Huu ndio ukweli kuhusu biashara ya Cryptocurrency Tanzania, watu wanatajirika? Nini ufanye?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Biashara ya Cryptocurrency duniani inazidi kushamiri. Tanzania hali ikoje? Ni kweli watu wanatajirika? Anthony Mlelwa ni Mbobezi na Mwalimu wa masuala hayo, anatupa mwanga

Комментарии • 168

  • @abelaidan
    @abelaidan 4 месяца назад +3

    Jamaa anajua vitu lakini hajui kufundisha. Yuko speed

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy 2 года назад +9

    Upo knowledgeable sana baraza tony kwenye hii crypto. Nmesomasoma kidogo, naona unapita mule mule na zaidi.

  • @BarbaraDMcRae
    @BarbaraDMcRae 4 месяца назад +3

    video nzuri. Sielewi biashara hii, niambie jinsi ya kukutana na mtu sahihi ambaye atanipatia faida nzuri

    • @ArodiaIsdory
      @ArodiaIsdory 4 месяца назад

      Nenda makumbusho jengo LA Mwanga tawa office za IRev or Fidelity itapata vyote

    • @willygraphics360
      @willygraphics360 2 месяца назад +1

      Unaweza jifunza Online au in person

  • @aronatv47
    @aronatv47 2 года назад +5

    Kiufupi Kila Biashara ina Risk Zake Na Faida Zake Na Hauwezi Kuingia kwenye Biashara Yoyote ile Ukatusua Siku Hiyi Hiyo na Kwenye Cryptocurreny nayo ni Hivyo Hivyo..Japo ukitulia Kama Huna Taama Sana na Uko na Risk.management Knowledge kuna Hela..Ila Kumbuka kuna ni volatile markets..

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 года назад +4

    Hii biashara ni kamari kwa mtu asiyeisomea ila kwa msomeaji na akafaulu lazima afanikiwe. Hii ipo ktk kila jambo ingawaje kuna biashara zingine hazina formula wengi wanafanya na wanakuja kufanikiwa uzeeni na wengi wanaacha na kila siku wao wanatafuta kazi hatakama wanavyeti smart

  • @selemanijuma546
    @selemanijuma546 2 года назад +2

    Live from DRC lumbashi tunawasikiliza sns big up sky.

  • @rodriguezmichael
    @rodriguezmichael Год назад +3

    NAJUA SIJUI KUIPOST HII HAPA ILA CRYPTO CURRENCY INASONGEA TARATIBU KUELEKEA KITU KIKUBWA NA BEI ILIYOPANDA KWA MIEZI ILIYOPITA NI MWANZO TU WA MAMBO MAKUBWA YAJAYO, UNAPATA USHAURI WOWOTE HUO NI KWA USHAURI WOWOTE. CRYPTO .? SIJUI UANZIE WAPI....

    • @JuanRodriguez-ko7eh
      @JuanRodriguez-ko7eh Год назад

      Kuanza mapema ni njia bora ya kujenga mali, na uwekezaji unabaki kuwa kipaumbele. Soko la hisa lina fursa nyingi za kupata mgao mzuri na ujuzi sahihi na ufahamu mzuri wa jinsi masoko yanavyofanya kazi.

    • @brunohudson889
      @brunohudson889 Год назад +1

      Kama inavyoonekana katika biashara ya sarafu-fiche, inahitaji zaidi ya ujuzi wa kimsingi wa kriptografia. Ni bora kukabiliana na wataalamu ili kuepuka hasara zisizohitajika. Tunapendekeza kuwa na mfanyabiashara/dalali mtaalamu ambaye ni mtaalamu katika nyanja yake ili kukusaidia kudhibiti akaunti yako.

    • @james-jt6ny
      @james-jt6ny Год назад

      Wow💌 jirani yangu pia alimzungumzia, lazima atakuwa mfanyabiashara mzoefu ili watu wamzungumzie vizuri..

    • @TOMASJAN
      @TOMASJAN Год назад +1

      Kujadiliana na Bw. Jaurescrypto kweli ilibadilisha mtazamo wangu wa bitcoin kwa sababu wakati kila mtu alikuwa akilalamika na kuogopa niliona kwingineko yangu kukua kutoka 2BTC hadi 8BTC katika wiki 3 na mali ya biashara.

