SARAH ATINGA WASAFI,,AMFUATA DIAMOND PLATNUMZ "MPENZI WAKE WA ZAMANI" AFUNGUKA KURUDIANA NA DIAMOND

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 апр 2024

Комментарии • 53

  • @juliethkatabwa5306
    @juliethkatabwa5306 Месяц назад +4

    Atapata gari muacheni Sara.
    First lady wa diamond

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Месяц назад +4

    Uzuri siyo kitu.Tabia ndiyo mhimu🎉

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 Месяц назад +5

    Kwani zuchu ana uzuli gani jamani wote nibini Adam sio uzuli sara muonekano ni mzuri sana ❤❤❤

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Месяц назад +3

    Muachen Sarah we2. Waandshi mmezid
    Kashawambia kachoka
    TZ cjui mkoje waandshi😢
    SARA MZURI WA KUJIBU MASWALI❤❤

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Месяц назад +2

    Hodari wa kuzungumza sister ❤❤❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад +2

    Huyo zuchu ana uzuri gani.Wawili hawa walikuwa wanaendana sana'kwanza saraha ndio alikuwa chuma.Saraha na Nassib nawapenda bure❤❤❤❤

  • @SuleimanSalim-ql3ny
    @SuleimanSalim-ql3ny Месяц назад +3

    Huyu dada anahaki ktk mafanikio ya mondi cz ngoma iliomtambulisha kwetu sabab ni sara hvyo matukio aliopigwa na sara ilikuwa ni mipango ya M/MUNGU na ikawa sababu ya kutoboa

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Месяц назад +1

    Zuchu kwani ana tabiya mbaya kwanza katuliya huyo ndo alikua hajatuliya Sara mpk mwenyewe kahojiwa alisema wazi alikua mtu wa viwanja na diamond alisema km kamuumiza lkn zuchu ulishasikia km kamuumiza diamond zaidi diamond ndo anae muumiza zuchu

  • @milliedianeawiti6247
    @milliedianeawiti6247 Месяц назад +1

    Mmmmh diamond lo

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Месяц назад +1

    Ht kidogo zuchu mzuri Kwa sara

  • @nsengiyumvaplacide6272
    @nsengiyumvaplacide6272 Месяц назад +1

    Oooooo Rwanda

  • @OMARISAIDI-mx8yd
    @OMARISAIDI-mx8yd Месяц назад +1

    We sarah haujui

  • @rehmahamishamismkande4348
    @rehmahamishamismkande4348 Месяц назад +1

    Kwa hiyo mambo yanakwenda mbele Tz sihami

  • @MchagaUk
    @MchagaUk Месяц назад +2

    Yaani kweli Diamond umempandisha Sarah bajaji

  • @user-ns3so9wv1f
    @user-ns3so9wv1f Месяц назад +1

    Ww Sara usituchanganye wakt
    Mondi akisafiri ulikuwa tayari
    Mjamzito ama.

  • @user-he7nv8no3e
    @user-he7nv8no3e Месяц назад +1

    Zuchu m baya sana ila anazo pesa uyo zuchu an fikii ata mm sema mm sina pesa tu natumwa na waalabu oman😂

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Месяц назад +1

    Diamond akimuoa huyu atakuwa na maisha ya amani.
    ZUCHU NI KITUKO HAJAKOMAA.MONDI ATAPATA DEPRESSION.NDOA YAO ITAKUWA VURUMAI TU

  • @ashaabdallah9672
    @ashaabdallah9672 Месяц назад +2

    Zuchu anauzur gan hamuwachi nyiee kakaa km dume dume

  • @user-ti1ol3ti9j
    @user-ti1ol3ti9j Месяц назад +1

    Damode kashidwa kushukuwa nyota ya zuchu ndomana hawezi kudumu na zuchu nazuchu acanenaye badomudogo apambane namayishayake Bana funguka we mtoto mayisha niya mungu 😮😮😮😮

  • @user-iy3mb1lb9b
    @user-iy3mb1lb9b Месяц назад +1

    Hizi comment jaman siyo kwa mpya huo mmbaya

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Месяц назад

    Make apo kwanza nicheke 😂😂uyu mbona tofauti na yule wa nenda kamwsmbie au alienda uturuki kuongeza pua na mdomo maana me sielewi kila nikifuta picture 😂😂

  • @MariaCassian-ys7pt
    @MariaCassian-ys7pt Месяц назад +1

    Mm nilifikiri sara utakaza kumbe umejipeleka mazima haya jicho halikinai kuona wala sikio halikinai kusikia kwahiyo yetu macho na maskio kati zanzibar na bara muungano utadumu au utavunjika?

