Nay Wa Mitego - Kudada deki (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 мар 2023
  • Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
    Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
    Audiomack:audiomack.com/naywamitego
    Apple Music: / nay-wa-mitego
    Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
    RUclips: / @naywamiteg
    Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
    Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
    Instagram: / naytrueboytz
    Facebook: / naywamitego
    Twitter: / naythetrueboy
    ©️2023 Free Nation.All rights reserved.
    #NayWamitego #Kudadadeki
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 891

  • @alfredoatanasiojorge8300
    @alfredoatanasiojorge8300 Год назад +41

    Tusiwe na ubaguzi kama ww ni🇹🇿🇿🇦🇲🇿🇿🇼🇸🇿🇲🇼🇺🇬 Kenya Uganda.gonga like ÁFRICA🙏🏾 leta vituu nay 🤩🥰🤙 kudadadeki🤛

  • @ChuseIcon
    @ChuseIcon Год назад +308

    Kama unamkubali Mr nay gonga like Yako apa twende sawa

    • @Conshamusic
      @Conshamusic Год назад

      ruclips.net/video/fu2YcE-E11Y/видео.html

    • @boscoboyarachuga
      @boscoboyarachuga Год назад +5

      Huyu ndo simbaaaaa mana aiogopi

    • @ChuseIcon
      @ChuseIcon Год назад +3

      @@boscoboyarachuga huyu ndio rais wangu
      Huku kitaa tunamskiliza yeye tu

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Год назад

      like unazipeleka wapi kenge wewe?
      acha ushamba
      idiot 😏

    • @ChuseIcon
      @ChuseIcon Год назад +1

      @@officialkamdudu like niishala ya upendo kwa rais wa kitaa
      Kama haupendi #shikakichwa 😃😃

  • @Conshamusic
    @Conshamusic Год назад +114

    HILI DUDE NI LAMOTO SANA NEY KENYE MZIKI WA AINA HII NI MFALME KAMA UNAAMINI HILI NGOMA NI KALI NA LINAUJUMBE PIA LIKE ZOTE HAPA TUJUANE WAPENDA MZIKI MZURI 🎶🎵💯✅

  • @berryxmsanii
    @berryxmsanii Год назад +10

    Nay unachana sana,Ila umenitusi mie nakubali wewe ni raisi wa wanyonge Tz pata Like zetu kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪

  • @gmwene6269
    @gmwene6269 Год назад +38

    Demu ako anasuka nawewe unasuka Demu ako anavaa hereni nawewe unavaa hereni we sio mwanaume we ni Dada Iren,oya oya oya oya like kama unamkubali Raisi"

  • @kamuchidyblez2136
    @kamuchidyblez2136 Год назад +10

    Rais wa kitaa true boy chuma much respect for you camanda jaman.weken like za heshima kwa president wa kita

  • @pixelwaite4663
    @pixelwaite4663 Год назад +70

    Nipeni likes wakenya wanaopenda Rais wa kitaa.... This is a 💣💣💣💥

  • @mceeray254
    @mceeray254 Год назад +10

    It's a nine double six baby💪🇰🇪 likes from Kenya... sijawai pata likes za Nay wadau

  • @MichaelMwakibolwa
    @MichaelMwakibolwa Год назад +47

    KUDADADEKI 🔥 likes 10 zinatosha twende zetu basi

    • @boscoboyarachuga
      @boscoboyarachuga Год назад +1

      Rais

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Год назад

      like unazipeleka wapi kenge wewe?
      acha ushamba
      idiot 😏

    • @MichaelMwakibolwa
      @MichaelMwakibolwa Год назад

      @@officialkamdudu Nashukuru sana, Naheshimu Mawazo Yako! Kunitusi sijui nawe kunakusaidia Nini.

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Год назад

      @@MichaelMwakibolwa acheni ushamba mnaboa kenge kila video nipe like nipe like utafikiri mashoga

    • @MichaelMwakibolwa
      @MichaelMwakibolwa Год назад

      @@officialkamdudu Jambo usilolijua ni sawa na usiku Wa Giza. Mawazo mgando hayawezi kukufikisha mbali.