    • @thadeombani7869
      @thadeombani7869 Месяц назад

      ​@@TOMASJAN mambo vipi nipe mawasiliano yako

  • @aronatv47
    @aronatv47 2 года назад +4

    Kwa Urahisi Blockchain ni Kama Database tu.Mwisho wa habari..

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 2 года назад +4

    Dah... Bundala ana msauti fulani ambao hakuna namna Nyingine zaidi ya kusikiliza na kupata elimu murua... Asante sns

  • @leonardmakena3317
    @leonardmakena3317 Месяц назад

    Utafanya nini Sasa ili kuwa mtaalamu wa cryptocurrency nje na kuwekeza muda maana Umoja wa watu ni ngumu kuliko kuona jua.

  • @ednantabalwa1118
    @ednantabalwa1118 Год назад +3

    Aya mambo kuna watu nikiwambia nafany wananicheka..yani wanajua smartphone kaz yake ni kupost matukio tiktok na Instagram

    • @Lee_90900
      @Lee_90900 Год назад

      Edy kama wanakucheka maana ake ni kwamba dont tell them anything wata kudiscourage tu get buys fanya mambo yako thats what i do

    • @incomparablebeauty3168
      @incomparablebeauty3168 Год назад

      Nisaide na mm nianze kufanya trading

    • @thadeombani7869
      @thadeombani7869 Месяц назад

      Mambo vipi kaka nipe mawasiliano yako tafadhali

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 года назад +13

    Leo sky umepatikana haswa yani,mwamba ni kichwa balaa,kila anachokitamka kinahitaji definition ili uelewe ndio maana anaongea sana mpaka anakuover sens mpaka unaamua kuitikia kitu ambacho hakijawahi kukutokea ktk interviews zako. Jamaa anatumia akili nyingi sana na yuko very smart ktk brain yake inamaana ukiwa mvivu kuelewa lazima akuibie ili aende na wakati kulingana na speed ya akili yake inavyomuitaji

    • @hermanricci
      @hermanricci Год назад +1

      We jamaa una akiri kweri, jamaa ameletwa kuwafungua watu wasiojua kuhusu hiyo mada it means sky hana ujuzi zaidi kuhusu hiyo mada na kama angekua anajua angeelezea yeye mwenyewe punguza ujuaji

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 Год назад

      @@hermanricci mi najua nn jamaa kwani mm si nmeona sky anavyopata tabu so ku coment kwangu we inakuuma nn hadi uniattack

  • @jimmyx8412
    @jimmyx8412 2 года назад

    Dah...!! I'm an Auto electrician by professional naenjoy kuskiliza haya maongez kwasababu yanarushwa na SNS but honestly sielewi kitu yoyote mazee joh

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 2 года назад +1

    Asante sana kwa madini haya

  • @Hussenihassani373
    @Hussenihassani373 2 года назад +4

    Forex ( hfx) is profitable then crypto currency Cuz with Forex hfx, you can money money just in one minute & depend on how much you are risking and how many percentage that currency is paying

    • @surkozytm3331
      @surkozytm3331 2 года назад

      need knowledge and consistency like a lot to be successful

  • @enockkiluswa9769
    @enockkiluswa9769 2 года назад +2

    Unaongea logic sana boss. Congratulation boss

  • @aronatv47
    @aronatv47 2 года назад +4

    Na Biashara Yoyote Ukiingia na Matarajio Makubwa Mwisho wake ni Anguko

  • @raphaelsafari5592
    @raphaelsafari5592 7 месяцев назад +2

    Naomba no ya watsap ili tuweze kuwasiliana vzr

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 2 года назад

    this man is deep duhh

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 2 года назад +3

    Ili kumuelewa huyu jamaa lazima nawew uwe na idea au IT experts. Hivi hivi tutuona uyoga na chikichi😁

  • @mbembelatv
    @mbembelatv 2 года назад +6

    Sisi hao😂

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata3483 2 года назад +1

    Crypto to the map!

