PETRO WA CCM AFUNGUKA KUHUSU MKEWE, "JOYCE NI KIPOZEO CHANGU/NILITAMANI KUMTONGOZA TENA/MACHOZI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2021
  • Rafiki yetu Petro Magoti, ambaye ni mfanyakazi wa CCM Makao Makuu, Mnamo Septemba 4, 2021 alifunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Joyce Mvungi.
    Miongoni mwa waliohudhuria ibada ya ndoa hiyo ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
    Uongozi wa Ayo TV & Millardayo.com imetuma salaam za Pongezi na dua njema kwa ndugu Petro Magoti na mkewe Joyce.
    Hapa nimekusogezea video kati ya yale yaliwafurahisha wageni waalikwa katika harusi hiyo baada ya Petro kupewa kipaza sauti kuzungumza maneno mbele ya mkewe

Комментарии • 144

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 года назад +14

    Raha iko moyoni, pendo halina kificho Mungu awajalie, ndiye aliwachagua hivi walivyo PETRO na dadetu. Yetu macho kodo.

  • @happydamiano6593
    @happydamiano6593 2 года назад +18

    Mmh !!!Mungu akusaidie dada usije ukamwacha huyo kaka kwani ndani yake nauona upendo wa dhati Sana kwako ,songa mbele usione Kama watu waonavyo Bali ona Kama Mungu aonavyo ,na Mungu awajalie mpate watoto wema

  • @kisakim5660
    @kisakim5660 2 года назад +7

    Waooh 🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤️ Mungu awape kupendana na kisikilizana daima

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 2 года назад +7

    Mashaa'Allah nimewapenda pia Allah abariki ndoa yenu

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 12 дней назад

    Mungu awaongoze kwenye ndoa yenu hakika mmependeza sana

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 2 года назад +6

    Masha'allah tabaraka Rahman...murembo kweli💓

  • @pilikhamis2924
    @pilikhamis2924 2 года назад +2

    Maashaallaah mungu awabarki milele

  • @TM.Sullusi
    @TM.Sullusi 2 года назад +3

    Hongera bro, nakumbuka Moro enzi hizoo🤜🤜

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima3847 2 года назад +3

    Mash Allah love is love 💘

  • @teresiamwita1788
    @teresiamwita1788 2 года назад +3

    Mungu awape maisha marefu jaman nawapenda sana sana 🌹🌹🌹🌹

  • @princessharpy8636
    @princessharpy8636 2 года назад

    Please what is the name of the music???can someone help

  • @bawazirtwalib1659
    @bawazirtwalib1659 2 года назад +5

    Hongera Sana kaka Petro

  • @glorymbwambo6650
    @glorymbwambo6650 2 года назад +3

    Mungu. Awaongeze na amuweke mbali shetan

  • @kadunawewe7248
    @kadunawewe7248 2 года назад +2

    Mungu awabarika

  • @gracemgj2132
    @gracemgj2132 2 года назад

    Ce Monsieur est vraiment attentionné,que Dieu bénisse abondamment votre foyer 🔥 soyez heureux 🇨🇵🇨🇵❤️❤️❤️❤️🔥

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад +3

    Mashallah, hongera sana

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 2 года назад +2

    Hongereni sana,

  • @salamanauthartanzania6301
    @salamanauthartanzania6301 2 года назад

    Mashaallah Mashaallah Mashaallah

  • @rackymayugi6815
    @rackymayugi6815 2 года назад

    Love it's all that matters. I wish one day I can find someone who will love me this way. Inshaa Allah

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 2 года назад +1

    Wacha weeeeee hongera sana 😃😃😃

  • @kabukiadu
    @kabukiadu 2 года назад

    Where is the entire wedding and also can somebody explain what he is saying please

  • @thabitiykitwana1271
    @thabitiykitwana1271 2 года назад +7

    Kweli nimianini miujiza hipo kwenye maisha

    • @mkingasana400
      @mkingasana400 2 года назад

      Kweli mzee namim nasubir muujiza wangu

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 2 года назад +3

    Mashaallah ikawe yanye baraka

    • @HappynessJose
      @HappynessJose 2 года назад

      Hongera Sana nawatakia family njema

  • @aluteonlinemedia5574
    @aluteonlinemedia5574 2 года назад

    ❤❤❤

  • @evavicent9116
    @evavicent9116 2 года назад +5

    Mdada mzurii

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 года назад +1

    Congratulation bro

  • @fettycute3939
    @fettycute3939 2 года назад +1

    🥰🥰🥰🔥🔥

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 Год назад

    Maashaallah

  • @nankingaflorence9501
    @nankingaflorence9501 2 года назад

    By this guy is handsome I love the his smile is so beautiful.
    Was it years of Joy or