    • @user-he7nv8no3e
      @user-he7nv8no3e Месяц назад

      DadA Ngoma yakitoto aikeshi uyo sala ana ham kujizalilisha tamaa tu

  • @user-he7nv8no3e
    @user-he7nv8no3e Месяц назад +1

    Kwanza umzul pesa peke ake uyo mond angekua namboo tu bila pesa tusingemuona zuchu wala sala

  • @suleimanmussa5792
    @suleimanmussa5792 Месяц назад

    Kila mtu na zamu yake

  • @AMINAMOHAMED-de7gb
    @AMINAMOHAMED-de7gb Месяц назад +1

    Wanawake sisi niwakuchezewa tu,sasa uyo diamond akifanyiwa ivyo na zuchu ataweza kweli.awache kufanya wanawake kama vikaragosi,ivi uyo Sarah anajiona anapendwa,uninga tu.Ebu muache mwenzako atumie wakati wake😅

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Месяц назад

    ila wadishi nyie Muna mambo eti ni mlembo. Huyo dada ana uzuri gani mbona wa kawainda tu.

  • @salum8848
    @salum8848 Месяц назад

    Sara bado unapanda bajaji!!

  • @munirasallim6450
    @munirasallim6450 Месяц назад +5

    Kusema kweli Sarah hajamfikia uzuri zuchu

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Месяц назад +3

      Uzuri ni nini kwako wewe.huyo zuchu wenu king'ang'a na minuno kila siku kafukuza hadi mfanyakazi wa ndani leo hii ukoo mzima wamelia na zuchu

    • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
      @SmilingFreshwaterLake-tg5qp Месяц назад +1

      Zuchu mzuri kuliko sara

    • @natamihambo8077
      @natamihambo8077 Месяц назад +3

      Sarah mzuri sana tu

    • @Shuu.A
      @Shuu.A Месяц назад

      Kwa taarifa yako wazanzibar hawataki kuolewa za warwana washenzi wa kibogo tunamshangaa huyu zuchu kumtaka mtwana anajizalilisha tu hatkutakini labda huyo zunchu si wazanzibar wote lol kwa mwanamme gani anafanana na huyo sara mshenzi mwenziwe pua na domo kama tanyri​@@tanzcanmediatv4473

    • @royalfaith1978
      @royalfaith1978 Месяц назад

      Sara anamushinda uzuri zuchu na mbali. Anamshinda umri ila angali muzuri. Angekuwa na pesa kama Zuchu sara nikiboko.

  • @user-xn1ly2yx7j
    @user-xn1ly2yx7j Месяц назад +3

    Waandishi wa habari mmeshaongea kuwa umri umeshaenda sasa simba la masimba bado yuko kwenye chati .Zuchu ndiye aliyekuwa anamfaa .Sarah kachoka sasa.

  • @user-bn3yn8uj7p
    @user-bn3yn8uj7p Месяц назад +1

    Pua kubwa xn

    • @Shuu.A
      @Shuu.A Месяц назад +2

      Pua na domo kama tanuri kikweli wanafanana na dai sura zao

    • @nsiamasawe4578
      @nsiamasawe4578 Месяц назад +2

      Kazi ya muumba.

    • @dhahabukalama2635
      @dhahabukalama2635 Месяц назад

      Binadamu ata apewe udongo wake aumbe mtu anaye mupenda tena bado ataona wamwenzake nimuzuri zaidi. So hao ndo Binadamu ​@@nsiamasawe4578