Nay Wa Mitego - Kudada deki (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 13 мар 2023
- Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/naywamitego
Apple Music: / nay-wa-mitego
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
RUclips: / @naywamiteg
Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
Instagram: / naytrueboytz
Facebook: / naywamitego
Twitter: / naythetrueboy
©️2023 Free Nation.All rights reserved.
#NayWamitego #Kudadadeki - Видеоклипы
Tusiwe na ubaguzi kama ww ni🇹🇿🇿🇦🇲🇿🇿🇼🇸🇿🇲🇼🇺🇬 Kenya Uganda.gonga like ÁFRICA🙏🏾 leta vituu nay 🤩🥰🤙 kudadadeki🤛
❤
Mbon Burundi na Rwanda hujazitaj iz nch 🤦🏾♀️🤦🏾♀️🤦🏾♀️?
Kama unamkubali Mr nay gonga like Yako apa twende sawa
ruclips.net/video/fu2YcE-E11Y/видео.html
Huyu ndo simbaaaaa mana aiogopi
@@boscoboyarachuga huyu ndio rais wangu
Huku kitaa tunamskiliza yeye tu
like unazipeleka wapi kenge wewe?
acha ushamba
idiot 😏
@@officialkamdudu like niishala ya upendo kwa rais wa kitaa
Kama haupendi #shikakichwa 😃😃
HILI DUDE NI LAMOTO SANA NEY KENYE MZIKI WA AINA HII NI MFALME KAMA UNAAMINI HILI NGOMA NI KALI NA LINAUJUMBE PIA LIKE ZOTE HAPA TUJUANE WAPENDA MZIKI MZURI 🎶🎵💯✅
ruclips.net/video/4a5K321p2O8/видео.html
ruclips.net/video/4a5K321p2O8/видео.html
Dude nikali kinyama sana mtuwangu
✓
Nay unachana sana,Ila umenitusi mie nakubali wewe ni raisi wa wanyonge Tz pata Like zetu kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪
Demu ako anasuka nawewe unasuka Demu ako anavaa hereni nawewe unavaa hereni we sio mwanaume we ni Dada Iren,oya oya oya oya like kama unamkubali Raisi"
Naona kamkumbuka yule dogo
ako vizuri huyu mkuu
Rais wa kitaa true boy chuma much respect for you camanda jaman.weken like za heshima kwa president wa kita
ruclips.net/video/2H7qrULb3qk/видео.html
Nipeni likes wakenya wanaopenda Rais wa kitaa.... This is a 💣💣💣💥
like unazipeleka wapi kenge wewe?
acha ushamba
idiot 😏
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
It's a nine double six baby💪🇰🇪 likes from Kenya... sijawai pata likes za Nay wadau
😅ruclips.net/video/hx2f-4qwiio/видео.html
KUDADADEKI 🔥 likes 10 zinatosha twende zetu basi
Rais
like unazipeleka wapi kenge wewe?
acha ushamba
idiot 😏
@@officialkamdudu Nashukuru sana, Naheshimu Mawazo Yako! Kunitusi sijui nawe kunakusaidia Nini.
@@MichaelMwakibolwa acheni ushamba mnaboa kenge kila video nipe like nipe like utafikiri mashoga
@@officialkamdudu Jambo usilolijua ni sawa na usiku Wa Giza. Mawazo mgando hayawezi kukufikisha mbali.
Am from China I don't understand Swahili bt penye nay amesema Kama auna mpango wa kuoa shika kichwa nmeskia, tuko pamoja na yy, wapi likes
😂😂😂😂
Huyu jamaa nomaa ana toa fact tupu jamani namkubalii Sanaa by dragon naomben comment tafadhal japo nimechelewa......🔥🔥🔥🔥2023
Kudada deki from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mzee baba hapo kwenye huna mpango na ndoa na mm nimeshika kichwa😁😁
😂😂😂😂🙆♂️
Mmmmh
Kwanza kabla ya yote nimestopisha kwanza Ngoma zen nimecomment Ana mziki wa peke yake huyu jamaa Emanuel Elibarik Nay wa mitego, Mwana hip hop Mbishi really, 🇹🇿 to South Africa 🇿🇦 Mobr cape town
🤣🤣 me pia nimestopisha kwanza ili nisome Comment nione watu wameipokeaje huu wimbo
@@mapenekanda7570 Oya Mapene icho kichwa hatar iyo ndio Hip hop Really ndomana Marehem Rais Magufuri Alikuwa Anamkubali sanaa Nay wa mitego Anatowa Sumu mwamba sio poa
Ngoma kali maneno mazur mwenyekujifunza atachukua japo moja abadilike ila kwa mwanaume kuvaa ereni kama Dada yake sio pw
Mungu muumba wa ardhi na mbingu anakuhitaji utubu na umkubali Yesu Kristo akuokoe uishi maisha ya utakatifu sije Shetani akakuangamiza.