  • @neemanyerere5160
    @neemanyerere5160 2 года назад +2

    👏👏👏👏 wacha weee

  • @sarungimatinde7063
    @sarungimatinde7063 2 года назад

    Wow nice

  • @sadahmbilinyi1888
    @sadahmbilinyi1888 2 года назад

    Hongeren san

  • @vaishemhina535
    @vaishemhina535 2 года назад +2

    Mungu awambariki sana kwenye ndoa yenu

  • @zainabzai8407
    @zainabzai8407 2 года назад

    Safi sanaaa hongereni

  • @elizabethkhayumbe1598
    @elizabethkhayumbe1598 Год назад

    Petro is so loving

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika6173 2 года назад

    Amen

  • @ebbyf294
    @ebbyf294 2 года назад +3

    I'm American, and she looked so sad dancing. Someone please tell me is this normal for women to look like this there

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 2 года назад

      @@julitabonganda2167 say with her husband not his husband!

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi5984 2 года назад +3

    Utamtongoza kila siku usijali huyo wako mwenyewe

  • @christinamsuya5492
    @christinamsuya5492 2 года назад +1

    Wapareee jaman tuna mapenz ya kwel hatuangaliag pesa wala nn wala maumbile ya mwanadamu kikubwa upendo.....muachen joyce wetu

    • @annajustin1945
      @annajustin1945 2 года назад

      Hakika mpare akipenda anamaanisha..na tunaogopa kutendwa... Joyce amefanya vyema..Sana huyo ni wakwake peke yake..kusalitiwa hapo ng'oo

  • @hillyminajtv1257
    @hillyminajtv1257 2 года назад +2

    Na iyo mikono sasa

  • @faryhassany4043
    @faryhassany4043 2 года назад +1

    Nimeona Joyce anamtoa mkono asifute sms😁😁😁

  • @annamussa185
    @annamussa185 2 года назад +1

    Fireeemotrooo.

  • @brendafassie9181
    @brendafassie9181 2 года назад +2

    Bora mitambo ifanye Maisha inasonga mbele

  • @luqmanmbwambwa7127
    @luqmanmbwambwa7127 2 года назад

    Daaah

  • @lucieomari2491
    @lucieomari2491 2 года назад +1

    🤣🤣🤣👌👌👌🔥🔥🔥🔥🥳🥳🥳🥳

  • @mwambatv5202
    @mwambatv5202 2 года назад +10

    Jamaa anadhani kumfuta machozi inasaidia kumbe anafuta makeup 😂😂😂😂

  • @ayoubmakori8680
    @ayoubmakori8680 2 года назад +3

    Hamna LOVE apo ni kipato tu kimefuatwa asowajua nan mademu wa bongo wapenda pesa kuliko utu pesa zikiisha utamwagwa mchana kweupe, Mungu anilipie hakika popote ulipo

    • @sistertrashid2488
      @sistertrashid2488 2 года назад +1

      Sofia kakumwaga pole

    • @ayoubmakori8680
      @ayoubmakori8680 2 года назад

      @@sistertrashid2488 si ndo wale wale wapenda pesa zikiisha wanasepa

    • @afraalex2366
      @afraalex2366 2 года назад

      Umekarir

    • @mdzainb3722
      @mdzainb3722 2 года назад +1

      Tafuta nawwe upendwe mbona povu 🤣🤣🤣🤣

    • @ayoubmakori8680
      @ayoubmakori8680 2 года назад

      @@mdzainb3722 nipendwe mara ngapi sema kibongo bongo kwa jinsi alivyo uyo broo na bint mwenyewe aisee isingekuwa pesa walahi hakuna penzi apo, ata nchi za wenzetu twayaona Sana haya ispokuwa ni watu wenye vipato vyao sembuse Tanzania, kuna maemo wasema mwanaume tafta pesa lasivyo wanawake wazuri utaishia kuwaita shemeji, aliondoka kisa niliishiwa pesa na nikazipata tena na nikaoa tena ivyo yaani

  • @khadijakiba3587
    @khadijakiba3587 2 года назад +5

    Kumtongoza tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @evasadala7768
    @evasadala7768 2 года назад +1

    Hapo pesa imeoa tu lkn wanawake tu we wakweli

    • @petro8010
      @petro8010 Месяц назад +1

      Eva uko sahihi

  • @bennymalekanomalekano2989
    @bennymalekanomalekano2989 2 года назад +3

    Hapo ni pesa tuuuu demu mkali hvyo analia kimafki aonekane kamuelewa mchizi ....