  • @kelvinabere7169
    @kelvinabere7169 Год назад +9

    Am from China I don't understand Swahili bt penye nay amesema Kama auna mpango wa kuoa shika kichwa nmeskia, tuko pamoja na yy, wapi likes

  • @josephkimaro9300
    @josephkimaro9300 Год назад +2

    Huyu jamaa nomaa ana toa fact tupu jamani namkubalii Sanaa by dragon naomben comment tafadhal japo nimechelewa......🔥🔥🔥🔥2023

  • @Zadig_Le_Juste
    @Zadig_Le_Juste Год назад +21

    Kudada deki from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @maulidkhamis2003
    @maulidkhamis2003 Год назад +7

    Mzee baba hapo kwenye huna mpango na ndoa na mm nimeshika kichwa😁😁

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 Год назад +10

    Kwanza kabla ya yote nimestopisha kwanza Ngoma zen nimecomment Ana mziki wa peke yake huyu jamaa Emanuel Elibarik Nay wa mitego, Mwana hip hop Mbishi really, 🇹🇿 to South Africa 🇿🇦 Mobr cape town

    • @mapenekanda7570
      @mapenekanda7570 Год назад +3

      🤣🤣 me pia nimestopisha kwanza ili nisome Comment nione watu wameipokeaje huu wimbo

    • @mosamossile9113
      @mosamossile9113 Год назад +2

      @@mapenekanda7570 Oya Mapene icho kichwa hatar iyo ndio Hip hop Really ndomana Marehem Rais Magufuri Alikuwa Anamkubali sanaa Nay wa mitego Anatowa Sumu mwamba sio poa

  • @elishamushi-dz6jj
    @elishamushi-dz6jj Год назад +1

    Ngoma kali maneno mazur mwenyekujifunza atachukua japo moja abadilike ila kwa mwanaume kuvaa ereni kama Dada yake sio pw

  • @samueljoto9884
    @samueljoto9884 Год назад +1

    Mungu muumba wa ardhi na mbingu anakuhitaji utubu na umkubali Yesu Kristo akuokoe uishi maisha ya utakatifu sije Shetani akakuangamiza.

  • @jeuboymusic8434
    @jeuboymusic8434 Год назад +3

    Rais wa Kitaa tuna kukubali sana fundi

  • @rahmaamgoo7919
    @rahmaamgoo7919 Год назад +4

    Rais wa wanyonge
    mungu aendelee kukulinda

  • @yudaaraphati9673
    @yudaaraphati9673 Год назад +7

    Tuliogundua huyu CYO Mr nay balini Jay-Z tutambuane Kwa like 😇💪

  • @emirysikachanga-wz2ug
    @emirysikachanga-wz2ug Год назад +1

    Kichwa kilichopewa lungu akiangalii usoni ni magoma nakalia tu🏆💛🏆🖤💥💥💥💥💥

  • @shadrecknazarethboy1772
    @shadrecknazarethboy1772 Год назад +4

    Huyu mwamba ni hatar sana yaani

  • @frankchengula6414
    @frankchengula6414 Год назад +3

    Oyaaa oyaaaa oya oya oyaaaa skuping kamanda we ndo Raisi wao wengine wasindikizaji ✌️

  • @Richadri1998
    @Richadri1998 Год назад +3

    Nakumbuka tukisoma kidato kimoja na huyu rais wangu wa kitaa...alikuwa sumbua sana

  • @jamesjameswisdomtz1577
    @jamesjameswisdomtz1577 Год назад +2

    Kama umekubaliyana Na Goma Hili shika kichwa shika kichwa🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉💯💯💯

  • @castromendozaofficial2485
    @castromendozaofficial2485 Год назад +57

    True boy isn't pregnant but he always delivers ❤️💥🔥🔥🔥🔥🎼 Banger!!!👏

  • @erickflenk2777
    @erickflenk2777 Год назад +11

    Msaniii alieimba nyimbo za tofauti na nyimbo kali na zina ujumbe mwanaharakati ila angekuwa njee nyingine Ney angeheshimiwaa sana nakukubali sanaaa na nimekuwa nikukufatialia na nyimbo zako huku Sauth Africa zinapigwa sanaaa saluti sanaaa Ney

