Nay Wa Mitego - Sijalewa (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Free Nation Proudly presents SIJALEWA by Nay Wa Mitego
    Produced by : Mr LG & GACHI B
    Video Directed by : DEO ABEL
    ENJOY.....

Комментарии • 873

  • @emmanuelelisha6090
    @emmanuelelisha6090 5 лет назад +3

    Stan, kobelo nimewasee kama unakubaliana na mm gonga lky

  • @christophersoty101
    @christophersoty101 5 лет назад +83

    Nimëkuwa WA 51 duh wapi like za Mitego
    True boy umeuwa mzee

  • @franknurudin8456
    @franknurudin8456 5 лет назад +52

    Wee jaamaaa cjui jini kila ngoma kaliii tunataka kusahau shida na unatufanya tusahau shda

  • @wazambulitv5735
    @wazambulitv5735 5 лет назад +3

    likwidiii..pombeka...chiiii...everybody say yeah sijalewa😂 #WazambuliTV @MK_TV

  • @solanuskomba82
    @solanuskomba82 5 лет назад +27

    ..ney wa mitego on treeeeend ✊✊👍..ney namfananisha na 50 cent wa U.S.A kikamandaa zaid..bt again i do appreciates your work ov art.....kama unamkubali ney piga likes zenu mazee 👍

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 5 лет назад +10

    Kwl pombe sio chai true boy umeanza kunichekesha viatu miguun pea tofauti afu kamwli kadogo najiona kam Tyson hahah

  • @zachaa255-eone2
    @zachaa255-eone2 5 лет назад +16

    Mr T Touch naona mmemaliza tofauti zenu,goma liko🔥

  • @KuonGatkuoth
    @KuonGatkuoth 15 дней назад

    Mtu wangu huyoo ...Sema NAY TRUE BOY.
    ATA MTOTO WANGU NINAMITA NAY PIA.

  • @lukambaofficial5541
    @lukambaofficial5541 5 лет назад +210

    Kama umemuona likwidi very bary say yeeee .gonga like apo chin.
    Ila sjalewa

  • @waziriwaziri12
    @waziriwaziri12 4 года назад +5

    Kama umemuona kobero na stan Bakora maneno ya kuambiwa nipeni like from 254.

  • @miyazakitakanabe9225
    @miyazakitakanabe9225 5 лет назад +7

    KAMA UMESHAVUTA VITU VYA "K" anaempiga picha ney,like twende sawa

  • @MtotoEdson
    @MtotoEdson 5 лет назад +43

    Yaan hiii ngoma Kali sema wabongo wakuhtaji nyimbo za mapenz tu awataisupport .but keep going bro never gv up

  • @myroshtz8
    @myroshtz8 5 лет назад +2

    Daaah utabaki juu hili goma nimeliplay mara kumi

  • @kiteboy5834
    @kiteboy5834 5 лет назад +9

    Sijalewa kama ujarewa gonga like twende sawa

  • @jasnafclassic8559
    @jasnafclassic8559 5 лет назад +22

    Mtu wa pili USA naitaji like zenu hpa km unakubali bro Nay mitego

  • @ellybilaly586
    @ellybilaly586 5 лет назад +2

    mamb ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @crispindeleli9300
    @crispindeleli9300 5 лет назад +8

    We kunywa tuu watakubaka
    😂😂😂 ney bhna bonge LA ngomaa

  • @IYANIZZO
    @IYANIZZO 5 лет назад +4

    Nimefurahi Kumwona Rais Wa Walevi Konki Liquid 😂😂🔥🔥

  • @cyborgmatumula650
    @cyborgmatumula650 3 года назад

    DUH NOMA YANI LEO NDIO NAMSIKIA HUYU JAMAA MKALI KILA NYIMBO 100% KWELI BONGO YETU SAFI KEEP GOOD WORK GEEZER BLESS!!! MASSAPALAA!!!!!!!!!!!!

  • @gilmangeorge366
    @gilmangeorge366 5 лет назад +97

    BONGE LA NGOMA NAKUBALI SANA MR NEY💪💪💪watching from CANADA please like KAMA unampenda huyu baba yaga hata kama upo nje ya nchi

  • @peterjulius5923
    @peterjulius5923 5 лет назад

    Sijalewa Ney Hukoseagi kawaida yako Goma zur sana Sijalewa naendelea kutazam

  • @richardmadoshi529
    @richardmadoshi529 5 лет назад +2

    Wee kunywa tu watakubaka!!