    • @athumaniijengo2773
      @athumaniijengo2773 2 года назад

      Kwel kbc c unaon hapo anapofutwa machoz anatoa mkono dhahir kbc ni unafik

    • @godknowsbetter.6352
      @godknowsbetter.6352 2 года назад

      Hahahaha 😂🤣😂 kweli brother this 21th century hakuna upendo

    • @petro8010
      @petro8010 Месяц назад

      Pesa imeoa yes

  • @jeradyangulile3194
    @jeradyangulile3194 2 года назад

    We msifie tuu kashakojolewa na wajanja

  • @jemsmdetele4707
    @jemsmdetele4707 2 года назад +2

    Mungu awabariki

  • @manasekabusha7180
    @manasekabusha7180 2 года назад

    good love

  • @victorjohn2723
    @victorjohn2723 2 года назад +1

    Mambo ya kula uzazi

  • @janemapoz6360
    @janemapoz6360 2 года назад

    Singeli inayohit ruclips.net/video/wxfTfu0_S6U/видео.html

  • @lucychacha3433
    @lucychacha3433 2 года назад +2

    Maskin kasahau hata yupo WAP mbingun au dunian

    • @Leahmjohn
      @Leahmjohn 2 года назад

      hahah upako wa dada Joyce si mchezo

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 2 года назад

    Mtabaki kodo

  • @neemanyomeye3405
    @neemanyomeye3405 2 года назад

    Maneno kuntu

  • @hallin9561
    @hallin9561 2 года назад

    Inaonesha jamaa ni sonco.

  • @elbahernandez9985
    @elbahernandez9985 2 года назад

    🤑 Money, money, money .

  • @marryjoseph9550
    @marryjoseph9550 2 года назад +2

    Me sijapenda kwa nn anamtoa mkono mshikaj😂😂

  • @irenelukumay877
    @irenelukumay877 2 года назад

    hivo bidole vya bibi harusi

  • @sophiajoyce8689
    @sophiajoyce8689 Год назад

    Pesa ni sabun yaroh

  • @joshuasanga790
    @joshuasanga790 2 года назад +8

    Tumesoma nae chuo IFM huyu dada

  • @zabibusaid5800
    @zabibusaid5800 2 года назад

    Nawapenda nyie

  • @nasmawaziri1939
    @nasmawaziri1939 2 года назад

    Dada anafutwa machozi anamtoa mikono anajua jamaa anavyofuta kwa kusugua make up inafutwa😁😀😃sasa hyo lia huku unaangalia make-up ictoke ni ya kinafk

  • @Maunene-cage200
    @Maunene-cage200 2 года назад +4

    Uchawi upo

  • @umojawawatanzania3813
    @umojawawatanzania3813 2 года назад

    Unataka kufuta make up za watu?

  • @habibatyntosso1436
    @habibatyntosso1436 2 года назад +1

    Hiyo mikono ya mwali ni sugu au ila umbea kazi 🤣🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @emmadeprincetv6133
    @emmadeprincetv6133 2 года назад

    Madem wa kibongo ni wasenge sana... ngoja tuone ila Mungu awasaidiee

    • @jescarkinabo6281
      @jescarkinabo6281 2 года назад

      Anyway wanaume endeleeni kutafuta pesa 🤣🤣🤣

    • @annajoseph9955
      @annajoseph9955 2 года назад

      Tafta pesa huko ili tuache huo usenge

  • @claudiaclemence5121
    @claudiaclemence5121 2 года назад +1

    Alikuwa anamfuta makeup bhana,,

  • @cainewilliam4646
    @cainewilliam4646 2 года назад +3

    Mbona huyu demu anautoa mkono wa mchizi as if wamegombana??

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 2 года назад +1

    Vijana tutafute helaaa

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 года назад +2

    Bi harus hataki kushikwa😅

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 2 года назад

      Hataki makeup iharibike dada yangu

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 2 года назад

    Wanaume taften pesa

    • @drisayaambulatoryvetclinic1514
      @drisayaambulatoryvetclinic1514 2 года назад

      Sawa Anna Joseph kwa ushauri

    • @marysaimon3887
      @marysaimon3887 2 года назад

      Umemichekeshaa

    • @annajoseph9955
      @annajoseph9955 2 года назад

      @@marysaimon3887 kweli aisee watafte pesa

    • @tajimwambole3115
      @tajimwambole3115 2 года назад

      @@annajoseph9955 kabisa pesa ndio kila kitu jamani. Upendo upo lakini pesa ni kigezo kikubwa sana sana.🤔🤔🤔hivi hapo asiwe na pesa japo ni uumbaji wa Mungu hatukatai hivyo alivyo ni Mungu bila pesa kumkubali ingekiwa shida sana .

    • @annajoseph9955
      @annajoseph9955 2 года назад

      @@tajimwambole3115 kabisa Yani

  • @lydiakenya2814
    @lydiakenya2814 2 года назад

    🥰🥰🥰🔥🔥

  • @jamilasaid1764
    @jamilasaid1764 2 года назад

    Kweli chombo umeopoa