Huu ndio ukweli kuhusu biashara ya Cryptocurrency Tanzania, watu wanatajirika? Nini ufanye?
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Biashara ya Cryptocurrency duniani inazidi kushamiri. Tanzania hali ikoje? Ni kweli watu wanatajirika? Anthony Mlelwa ni Mbobezi na Mwalimu wa masuala hayo, anatupa mwanga
Jamaa anajua vitu lakini hajui kufundisha. Yuko speed
Upo knowledgeable sana baraza tony kwenye hii crypto. Nmesomasoma kidogo, naona unapita mule mule na zaidi.
video nzuri. Sielewi biashara hii, niambie jinsi ya kukutana na mtu sahihi ambaye atanipatia faida nzuri
Nenda makumbusho jengo LA Mwanga tawa office za IRev or Fidelity itapata vyote
Unaweza jifunza Online au in person
Kiufupi Kila Biashara ina Risk Zake Na Faida Zake Na Hauwezi Kuingia kwenye Biashara Yoyote ile Ukatusua Siku Hiyi Hiyo na Kwenye Cryptocurreny nayo ni Hivyo Hivyo..Japo ukitulia Kama Huna Taama Sana na Uko na Risk.management Knowledge kuna Hela..Ila Kumbuka kuna ni volatile markets..
Hii biashara ni kamari kwa mtu asiyeisomea ila kwa msomeaji na akafaulu lazima afanikiwe. Hii ipo ktk kila jambo ingawaje kuna biashara zingine hazina formula wengi wanafanya na wanakuja kufanikiwa uzeeni na wengi wanaacha na kila siku wao wanatafuta kazi hatakama wanavyeti smart
Live from DRC lumbashi tunawasikiliza sns big up sky.
NAJUA SIJUI KUIPOST HII HAPA ILA CRYPTO CURRENCY INASONGEA TARATIBU KUELEKEA KITU KIKUBWA NA BEI ILIYOPANDA KWA MIEZI ILIYOPITA NI MWANZO TU WA MAMBO MAKUBWA YAJAYO, UNAPATA USHAURI WOWOTE HUO NI KWA USHAURI WOWOTE. CRYPTO .? SIJUI UANZIE WAPI....
Kuanza mapema ni njia bora ya kujenga mali, na uwekezaji unabaki kuwa kipaumbele. Soko la hisa lina fursa nyingi za kupata mgao mzuri na ujuzi sahihi na ufahamu mzuri wa jinsi masoko yanavyofanya kazi.
Kama inavyoonekana katika biashara ya sarafu-fiche, inahitaji zaidi ya ujuzi wa kimsingi wa kriptografia. Ni bora kukabiliana na wataalamu ili kuepuka hasara zisizohitajika. Tunapendekeza kuwa na mfanyabiashara/dalali mtaalamu ambaye ni mtaalamu katika nyanja yake ili kukusaidia kudhibiti akaunti yako.
Wow💌 jirani yangu pia alimzungumzia, lazima atakuwa mfanyabiashara mzoefu ili watu wamzungumzie vizuri..
Kujadiliana na Bw. Jaurescrypto kweli ilibadilisha mtazamo wangu wa bitcoin kwa sababu wakati kila mtu alikuwa akilalamika na kuogopa niliona kwingineko yangu kukua kutoka 2BTC hadi 8BTC katika wiki 3 na mali ya biashara.
@@TOMASJAN mambo vipi nipe mawasiliano yako
Kwa Urahisi Blockchain ni Kama Database tu.Mwisho wa habari..
Dah... Bundala ana msauti fulani ambao hakuna namna Nyingine zaidi ya kusikiliza na kupata elimu murua... Asante sns
Utafanya nini Sasa ili kuwa mtaalamu wa cryptocurrency nje na kuwekeza muda maana Umoja wa watu ni ngumu kuliko kuona jua.
