..ney wa mitego on treeeeend ✊✊👍..ney namfananisha na 50 cent wa U.S.A kikamandaa zaid..bt again i do appreciates your work ov art.....kama unamkubali ney piga likes zenu mazee 👍
Ngoma ni kaliii, Fundi Ney huishiwi ubunifu. Unaonekana mpya kwenye kila ngoma sio daily mapenzi tu. Nakubali uwezo kaka @MTAFYA nakuona mbali sana.... naamini kuna watu wataipenda nyimbo kwa sababu ya kasehemu kadogo ulikopita. Toa nyimbo na wewe sasa usijifanye star soko kwa sasa linahitaji kutoa ngoma back to back ukimya umetosha mzee
Ila mr.Nay katuliza sana ivo basi kidogo wenzio wanagonga visogo kwa kuporomosha mizinga kila kuchao.Punguza starehe na urejee kwenye game bado twakuhitaji
Stan, kobelo nimewasee kama unakubaliana na mm gonga lky
Nimëkuwa WA 51 duh wapi like za Mitego
True boy umeuwa mzee
👍👊🤜👏👏👏
Wee jaamaaa cjui jini kila ngoma kaliii tunataka kusahau shida na unatufanya tusahau shda
Fremanson uyo
Hahaaa haki nimecheka etii nini..jinii
@@merryjulius4098 mamb
@@franknurudin8456 pouw
likwidiii..pombeka...chiiii...everybody say yeah sijalewa😂 #WazambuliTV @MK_TV
..ney wa mitego on treeeeend ✊✊👍..ney namfananisha na 50 cent wa U.S.A kikamandaa zaid..bt again i do appreciates your work ov art.....kama unamkubali ney piga likes zenu mazee 👍
Kwl pombe sio chai true boy umeanza kunichekesha viatu miguun pea tofauti afu kamwli kadogo najiona kam Tyson hahah
Mr T Touch naona mmemaliza tofauti zenu,goma liko🔥
Mtu wangu huyoo ...Sema NAY TRUE BOY.
ATA MTOTO WANGU NINAMITA NAY PIA.
Kama umemuona likwidi very bary say yeeee .gonga like apo chin.
Ila sjalewa
Big up
Kama unamueleawa ney wamite naomba like
lukamba official sahihiik
lukamba official yeeeeee
lukamba vany mkola nipo arush msani nahitaji sapot kW dungu namarafi vany mkola kiki
Kama umemuona kobero na stan Bakora maneno ya kuambiwa nipeni like from 254.
KAMA UMESHAVUTA VITU VYA "K" anaempiga picha ney,like twende sawa
Yaan hiii ngoma Kali sema wabongo wakuhtaji nyimbo za mapenz tu awataisupport .but keep going bro never gv up
Aisee jamaa namkubali sana nyimbo zake za enzi hizi. Anaimba nyimbo bomba na zenye ujumbe na maadili asee
nakubali
Kabisa
Daaah utabaki juu hili goma nimeliplay mara kumi
Sijalewa kama ujarewa gonga like twende sawa
Mtu wa pili USA naitaji like zenu hpa km unakubali bro Nay mitego
Seemu gani Mi Niko Nashville TN
@@Officialmasaikhan Mimi nipo Nashville TN stonebrook
mamb ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
We kunywa tuu watakubaka
😂😂😂 ney bhna bonge LA ngomaa
Nimefurahi Kumwona Rais Wa Walevi Konki Liquid 😂😂🔥🔥
DUH NOMA YANI LEO NDIO NAMSIKIA HUYU JAMAA MKALI KILA NYIMBO 100% KWELI BONGO YETU SAFI KEEP GOOD WORK GEEZER BLESS!!! MASSAPALAA!!!!!!!!!!!!
BONGE LA NGOMA NAKUBALI SANA MR NEY💪💪💪watching from CANADA please like KAMA unampenda huyu baba yaga hata kama upo nje ya nchi
Exactly Sabiti Hasan💪💪💪
Sijalewa Ney Hukoseagi kawaida yako Goma zur sana Sijalewa naendelea kutazam
Wee kunywa tu watakubaka!!
manzese hakuna raisi wala mbunge.......nawewe ndio rais
Good song ...namuona Mr.piere... Stan huhuhu na kobeloooo safiii kabsa
we kunywa tu watakuba...Ney forever naomben likes na. mm jaman ili twende sawa
🔥🔥🔥Nay wa Mitego🔥🔥🔥🙌baba yao
Tujijuhe watu wha Ney jomon Nakukubari brother Ney
Daaaah kakah sikufichi hii ngoma kali sanaaaaaa broo daaaah
Ngoma ni kaliii, Fundi Ney huishiwi ubunifu. Unaonekana mpya kwenye kila ngoma sio daily mapenzi tu.
Nakubali uwezo kaka @MTAFYA nakuona mbali sana.... naamini kuna watu wataipenda nyimbo kwa sababu ya kasehemu kadogo ulikopita. Toa nyimbo na wewe sasa usijifanye star soko kwa sasa linahitaji kutoa ngoma back to back ukimya umetosha mzee
Kama umemuona piere kachukue mzinga wa konyagi nitakulipia
Ukiimbaga siasa huwa unapatia na kubamba zaidi japo hata hapa napo umebamba
Hapo walevi ndo wenyewe kabisaa
Mr t tach ndani big up sana Mr ney umoja ni nguvu!
