Ukitaka kujua MUME mwenye UPENDO wa KWELI au Mme utaona muonekano wao unakupa picha hakika Hon.magoti ni MUME MWEMA Kwa mkewe ,MUNGU AWATUNZE NA AMEMTAMBULISHA VYEMA MKEWE ALL THE BEST 🎉
Wifi YANGU JOICE NYOTA YA MBINGUNI IMEKUANGAZIA.MTUNZE MH. MAGOTI .shukrani ziwaendeee wote mpaka akina baba mkwe na mama mkwe kutoka mbali pokeeni maua yenu.🎉🎉🎉
Mwanamke mnyenyekevu Sana Mungu akubark joys
Nimefurahiii mno na mtiririko wa maelezo yako Magoti wewe uko vizuri....mama samia asante kwa malezi ya mh..Dc..mungu akulinde kibali ni chako..
Du mi sina ka kuongeza hongereni saana mmenisisimua mungu awabariki sana
Ukitaka kujua MUME mwenye UPENDO wa KWELI au Mme utaona muonekano wao unakupa picha hakika Hon.magoti ni MUME MWEMA Kwa mkewe ,MUNGU AWATUNZE NA AMEMTAMBULISHA VYEMA MKEWE ALL THE BEST 🎉
Asante baba mungu akuzidishie khikma. Akupe kila la kheri
Nakupenda sana Mr Magoti hongera
Hongera sana Petro tunakuombea kwa Mungu akuongoze na ndoto yako itimie.
Congratulations Mr.Magoti,well done ✅
Mwenyezi mungu awalinde ktk ndoa yenu
Be blessed always comred
Wifi YANGU JOICE NYOTA YA MBINGUNI IMEKUANGAZIA.MTUNZE MH. MAGOTI .shukrani ziwaendeee wote mpaka akina baba mkwe na mama mkwe kutoka mbali pokeeni maua yenu.🎉🎉🎉
Safi sana kipenzi Magoti Mungu akuongoze kwa yote utakayo tenda maishani mwako
Naamini siku Moja utakuja kuwa kiongozi mkubwa sana.
Mama samia ni mtu Muhmu sana amekuwa kiongozi bora mwadilifu sana mwenywe huruma na msimamo ilov❤ mr magot mungu atunze kaka
Mh. Hongera sana
Amen amen mungu mwema ninawapenda familia yote amen
amazing speech
Ongera Mh.
Lakini watu wa itifak kwan hamkufahamu maumbile ya Magoti?? Ndio nini kumuwekea Podium ndefu?
Safi sana!
Wow! Ukawe kioo kwenye sehemu ya uongozi wangu 😊
Jamani hadi raha saha.
Umeongea vema hongera kaka
Magoti be blessed
Good work brother
WATU WA PROTOCOL NI PISIII
Joyce amefituka bhaaaaaaah
Mwanamke amekuaaa mmama had rahaa
Watu wa protocal
Hiyo podium kwa ndg yetu ni ukatili pia. Mkijua mna watu wenye changamoto muwatendee haki
Uyu dada alikuwa mzur msahana sema uzazi umemfanya amekuwa kibonge sema bado mrembo tu
mbona sauti kama ya magufuli jmn
Kweli
Hongera sana
Jambo zuri sana
Ameharibika wapi jameni?😮
Peleka maji visegese na umeme utapaa zaidi
Jamani huyu kaka wa shati la mistari kavamia familia hata hjtambulishwa pekeake
Anaongea kama mzee magu
Safi sana
Huyu dada kwenye ndoa yake alikuwa mwmbamba kazuri hapa nimemkumbuka mwanya tu
Yuko vzr
🎉🎉🎉🎉
Asante
Huyu mwanamke ulivyo muowa alikua mzuri jamani uzazi ndio umemuaribu sana
Uzazi unabadilisha
Itakua mimba
Uzur Hana shida ndogo ndogo huyo mwanamke mumewe pesa ipo
Bado mzuri sana
Karidhika tu kanenepa
Mh ndio kujiachia gani hukoo uzuri wotee umepotea.
Punguza Menu
Amekuwa chibonge kwakweli kupendwa raha sana
Hongera
❤❤❤❤❤❤
Kwani niki wa pili sahv yuko wapi si ndo alikua mkuu wa wilaya ya kisarawe
Alikuwa mkurugenzi
Yupo kibaha ndio mkuu wilaya ya kibaha
Ni mkuu wa wilaya ya Kibaha
Dah niliimis sana hii copy jmn nawapenda Sana 🎉❤
Copy ya nini?
😂😂
@@bonvivant3704 wabongo bhana na kiingereza, eti couple ndio copy😃😀😀
Tumsamehe itakua typing error😩
Protocol safi
Hivi watu wa protocol ndo watu gani naomba kujua
@@stewardlwimbo3944 nikiwemo na mimi watujuze
🙏🙏
Anaongea busara sana
HONGERA SANA SANA
Nasikia una ua watu
Analeta wakwe wazazi wake wako wapi 😮😮😮
Wamemzalia chombo
Walishafariki hana wazazi kalelewa na kanisa zaidi
Jamaniii
Nikwakiwa WOOTE aliowatambulosha ni watumishi WA serikali ukiacha watoto
Inatakiwa tuishi hivi
Kibaha
NAONA ULITAKIWA KUWA PADRI LAKINI MAGOTI ULIKATA KONA
Mgawa sumu Katika ubora wake
Badala ya kuleta wazazi wake yy kaleta wakwe
Jamani wazazi majaaliwa kwa mfano mimi hapa nilikuwa na wazazi ila sasa hivi sina wameshafariki
You never know labda walishafarikii
Km wamefariki? Let's not be quick to judge
Wazazi wote ni wazazi tu
Msikariri Magoti siyo mjinga kiasi hicho Hadi ashindwe kuwatambulisha wazazi wake, inawezekana Hana wazazi.
Broo Magoti wazazi wako hujawaalika
Labda Hana wazaz
Mushimiwa umeme kijiji cha kisangile tafadhali
Akashughulikie migogoro ya ardhi