Aya mambo kuna watu nikiwambia nafany wananicheka..yani wanajua smartphone kaz yake ni kupost matukio tiktok na Instagram
Edy kama wanakucheka maana ake ni kwamba dont tell them anything wata kudiscourage tu get buys fanya mambo yako thats what i do
Nisaide na mm nianze kufanya trading
Mambo vipi kaka nipe mawasiliano yako tafadhali
Leo sky umepatikana haswa yani,mwamba ni kichwa balaa,kila anachokitamka kinahitaji definition ili uelewe ndio maana anaongea sana mpaka anakuover sens mpaka unaamua kuitikia kitu ambacho hakijawahi kukutokea ktk interviews zako. Jamaa anatumia akili nyingi sana na yuko very smart ktk brain yake inamaana ukiwa mvivu kuelewa lazima akuibie ili aende na wakati kulingana na speed ya akili yake inavyomuitaji
We jamaa una akiri kweri, jamaa ameletwa kuwafungua watu wasiojua kuhusu hiyo mada it means sky hana ujuzi zaidi kuhusu hiyo mada na kama angekua anajua angeelezea yeye mwenyewe punguza ujuaji
@@hermanricci mi najua nn jamaa kwani mm si nmeona sky anavyopata tabu so ku coment kwangu we inakuuma nn hadi uniattack
Dah...!! I'm an Auto electrician by professional naenjoy kuskiliza haya maongez kwasababu yanarushwa na SNS but honestly sielewi kitu yoyote mazee joh
😂😂😂😂😂😂
Asante sana kwa madini haya
Forex ( hfx) is profitable then crypto currency Cuz with Forex hfx, you can money money just in one minute & depend on how much you are risking and how many percentage that currency is paying
need knowledge and consistency like a lot to be successful
Unaongea logic sana boss. Congratulation boss
Na Biashara Yoyote Ukiingia na Matarajio Makubwa Mwisho wake ni Anguko
Naomba no ya watsap ili tuweze kuwasiliana vzr
this man is deep duhh
Ili kumuelewa huyu jamaa lazima nawew uwe na idea au IT experts. Hivi hivi tutuona uyoga na chikichi😁
Kabisa yani😂😂
Mbn mm sijasoma IT namuelewa vzur tu
Sisi hao😂
Crypto to the map!
Aaa mtakula nyasi,Hihiiiii! Neeo kisukusu
mwalimu ongea slow slow pungu spidi ya kuongea wengi hatukuelewi halaf jaribu kuongea kiswahili mwanzo mwisho ukiongea English ndio unatupoteza kabisa
Bro nimemuelewa sana
Kwanii ndio Nini ? Hebu naomba ufafanuzii kidogo ndio Nini na ikoje? Pls
Good Morning Sir Tony, How are you? Can we meet, I'd like to learn from you. My name is Nimfinity. I live in DSM. I saw you in Simulizi na Sauti. I want to learn more about crypto currency. ThanQ. Please reply.
Watu wameliwa sana .hebu atoe namba za simu ili nimpe majina ya watu walioliwa. Ushahidi upo
Anatumia maneno ya uzungu mwingi skay
Nani kaangalia mpaka mwisho 😆 🤣 😂
Wachache sana tunaelewa ukubwa wa hii interview!
Kabisa
ukiwa huna clue na haya mambo huwezi angalia.. kwetu ssi tunaona jamaa anaongea mambo yakawaida kabisa coz tunauelewa juu ya haya.
Mi Leo naangalia mara ya pili. Hii ni Fursa brother kama unajua hizi mambo lazima ufatilie
Mpaka dk hii nimetoka na 0000.000000000000.00000000😂😂😂😂
Punguza kutumia maneno technical watu wakuelewe
Sio Bussiness nj professional gambling
Ita a fuckin buzness with no limits brother man up...chukua elimu upige pesa
😂😂 Admin bana.. Niliandika very simple kuhusu blockchain technology na masuala mazima ya Crypto na wengi mlilike na kuomba mawasiliano yangu kwa msaada zaidi. ila kina nilivyokua nawapa kwa lengo la kusaidiana Admin amekua busy kufuta izo comment ila kwa sasa kafuta comment yangu ile ilokua na elimu nzuri/rahisi kuhusu blochain na crypto.. kuna masuala ya msingi sana kafuta nayangewasaidia wengi pia uelewa ungeongezeka miongoni mwa watanzania wenzetu but anyway channel n yake anaweza fanya apendalo!!!
Futa pia na hii
Nieleweshe mimi
@@blandinamwaseba5866 tafuta tu njia ya kunipata dada, apa ata nikikupa namba comment inafutwa.