  • @thepabloske
    @thepabloske Год назад +33

    Tumekubali Nay!!!Watu wa 255 piga like, kutoka 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Год назад

      like unazipeleka wapi kenge wewe?
      acha ushamba
      idiot 😏

    • @lyontheblessed8200
      @lyontheblessed8200 Год назад

      ruclips.net/video/hx2f-4qwiio/видео.html😅

  • @suleymanimixkatafighter2669
    @suleymanimixkatafighter2669 Год назад +1

    huyooo ndio raisi wa kitaa hatutumii risasi ni neno moja kutoka kwa kamanda

  • @nelsonmanyagaz-ym4mk
    @nelsonmanyagaz-ym4mk Год назад +1

    Thaman ya mwanamke imebaki kwenye makalio hauna tako huna soko wanaume tumepungua wamebakia machoko...Duuuh noma sana

  • @MrAslan47
    @MrAslan47 Год назад +2

    utapendw namamako inarudi sana kwenye vers zako my G why but cooking mind let's get back to youth

  • @JohFoxer
    @JohFoxer Год назад +5

    THE TRUE, TRUTH, & REALITY OF LDC'S the real street#president

  • @hamidumpeni8333
    @hamidumpeni8333 Год назад +4

    mpaka maa askali wapo machoko daah

  • @irenejackson3227
    @irenejackson3227 Год назад +1

    Kwann dada Irene sasa jamani ila ney 🙄🙄🙄 Mungu anakuona rais wa kitaa 🙌🙌

  • @bibayevyotv5529
    @bibayevyotv5529 Год назад +3

    Nyimbo Kali kaka Rais

  • @mpangampanga1609
    @mpangampanga1609 Год назад +1

    Hiki ndio kipimo tosha kwa naibu waziri Mwana FA hapa wakiifungia ndio tutajua anatetea wasanii au mamluki

  • @provassabosman3510
    @provassabosman3510 Год назад +3

    Nimekuelewa sana

  • @albertpike5893
    @albertpike5893 Год назад +6

    ......usishangae kuona demu wako Naye Ana demu wake , bwanako Naye Ana bwanake,kipenzi chako Naye Ana kipenzi chake.... Anamanisha hakuna trust kwenye mapenzi and that's why Nay is still a bachelor he doesn't believe in relationship... I respect you my nigga

  • @benardsnell6872
    @benardsnell6872 Год назад +18

    "Na mizuka ikinipanda mniruhusu nichane"
    Happ ndo nasmile na nangonga kuenjoy vibes za Mr Nay👌👌💕💕 Nakupenda bure .. TRUE BOYZ IN THE BUILDING 💪💪

  • @ishimwemorgan1713
    @ishimwemorgan1713 Год назад +4

    Ngomaa kali brother Burundi twende na like mongi

  • @powerboy666
    @powerboy666 Год назад

    Mr Nay rais mpaka nchini Congo 🇨🇩💪🇨🇩💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 Год назад +1

    Yaani kaiba kweli Nay wachane wote washa ingia chakuke wote

  • @AbdallahSalumu-dz3yw
    @AbdallahSalumu-dz3yw Год назад

    Video Kari nyimbo Kari nakubari Mr ney ..wanyosheeee ao machoko wanao toboa sikio MWISHO watatoboa ngoma

  • @Karromiatz
    @Karromiatz Год назад +10

    Hili goma nimelikubali sana ila msinipe like zenu Kama mmezaliwa miaka ya 90 na Bado mko kwenu🤞🤞🤞

  • @philemonambilikile
    @philemonambilikile Год назад +3

    Tunakuelewa mbeya city

  • @halfanhindo8376
    @halfanhindo8376 Год назад

    Kumamayo zaooo...kudadadekiiii....usishangae kuona dem wako nae ana dem wake....Nay wamitego 100❤❤❤❤

  • @youngfather5118
    @youngfather5118 Год назад +3

    Baba yaga💪🏾😎

  • @williamfredy2319
    @williamfredy2319 Год назад +2

    Nakubal rais wa kitaa

  • @danielpatient5310
    @danielpatient5310 Год назад +3

    Kenya like ziko wapi

  • @sultan_official875
    @sultan_official875 Год назад +6

    Nipeni likes za Nay wa mitego #No 1 fan from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿💪

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Год назад

      like unazipeleka wapi kenge wewe?
      acha ushamba
      idiot 😏

  • @zackyandrew5998
    @zackyandrew5998 Год назад +2

    Nakubali rais wa kitaa

  • @OfficialAdaOnce
    @OfficialAdaOnce Год назад +5

    Hili lijamaa noma Sana. Najivunia kuwa mtanzania

  • @issabrocleantz
    @issabrocleantz Год назад +1

    Watafute Kwa kujificha 🔥huu moto hauzimiki

  • @philipotieno9996
    @philipotieno9996 Год назад +2

    Huyu jamaa huwa hakosei siku zote

  • @brychbren0121
    @brychbren0121 Год назад +1

    Kuna filamu Fulani ya kibongo inaelezea wimbo wa Diamond wa salima kama unajua hio filamu niambie pamoja na waigizaji

  • @innocentdismas9049
    @innocentdismas9049 Год назад +3

    Wangap vileeee

  • @romeoissa-uw3lq
    @romeoissa-uw3lq Год назад +2

    Noma Sana my broo ney 🙏🙏🙏

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Год назад +2

    Rais wakitaa

  • @salimthoyah5356
    @salimthoyah5356 Год назад +1

    big up Mr nay nakusalute nikiwa mombasa

  • @omaraonasir4361
    @omaraonasir4361 Год назад

    Huyu ndo Mr nay ninaye mjua Ngoma zake ni kama hizi xaxa,usitoke humo kwenye kutukana na kuchana watu,kukejeli wanapokosea

  • @alexwatae3165
    @alexwatae3165 Год назад +2

    Hapa ndo umeanza kuwa msanii sasa

  • @davevice3178
    @davevice3178 Год назад +3

    Ngomaa Kaliii

  • @_mcmshindokei
    @_mcmshindokei Год назад

    kudada deki gonga like kwa wingi hapa kama unamkubali the president wa wahuniiiiiiiiiii

  • @Karromiatz
    @Karromiatz Год назад +4

    Hii ndo tz yaani bongoo!!!!
    Nimekubali sana Mr ney #karromia

  • @ednambata9503
    @ednambata9503 Год назад +1

    Jamaa jamaa nalikubali hatar from Tanzania 🇹🇿 like zang kwa Rais wa kitaa

  • @MarwachachaChachamarwa-sq8cy
    @MarwachachaChachamarwa-sq8cy 3 месяца назад

    Wewe ndiyo kio chajamii kwasasa kaka hongela sana

  • @niyinkijijepasteur963
    @niyinkijijepasteur963 Год назад +1

    Nakukubali hata kama hunijuwi💪💪

  • @emabangkoko8163
    @emabangkoko8163 Год назад +1

    True boe rais wa kitaa👊👊👊👊👊

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Год назад +5

    Baba yaga ujawai kutuangusha love from zanzibar nungwi bro🇹🇿❤️.

  • @denisnabibia242
    @denisnabibia242 Год назад +4

    De true bwoy killer dem ana makalio kubwa lakn 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @bilaliyussuf4418
    @bilaliyussuf4418 Год назад +2

    Nakubali mkubwa👏👏👏🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @Conshamusic
      @Conshamusic Год назад

      ruclips.net/video/fu2YcE-E11Y/видео.html

  • @daudinyanda2499
    @daudinyanda2499 Год назад

    Msanii pekee aliyebakiaaa Bongooo wengine hawa ni waimba Mziki Goo bba mitaaa imekubariii na maua yakoo unayoo huna unachodaiwaa kwenyee hii bongo fleva

  • @starmo9887
    @starmo9887 Год назад

    Uyuu msengee apewe nchi aiongoze kwa siku 1 basiii🤣🤣🤣🚀🚀🚀🚀🚀🚀

  • @mcnyota
    @mcnyota Год назад +8

    Wakenya wote tukutane hapa 🇰🇪

  • @dr.bonye1
    @dr.bonye1 Год назад +5

    Dr.Bonye nimepita kuichunguza hii ngoma nimeona mziki mzuri point nyingi Rais kasema kweli💜

