..ney wa mitego on treeeeend ✊✊👍..ney namfananisha na 50 cent wa U.S.A kikamandaa zaid..bt again i do appreciates your work ov art.....kama unamkubali ney piga likes zenu mazee 👍
Ngoma ni kaliii, Fundi Ney huishiwi ubunifu. Unaonekana mpya kwenye kila ngoma sio daily mapenzi tu. Nakubali uwezo kaka @MTAFYA nakuona mbali sana.... naamini kuna watu wataipenda nyimbo kwa sababu ya kasehemu kadogo ulikopita. Toa nyimbo na wewe sasa usijifanye star soko kwa sasa linahitaji kutoa ngoma back to back ukimya umetosha mzee
Ila mr.Nay katuliza sana ivo basi kidogo wenzio wanagonga visogo kwa kuporomosha mizinga kila kuchao.Punguza starehe na urejee kwenye game bado twakuhitaji
Stan, kobelo nimewasee kama unakubaliana na mm gonga lky
..ney wa mitego on treeeeend ✊✊👍..ney namfananisha na 50 cent wa U.S.A kikamandaa zaid..bt again i do appreciates your work ov art.....kama unamkubali ney piga likes zenu mazee 👍
likwidiii..pombeka...chiiii...everybody say yeah sijalewa😂 #WazambuliTV @MK_TV
Nimëkuwa WA 51 duh wapi like za Mitego
True boy umeuwa mzee
👍👊🤜👏👏👏
sijalewa big up ney wamitego kama unamkubali ney gonga like hapa👍👍
Nc kama una Mkubali nay like apo first
Ney we noma xana ni balaaa hiii kaka kudadadeki ngoma ya club sio ya kinyonge nyonge by Chapa mswat kutoka faraja media and faraja TV znz
Wee jaamaaa cjui jini kila ngoma kaliii tunataka kusahau shida na unatufanya tusahau shda
Fremanson uyo
Hahaaa haki nimecheka etii nini..jinii
@@merryjulius4098 mamb
@@franknurudin8456 pouw
DUH NOMA YANI LEO NDIO NAMSIKIA HUYU JAMAA MKALI KILA NYIMBO 100% KWELI BONGO YETU SAFI KEEP GOOD WORK GEEZER BLESS!!! MASSAPALAA!!!!!!!!!!!!
mamb ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kwl pombe sio chai true boy umeanza kunichekesha viatu miguun pea tofauti afu kamwli kadogo najiona kam Tyson hahah
Daaah utabaki juu hili goma nimeliplay mara kumi
Mr T Touch naona mmemaliza tofauti zenu,goma liko🔥
Sijalewa hakuna pombe zaburee bhana wekunywaaa tu! Watakubaka""✋✋✋✋☝️👊
Daaaah kakah sikufichi hii ngoma kali sanaaaaaa broo daaaah
Tujijuhe watu wha Ney jomon Nakukubari brother Ney
Kama umemuona kobero na stan Bakora maneno ya kuambiwa nipeni like from 254.
huyu jamaa moto sana..much love from +254
We kunywa tuu watakubaka
😂😂😂 ney bhna bonge LA ngomaa
Yaan hiii ngoma Kali sema wabongo wakuhtaji nyimbo za mapenz tu awataisupport .but keep going bro never gv up
Aisee jamaa namkubali sana nyimbo zake za enzi hizi. Anaimba nyimbo bomba na zenye ujumbe na maadili asee
nakubali
Kabisa
jamani hiii noma sana. mimi nimelewa. stanbakora na kobelo kama umemuona tia like hapa, Mfalme wa RAP NAY kama alivokuwa anamuita mpenzi wake muhindi
Kama umemuona likwidi very bary say yeeee .gonga like apo chin.
Ila sjalewa
Big up
Kama unamueleawa ney wamite naomba like
lukamba official sahihiik
lukamba official yeeeeee
lukamba vany mkola nipo arush msani nahitaji sapot kW dungu namarafi vany mkola kiki
Ngoma ni kaliii, Fundi Ney huishiwi ubunifu. Unaonekana mpya kwenye kila ngoma sio daily mapenzi tu.
Nakubali uwezo kaka @MTAFYA nakuona mbali sana.... naamini kuna watu wataipenda nyimbo kwa sababu ya kasehemu kadogo ulikopita. Toa nyimbo na wewe sasa usijifanye star soko kwa sasa linahitaji kutoa ngoma back to back ukimya umetosha mzee
Good song ...namuona Mr.piere... Stan huhuhu na kobeloooo safiii kabsa
Ngoma kaliiiiiiiiiii xana... huyu #kobelo chapombo.. kanichekesha sana
🔥🔥🔥Nay wa Mitego🔥🔥🔥🙌baba yao
My man kobelooooooooo chatungiiiii naye hajalewaaaa
BONGE LA NGOMA NAKUBALI SANA MR NEY💪💪💪watching from CANADA please like KAMA unampenda huyu baba yaga hata kama upo nje ya nchi
Exactly Sabiti Hasan💪💪💪
Wee kunywa tu watakubaka!!
Kama umemuona Mr T kama mimi like hapa
Naay truuuboy
Sijalewa kama ujarewa gonga like twende sawa
🔥🔥🔥
Mr t tach ndani big up sana Mr ney umoja ni nguvu!