@@elonii8790 sawa
Asa nitakupata vipi hewani unieleweshe
Dui
Cjakuelew kbx anaelezea kama mtu anamuambia anajua
Sasa huyu kiongoz nahitaji namba yake ili niweze kuwasiliana na kunifundisha cryptocurrency
Huo ni utapeli mtupu
Congratulations
Kwa slow learner na wale English ilipishana nae anatoka kapa jamaa anatuelezea km tunayaelewa cku nyingne apunguze spidi😂
Mjanja hataki tuelewe!
@@johnmwasilu7087 yan kafungwa mota y mdomo maana 😂
Mbona anaeleweka tu
@@hansbalon4540 sijasema haeleweki, ww umemuelewa, ila mim sijamuelewa kwsbb mimi ni slow learner 😂
sema jamaa forex haijui fresh 😂
Aise Tony ninaomba ujuzi haswa, niko Lagos nahitaji mawasiliano na ujuzi zaidi koz rafiki angu kaniambia nifanye but Nigeria utapeli mwingi nimeogopa
Huitaji wala kuogopa kwa namna yeyote ile..sababu ukiwa na account yako ni sawa na ilivyo fb,google etc utakua na jukumu la kutunza password yako na uzuri platform nyingi wanatumia 2 factor authentication ambayo inaongeza layer 1 kweny usalama. Tumia exchange kubwa na secure ili kuwa safe zaidi na usishawishike kwa mtu kukwambia anataka kukuwekezea ili upate faida zaidi..fanya kila kitu mwenyewe best. Enjoy!
@@elonii8790 Kaka wewe na akili zako zote izo😊 nisaidie we
@@samiraabdimahamed4449 nikusaidie na nini dada?
Hi, tuwasiline nikumie WhatsApp yako
Asant, naomba unisaidie kujua kwa Sasa soko litapanda lini..?
Babydoge to the moooon
Sasa Jamaa anaacha wasio Jua eti LIQUIDITY..Haaaahaaaa
Mimi nataman sana kujifunza hii maana ni mara ya pili kusikia hii habari.
Karibu nikusaidie
@@elonii8790 unapatikana wapi
@@elonii8790 naomba namba yako pse
@@elonii8790 naomba namba yako
Namba yako
Sns naomba unitumie mawasiliano ya huyo jamaa
Naitaji mafunzo na kujiunga
Ndio mnatumiya maneno mengi kwa kingereza jaribu mtuilimiye kikamilifu kwa kiswahili
Ni ngumu kutumia kiswahili kwenye hio biashara. Sababu hizo ni terminology zinazotumika huko.
Saiv sio kipindi sahihi cha investment mutafilicka mn vita vimeharibu mambo mingi muwe makini
Kwenye vita ndio mda wa kupiga pesa, kikubwa umakini na kujua unataka nini
@@geraldbenjamin9302 watataifisha hela zenu ivi hujui baada ya vita kuu zile mabenki yalifilisika so wateja wakala hasara acha kuwadanganya watu
@@madetetv6576 Bahati nzuri huko kwenye Brockchain ndiko dunia inakoelekea, utake usitake smart money is coming, cashless society bus on its way,so itafika mda utaingia huko Bila kupenda
Vita haihusiani na crypto ndugu yangu.. maana ye decentralized ni kutokua na ufungamano na upande wowote.