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 года назад

    Aaa mtakula nyasi,Hihiiiii! Neeo kisukusu

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 2 года назад

    mwalimu ongea slow slow pungu spidi ya kuongea wengi hatukuelewi halaf jaribu kuongea kiswahili mwanzo mwisho ukiongea English ndio unatupoteza kabisa

  • @silasjacob9132
    @silasjacob9132 2 года назад +1

    Bro nimemuelewa sana

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki3501 2 года назад +1

    Kwanii ndio Nini ? Hebu naomba ufafanuzii kidogo ndio Nini na ikoje? Pls

  • @nimfinity-thelimitless4134
    @nimfinity-thelimitless4134 2 года назад

    Good Morning Sir Tony, How are you? Can we meet, I'd like to learn from you. My name is Nimfinity. I live in DSM. I saw you in Simulizi na Sauti. I want to learn more about crypto currency. ThanQ. Please reply.

  • @westmanmoses541
    @westmanmoses541 2 года назад

    Watu wameliwa sana .hebu atoe namba za simu ili nimpe majina ya watu walioliwa. Ushahidi upo

  • @ssafricancreator9151
    @ssafricancreator9151 Год назад

    Anatumia maneno ya uzungu mwingi skay

  • @kimbongo5747
    @kimbongo5747 2 года назад +10

    Nani kaangalia mpaka mwisho 😆 🤣 😂

    • @stanslauschatata3483
      @stanslauschatata3483 2 года назад +2

      Wachache sana tunaelewa ukubwa wa hii interview!

    • @happygrayson2156
      @happygrayson2156 2 года назад

      Kabisa

    • @elonii8790
      @elonii8790 2 года назад +1

      ukiwa huna clue na haya mambo huwezi angalia.. kwetu ssi tunaona jamaa anaongea mambo yakawaida kabisa coz tunauelewa juu ya haya.

    • @SAFIAFOMAR
      @SAFIAFOMAR 4 месяца назад

      Mi Leo naangalia mara ya pili. Hii ni Fursa brother kama unajua hizi mambo lazima ufatilie

  • @blueton.77
    @blueton.77 2 года назад +2

    Mpaka dk hii nimetoka na 0000.000000000000.00000000😂😂😂😂

  • @christophermuhundira70
    @christophermuhundira70 2 года назад +1

    Punguza kutumia maneno technical watu wakuelewe

  • @ob_wani
    @ob_wani 2 года назад +1

    Sio Bussiness nj professional gambling

    • @mofatunes1432
      @mofatunes1432 7 месяцев назад

      Ita a fuckin buzness with no limits brother man up...chukua elimu upige pesa

  • @elonii8790
    @elonii8790 2 года назад +5

    😂😂 Admin bana.. Niliandika very simple kuhusu blockchain technology na masuala mazima ya Crypto na wengi mlilike na kuomba mawasiliano yangu kwa msaada zaidi. ila kina nilivyokua nawapa kwa lengo la kusaidiana Admin amekua busy kufuta izo comment ila kwa sasa kafuta comment yangu ile ilokua na elimu nzuri/rahisi kuhusu blochain na crypto.. kuna masuala ya msingi sana kafuta nayangewasaidia wengi pia uelewa ungeongezeka miongoni mwa watanzania wenzetu but anyway channel n yake anaweza fanya apendalo!!!

  • @nshimirimanablaise2763
    @nshimirimanablaise2763 2 года назад +1

    Dui

  • @drmdee
    @drmdee Год назад

    Cjakuelew kbx anaelezea kama mtu anamuambia anajua

  • @yassirmohammed4856
    @yassirmohammed4856 2 года назад +1

    Sasa huyu kiongoz nahitaji namba yake ili niweze kuwasiliana na kunifundisha cryptocurrency

  • @samwelijoab3425
    @samwelijoab3425 2 года назад

    Congratulations

  • @mbembelatv
    @mbembelatv 2 года назад +9

    Kwa slow learner na wale English ilipishana nae anatoka kapa jamaa anatuelezea km tunayaelewa cku nyingne apunguze spidi😂

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 2 года назад +1

      Mjanja hataki tuelewe!