  • @user-rh7lc2kn3i
    @user-rh7lc2kn3i 4 месяца назад

    Mic check, track check,vybe che..... Luku nayooo....che....??????maddd luv

  • @am_Datota
    @am_Datota Год назад +2

    Mr true boy na kukubali kutoka kenya

  • @muzerebienvenu1027
    @muzerebienvenu1027 Год назад

    Baba nakubali wape ukweli ao wanoko mabisho wanao jifanya kabla kufanywa...💪💪

  • @Djuku_One
    @Djuku_One Год назад +1

    Brother njo basi uwachane na apa 🇨🇩🇨🇩

  • @anosmart..3596
    @anosmart..3596 Год назад +2

    Baba ...Gaaa!.

  • @ismailbakali7375
    @ismailbakali7375 Год назад +4

    Huyu mwamba nakubali sana kaz zake

  • @sadikhassan5211
    @sadikhassan5211 Год назад +3

    Hii imeenda

  • @zachariandama8447
    @zachariandama8447 Год назад +1

    Wanaongezeka machoko mamaeee unyamaaa

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Год назад +4

    Rais wa kitaa...kudadeki...hauna Tako hauna soko..much love from 🇧🇭🇧🇭

  • @suleimanjuma1872
    @suleimanjuma1872 Год назад

    We ndio rais pekee unaweza ongea ukweli mbele ya wananchiiiioi

  • @samweli1995
    @samweli1995 Год назад +47

    It's high time TZ rappers to get recognition AFRIMMA ...moreso Nay Wa Mtego na ROSTAM💯🔥🔥🔥

  • @drysonmafuru1141
    @drysonmafuru1141 Год назад +1

    Shikamooo kaka kweliii 2napungua gentlemen

  • @brianogollah2166
    @brianogollah2166 Год назад +7

    Siku zote, Lejendari!! True Boy being true!!

  • @frankrobert9706
    @frankrobert9706 7 месяцев назад

    The true boy Ney wa mitego aisee naanza kuipenda hiphop kwasababu yako

  • @allenjoelmassawe6810
    @allenjoelmassawe6810 Год назад +1

    Mwamba nakuelewa sana ngoma zako kaza mwamba

  • @siasazaafrikanaburudani1712
    @siasazaafrikanaburudani1712 Год назад +2

    Mkali sana

  • @detlantamarooned1809
    @detlantamarooned1809 Год назад

    Itoshe kusema kwamba huyu Ney ni Mhuni mwenzetu wa kitaa so anatuwakilisha vyema.

  • @politeRobin.
    @politeRobin. Год назад

    Dem mwenye digress aty ako mtaa ila mwenye makalio ndo ako kazi daaah

  • @casmirymusic
    @casmirymusic Год назад +3

    Rais wa kitaa👏👏🇹🇿🇹🇿✍️

  • @bashmenttvkenya.542kviews.9
    @bashmenttvkenya.542kviews.9 Год назад

    From Kenya tumekumbali

  • @davidpeter8099
    @davidpeter8099 Год назад +1

    Hapo kwenye wahuni wote peponi na kutokuwa na mpango wa ndoa tupo pamoja Rais wa kitaa true boy

  • @astongllo725
    @astongllo725 Год назад +4

    Kudadeki zao 🔥🔥🔥🔥😀😀

  • @hagailanda8575
    @hagailanda8575 Год назад

    Namkubali sana Tz huyu ndiye anathubutu kusema ukweli

  • @Frank_Obweezy
    @Frank_Obweezy Год назад +11

    So legit Bro 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @kingyeskingyes2263
      @kingyeskingyes2263 Год назад

      ruclips.net/video/2H7qrULb3qk/видео.html

    • @Conshamusic
      @Conshamusic Год назад

      ruclips.net/video/fu2YcE-E11Y/видео.html

  • @saidilome-ue2df
    @saidilome-ue2df Год назад

    Rap ndo asili ya mziki wa kufikisha ujumbe na sio Rnb kutangaza mapenzi tu.kukemea yanayo lenga jami

  • @alatupaeliassanga5303
    @alatupaeliassanga5303 Год назад +1

    Daaaah umeua mwamba