Kawaida Mr nay hajawai niangusha,kubwaaaaaaa gonga like tusonge fire.......
Kama umemuona Mr t touch rusha like yako hapo
Ila mr.Nay katuliza sana ivo basi kidogo wenzio wanagonga visogo kwa kuporomosha mizinga kila kuchao.Punguza starehe na urejee kwenye game bado twakuhitaji
Ngoma kaliiiiiiiiiii xana... huyu #kobelo chapombo.. kanichekesha sana
Ney WEH SO MTU MZUR ATA KIDOGO IYO NGOMA CHIIII💪💪💪💪
My man kobelooooooooo chatungiiiii naye hajalewaaaa
💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
``` Wewe ni zaidi ya mwanamke bora kwangu, wewe ni kila kitu kwangu. Nakupenda kwa moyo wangu wote.```
💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Kama umemuona kobero wa kwenye maneno ya kuambiwa tujuane hapa
😂😁
Kobelo mlevi sana hahah anapenda sana
umeniwahi kukomenti ivo
Na Stan siumemuona
hahaha walimptia kwel
Kali sana bro song
Sijalewa hakuna pombe zaburee bhana wekunywaaa tu! Watakubaka""✋✋✋✋☝️👊
nakubali nakubali nakubali mkali wao broo nay
Sawa kaka kitu kingine na box ..unabang!!! ,🔥🔥🔥🔥🔥🔥Nakubali free nation
Goma la kwendaaa Hilooo
🔥🔥🔥
Sijaelewa we ni ngombe kubali sana brother
wanang wote ambao hatujalewa tunagong like hapa✌
ndonn sasa kawawekeeni kina diamond na sada Ndio wanapenda wakiwa disco ujinga fyuuuuuu
kama umemuona t touch akisema pombe hiyoo like hapa kwa producers t touch
Nay hii ni ngori hadi 254 ndani ushatulewesha sisi bigup unoself
Kitale in the music😂😂😂kila mahali Mlevi watching from Dubai..nice one buddies
Kitale too here
Nani Ka mwaga pombe yangu
Wanang ambao hamjalewa mpo wap
Kobero na piere 🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kama unawakubali basi gonga like 🙏
Piere wa kobero au unazingua ebu nambie ukweli huo ananywea baa moja inaitwa liquid pale TEMEKE namfaham
starvevo H Kobelo namkubali saaana 😂😂😂
Pombe si chai... utalewa vibaya
km umeona beat imepoa gonga like ...tho Nay kapita fresh BT beat imezdiwa kinoma
Oya unaamin kama jamaa alilewa gongo zamtaa
cjalewa bhana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nay anajua nn mashabik wanataka
Hajawahi kuniangusha Ney. Big up
We kunywa tu watakubaka
Frank nurudin😂😂😂😂😂
oy oy cjawahi omba like but naziihitaji leo kama umemuona stani bakola mzee wa totozi hpo cjalewa
Naay truuuboy
daaaah ww mkali kwel mzeee baba big up
Dah wajanja kama wote gud sana mzee
My braza napenda kuskiriza goma zako sanaaaaa nahii imenissmuwa
wewe ukoseagi kabisa Kembe letu😘👌👌
Ngoma Kali saaaana asiyeielewa ana lake
saafi saana ngomaa ni kali ile mbayaa kama kawaida ney ukoseagi
nakubalin mwamba kaliii...
Mr.liquid pierr yuko juu juu mawingunu
HI ngoma ya mwezii ney umetisha sijalewaa
oyooooo cjalewa Bali ni mzuka pamoja sana
oooooona akilewa aanatapika.......akuna bombe zzza bure
Zangu nikinywa sindozinachanganya kabisa😅😂🤣💯
Daaaaa ww nomaa ney
Wanawake Maviii tele 😎🍑
Ambao hatuja lewa likeee Hapa
Wewe ndiye mfalume ,watakubaka
Nkubli san ...Mzee bba ngoma kqli mpk motoo .💥💥💥💥💥
#966
Mzik umebadilika saana blazaaa....sio kama wa mwanzo
Tatizo nini...Basata au!!!!.?
Johnsonp Mathias
Mzee baba we ninoma sana umetisha sana bgup sana
Uko juu ney sijalew habar ya mjin
Ney ww nakufuatilia kila Kona nakukubali xanaa,
Nakukubali
Nakuaminia broo bonge LA ngoma
Nay na Rayvanny ndo hamjawah kosea
umeuwaaaa Mzee baba #freenation
Thijalewa...ndo mana naiangalia mara ya 3 thatha...gonga like twende thawa👍
mtu wa kwanza kutoka dodoma ugogoni...nipeni like
Bloo w noma sana2 kaz nzr baba yaga
bonge La Ngomaaaaa
Nmeikubali Kali Sana Mr Nay
Qatar unafika poa Nay.good job
Hii Basata hawatakuzingua Raundi hii Nay ila mi nimeona ngoma hii ni firee
Umetisha
Yani hapo liquid wamempatia kabisa kama nawe umeona weka like twende sawa!
Mzeee Mwenye vichupa vikali kama umeieleewa hii nyimbo sijalewaa likes kwa sana hapa chini
Master nakuja collabo
Hongera kaka piere liquid fire piga kazi uckate tamaa
Oyooooo bonge la joint
Oyaaa wangapi wamependa uwepo wa liqdi umu