4 -KUONDOA MAZUIO YA KIROHO YANAYOKWAMISA KIPATO CHAKO || Mwl Christopher Mwakasege || Mwanaza 2023
HTML-код
- Опубликовано: 18 окт 2024
- Semina Ya Neno La Mungu || Mwanaza || DAY 4 || TAREHE 16/9/2023
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Nilipo kua nikiomba katika saa ya maombi juu ya kuondoa zuio la ukiwa ,katikati ya kiganja cha kulia kuliwaka maumivu makali sana, na ulipo sema kazana kuomba nilikazana kwa nguvu mpaka nikasikia yale maumivu yameondoka na nikaamini kufunguliwa .Namtukuza Mungu ....Hallelujah Hallelujah
Ameni ameni
Amen
kama unaweza kuingia you tube msikiliza huyu mama Apostle Vera muro. utaenda mbele sana ktk kuomba
Amenii ameni
Hili somo limekuwa msaada sana na baraka sana kwangu
Baba Mwalimu Mwakasege Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu sana hapa duniani.,uendelee kutufungua na vizazi vyetu wamjue huyu mungu wetu.
GOD bless you mtumishi.Glory to GOD
Tunamutukuza kwa Siri zito anaendelea kutufunulia kupitia Mtumishi wake mwalimu mwakasenge ni neema kubwa kwangu kutana na somo hili nimejifunza mambo mengi kulingana na maisha yangu ya kila Siku Mungu ni mwema sana asiache kutufunulia kila iyitwayo leo ili tuweze kushi na kutajirika kwa misingi ya Agano lake jina la yesu kristo liimidiwe milele ❤️
Bwana Yesu asifiwe sana.
Ktk Kuomba ni lazima kumwombea na Mwangisi sana, dhidi ya mashambulizi makali
Nashukuru kwa maombi na neno lililonifanya nijue kukwama ngwangu ni mazuio. Kwa sandakan hii naomba Mungu anikumbuke na kunisamehe pale nilipotenda dhambi na naomba kuanxia sasa kila kilichochangu kifunguliwe, elimu ya watoo wangu, ndoa yangu, imani yangu na familia yangu na kaxi yangu. .
Mungu wangu nikumbuke tena usiku huu
Nimefurahi kumuona Mwangosi Utukufu kwa Bwana
Hamina baba nafutalia maombi mafundisho na sara na neno la MUNGU kwa imani napo na wewe mtumishi ❤❤
Mungu Baba asante kunikumbuka mimi majira haya na kuniondolea mazuio na ukiwa nitajenga nyumba nitakaaa nitalima nitakula sitafanya kazi bure sawasawa na neno lako Mungu Baba ISAYA 65:18-25 Katika jina la Yesu Kristo Amina. Mwalimu Christopher Mwakasege ubarikiwe sana kwa neno na ujumbe wa wakati kwangu na uzao wangu... Asante Yesu Kristo.
Nina mjomba angu ana maeneo kwao tukuyu na miti ya kutosha lakn hataki kurudi hata kusema auze miti Ili apate mtaji hataki na ana maisha magumu na utajiri anao
Asante yesu
Amina baba atunze utumishi wako,afya,Yako pamoja na familia Yako,miaka mingi kwako lango letu ilituendelee kuvukaa na kupata maarifa ya mungu.
Navunja kila aina ya mazuio katika njia zangu, ndoa yangu, biashara yangu, watoto wangu na mifugo yangu yote.
