4 -KUONDOA MAZUIO YA KIROHO YANAYOKWAMISA KIPATO CHAKO || Mwl Christopher Mwakasege || Mwanaza 2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • Semina Ya Neno La Mungu || Mwanaza || DAY 4 || TAREHE 16/9/2023
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Комментарии • 66

  • @magrethedward5635
    @magrethedward5635 Год назад +51

    Nilipo kua nikiomba katika saa ya maombi juu ya kuondoa zuio la ukiwa ,katikati ya kiganja cha kulia kuliwaka maumivu makali sana, na ulipo sema kazana kuomba nilikazana kwa nguvu mpaka nikasikia yale maumivu yameondoka na nikaamini kufunguliwa .Namtukuza Mungu ....Hallelujah Hallelujah

  • @beatricewilbard6187
    @beatricewilbard6187 Год назад +19

    Baba Mwalimu Mwakasege Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu sana hapa duniani.,uendelee kutufungua na vizazi vyetu wamjue huyu mungu wetu.

    • @kevinMwiva
      @kevinMwiva Год назад +1

      GOD bless you mtumishi.Glory to GOD

  • @maholokeramabushe8519
    @maholokeramabushe8519 7 месяцев назад

    Tunamutukuza kwa Siri zito anaendelea kutufunulia kupitia Mtumishi wake mwalimu mwakasenge ni neema kubwa kwangu kutana na somo hili nimejifunza mambo mengi kulingana na maisha yangu ya kila Siku Mungu ni mwema sana asiache kutufunulia kila iyitwayo leo ili tuweze kushi na kutajirika kwa misingi ya Agano lake jina la yesu kristo liimidiwe milele ❤️

  • @georgekauma6432
    @georgekauma6432 Год назад +5

    Bwana Yesu asifiwe sana.
    Ktk Kuomba ni lazima kumwombea na Mwangisi sana, dhidi ya mashambulizi makali

  • @joycekashangaki6729
    @joycekashangaki6729 8 месяцев назад

    Nashukuru kwa maombi na neno lililonifanya nijue kukwama ngwangu ni mazuio. Kwa sandakan hii naomba Mungu anikumbuke na kunisamehe pale nilipotenda dhambi na naomba kuanxia sasa kila kilichochangu kifunguliwe, elimu ya watoo wangu, ndoa yangu, imani yangu na familia yangu na kaxi yangu. .

  • @settimsafiri
    @settimsafiri 2 месяца назад

    Mungu wangu nikumbuke tena usiku huu

  • @rosejoseph2228
    @rosejoseph2228 Год назад +6

    Nimefurahi kumuona Mwangosi Utukufu kwa Bwana

  • @janejacob1402
    @janejacob1402 10 месяцев назад

    Hamina baba nafutalia maombi mafundisho na sara na neno la MUNGU kwa imani napo na wewe mtumishi ❤❤

  • @blessedtumaini516
    @blessedtumaini516 Год назад +6

    Mungu Baba asante kunikumbuka mimi majira haya na kuniondolea mazuio na ukiwa nitajenga nyumba nitakaaa nitalima nitakula sitafanya kazi bure sawasawa na neno lako Mungu Baba ISAYA 65:18-25 Katika jina la Yesu Kristo Amina. Mwalimu Christopher Mwakasege ubarikiwe sana kwa neno na ujumbe wa wakati kwangu na uzao wangu... Asante Yesu Kristo.

    • @DorcasMlapwa
      @DorcasMlapwa Год назад

      Nina mjomba angu ana maeneo kwao tukuyu na miti ya kutosha lakn hataki kurudi hata kusema auze miti Ili apate mtaji hataki na ana maisha magumu na utajiri anao

  • @LinahMbwette
    @LinahMbwette Год назад +1

    Asante yesu

  • @AnitaSalim-h3w
    @AnitaSalim-h3w Год назад +1

    Amina baba atunze utumishi wako,afya,Yako pamoja na familia Yako,miaka mingi kwako lango letu ilituendelee kuvukaa na kupata maarifa ya mungu.