@@elonii8790 Tafta kitu kinaitwa World Government summit 2022 imefanyika Dubai, kisha uje tena hapa ndg
Hello friends, kama mko tayari kuwekeza mpaka halving tuwasiline nitumie WhatsApp yako
Yaani Kila Ukisikia Tunaosemea hii crypto Kila mtu kuna Sehemu Kila.mtu ana mtazamo wake Hasa kwenye kufanya Trading ila Mimi Naamin Kupanga ni.Kuchagua na Hakuna Biashara Isiyo na Hasara..Ila Wanasema za Kuambiwa changanya ila.My Plan Nataka Niwe Full Time Trader naamini Inawezekana...Ila.Kikubwa Wekezeni kwa Elimu
tatizo tuna lack maarifa
@@lazaromaria5334 Ukitafuta tu unapataaa kikubwa ni Kupambana tu
Vp now umeshakuwa Full time trader
Vipi now umeshakuwa full time trader
Vp nawapata
elimu ya block chain naipataje
Uyu mr ata school aliacha baada ya kupata mkwanja
Inatamkwa "kripto"
Hii ni gambling tuu hamna tofauti
🤣🤣🤣 we got stupid here
Maisha ni gambling mzee
W2 wangeongea ukwly kam hy w2 wasingekuw wanapigw networking marketing , forex and crypto ni v2 vipana sn
Networking sio Mbaya No Real sema Kibongo Bongo ndio Kama Hivyo..Hata hiyo.crypto wasiojua Bado.Wanalizwa sana ndio.Maana kuna. Watu bado wanaona Crypto ni Scam..Bahati Mbaya Jinsi Adoption inavyokuwa wahuni wanachukua Pia Nafasi
Bado sijaelewa
Ni vigimu sana kuelewa
Kwann iwengumu au mbaka uwe umesoma
Huyu jamaa nampataje naitaji darasa aisee wazee
Platform yako inaitwaje?
Block chain ni nn, block chain ni coin, coin ni nn, coini ni token 😂🚶🏽♀️
Token ni nn token ni pooltable
@@CSMAPESA na potable ni nn, potable ni potatoe yenye viazi vyeupe kwa ndani
@@mbembelatv Ptato ni nini ..
Potato ni bangi
Blockchain ni system ambayo inayokupa nafasi ya kuweza kununua au kuuza coin za mtandao Coin ni sarafu kama sarafu ya tsh 200 100 au 50 ila sarafu za mtandao ni kama sarafu za kawaida ila hzi unazitunza kwenye mtandao ambazo hazi milikiwi au kucontroliwa na serikali hvyo zinaweza kupanda au kushuka wakat wowote kutokana na maendeleo ya kiuchumi,kisiasa na kijamii
😂😂😂
Mbona hakuna mpangilio?? Elezea kimoja kimoja
Crypto n pana muda mchache
Sasa Ina Mana mbaka unajiungaje
simple tu unafungua account Binance alafu unadeposit
@@elonii8790 Nahitaji Kueleweshwa jambo kaka
@@elonii8790 kaka
@@denisimweji4504 naam
Namba yako bc
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Ila Mimi sijawahi Pigwa Mzaeeeeee..Haaaahaaa
Oy nakupataje,
Huyu jamaa ana itwa nani ?!
Anthony
makaveli
Broo naomba namba zako
Jichanganyeni muone hu msalaaa nawambiaaa
Jamaa wamepigwa hasa wastaafu
Hamna tofaut na gambling zngine hapa hii kamari
Muda utafika mtaelewa tuu crypto ni nini!
Tafuta knowledge bro vitu vyakawaida sana hivyo. ..Fx and crpto ni golden deals
@@yohanamartin4897 yaweza kua ivo ndio but its same na gambling bro tu, coz you stake and you can double or lost your stake as well , kikubwa labda tueleweshe watu wasiogope ku take risk ,lets teach peopl how to risk .
@@didierdrogbar2302 Sio rahisi kufanya staking na upoteze au kudouble.. coin nyingi wanatoa around 20%
Jamaa hamezi mate 😂😂😂
Hahaha
Kwenye forex i think isn't good enough 😂
Always.. Ni centralized haijalishi Kuna nufaiko au lah
Hii mbona gambling jaman kilaanaeongea anaongea tafaut alafu hawatuelekez kiundan kabisa Kama hawa Wa Fixed hamjatuambia wanapataje hasara au wa fixed hawapat hasara?
Fixed ni wapi hao? natamani kuelewa
@@elonii8790 Wale wanaoweka kwa Fixed namaanisha anayeweka mwaka hadi mwaka au anaye kuja kuuza baada ya miakaa kadhaaa inamaana aliweka fixed hadi mda flan hakuna kutoa,,,,,,,,,,,
Sasa huyu jamaa nampataje nianze hizi mambo
Naeza kukuelekeza hatua za mwanzo
@@elonii8790naomba unielekeze
Broke boy Energy
Ujama nawezakupata contact zakwake vip #SNS nisaidiye nipate number za jamahuyu
Unataka kujifunza izo mbanga?
Jamaa anajua vitu lakini hajui kufundisha. Yuko speed