😂😂😂😂😂😂...... jamani nimecheka kwa sauti,,nyie wasafi nyie msimchimbue ivo bosi wenu jamani. Mbakisheni kidogo. Alafu sarah nadhani ndio ridhiki kwa diamond na atarudi mjengoni soon. Huyo mume wake akae kwa kutulia kwanza, sisi tumeshampata Ex dai wa taifa .
Sara nyie ndio wale wanawake mnaovuruga mahusiano ya watu, wewe sio mwanamke wa Kwanza Kwa Mondi mko wengi kuanzia Tandale anauza mitumba alishapita na wengi tu, unaharibu Sara ujana umekula na nani uzee ndio uje kufia Kwa Mondi? Lea mume wako muache Mondi naye aishi maisha yake usitembelee upepo wa zilipendwa
Haikuwa riziki yake Mungu.hakupanga.
Life❤
ULE MSEMO WA WATU WALIOSOMA CUBA.
NAHISI KUVAA VIATU VYA SARAH SIO RAHISI?
Life aisee😢
dah
KAMA NAMUONA ZUCHU ANAVYOIANGALIA HII INTERVIEW HUKU AMEVUTA MDOMO 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂alikuwa hajui wanaume wa Africa wakoje eti mara kapendea kifua hata ump m sasa atajua hajui
❤❤❤❤tjr simbaaaa lamasimba dangote🎉🎉🎉❤❤❤
Kijiwalo😂
😂diamond aoe huyu
SUBUTU
Kwan mondi anasemaje
Yaani mnapiga umbea kwenye radio ya boss wenu 😂😂
Ni wazi kuwa Diamond alikwa broke
Kama mmeanza kuchimbua makaburi muende kwa vile videmu vya Tandale wakati Mondi anauza mitumba
😂😂😂😂😂😂...... jamani nimecheka kwa sauti,,nyie wasafi nyie msimchimbue ivo bosi wenu jamani.
Mbakisheni kidogo.
Alafu sarah nadhani ndio ridhiki kwa diamond na atarudi mjengoni soon.
Huyo mume wake akae kwa kutulia kwanza, sisi tumeshampata Ex dai wa taifa .
😅😅
Maybe she's the reason why diamond hataki kuoa cause he already promised her marriage 😄
Exactly he was betrayed by this girl.
Sara nyie ndio wale wanawake mnaovuruga mahusiano ya watu, wewe sio mwanamke wa Kwanza Kwa Mondi mko wengi kuanzia Tandale anauza mitumba alishapita na wengi tu, unaharibu Sara ujana umekula na nani uzee ndio uje kufia Kwa Mondi? Lea mume wako muache Mondi naye aishi maisha yake usitembelee upepo wa zilipendwa