Sawa kaka kitu kingine na box ..unabang!!! ,🔥🔥🔥🔥🔥🔥Nakubali free nation
Goma la kwendaaa Hilooo
🔥🔥🔥
Sijalewa Ney Hukoseagi kawaida yako Goma zur sana Sijalewa naendelea kutazam
oooooona akilewa aanatapika.......akuna bombe zzza bure
KAMA UMESHAVUTA VITU VYA "K" anaempiga picha ney,like twende sawa
Daaaaa ww nomaa ney
Kawaida Mr nay hajawai niangusha,kubwaaaaaaa gonga like tusonge fire.......
Ney WEH SO MTU MZUR ATA KIDOGO IYO NGOMA CHIIII💪💪💪💪
💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
``` Wewe ni zaidi ya mwanamke bora kwangu, wewe ni kila kitu kwangu. Nakupenda kwa moyo wangu wote.```
💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Bonge la ngoma congratulations true boy
Nimefurahi Kumwona Rais Wa Walevi Konki Liquid 😂😂🔥🔥
Kitale in the music😂😂😂kila mahali Mlevi watching from Dubai..nice one buddies
Kitale too here
Nani Ka mwaga pombe yangu
Hapo walevi ndo wenyewe kabisaa
we kunywa tu watakuba...Ney forever naomben likes na. mm jaman ili twende sawa
Qatar unafika poa Nay.good job
Ambao hatuja lewa likeee Hapa
Ggoma Kali , from KE🔥🔥 , Like Twende woteee !!!
Bloo w noma sana2 kaz nzr baba yaga
Hongera kaka piere liquid fire piga kazi uckate tamaa
bonge La Ngomaaaaa
Ila mr.Nay katuliza sana ivo basi kidogo wenzio wanagonga visogo kwa kuporomosha mizinga kila kuchao.Punguza starehe na urejee kwenye game bado twakuhitaji
daaaah ww mkali kwel mzeee baba big up
Mtu wa pili USA naitaji like zenu hpa km unakubali bro Nay mitego
Seemu gani Mi Niko Nashville TN
@@Officialmasaikhan Mimi nipo Nashville TN stonebrook
Saf san ngoma kali 💗❤
cjalewa bhana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Umeashia video kali sana hii nikali sana
Awesome song. Just when I was sipping my Hennessy
Oyooooo bonge la joint
Daaah Nice song 😍😍sijalewa 😍😍 I like this song
Ngali kali kinyamaaaaaaa respect sana
ndonn sasa kawawekeeni kina diamond na sada Ndio wanapenda wakiwa disco ujinga fyuuuuuu
Kali mzee pia hongera kwa kurudisha ukaribu wako na t touch
Jicho la fukunyuku limefukunyua hadi alikoonekana Mr T touch
saafi saana ngomaa ni kali ile mbayaa kama kawaida ney ukoseagi
nan kamuona kobelo wakwenye maneno yakuambiwa gonga like twende sawa sema kawimbo ni kazurii haka jaman sijalewa
Bonge la Goma...sema Kobelooooooooo 😁😁
Wamemsahau masele pia..kideo kizuri😁😁kobelo kila nikikuangalia nchk mwenyew,maan mlevi ww hunaga nguvu
nakubalin mwamba kaliii...
Bala sana, huyoo ndo nay wa mitego.
mwenyewe ngoma inavyonichoma ukiniona HATA Sijalewa
ngonga like tulewe too hakuna wakutubaka
Nay na Stamina ni beasts 🔥🔥
Nay hii ni ngori hadi 254 ndani ushatulewesha sisi bigup unoself
Thijalewa...ndo mana naiangalia mara ya 3 thatha...gonga like twende thawa👍
nakubali nakubali nakubali mkali wao broo nay
Good idea ya video Mr ney👏👏
Hatari 🔥 ndan, kobero, stani wote wazeee WA gambe #sijalewa Mr #nay wa mitego
Hajawahi kuniangusha Ney. Big up
Yani hapo liquid wamempatia kabisa kama nawe umeona weka like twende sawa!
Wa maneno ya kuambiwa km umewahesabu km mm twende sote
Kali sana bro song
Top top Nay💥
*Big Love From Uk*
My braza napenda kuskiriza goma zako sanaaaaa nahii imenissmuwa
I'm from USA. Yaani sijui kiswahili kabisa. Ila hili ni bonge la ngoma.💥💥💥
yaaan kama unanisema kweli SIJALEWA imebamba kinouma,kama umemkubali huyu MTU gonga like tulisongeshe
umeuwaaaa Mzee baba #freenation
ngoma konki sana shareup broo
Nmeikubali Kali Sana Mr Nay
wewe ukoseagi kabisa Kembe letu😘👌👌
Everybody say yeeeeeeeee!!!!
Liquidii
KamandaAaah Nakubar Ankor
Ngoma nikali Sana big up nay wa mitego
Nakubl sana broh ukosei👊👊
Nay am your big fan from Kenya..big up tz
oy oy cjawahi omba like but naziihitaji leo kama umemuona stani bakola mzee wa totozi hpo cjalewa
Sijaelewa we ni ngombe kubali sana brother
Ngoma Kali saaaana asiyeielewa ana lake
Dah wajanja kama wote gud sana mzee
manzese hakuna raisi wala mbunge.......nawewe ndio rais
NAY! NAY! NAY! ww! ukiendelea ivi utafanya tuache kusikiliza miziki ya watu wengine