#EXCLUSIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • #EXCLUSIVE: LEMUTUZ AANIKA UKWELI WOTE KESI YAKE na MAKONDA, AJIBU KAULI ya DKT BASHIRU....
    GLOBAL TV imefanya mahojiano maalum na mwanasiasa, mwanaharakati na nguli wa mitandao ya kijamii Lemutuz ambaye ametupisha kwenye mengi tusiyoyajua ikiwemo suala la kesi yake na Paul Makonda....
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 126

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +1

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 Год назад +5

    "Fanya Wema kwa ajili ya Mungu na usifanye Wema kwa ajili ya Mwanadamu". I love this!!!!!
    Blessings brother!!!!!!

  • @bonawalewale9921
    @bonawalewale9921 Год назад +1

    Lemutuz nakukubali sana, one day yes ntakutafuta tule Bata hata tu pale fish market Bro, long live, composure international, thinking, analysis, relevance, internationalization na particularization uko vizuri sana

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Год назад +2

    I love his confidence and intelligence. Very smart Lemutuz 👌

  • @kitovasaidi6753
    @kitovasaidi6753 Год назад +2

    Du imekaa vzr Kwanza huwa nakuelewa vzr sana lkn pia mahojiano haya yamekuwa na afya clarification nzuri kabisa.

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 Год назад +7

    Bashiru yuko sawaaaa

    • @michaelmartin356
      @michaelmartin356 Год назад

      Hii ksuli ya Mungu amuweke mahali pema ni kwamba huwezi kumuelekeza Mungu kumuweka mtu mahali ila matendo na toba katika siku zako za mwisho ndizo zitaamua hatima

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 Год назад +9

    Kwa hiyo kiapo cha watu wa ccm ni kusifia viongoz wao tu, hata akikosea mnasifia tu

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Год назад +2

    Kaka nimekupa Big up ufafanuzi wa majaliwa kwakweli watuachie shujaa wetu aendelee na mafunzo

  • @christinamselle4490
    @christinamselle4490 Год назад

    Big up LEMUTUZ, nimependa interview yako kaka. Uko vizuri wewe unafaa kuwa KIONGOZI

  • @editabahati8973
    @editabahati8973 Год назад +2

    Aisee!Wewe Ni mkweli sana Huyu Mutu nampendaga Sana.

  • @aidansimbeye
    @aidansimbeye Год назад

    Nakupa pongezi kwa kazi nzuri ya kuelimisha jamii. Wewe ndio kile kichwa cha Mzee Malecela

  • @monicaashery1
    @monicaashery1 Год назад

    Love your candor and love your humor; you are hilarious! Hugs, my friend, and keep up the excellent work!

  • @charlesmgory3131
    @charlesmgory3131 Год назад +5

    Hawa ni wasomi kula raha wnasubiri kufa hpo alipo ameachana familia yke atuambie umri huo hana mke utimamamu wake upo wap?

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Год назад +4

    MBs zangu nimezitumia kizembe sana kusikiliza haya mazingaumbwe..

  • @estersaul8180
    @estersaul8180 Год назад +1

    Bro..nimekuelewa sanaa
    MATURED ONE..

  • @bashkamohamed4015
    @bashkamohamed4015 Год назад +3

    Last minutes can save aman but also women is exclusives

  • @kanikiommy5167
    @kanikiommy5167 Год назад +4

    Ni kweli watanzania waongo

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад +4

    It will take time

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад +5

    You are right lemutuzi hayo hata mimi yamanitokea tena Bora wewe kwa marafiki mimi Ni ndugu kabisa you can’t believe

  • @KassimKihambwe-xt2nv
    @KassimKihambwe-xt2nv Год назад

    Safi sana lkn tuwangalie sana watu wa chini

  • @pushyd1
    @pushyd1 Год назад +2

    Good interview bro lemutuz

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Год назад +2

    Mtaji ni kodi zetu ujue au unasahau

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Год назад +4

    Jamaa anamfanano na master Jay wa bss, Ila Mhe jonh malecela ndo copy yake kabisa

  • @husseinali5535
    @husseinali5535 Год назад +2

    Some people are mad for no reason

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 Год назад +2

    Mgogo original huyo
    Tunajuwaga kujieleza sana.

