TheBlkk100mk
    @TheBlkk100mk 8 лет назад

    source of income babaaa ndio utapata pakukaa, kula la kuvaa kwa hiyo usijaribu kutowa tafsiri ya capitalism ambayo haipo.
    Donald trump anavaa suit na matajiri wengi tu... wewe unawapotosha hawa vijana wa Tanzania wasio jitambuaa

  • @wardamgembe6582
    @wardamgembe6582 8 лет назад

    wooow akili kubwa sana nimekuelewa bro.