  • @monicamtui2922
    @monicamtui2922 Год назад +2

    Navunja kila aina ya mazuio katika njia zangu, ndoa yangu, biashara yangu, watoto wangu na mifugo yangu yote.

  • @mercympuyiki-cw2jf
    @mercympuyiki-cw2jf Год назад +3

    Mungu wa mbinguni akutunze mtumishi wa mungu

  • @shukurujohn844
    @shukurujohn844 Год назад +3

    Hakika ni raha Kumjua Mungu,

  • @KulwaSimon-z7t
    @KulwaSimon-z7t Год назад +2

    Mungu naomba uondoe zuio la uponyaji wa afya kutokana na kupararaizi upande wa Julia pamoja na jicho langu juwa na ukungu hata kushindwa kuona

  • @IreneWillim
    @IreneWillim Год назад +2

    Mungu akutunze mtumishi,nabarikiwa sana na mafundisho yatokayo kwako, irene william toka simiyu

  • @DorcasMlapwa
    @DorcasMlapwa Год назад +1

    Asante yesu kwa neema ya kusikia neno hili

  • @stelamatubulila3921
    @stelamatubulila3921 Год назад +1

    Jehovah Mungu atukuzwe Sana kwa ufahamu huu niliopata, Mungu kutunze Sana Mwalimu Mwakasege

  • @mariagao-y5x
    @mariagao-y5x Год назад

    Amina mtumishi wa Mungu naomba mwaka huu na mimi niwe mama kijacho haijalishi ni muda gani nimekaa amin

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Год назад +2

    Kila mazuio yameondoka kwangu kwa jina la Yesu

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 Год назад +1

    Amina, ubarikiwe Mtumishi wa Mungu,sifa na utukufu ni kwa Bwana Yesu Kristo

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 Год назад

    Mungu akutunze baba Mwakasege umekua funguo ya vizuizi vyangu kwa dam ya YESU ya agano jipya ninaendelea kuomba na kufunguliwa

  • @veredianakuzenza9190
    @veredianakuzenza9190 Год назад

    Asante Yesu kwa hili somo, limenivusha kwenye mengi nitarudi kwa Ushuhuda

  • @PetroMaduka-l4i
    @PetroMaduka-l4i Год назад

    Nami yesu niondolee mazuio yote ktk maisha na kazi za mikono yangu

  • @mercympuyiki-cw2jf
    @mercympuyiki-cw2jf Год назад +3

    Mungu wa mbinguni amenikumbuka leo ni somo langu kabisa asante yesu kupitia mtumishi wake mwalimu mwakasenge mungu wa mbinguni akutumie kwa viwango vikubwa mno

  • @Princesssolaire8556
    @Princesssolaire8556 Год назад +1

    Naitaji maonbi I need prayer 🙏

  • @IreneWillim
    @IreneWillim Год назад

    Naomba kuombewa juu ya zuio la uchumi na ndoa yangu,mim irene william toka simiyu.

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 Год назад

    Mwalim tafadhali nakuomba na mimi unisaidie maana kila ni kipanga na ndugu zangu kuongeza biashara yetu kwa ajili ya mtaji yeyote hutokea visiran hata tusipate hizo pesa tume jaribu sana lkn kunazuio hatuendi mbele naomba unisaidie kwa neno moja tu mm na Mungu ataondoa ukiwa huu unao ni umiza kila siku nmeomba sana lkn sija pata jibu😭😭😭😭😭

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 Год назад

    Amen

  • @AdeNovatus
    @AdeNovatus Год назад

    Sijui hata niseme nini moyo wangu ushukuru tu. Mungu akutunze wewe na familia nzima.