Rais wa Kitaa tuna kukubali sana fundi
ruclips.net/video/2H7qrULb3qk/видео.html
Rais wa wanyonge
mungu aendelee kukulinda
Tuliogundua huyu CYO Mr nay balini Jay-Z tutambuane Kwa like 😇💪
Kichwa kilichopewa lungu akiangalii usoni ni magoma nakalia tu🏆💛🏆🖤💥💥💥💥💥
Huyu mwamba ni hatar sana yaani
Oyaaa oyaaaa oya oya oyaaaa skuping kamanda we ndo Raisi wao wengine wasindikizaji ✌️
Nakumbuka tukisoma kidato kimoja na huyu rais wangu wa kitaa...alikuwa sumbua sana
Kama umekubaliyana Na Goma Hili shika kichwa shika kichwa🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉💯💯💯
True boy isn't pregnant but he always delivers ❤️💥🔥🔥🔥🔥🎼 Banger!!!👏
ruclips.net/video/4a5K321p2O8/видео.html
ruclips.net/video/hx2f-4qwiio/видео.html😅
❤❤❤❤❤
Msaniii alieimba nyimbo za tofauti na nyimbo kali na zina ujumbe mwanaharakati ila angekuwa njee nyingine Ney angeheshimiwaa sana nakukubali sanaaa na nimekuwa nikukufatialia na nyimbo zako huku Sauth Africa zinapigwa sanaaa saluti sanaaa Ney
💪👏
Tumekubali Nay!!!Watu wa 255 piga like, kutoka 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
like unazipeleka wapi kenge wewe?
acha ushamba
idiot 😏
ruclips.net/video/hx2f-4qwiio/видео.html😅
huyooo ndio raisi wa kitaa hatutumii risasi ni neno moja kutoka kwa kamanda
Thaman ya mwanamke imebaki kwenye makalio hauna tako huna soko wanaume tumepungua wamebakia machoko...Duuuh noma sana
utapendw namamako inarudi sana kwenye vers zako my G why but cooking mind let's get back to youth
THE TRUE, TRUTH, & REALITY OF LDC'S the real street#president
mpaka maa askali wapo machoko daah
Kwann dada Irene sasa jamani ila ney 🙄🙄🙄 Mungu anakuona rais wa kitaa 🙌🙌
Nyimbo Kali kaka Rais
Hiki ndio kipimo tosha kwa naibu waziri Mwana FA hapa wakiifungia ndio tutajua anatetea wasanii au mamluki
Nimekuelewa sana
ruclips.net/video/2H7qrULb3qk/видео.html
......usishangae kuona demu wako Naye Ana demu wake , bwanako Naye Ana bwanake,kipenzi chako Naye Ana kipenzi chake.... Anamanisha hakuna trust kwenye mapenzi and that's why Nay is still a bachelor he doesn't believe in relationship... I respect you my nigga
"Na mizuka ikinipanda mniruhusu nichane"
Happ ndo nasmile na nangonga kuenjoy vibes za Mr Nay👌👌💕💕 Nakupenda bure .. TRUE BOYZ IN THE BUILDING 💪💪
Umekosea na mizuka ikinipanda niruhusu nitukane
Ngomaa kali brother Burundi twende na like mongi
Mr Nay rais mpaka nchini Congo 🇨🇩💪🇨🇩💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Yaani kaiba kweli Nay wachane wote washa ingia chakuke wote
Video Kari nyimbo Kari nakubari Mr ney ..wanyosheeee ao machoko wanao toboa sikio MWISHO watatoboa ngoma
Hili goma nimelikubali sana ila msinipe like zenu Kama mmezaliwa miaka ya 90 na Bado mko kwenu🤞🤞🤞
33 age
Tunakuelewa mbeya city
Kumamayo zaooo...kudadadekiiii....usishangae kuona dem wako nae ana dem wake....Nay wamitego 100❤❤❤❤
Baba yaga💪🏾😎
Nakubal rais wa kitaa
Kenya like ziko wapi
Nipeni likes za Nay wa mitego #No 1 fan from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿💪
like unazipeleka wapi kenge wewe?
