Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Mungu atukuzwe sana kwa ajili ya kumtumia mtumishi wake Mwalimu Mwakasege, niko ughaibuni pia, naendelea kula na kunywa mezani mwa Bwana. Haleluyaaa
Namshukuru sana Mungu aliyenikutanisha na huyu baba kwenye mtandao nikiwa ugaibuni hakika ni neema tu 🇸🇦🇸🇦🇰🇪 maana nimeppkea maarifa mengi sana ❤
AMEN MWALIMU NAKUPENA NA MKE WAKO,MAFUNDISHO YANANINJENGA SANA NA KUBADILISHA MAISHA YANGU.
Asante YESU KRISTO
Amen Mtumishi wa Mungu na Mwalimu kwa maono mazuri,Bwana Mungu abariki kazi shunguri ya kuokoa nafsi
Mungu akutunze baba akupe nguvu,afya na miaka mingi ya akina Ibrahim maana kichwa chako ni hazina kwa Taifa .umenifungua pakubwa kiufahamu juu ya zuio
Nikwautukufu wa Mungu wetu Jéhovah na Mungu aendelee kukupa maoni mazuri kama hayo kwa utukufu wa jina lake
Aishie daima mwanzo na mwisho alitunze kusudu alilo liweka ndani Yako katika umbo la utumishe wa yesu kristo,mpaka Tanzania yote ifike mbinguni
Jamani wekeni mafundisho ya Day 2 please...
Amina
AMEN
Ameen
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Tupo pamoja Ev sifuni nikiwa dar salami tabata
Tunakuinua BWANA !!
Mungu atukuzwe sana kwa ajili ya kumtumia mtumishi wake Mwalimu Mwakasege, niko ughaibuni pia, naendelea kula na kunywa mezani mwa Bwana. Haleluyaaa
Namshukuru sana Mungu aliyenikutanisha na huyu baba kwenye mtandao nikiwa ugaibuni hakika ni neema tu 🇸🇦🇸🇦🇰🇪 maana nimeppkea maarifa mengi sana ❤
AMEN MWALIMU NAKUPENA NA MKE WAKO,MAFUNDISHO YANANINJENGA SANA NA KUBADILISHA MAISHA YANGU.
Asante YESU KRISTO
Amen Mtumishi wa Mungu na Mwalimu kwa maono mazuri,Bwana Mungu abariki kazi shunguri ya kuokoa nafsi
Mungu akutunze baba akupe nguvu,afya na miaka mingi ya akina Ibrahim maana kichwa chako ni hazina kwa Taifa .umenifungua pakubwa kiufahamu juu ya zuio
Nikwautukufu wa Mungu wetu Jéhovah na Mungu aendelee kukupa maoni mazuri kama hayo kwa utukufu wa jina lake
Aishie daima mwanzo na mwisho alitunze kusudu alilo liweka ndani Yako katika umbo la utumishe wa yesu kristo,mpaka Tanzania yote ifike mbinguni
Jamani wekeni mafundisho ya Day 2 please...
Amina
AMEN
Ameen
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Tupo pamoja Ev sifuni nikiwa dar salami tabata
Tunakuinua BWANA !!
AMEN