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Год назад +1

    Sura ya kazi

  • @kuyaobadia4000
    @kuyaobadia4000 Год назад +1

    Oa

    • @petermhonzwa7091
      @petermhonzwa7091 Год назад

      Sheria ya kuoa ktk kazi yake inamkataza. @ kuchanwa marinda

  • @ibrahimhussein8750
    @ibrahimhussein8750 Год назад +2

    Hao.wote.ni.watoto.wa.vigogo

  • @allyiddi5866
    @allyiddi5866 Год назад +2

    Kaka lemutuzi wewe ni kiongozi wa viongozi japo hujielewi mimi nimekuwa nikikufuatalia sana juu ya hoja zako ni za kujenga na kufundisha japo watu hawataki kukuelewa mimi nimekuelewa sana na nitazidi kukuelewa na kujifunza kutoka kwa kwako

  • @jigajrphil1344
    @jigajrphil1344 Год назад +3

    Nimeipenda hiyo nikipata pesa naenda hotel zikihisha unarudi nyumbani 🤣😂😅

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Год назад +2

    Hamna kitu hapa

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад +2

    Ni ex wa Miss Tz 2016 was Future hasband wa wemasepetu

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 Год назад +1

    Hapo alipokuwa analipiwa hotel ndo kwenye tatizo tuishie hapo

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 Год назад

    R.I.P brother

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid5393 Год назад +1

    Ukikutana na NOAH nyeusi inapiga Earth Wind and Fire songs na nyingine kama izo, jua huyo ni Le Mutuz.

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 Год назад +1

    🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

  • @immanuelinvocavith1498
    @immanuelinvocavith1498 Год назад +2

    Mb zangu nimechezea

  • @octaviankomba6298
    @octaviankomba6298 Год назад +3

    Mbona umekuwa ombaomba xaxa mara mengi kakupa Hela Tena huyu Mzee magu we unamatatizo gani

    • @kanikiommy5167
      @kanikiommy5167 Год назад

      Ebu msikilize mtu anavyosema yani bado ujamuelewa tu kwaufupi yeye hana tamaa basi angekuwa na tamaa angekubali uongozi serikalini ili haibe pesa nyingi . Na ndio ndio maana amesema mugu anakupa vitu vitatu sehemu ya kulala chakula na mavazi ivyo vitu vingine wewe ni tamaa zako kwa ufupi yeye hana tamaa anaridhika jinsi alivyo tu

  • @salamaisayas8281
    @salamaisayas8281 Год назад

    Uko poa japo kupanga ni kuchagua Maisha ni popote pia ni kuchagua japo inauma kweliii!.

  • @hassshoban8206
    @hassshoban8206 Год назад +2

    Ulikuwa unalangukua tiketi za sinema.

  • @mwana4599
    @mwana4599 Год назад

    Yaani mmekwshaona kuna title haiuzi. Sasa alikuwa na Magufuli si ilikuwa ni ukweli?

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Год назад

    Hili jinga, Zarau kiburi majivuno na kila Aina ya uninga

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 Год назад +5

    Bashiru hajatukana chama, amezungumzia udhaifu wa serikali na kuwaambia watu waache kusifia ht kwenye mambo ya kijinga

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 Год назад +3

    Interview mbovu plus uongo mwingi

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Год назад

    Jamaa afanye aoe tena maneno mengi Sana duh

  • @kanikiommy5167
    @kanikiommy5167 Год назад +1

    Wewe mjanja sana kakangu sijui kwa sababu umeishi uluya da napenda sana kukusikiliza

  • @elizeusstambuli3431
    @elizeusstambuli3431 Год назад

    Lakini hapo naona umekosea.Renarld Regan hakujiuzuru democratic.alibaki democratic mpaka mwisho wa uongozi wake.alibaki hakwenda republican mpaka amemaliza muda wake.

  • @lilianhigilo2527
    @lilianhigilo2527 Год назад +2

    Akili yai viza kweli huyu jamaa

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 Год назад

      Kama umejua huyu ni Mjinga basi WEWE UNA AKILI........

    • @shodristvtv6121
      @shodristvtv6121 Год назад

      LemutuZ ni akili kubwa sana bro tulia hujawai kuongea naye

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 Год назад +4

    Huyo anaongea atakaro wala hanapoint yeyote. Kisa yupo upande wa serikali anajifanya haoni MATATIZO wanayopata watu,akiwemo yeye mwenye. Watu kama hawa wahovyoo kweli!!

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 10 месяцев назад

    UKIPANDA WEMA UPANDE KWA AJILI YA MUNGU NA SIO KWA AJILI YA BINAADAMU.

  • @samniza1763
    @samniza1763 Год назад +4

    Usilingan8she lay men na nyie lol!

  • @editabahati8973
    @editabahati8973 Год назад +1

    Yaani kuna watu wanaendaga kufutilia binadamu wanavyoishi sijui wanakaga nini au wakishajua watafaidi nini ,wewe Ni kiboko yao tu!