acha ushamba
idiot 😏
Nakubali rais wa kitaa
Hili lijamaa noma Sana. Najivunia kuwa mtanzania
Watafute Kwa kujificha 🔥huu moto hauzimiki
Huyu jamaa huwa hakosei siku zote
Kuna filamu Fulani ya kibongo inaelezea wimbo wa Diamond wa salima kama unajua hio filamu niambie pamoja na waigizaji
Wangap vileeee
Noma Sana my broo ney 🙏🙏🙏
Rais wakitaa
ruclips.net/video/2H7qrULb3qk/видео.html
big up Mr nay nakusalute nikiwa mombasa
Huyu ndo Mr nay ninaye mjua Ngoma zake ni kama hizi xaxa,usitoke humo kwenye kutukana na kuchana watu,kukejeli wanapokosea
Hapa ndo umeanza kuwa msanii sasa
Ngomaa Kaliii
kudada deki gonga like kwa wingi hapa kama unamkubali the president wa wahuniiiiiiiiiii
Hii ndo tz yaani bongoo!!!!
Nimekubali sana Mr ney #karromia
Jamaa jamaa nalikubali hatar from Tanzania 🇹🇿 like zang kwa Rais wa kitaa
Wewe ndiyo kio chajamii kwasasa kaka hongela sana
Nakukubali hata kama hunijuwi💪💪
True boe rais wa kitaa👊👊👊👊👊
Baba yaga ujawai kutuangusha love from zanzibar nungwi bro🇹🇿❤️.
De true bwoy killer dem ana makalio kubwa lakn 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nakubali mkubwa👏👏👏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
ruclips.net/video/fu2YcE-E11Y/видео.html
Msanii pekee aliyebakiaaa Bongooo wengine hawa ni waimba Mziki Goo bba mitaaa imekubariii na maua yakoo unayoo huna unachodaiwaa kwenyee hii bongo fleva
Uyuu msengee apewe nchi aiongoze kwa siku 1 basiii🤣🤣🤣🚀🚀🚀🚀🚀🚀
Wakenya wote tukutane hapa 🇰🇪
Pitieni kw Chanel yngu pia kama unamkubali Nei
Dr.Bonye nimepita kuichunguza hii ngoma nimeona mziki mzuri point nyingi Rais kasema kweli💜
Mic check, track check,vybe che..... Luku nayooo....che....??????maddd luv
Mr true boy na kukubali kutoka kenya
Baba nakubali wape ukweli ao wanoko mabisho wanao jifanya kabla kufanywa...💪💪
Brother njo basi uwachane na apa 🇨🇩🇨🇩
Baba ...Gaaa!.
Huyu mwamba nakubali sana kaz zake
Hii imeenda
Wanaongezeka machoko mamaeee unyamaaa
Rais wa kitaa...kudadeki...hauna Tako hauna soko..much love from 🇧🇭🇧🇭
We ndio rais pekee unaweza ongea ukweli mbele ya wananchiiiioi
It's high time TZ rappers to get recognition AFRIMMA ...moreso Nay Wa Mtego na ROSTAM💯🔥🔥🔥
Ney ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ngomakali sanaaa
@@nehemiahsamsony1085 heshima kwake
ruclips.net/video/4a5K321p2O8/видео.html
Shikamooo kaka kweliii 2napungua gentlemen
Siku zote, Lejendari!! True Boy being true!!
The true boy Ney wa mitego aisee naanza kuipenda hiphop kwasababu yako
Mwamba nakuelewa sana ngoma zako kaza mwamba
Mkali sana
Itoshe kusema kwamba huyu Ney ni Mhuni mwenzetu wa kitaa so anatuwakilisha vyema.
Dem mwenye digress aty ako mtaa ila mwenye makalio ndo ako kazi daaah
Rais wa kitaa👏👏🇹🇿🇹🇿✍️
From Kenya tumekumbali
Hapo kwenye wahuni wote peponi na kutokuwa na mpango wa ndoa tupo pamoja Rais wa kitaa true boy
Kudadeki zao 🔥🔥🔥🔥😀😀
Namkubali sana Tz huyu ndiye anathubutu kusema ukweli
So legit Bro 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
ruclips.net/video/2H7qrULb3qk/видео.html
ruclips.net/video/fu2YcE-E11Y/видео.html
Rap ndo asili ya mziki wa kufikisha ujumbe na sio Rnb kutangaza mapenzi tu.kukemea yanayo lenga jami
Daaaah umeua mwamba