    • @mbembelatv
      @mbembelatv 2 года назад

      @@johnmwasilu7087 yan kafungwa mota y mdomo maana 😂

    • @hansbalon4540
      @hansbalon4540 2 года назад +1

      Mbona anaeleweka tu

    • @mbembelatv
      @mbembelatv 2 года назад

      @@hansbalon4540 sijasema haeleweki, ww umemuelewa, ila mim sijamuelewa kwsbb mimi ni slow learner 😂

    • @surkozytm3331
      @surkozytm3331 2 года назад

      sema jamaa forex haijui fresh 😂

  • @gerfasiamwingira4827
    @gerfasiamwingira4827 2 года назад

    Aise Tony ninaomba ujuzi haswa, niko Lagos nahitaji mawasiliano na ujuzi zaidi koz rafiki angu kaniambia nifanye but Nigeria utapeli mwingi nimeogopa

    • @elonii8790
      @elonii8790 2 года назад

      Huitaji wala kuogopa kwa namna yeyote ile..sababu ukiwa na account yako ni sawa na ilivyo fb,google etc utakua na jukumu la kutunza password yako na uzuri platform nyingi wanatumia 2 factor authentication ambayo inaongeza layer 1 kweny usalama. Tumia exchange kubwa na secure ili kuwa safe zaidi na usishawishike kwa mtu kukwambia anataka kukuwekezea ili upate faida zaidi..fanya kila kitu mwenyewe best. Enjoy!

    • @samiraabdimahamed4449
      @samiraabdimahamed4449 2 года назад

      @@elonii8790 Kaka wewe na akili zako zote izo😊 nisaidie we

    • @elonii8790
      @elonii8790 2 года назад

      @@samiraabdimahamed4449 nikusaidie na nini dada?

    • @nimrosenasser9147
      @nimrosenasser9147 2 года назад

      Hi, tuwasiline nikumie WhatsApp yako

  • @NGUVUYAMUNGUTV
    @NGUVUYAMUNGUTV 2 года назад

    Asant, naomba unisaidie kujua kwa Sasa soko litapanda lini..?

  • @hamzermahundu6371
    @hamzermahundu6371 2 года назад

    Babydoge to the moooon

  • @aronatv47
    @aronatv47 2 года назад

    Sasa Jamaa anaacha wasio Jua eti LIQUIDITY..Haaaahaaaa

  • @msalikemedia
    @msalikemedia 2 года назад +1

    Mimi nataman sana kujifunza hii maana ni mara ya pili kusikia hii habari.

  • @kingatwiyyah
    @kingatwiyyah 2 года назад

    Sns naomba unitumie mawasiliano ya huyo jamaa

  • @gideonhappy6642
    @gideonhappy6642 2 года назад

    Naitaji mafunzo na kujiunga

  • @mahmudmaganga9407
    @mahmudmaganga9407 Год назад

    Ndio mnatumiya maneno mengi kwa kingereza jaribu mtuilimiye kikamilifu kwa kiswahili

    • @SAFIAFOMAR
      @SAFIAFOMAR 4 месяца назад

      Ni ngumu kutumia kiswahili kwenye hio biashara. Sababu hizo ni terminology zinazotumika huko.

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 2 года назад +1

    Saiv sio kipindi sahihi cha investment mutafilicka mn vita vimeharibu mambo mingi muwe makini

    • @geraldbenjamin9302
      @geraldbenjamin9302 2 года назад

      Kwenye vita ndio mda wa kupiga pesa, kikubwa umakini na kujua unataka nini

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 2 года назад

      @@geraldbenjamin9302 watataifisha hela zenu ivi hujui baada ya vita kuu zile mabenki yalifilisika so wateja wakala hasara acha kuwadanganya watu

    • @geraldbenjamin9302
      @geraldbenjamin9302 2 года назад

      @@madetetv6576 Bahati nzuri huko kwenye Brockchain ndiko dunia inakoelekea, utake usitake smart money is coming, cashless society bus on its way,so itafika mda utaingia huko Bila kupenda

    • @elonii8790
      @elonii8790 2 года назад

      Vita haihusiani na crypto ndugu yangu.. maana ye decentralized ni kutokua na ufungamano na upande wowote.