Mungu wa mbinguni akutunze mtumishi wa mungu
Hakika ni raha Kumjua Mungu,
Mungu naomba uondoe zuio la uponyaji wa afya kutokana na kupararaizi upande wa Julia pamoja na jicho langu juwa na ukungu hata kushindwa kuona
Uko mkoa Gani,,
Mungu akutunze mtumishi,nabarikiwa sana na mafundisho yatokayo kwako, irene william toka simiyu
Asante yesu kwa neema ya kusikia neno hili
Jehovah Mungu atukuzwe Sana kwa ufahamu huu niliopata, Mungu kutunze Sana Mwalimu Mwakasege
Amina mtumishi wa Mungu naomba mwaka huu na mimi niwe mama kijacho haijalishi ni muda gani nimekaa amin
Kila mazuio yameondoka kwangu kwa jina la Yesu
Amina, ubarikiwe Mtumishi wa Mungu,sifa na utukufu ni kwa Bwana Yesu Kristo
Mungu akutunze baba Mwakasege umekua funguo ya vizuizi vyangu kwa dam ya YESU ya agano jipya ninaendelea kuomba na kufunguliwa
Asante Yesu kwa hili somo, limenivusha kwenye mengi nitarudi kwa Ushuhuda
Nami yesu niondolee mazuio yote ktk maisha na kazi za mikono yangu
Mungu wa mbinguni amenikumbuka leo ni somo langu kabisa asante yesu kupitia mtumishi wake mwalimu mwakasenge mungu wa mbinguni akutumie kwa viwango vikubwa mno
Naitaji maonbi I need prayer 🙏
Naomba kuombewa juu ya zuio la uchumi na ndoa yangu,mim irene william toka simiyu.
Mwalim tafadhali nakuomba na mimi unisaidie maana kila ni kipanga na ndugu zangu kuongeza biashara yetu kwa ajili ya mtaji yeyote hutokea visiran hata tusipate hizo pesa tume jaribu sana lkn kunazuio hatuendi mbele naomba unisaidie kwa neno moja tu mm na Mungu ataondoa ukiwa huu unao ni umiza kila siku nmeomba sana lkn sija pata jibu😭😭😭😭😭
Amen
Sijui hata niseme nini moyo wangu ushukuru tu. Mungu akutunze wewe na familia nzima.
Amina Mtumishi wa Mungu, Mungu akubariki
Mdogo wangu pia namleta Madhabahuni
Glory to God
mwalimu SoMo lote la Leo Mambo mengi ninapitia ,ninakosa wapangaji gowdown yangu ,ninawowadai wananiahidi awalipi.biasha azitoke,ninashindwa kumalizia nyumba zangu.
Ameen tunabarikiwa
Meme Emmanuel Boniface Emmanuel Kibasa kwenye naomba yesu anisaidie kila zuio lililimbele yangu liondoke pamoja na Emmanuel familia yangu
Mimi upendo chabili Niko mbeya naomba kuombewa uzuio juu uchimi wangu. Na uzuio wa watoto wangu
Ameeen
Ameen
Eee Mungu baba nanuia kuondoa zuio la kipato changu
HALLELUYAH HOSSANA
Neno ni zur sana barikiwa sana
Mungu anisaidie niuze mashamba na nyumba mbeya roho ya mazuio ishindwe Kwa jina la Yesu
Samahani, sio Mwangisi, nimemaanisha "Mwangosi"
Mwalim, naomba kuuliza, hicho kitabu, kwa aliyoko nje anakipataje?
I see you mwangosi😢😢😢
Ni yey huyo? hapana
Siku ya tatu mwisho wake ni ipi video??
Eee Mungu tusaidie macho ya mioyo yetu yatiwe Nuru tupate kuona haya.
baba tunaomba namba ya whsp ili tutume sadaka zetu maana bila whtsp hatutumii
jamani huyu Mzee nyie...ni hatari mnoooo
redio mariya
Amina
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu Christopher & Diana Mwakasege na huduma nzima ya Mana Kuna mahali navuka, mkono wa Mungu uzidi kuwa juu yako Mungu azidi kukubariki rohoni na mwilini3Yoh1:2 na kukupa maisha marefu Kila wakat uwe zaidi ya kijana. Uso wa Mungu uende pamoja nawe
Ubarikiwe Poul Mwangosi Mungu akutunze na kukupa maisha marefu kila wakat uwe mpya zaidi ya tai ukimsifu na kumuhimidi Mungu 3Yoh1:2 na Efeso3:20 ifanyike baraka kwako pamoja prays team ya Mana bila kumsahau Gordian Newton, Mzee Lukumay na Mana ministry kwa ujumla baraka za Mungu ziwe juu yenu Mumfurahie Mungu aliye mwamba wa wokovu wetu.
Watumishi wa M ungu daka hilo