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 Год назад +4

    Eti hakuna upinzani Tanzania wakt huo huo mnawaogopa km ukoma😂

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 Год назад +1

      Hawa ni watoto wa ccm wanaenjoy mfumo....ni watawala

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 Год назад +1

      Kauli ya kipumbavu sana halafu Kuna watu wanaamini

  • @jumbemkilla9556
    @jumbemkilla9556 Год назад

    Nimekuwa nakufuatilia sana kwenye Social Media ila naona kuna kitu kinakuchanganya Suala Mwenyekiti wa Chadema hili linakusumbua kama linavyo wasumbua wana ccm wengi.
    Wewe mwenyewe umeseme Demokrasia iko nje ya chama au sikukusikia vizuri?

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny2065 Год назад +2

    Lemutuz wewe ni tajiri wa roho nakupenda..

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 Год назад +2

    Lemutunzi! Hayo ni mawazo Yako kuhsu bashiru! Kama mwl Nyerere mwanzilishi wa chama! Alikosoa mwinyi, Hadi mkapa! Kumbe kweli watoto wa vgogo akili zenu mnazijua wenye!

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Год назад +5

    Na wewe pia ni fala tu, hatukujui. Mnapenda kutetea wajinga tu, na wala rushwa wakubwa. Tunataka watu Kama bashiru wanao sema ukweli kuhusu jamii. Si kuwa machawa kwa viongozi wazembe. Ipo siku tutaheshimiana tu.

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 Год назад

    Umeeleweka hapo kwenye kuheshimu KIAPO alichoapa Mhe Bashiru.

  • @abelabba7809
    @abelabba7809 Год назад +1

    Umeongea ujinga mtupu. Nonsense

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Год назад

    Mutu ya watu... ameondoka mapema..mipango ya Mungu hakuna ajuaye.

  • @philemonsnyanda9450
    @philemonsnyanda9450 Год назад +1

    Anaehoji nae hana lolote halafu huyo anaesema upinzani haupo hebu awashauri ccm wakubali kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara

  • @festoottosimkwayi9911
    @festoottosimkwayi9911 Год назад

    Hivi kile KITABU cha Marehemu Mwalimu JULIUS KAMBARAGE NYERERE cha MWANZO WA TANZANIA sijui na MWISHO WA NINI kipo wapi?

  • @samuelchiwango3598
    @samuelchiwango3598 Год назад

    Marehemu kufarikiiii eeeeeh eeeeeh😂

  • @husseinwemmar6217
    @husseinwemmar6217 Год назад +1

    JAMAA KIMUONEKANA NA U MASTA JAY FULANI HIVI KWA MBALI

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Год назад

    Hawa ndio huwa wanaitwa fisi! Leo anongea mambo ya kisiasa ili asaidiwe. Who are you to help Bashiru?

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Kwani una nyumba Kaka lemutuz

    • @rahimaaaaa8699
      @rahimaaaaa8699 Год назад

      Anazo.nyumba 2.
      Moja alisema iko.kinyerezi ndani yake shamba kibwa .
      Nyingine iko Mbweni huyu siyo wa mchezi

  • @kwanzamwisho2708
    @kwanzamwisho2708 Год назад

    Ongea tu vizuri lakini usijitilie chumvi kunogesha, shule za bongo wala za ulaya azitafuti njia ya kufanya wewe usiudhurie kikao.

  • @philipowillium3530
    @philipowillium3530 Год назад +2

    Kwan uhuru wa kuongea ni nn maana yake,, bashiru ameongea yeye anavyo ona asa kicho fanya vchwa vnawauma sasa

  • @oskamsafiri2814
    @oskamsafiri2814 Год назад

    Mshenzi ww

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Год назад +1

    Toa.miwani

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 Год назад

    Ungemuuliza walishinda uchaguzi wa 2020 ? Ccm imesAidia nini nchi mpaka sasa

  • @meyou-zz8mj
    @meyou-zz8mj Год назад

    Nyinyi wote machizi huyo katumia kodi zetu.. sema teknolojia inahifadhi. Katiba ikibadilika chungeni kauli

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Год назад +1

    Ukiongea upuuzi wenu husitaje chadema

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 Год назад

    Jidanganye upinzani hakuna.Waruhusu mikutano wakione.
    Wewe ni mchumia tumbo tu unatafuta kiki huna unachojua.AIBU YAKO

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 Год назад

    Bro huwezi kuongelea cct kibaya kwa ccm kwani ww ni mmoja wa jamii inayotawala kifalme mtoto wa kifalme kula nchi kaka.

  • @elizeusstambuli3431
    @elizeusstambuli3431 Год назад

    Labda umesahau kidogo kuliko renald regan.hakuwahi kuwa chama cha republican.