    • @geraldbenjamin9302
      @geraldbenjamin9302 2 года назад

      @@elonii8790 Tafta kitu kinaitwa World Government summit 2022 imefanyika Dubai, kisha uje tena hapa ndg

  • @nimrosenasser9147
    @nimrosenasser9147 2 года назад +2

    Hello friends, kama mko tayari kuwekeza mpaka halving tuwasiline nitumie WhatsApp yako

  • @aronatv47
    @aronatv47 2 года назад

    Yaani Kila Ukisikia Tunaosemea hii crypto Kila mtu kuna Sehemu Kila.mtu ana mtazamo wake Hasa kwenye kufanya Trading ila Mimi Naamin Kupanga ni.Kuchagua na Hakuna Biashara Isiyo na Hasara..Ila Wanasema za Kuambiwa changanya ila.My Plan Nataka Niwe Full Time Trader naamini Inawezekana...Ila.Kikubwa Wekezeni kwa Elimu

    • @lazaromaria5334
      @lazaromaria5334 2 года назад

      tatizo tuna lack maarifa

    • @aronatv47
      @aronatv47 2 года назад +1

      @@lazaromaria5334 Ukitafuta tu unapataaa kikubwa ni Kupambana tu

    • @mirajikombo5413
      @mirajikombo5413 11 месяцев назад

      Vp now umeshakuwa Full time trader

    • @yahyamerey4637
      @yahyamerey4637 2 месяца назад

      Vipi now umeshakuwa full time trader

  • @abdulsaid8402
    @abdulsaid8402 2 года назад +3

    Vp nawapata

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 2 года назад

    elimu ya block chain naipataje

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 2 года назад

    Uyu mr ata school aliacha baada ya kupata mkwanja

  • @karyori69
    @karyori69 2 года назад

    Inatamkwa "kripto"

  • @davidsonk5701
    @davidsonk5701 2 года назад +1

    Hii ni gambling tuu hamna tofauti

    • @bone102
      @bone102 2 года назад

      🤣🤣🤣 we got stupid here

    • @Aaron_Sanga
      @Aaron_Sanga 2 года назад

      Maisha ni gambling mzee

  • @abdulwahidsuleiman
    @abdulwahidsuleiman 2 года назад +1

    W2 wangeongea ukwly kam hy w2 wasingekuw wanapigw networking marketing , forex and crypto ni v2 vipana sn

    • @aronatv47
      @aronatv47 2 года назад

      Networking sio Mbaya No Real sema Kibongo Bongo ndio Kama Hivyo..Hata hiyo.crypto wasiojua Bado.Wanalizwa sana ndio.Maana kuna. Watu bado wanaona Crypto ni Scam..Bahati Mbaya Jinsi Adoption inavyokuwa wahuni wanachukua Pia Nafasi

  • @rustanistani4465
    @rustanistani4465 2 года назад +5

    Bado sijaelewa

  • @mgolozicrispin5126
    @mgolozicrispin5126 2 года назад

    Huyu jamaa nampataje naitaji darasa aisee wazee

  • @nimfinity-thelimitless4134
    @nimfinity-thelimitless4134 2 года назад

    Platform yako inaitwaje?

  • @mbembelatv
    @mbembelatv 2 года назад +3

    Block chain ni nn, block chain ni coin, coin ni nn, coini ni token 😂🚶🏽‍♀️

    • @CSMAPESA
      @CSMAPESA 2 года назад +1

      Token ni nn token ni pooltable

    • @mbembelatv
      @mbembelatv 2 года назад

      @@CSMAPESA na potable ni nn, potable ni potatoe yenye viazi vyeupe kwa ndani

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 года назад

      @@mbembelatv Ptato ni nini ..
      Potato ni bangi

    • @bone102
      @bone102 2 года назад +2

      Blockchain ni system ambayo inayokupa nafasi ya kuweza kununua au kuuza coin za mtandao Coin ni sarafu kama sarafu ya tsh 200 100 au 50 ila sarafu za mtandao ni kama sarafu za kawaida ila hzi unazitunza kwenye mtandao ambazo hazi milikiwi au kucontroliwa na serikali hvyo zinaweza kupanda au kushuka wakat wowote kutokana na maendeleo ya kiuchumi,kisiasa na kijamii