  • @cjkamandajumannnejumanne1979
    @cjkamandajumannnejumanne1979 3 года назад +1

    manzese hakuna raisi wala mbunge.......nawewe ndio rais

  • @pendoanthony6402
    @pendoanthony6402 5 лет назад

    Good song ...namuona Mr.piere... Stan huhuhu na kobeloooo safiii kabsa

  • @isackboymanda6041
    @isackboymanda6041 5 лет назад

    we kunywa tu watakuba...Ney forever naomben likes na. mm jaman ili twende sawa

  • @Blacky_Franky
    @Blacky_Franky 5 лет назад +4

    🔥🔥🔥Nay wa Mitego🔥🔥🔥🙌baba yao

  • @chirrakibona4962
    @chirrakibona4962 5 лет назад

    Tujijuhe watu wha Ney jomon Nakukubari brother Ney

  • @tizotouchz
    @tizotouchz 5 лет назад

    Daaaah kakah sikufichi hii ngoma kali sanaaaaaa broo daaaah

  • @mararegiononline3457
    @mararegiononline3457 5 лет назад

    Ngoma ni kaliii, Fundi Ney huishiwi ubunifu. Unaonekana mpya kwenye kila ngoma sio daily mapenzi tu.
    Nakubali uwezo kaka @MTAFYA nakuona mbali sana.... naamini kuna watu wataipenda nyimbo kwa sababu ya kasehemu kadogo ulikopita. Toa nyimbo na wewe sasa usijifanye star soko kwa sasa linahitaji kutoa ngoma back to back ukimya umetosha mzee

  • @dicksonjailo4176
    @dicksonjailo4176 5 лет назад +10

    Kama umemuona piere kachukue mzinga wa konyagi nitakulipia

  • @juliuskazilo574
    @juliuskazilo574 5 лет назад +1

    Ukiimbaga siasa huwa unapatia na kubamba zaidi japo hata hapa napo umebamba

  • @hijakitipa9345
    @hijakitipa9345 5 лет назад +2

    Hapo walevi ndo wenyewe kabisaa

  • @pigapesa1013
    @pigapesa1013 5 лет назад +5

    Mr t tach ndani big up sana Mr ney umoja ni nguvu!

  • @alvinoveen2572
    @alvinoveen2572 5 лет назад +5

    Kawaida Mr nay hajawai niangusha,kubwaaaaaaa gonga like tusonge fire.......

  • @reubzdullahboymusic685
    @reubzdullahboymusic685 5 лет назад +6

    Kama umemuona Mr t touch rusha like yako hapo

  • @vickelangel5502
    @vickelangel5502 5 лет назад

    Ila mr.Nay katuliza sana ivo basi kidogo wenzio wanagonga visogo kwa kuporomosha mizinga kila kuchao.Punguza starehe na urejee kwenye game bado twakuhitaji

  • @hassanmdunguma3168
    @hassanmdunguma3168 5 лет назад

    Ngoma kaliiiiiiiiiii xana... huyu #kobelo chapombo.. kanichekesha sana

  • @majistarmusic8477
    @majistarmusic8477 5 лет назад +5

    Ney WEH SO MTU MZUR ATA KIDOGO IYO NGOMA CHIIII💪💪💪💪

  • @Manfilly
    @Manfilly 5 лет назад

    My man kobelooooooooo chatungiiiii naye hajalewaaaa

  • @focustz4408
    @focustz4408 5 лет назад +5

    💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
    ``` Wewe ni zaidi ya mwanamke bora kwangu, wewe ni kila kitu kwangu. Nakupenda kwa moyo wangu wote.```
    💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞

  • @wilifreddenisbhagolo4261
    @wilifreddenisbhagolo4261 5 лет назад +209

    Kama umemuona kobero wa kwenye maneno ya kuambiwa tujuane hapa

  • @victarterry9217
    @victarterry9217 5 лет назад +1

    Kali sana bro song

  • @shukurukikakale1017
    @shukurukikakale1017 5 лет назад

    Sijalewa hakuna pombe zaburee bhana wekunywaaa tu! Watakubaka""✋✋✋✋☝️👊

  • @clementsapanjo9159
    @clementsapanjo9159 5 лет назад

    nakubali nakubali nakubali mkali wao broo nay

  • @hajikhatib8840
    @hajikhatib8840 5 лет назад +3

    Sawa kaka kitu kingine na box ..unabang!!! ,🔥🔥🔥🔥🔥🔥Nakubali free nation

  • @tembomnyamaOG
    @tembomnyamaOG 5 лет назад +3

    Goma la kwendaaa Hilooo
    🔥🔥🔥

  • @yusuphcosco9851
    @yusuphcosco9851 5 лет назад

    Sijaelewa we ni ngombe kubali sana brother

  • @innovator3659
    @innovator3659 5 лет назад +7

    wanang wote ambao hatujalewa tunagong like hapa✌

  • @saidamsangi6670
    @saidamsangi6670 5 лет назад

    ndonn sasa kawawekeeni kina diamond na sada Ndio wanapenda wakiwa disco ujinga fyuuuuuu

  • @wizzmkandawile1140
    @wizzmkandawile1140 5 лет назад

    kama umemuona t touch akisema pombe hiyoo like hapa kwa producers t touch

  • @leonardgichia6393
    @leonardgichia6393 5 лет назад

    Nay hii ni ngori hadi 254 ndani ushatulewesha sisi bigup unoself

  • @meshkiarie1085
    @meshkiarie1085 5 лет назад +19

    Kitale in the music😂😂😂kila mahali Mlevi watching from Dubai..nice one buddies

  • @superherotv1750
    @superherotv1750 5 лет назад +2

    Wanang ambao hamjalewa mpo wap

  • @ndunguyealex2771
    @ndunguyealex2771 5 лет назад +49

    Kobero na piere 🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kama unawakubali basi gonga like 🙏

    • @simpleboytz255
      @simpleboytz255 5 лет назад +1

      Piere wa kobero au unazingua ebu nambie ukweli huo ananywea baa moja inaitwa liquid pale TEMEKE namfaham

    • @barakakaduma8803
      @barakakaduma8803 5 лет назад +1

      starvevo H Kobelo namkubali saaana 😂😂😂

  • @jmandelax
    @jmandelax 5 лет назад

    Pombe si chai... utalewa vibaya

  • @xmathematics_
    @xmathematics_ 5 лет назад

    km umeona beat imepoa gonga like ...tho Nay kapita fresh BT beat imezdiwa kinoma

  • @kirambojr8526
    @kirambojr8526 5 лет назад +2

    Oya unaamin kama jamaa alilewa gongo zamtaa

  • @Directorhernrypro
    @Directorhernrypro 5 лет назад +1

    cjalewa bhana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @rampaulsen27
    @rampaulsen27 5 лет назад +1

    Nay anajua nn mashabik wanataka

  • @japharyjuma5660
    @japharyjuma5660 5 лет назад

    Hajawahi kuniangusha Ney. Big up

  • @franknurudin8456
    @franknurudin8456 5 лет назад +14

    We kunywa tu watakubaka

  • @kusagaramadhan7045
    @kusagaramadhan7045 5 лет назад

    oy oy cjawahi omba like but naziihitaji leo kama umemuona stani bakola mzee wa totozi hpo cjalewa

  • @jacobmartin6686
    @jacobmartin6686 3 года назад +2

    Naay truuuboy

  • @officalmagoogemagooge5554
    @officalmagoogemagooge5554 5 лет назад

    daaaah ww mkali kwel mzeee baba big up

  • @switchtv9409
    @switchtv9409 5 лет назад

    Dah wajanja kama wote gud sana mzee

  • @eliaslameckdotto8348
    @eliaslameckdotto8348 5 лет назад

    My braza napenda kuskiriza goma zako sanaaaaa nahii imenissmuwa

  • @rahelmilami1271
    @rahelmilami1271 5 лет назад

    wewe ukoseagi kabisa Kembe letu😘👌👌

  • @gaspermnzava6229
    @gaspermnzava6229 5 лет назад

    Ngoma Kali saaaana asiyeielewa ana lake

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 5 лет назад

    saafi saana ngomaa ni kali ile mbayaa kama kawaida ney ukoseagi

  • @davidchavala6611
    @davidchavala6611 5 лет назад +2

    nakubalin mwamba kaliii...