  • @yasintajohn1189
    @yasintajohn1189 Год назад

    Kwan huyo ni nana sasa mweeeee

  • @lilianhigilo2527
    @lilianhigilo2527 Год назад +1

    Lemutuz ndio nani?

    • @petermhonzwa7091
      @petermhonzwa7091 Год назад

      Mliwa Malinda Fulani kutoka kwenye family ya mzee malechela. Ley men ni mtu wa chini Sana hayo matope ya bonde la usangu

  • @kamandapunzew1141
    @kamandapunzew1141 Год назад +3

    Kafe uko we unajipendekeza kwenda uko

  • @josephtemu2633
    @josephtemu2633 Год назад

    Wewe huna akili kabisa

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 Год назад +4

    Unafaaa kua kiongozi na taifa linahitaji watu wengi wenye akili kubwa kama hii 💪

    • @fahamnitwahir9249
      @fahamnitwahir9249 Год назад +2

      Duh, yan huyu awe kiongozi

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 Год назад +2

      Akili kubwa unaijua wewe?

    • @testarguy8609
      @testarguy8609 Год назад +1

      Watanzania wa social media naona mmekuja 🤣🤣🤣🤣 mamae wallah

    • @fahamnitwahir9249
      @fahamnitwahir9249 Год назад

      @@testarguy8609 umeona akili yko ilivyo ndogo et watanzania wa social media ilhali na ww upo kwa social media 😂

    • @testarguy8609
      @testarguy8609 Год назад

      🤣🤣🤣🤣 hii inabeba kila kitu,kwa hio na wewe imekubeba tayar

  • @projestusrweyemamu8406
    @projestusrweyemamu8406 Год назад

    NAKUPENDA SANA NDG YANGU NAKUOMBA TUWASILIANE NDG YANGU.
    UNAFAA SANA KUWA RAFIKI YANGU.

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Год назад +1

    Kwaiyo sisi ni Lyman

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 Год назад

    Mtangazaji unaleta mazoea kwa lemutz humuulizi maswali ya msingi

  • @aidansimbeye
    @aidansimbeye Год назад

    Nimesema wewe ndio kile kichwa cha Mzee Malecela baadhi watanielewa na wengine hawataweza kabisa

  • @mtanzaniatz3346
    @mtanzaniatz3346 Год назад

    Acha ujinga alicho kisema ni kweli ni mafanikio ya taifa. rais anatoa pesa sana lakini hafuatilii pesa zinaliwa hovyo na rais azurura tu hajui vitu gani vinaendelea.

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 Год назад

    Unatafuta ugali na cheo kwa Samia wenu bashiru Hana kosa wewe umetumwa na baba yako John malicela umpondee bashiru

  • @petermhonzwa7091
    @petermhonzwa7091 Год назад

    Kafie mbali huna akili unajua hoja gani wewe? Eti upinzani hawana hoja kipofu na mbumbumbu mkubwa weeeee

  • @johanessmwijage1192
    @johanessmwijage1192 Год назад

    Hahahah nyie ni wapuuzi kabisa amtaki kutufundisha wapuuzi kabisa

  • @christinamselle4490
    @christinamselle4490 Год назад

    MUNGU akutunze LEMUTUZ, wewe ni akiba ya taifa letu

  • @jacksongabriel4693
    @jacksongabriel4693 Год назад

    Wewe takatakatu bashilu aumuwezi wewe nimuongo na unataka teuzi

  • @chrispinedward6356
    @chrispinedward6356 Год назад +2

    Wee huna lolote,unatafuta cheo,

  • @jonathanmwakabuku4714
    @jonathanmwakabuku4714 Год назад +1

    Huna lolote wewe

  • @mymuamsrrr7884
    @mymuamsrrr7884 Год назад

    No Bashiru hajakosea kitu,acha uchawa na wewe khaaaaa!!!!!

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Год назад +3

    Hana watoto. Angekuwa nao asingewaacha maana damu nzito. Pesa bila familia ni bure

    • @barikiwa22
      @barikiwa22 Год назад +3

      Wangapi wanaume wame waacha watoto wao, hakuna jipya chini ya jua. Jamaa ana watoto 2 wakubwa tu.

    • @jigajrphil1344
      @jigajrphil1344 Год назад +1

      Na familia bila pesa Ni shilingi ngapi....?😳

  • @jumannemsomba1027
    @jumannemsomba1027 Год назад

    Huyu takataka kabisa sijui hata aliyemuhoji alitaka nini mzee FACT GANI ? ACHENI UJINGA

  • @kuyaobadia4000
    @kuyaobadia4000 Год назад

    Oa