    • @allymdoka8634
      @allymdoka8634 2 года назад

      😂😂😂

  • @comics3437
    @comics3437 2 года назад

    Mbona hakuna mpangilio?? Elezea kimoja kimoja

  • @rustanistani4465
    @rustanistani4465 2 года назад +2

    Sasa Ina Mana mbaka unajiungaje

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @aronatv47
    @aronatv47 2 года назад

    Ila Mimi sijawahi Pigwa Mzaeeeeee..Haaaahaaa

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 2 года назад +1

    Huyu jamaa ana itwa nani ?!

  • @kaizaireniusiandrea3203
    @kaizaireniusiandrea3203 2 года назад

    Broo naomba namba zako

  • @allymdoka8634
    @allymdoka8634 2 года назад +1

    Jichanganyeni muone hu msalaaa nawambiaaa

  • @didierdrogbar2302
    @didierdrogbar2302 2 года назад +1

    Hamna tofaut na gambling zngine hapa hii kamari

    • @stanslauschatata3483
      @stanslauschatata3483 2 года назад +2

      Muda utafika mtaelewa tuu crypto ni nini!

    • @yohanamartin4897
      @yohanamartin4897 2 года назад

      Tafuta knowledge bro vitu vyakawaida sana hivyo. ..Fx and crpto ni golden deals

    • @didierdrogbar2302
      @didierdrogbar2302 2 года назад

      @@yohanamartin4897 yaweza kua ivo ndio but its same na gambling bro tu, coz you stake and you can double or lost your stake as well , kikubwa labda tueleweshe watu wasiogope ku take risk ,lets teach peopl how to risk .

    • @elonii8790
      @elonii8790 2 года назад

      @@didierdrogbar2302 Sio rahisi kufanya staking na upoteze au kudouble.. coin nyingi wanatoa around 20%

  • @sleimbh
    @sleimbh 2 года назад

    Jamaa hamezi mate 😂😂😂

  • @surkozytm3331
    @surkozytm3331 2 года назад +2

    Kwenye forex i think isn't good enough 😂

    • @felisteronesmo3091
      @felisteronesmo3091 10 месяцев назад

      Always.. Ni centralized haijalishi Kuna nufaiko au lah

  • @stellah3844
    @stellah3844 2 года назад

    Hii mbona gambling jaman kilaanaeongea anaongea tafaut alafu hawatuelekez kiundan kabisa Kama hawa Wa Fixed hamjatuambia wanapataje hasara au wa fixed hawapat hasara?

    • @elonii8790
      @elonii8790 2 года назад

      Fixed ni wapi hao? natamani kuelewa

    • @stellah3844
      @stellah3844 2 года назад

      @@elonii8790 Wale wanaoweka kwa Fixed namaanisha anayeweka mwaka hadi mwaka au anaye kuja kuuza baada ya miakaa kadhaaa inamaana aliweka fixed hadi mda flan hakuna kutoa,,,,,,,,,,,

  • @hansbalon4540
    @hansbalon4540 2 года назад

    Sasa huyu jamaa nampataje nianze hizi mambo

    • @elonii8790
      @elonii8790 2 года назад +1

      Naeza kukuelekeza hatua za mwanzo

    • @member_tv
      @member_tv 11 месяцев назад

      ​@@elonii8790naomba unielekeze

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera4323 2 года назад

    Broke boy Energy

  • @christanbashali3530
    @christanbashali3530 2 года назад

    Ujama nawezakupata contact zakwake vip #SNS nisaidiye nipate number za jamahuyu

    • @elonii8790
      @elonii8790 2 года назад

      Unataka kujifunza izo mbanga?

  • @abelaidan
    @abelaidan 4 месяца назад

    Jamaa anajua vitu lakini hajui kufundisha. Yuko speed