  • @jacksonmipango8984
    @jacksonmipango8984 5 лет назад

    Mr.liquid pierr yuko juu juu mawingunu

  • @tanashadona470
    @tanashadona470 5 лет назад

    HI ngoma ya mwezii ney umetisha sijalewaa

  • @elishajoseph2537
    @elishajoseph2537 5 лет назад

    oyooooo cjalewa Bali ni mzuka pamoja sana

  • @jumamwandoro8586
    @jumamwandoro8586 5 лет назад

    oooooona akilewa aanatapika.......akuna bombe zzza bure

  • @hasanimresi1857
    @hasanimresi1857 4 года назад +1

    Zangu nikinywa sindozinachanganya kabisa😅😂🤣💯

  • @FahadAli-dj4jp
    @FahadAli-dj4jp 5 лет назад +1

    Daaaaa ww nomaa ney

  • @ruffryd3r697
    @ruffryd3r697 4 года назад +1

    Wanawake Maviii tele 😎🍑

  • @edenchulla5663
    @edenchulla5663 5 лет назад +1

    Ambao hatuja lewa likeee Hapa

  • @stopperjvanadiumz
    @stopperjvanadiumz 5 лет назад

    Wewe ndiye mfalume ,watakubaka

  • @johnsonmathias6947
    @johnsonmathias6947 5 лет назад +20

    Nkubli san ...Mzee bba ngoma kqli mpk motoo .💥💥💥💥💥
    #966

  • @hamdanamli2523
    @hamdanamli2523 4 года назад

    Mzee baba we ninoma sana umetisha sana bgup sana

  • @sophiajoyce8689
    @sophiajoyce8689 5 лет назад

    Uko juu ney sijalew habar ya mjin

  • @westonyhallan7163
    @westonyhallan7163 5 лет назад +1

    Ney ww nakufuatilia kila Kona nakukubali xanaa,

  • @emmanuelmassawe1720
    @emmanuelmassawe1720 5 лет назад

    Nakuaminia broo bonge LA ngoma

  • @eliahjunior2402
    @eliahjunior2402 5 лет назад +1

    Nay na Rayvanny ndo hamjawah kosea

  • @zachariambasha1391
    @zachariambasha1391 5 лет назад

    umeuwaaaa Mzee baba #freenation

  • @hamadkhamis9959
    @hamadkhamis9959 5 лет назад +2

    Thijalewa...ndo mana naiangalia mara ya 3 thatha...gonga like twende thawa👍

  • @mtumishihewa7595
    @mtumishihewa7595 5 лет назад +3

    mtu wa kwanza kutoka dodoma ugogoni...nipeni like

  • @mkapaliberatus3636
    @mkapaliberatus3636 5 лет назад

    Bloo w noma sana2 kaz nzr baba yaga

  • @antonnyshadrack4136
    @antonnyshadrack4136 5 лет назад +2

    bonge La Ngomaaaaa

  • @Directorjax55
    @Directorjax55 4 года назад

    Nmeikubali Kali Sana Mr Nay

  • @josephwaigi4754
    @josephwaigi4754 2 года назад

    Qatar unafika poa Nay.good job

  • @bonnysureolkokolaboy4342
    @bonnysureolkokolaboy4342 5 лет назад

    Hii Basata hawatakuzingua Raundi hii Nay ila mi nimeona ngoma hii ni firee

  • @michaeleriksen7274
    @michaeleriksen7274 5 лет назад +1

    Umetisha

  • @jacksonbaba1608
    @jacksonbaba1608 5 лет назад +3

    Yani hapo liquid wamempatia kabisa kama nawe umeona weka like twende sawa!

  • @ushauriwaafyatv8343
    @ushauriwaafyatv8343 5 лет назад +1

    Mzeee Mwenye vichupa vikali kama umeieleewa hii nyimbo sijalewaa likes kwa sana hapa chini

  • @alexenhbclassiq5023
    @alexenhbclassiq5023 5 лет назад +2

    Master nakuja collabo

  • @movietrailers4810
    @movietrailers4810 5 лет назад +1

    Hongera kaka piere liquid fire piga kazi uckate tamaa

  • @jovinuskalunde4326
    @jovinuskalunde4326 5 лет назад

    Oyooooo bonge la joint

  • @gandygandi2740
    @gandygandi2740 5 лет назад

    Oyaaa wangapi wamependa uwepo wa liqdi umu