  • @lucymwinuka3541
    @lucymwinuka3541 Год назад +2

    Amina Mtumishi wa Mungu, Mungu akubariki

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli1219 Год назад

    Mdogo wangu pia namleta Madhabahuni

  • @BASFATONLINESCHOOL
    @BASFATONLINESCHOOL Год назад +1

    Glory to God

  • @kikiiconnetmushi1468
    @kikiiconnetmushi1468 Год назад +1

    mwalimu SoMo lote la Leo Mambo mengi ninapitia ,ninakosa wapangaji gowdown yangu ,ninawowadai wananiahidi awalipi.biasha azitoke,ninashindwa kumalizia nyumba zangu.

  • @Hassannjiwane-hz4uo
    @Hassannjiwane-hz4uo Год назад +1

    Ameen tunabarikiwa

  • @gayatiryoba4478
    @gayatiryoba4478 Год назад +1

    Meme Emmanuel Boniface Emmanuel Kibasa kwenye naomba yesu anisaidie kila zuio lililimbele yangu liondoke pamoja na Emmanuel familia yangu

  • @aggreykyongosya6314
    @aggreykyongosya6314 Год назад

    Mimi upendo chabili Niko mbeya naomba kuombewa uzuio juu uchimi wangu. Na uzuio wa watoto wangu

  • @christinamgalula802
    @christinamgalula802 Год назад

    Ameeen

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Год назад

    Ameen

  • @SharifaOm
    @SharifaOm Год назад

    Eee Mungu baba nanuia kuondoa zuio la kipato changu

  • @alex_vincent
    @alex_vincent Год назад

    HALLELUYAH HOSSANA

  • @Laty712
    @Laty712 Год назад

    Neno ni zur sana barikiwa sana

  • @NeemaDaudi-st7xk
    @NeemaDaudi-st7xk Год назад

    Mungu anisaidie niuze mashamba na nyumba mbeya roho ya mazuio ishindwe Kwa jina la Yesu

  • @georgekauma6432
    @georgekauma6432 Год назад +1

    Samahani, sio Mwangisi, nimemaanisha "Mwangosi"

  • @salomejoall9820
    @salomejoall9820 Год назад

    Mwalim, naomba kuuliza, hicho kitabu, kwa aliyoko nje anakipataje?

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Год назад +4

    I see you mwangosi😢😢😢

  • @stellagwao497
    @stellagwao497 11 месяцев назад

    Siku ya tatu mwisho wake ni ipi video??

  • @tunukiwamahenge1549
    @tunukiwamahenge1549 Год назад

    Eee Mungu tusaidie macho ya mioyo yetu yatiwe Nuru tupate kuona haya.

  • @gasprtina236
    @gasprtina236 Год назад

    baba tunaomba namba ya whsp ili tutume sadaka zetu maana bila whtsp hatutumii

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas4866 Год назад

    jamani huyu Mzee nyie...ni hatari mnoooo

  • @Maryneema-is4bw
    @Maryneema-is4bw Год назад

    redio mariya

    • @solomonemmanuely3858
      @solomonemmanuely3858 Год назад +1

      Amina

    • @ephraimlewanga2002
      @ephraimlewanga2002 Год назад

      Ubarikiwe mtumishi wa Mungu Christopher & Diana Mwakasege na huduma nzima ya Mana Kuna mahali navuka, mkono wa Mungu uzidi kuwa juu yako Mungu azidi kukubariki rohoni na mwilini3Yoh1:2 na kukupa maisha marefu Kila wakat uwe zaidi ya kijana. Uso wa Mungu uende pamoja nawe

    • @ephraimlewanga2002
      @ephraimlewanga2002 Год назад

      Ubarikiwe Poul Mwangosi Mungu akutunze na kukupa maisha marefu kila wakat uwe mpya zaidi ya tai ukimsifu na kumuhimidi Mungu 3Yoh1:2 na Efeso3:20 ifanyike baraka kwako pamoja prays team ya Mana bila kumsahau Gordian Newton, Mzee Lukumay na Mana ministry kwa ujumla baraka za Mungu ziwe juu yenu Mumfurahie Mungu aliye mwamba wa wokovu wetu.

  • @karonyagawa9604
    @karonyagawa9604 Год назад

    Watumishi wa M ungu daka hilo