Bwana Yesu asifiwe sana mtumishi wa Mungu ulipoanza kufundisha tuu mambo ya mfumo ktk Ulimwengu wa roho niliona bin la uchafu limejaa uchafu mpaka juu na mwingine uko chini likivuutwa na kupelekwa sehemu nyingine Bwana yesu asifiwe sana mahubiri haya ni ya kwangu Bwana yesu asifiwe sana ❤❤❤mtumishi wa Mungu ktk kristo Yesu
Kuna mwanamke ninayempenda naningependa awe Mpenzi wangu anaitwa Sara Macmilian Jonathan Namuomba Mungu anirudishie huyu Mpenzi wangu maana nampenda Bwana Yesu anipe kibali mbele za huyu mwanamke Ee Yesu kama ulivyotupatanisha na Baba kwa Damu yako naomba unipatanishe mm Pamoja na Sara Macmilian Jonathan Katika Jina la Yesu Aliye Hai Amen Amen Amen...
AMINA MWL MUNGU AKUBARIKI UENDELEE KUMSIKIA HIVYOHIVYO KWA KIZAZI HIKI NA KWA NYAKATI HIZI,YULE MWOVU ASIKUIBIE KWA NAMNA YOYOTE KILE CHA MUNGU MAANA ANA HEKIMA NYINGI NA HILA,LAKINI MUNGU BABA NI MWEMA 14:57
Mungu akuzidishie saaanah Mtumishi. Roho/Moyo wangu unafurahishwa sana na mafundisho yako. Hili sasa la mifumo ni la kwangu kbs! Ok. Nitapambana mpk kieleweke asee!
Bwana Yesu asifiwe sana mtumishi wa Mungu ulipoanza kufundisha tuu mambo ya mfumo ktk Ulimwengu wa roho niliona bin la uchafu limejaa uchafu mpaka juu na mwingine uko chini likivuutwa na kupelekwa sehemu nyingine Bwana yesu asifiwe sana mahubiri haya ni ya kwangu Bwana yesu asifiwe sana ❤❤❤mtumishi wa Mungu ktk kristo Yesu
9
Baba Mungu akubariki sana na azidi kukupa unyenyekevu mbele ya Mungu
Hakika mwalimu Mungu aiku.buke sadaka yako ya kufundisha wengi tunapona
@@KarimJerry-qb1gm Amina asante sana kwa kuniombea kwa Mungu ktk kristo Yesu kunipa unyenyekevu nawe utakula mema ya Nchi Bwana yesu asifiwe sana
Nikiwa kazini Njombe ramadhani najifungamanisha na ibada hii
Kristo ainuliwe,Mungu atukuzwe kupitia Huduma hii
amina baba mbalikiwe sana pamoja na team yko napokea kuanzia mwanzo mpk mwisho umekua msaada mkubwa ktk safar yangu ya wokovu
Bwana akubariki sana baba kwa somo nzur nimefunguliwa leo ❤❤❤ najfunza kwako
Aaaah eeenh yesuu wastahili heshima na utukufu 🙌🙌🙌🙌
Amen! Huu wimbo nautafutaga sana sijawahi upata nisaidieni wapendwa
Namshukuru Mungu kwa uponyaji niko Arusha
Hakika ni somo la wakati kwangu na kwa kanisa Mungu akubariki na kukulinda baba.
Hesabu 6:24-27
MUNGU akubarik sana baba Kwan ww kwangu si tu mwalimu Bali nabii pia. Mafundisho yako yote huja kwangu Kwa wakati. Eee MUNGU NISAIDIE.
Tutabarikiwa Sana Mungu awabariki Sana Mana ministry
Ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri🙏
Mungu akutangulie katika huduma yako upo kwenye wakati wa Bwana
Hakika Mungu ni mwema san barikiw san watumish wa Mung
Nimebarikiwa sana Asante Mungu barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Barikiwa sawa Mwl
Amina najifungamanisha pamoja na ibada kuombea asante Yesu kwa uaminifu wako naombea akili zangu leo na faham zangu Yesu zitakase
Mbarikiwe Amina.
Amina mtumishi
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
Amen Barikiwa kaz yako njema
Mungu akuzidishie baraka malimu
Mungu aendelee kutupigania nasi tusimwache
Amen.ubarikiwe sana Mtumishi
God connect with me here, as I seek YOU in your Word!
Mungu akutunzee
Haleluya
Ameen, Napokea Uponyaji, Uti wa Mgongo😢
Haleluya Ameni.....
Yesu wangu atafanya jambo jipya juu ya maisha yangu
Haleluya Haleluya Haleluya.....
Very powerful
Hallelujah
Amen amen 🙏
AMINA
Kuna mwanamke ninayempenda naningependa awe Mpenzi wangu anaitwa Sara Macmilian Jonathan Namuomba Mungu anirudishie huyu Mpenzi wangu maana nampenda Bwana Yesu anipe kibali mbele za huyu mwanamke Ee Yesu kama ulivyotupatanisha na Baba kwa Damu yako naomba unipatanishe mm Pamoja na Sara Macmilian Jonathan Katika Jina la Yesu Aliye Hai Amen Amen Amen...
Haleluyaaaaa 😢❤
Ameniii
Amen
Amina🙏🙏
AMEEEEN AMEEEEN
Barikiwa baba
Wana Yesu asifiwe! Namwomba Mungu akupe kibari cha kuja huku Songwe hasa Tunduma watu tupone.
✋🏽nimekupata mwalimu😊
Jesus é poderoso
Haleluya haleluya
Usinipite YESU
Ukiwa na Bwana mfumo ukiasumbua anakuelekeza kubadili 'gear' hata angani!
Ameen
ameeeeeni
Emanueri musa
Jamani mbona hakuna option ya kudownload wapendwa
Amen
Hallelujah
❤
Amina
ameeeen
Ameni
Amina
Groly to God
Ameni
🙏
Amen. Hallelujah.
mwakaseke
Ameen
Mungu tusaidie kufikia kusudi lko
AMINA MWL MUNGU AKUBARIKI UENDELEE KUMSIKIA HIVYOHIVYO KWA KIZAZI HIKI NA KWA NYAKATI HIZI,YULE MWOVU ASIKUIBIE KWA NAMNA YOYOTE KILE CHA MUNGU MAANA ANA HEKIMA NYINGI NA HILA,LAKINI MUNGU BABA NI MWEMA 14:57
HAKIKA LEO NIMEMUONA YESU NIMEUONA UKUU WA MUNGU KUPITIA IBADA HII.
Yani naenderea kupona
Unastahili
Usinipite mokozi
Amen Amen
Mungu akuzidishie saaanah Mtumishi. Roho/Moyo wangu unafurahishwa sana na mafundisho yako. Hili sasa la mifumo ni la kwangu kbs! Ok. Nitapambana mpk kieleweke asee!
Amen
Amina
Ameen
Amina
Amen
Bwana yesu asifiwe leo hili neno limenifungua nimeona ukuu wa Mungu nilikua nimekaa siku kadhaa bila kuuza wateja wamemiminika akika Mungu ni mwema
Ameni
Amen
Amen
Amen
Ameen
Amen
Amen