Nakukubali sana Mnyamwezi the true boy. Sema huja fail sana hapa kwenye iphone na gari iko hivi: 1. Hey siri play Mikono juu video on RUclips 2. Mercedes Benz
hahahaa jonijoo bana mkali sanaa....leo umekuja na historia ya ringtone ya nokia..kwel wahuni sio watu wazuri hawaogopi kufa wanaogopa wakitangulia watawamiss wanae
Nan ambaye anaxoma comment huku anaangalia video as like me
🙌
Jackson Brandan diamond
Leo Ndo Leo Wazee Wa Kazi Twende Wote Tuwe Saw
*Kama unamkubali jonijoo gonga like hapa* 🔥
Mhuni haogopi kufa anaogopa kutangulia coz atawamis wana hahahaha
MREMA MLOWE lkn midavuu Sasa mmmhhh
MREMA MLOWE nomaa
Fiesta
Nice
kama wamkubali ney gonga like apaaaaaaa
ujawai niangusha siku zote hupo 👌👌
aise kiatu kikizidi 50000/= sinunui bora umesema ukweli tu 😂😂😂😂😂😂
Mangi wa ukweli
Hongera nimeona tangazo, keep fighting wahuni tunatoboa!
Kama unamkubali jonijoo gongA like twende sawa
Muun hAogop kufA... Ila anAogopa aktanguliA ata WaachA wAnawe... 🔥 🔥 🔥
jonijooo,, Safi kazi yako broo
Nay much love frm kenya😍😍
*bonge la show namkubalii sana jonijooo kama unamkubali gonga like twende sawa*
libahili sana hili liney hata gigy alimpa 20 kwa kua tu mwamke
Muhuni haogopi kufa.. Anaogopa kutangulia atawamiss wanaweee😆😆😆😆😆😆jonijoo ooooh penda sana ❤ wewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@safikisubi3592 ok
Vzr broo
Wahuni sio watu.... Weka like twende sawa
Love his confidence 💜💜💜
daaah sema namkubali kama wampenda pia gonga like
Safiiii jamon umenikosha jonijoo kumuoji uyo nay
From +257,Burundi gonga like kama unamkubali Jonijooo
Ntawurusiga Japhet noma sana
Huendi kanisani coz shetani kakukamata ndani ya imaya yako pole San Nay,mrudie mungu wako ww:::::
Sio shetan kamkamata kwenda kanisan Ni maamuz ya mty
@@amlynn4454 maamuzi yapi ni shetani anakupa ujasiri
Shetani anaishi kanisani sikuizi ndo mana Nay aendi kanisani.
siku hizi hupendi kunyonya embe unapenda kunyonya nyuuuuu nyoko zako ney wa mitego jinga kweli hili😀😀😀😀😁😁😁😁
Matonya
umetisha ney
Mkali wa interview
you're the best Mr Jonijoo...
nay freemason Walikugeuka!!
+666💥💥true boy👍👍👍
wahuni siyo wa2 wazuli
Nampenda ney vibaya bro
Mzee baba unaswagisha kinoma🤘🏼🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Omg hichi kingereza daaah nimecheka sana 😃😃😃😃😃 afu usiku
Big up true boy
Imetulia!!! Ya pili kunivutia baada ya Roma.
Haujaenda mbaal saana mzee baba, Umekosea es tu!!! Mercedes Benz.
Noma noma xana mzebaba ufananixhwi na yeyote yule japo wanaiga tandale amna viatu va elfu 50 ww
Nakubal jonijooo naomba ututaftiye (YOUNG KILLER)Plzz bro
Babakeeee leo umenitouch na ka nokia kangu daaaaah....
🙆🙆🙆🙆
mzeebaba introduction iko vzr sn big up xanaaa @jonijooo.
Muuni aogopi kufa anaogopa kutangulia atawa miss wanae 🙌 balaa iyo 😂😂😂😂🤣🤣
😀😀😀😀
Muuni ahogopi kufa wew anaogopa akifa ata tangulia ata wa miss wenzie.
Bro Jonijooo uko live sana bro,one day yes
Upo vizur kwenye history
Nilikua naisubiri sana hii interview
Dogo ameongea ukweli 👟 haizidi shilling elfu 50
Kwenye via2 true boy nimekubali
Sema tuu ulichedha tatu mdhuka😋😋😋😋😋😋😋
,😂😂😂ila jonijoo kusema ukweli nakupendaga
Hajatumia Mercedes benz uongo mbaya..
Much love from kenya huna majigambo
aiseee sijatoka kapa hapa hongera Jonijoooo
yes i love brothe ney je t'aime mon frère
Helckas from Congo Drc
Nakukubali saana bro kama unamkubali joni jooo gonga like
Aaa jonijooo i love u
Nakubal kaz yako
Nay namkubali ..alikuja hku kwetu daaah jamaa haish kistaa kabisa yani yko peace kinoma
Sababu yakuto kwenda church daaaa ila nakubali Sana brother angu
wauni ni waelewa sana hehehe umeaza vizuuri tu
Kwa nini Nay wa Mitego haji kupiga MUZIKI ABROAD. ?"😃
resty Mlale kabisa
Dah!! We jamaa fundi sanaaaa
Nakukubali sana Mnyamwezi the true boy.
Sema huja fail sana hapa kwenye iphone na gari iko hivi:
1. Hey siri play Mikono juu video on RUclips
2. Mercedes Benz
Emmanuel Zao jamaa yuko real..Safi sana
Mimi jonijooo unachonimaliza ni hayo maintro ya mwanzo kuhusu hawa watu
Duuu/ kingerez Cha mazeseee kudadadeki kumbe Kuna tofauti kingereza Cha mazeseee na buguruni au posta au kinondoni
Wakwanza kucomment n like. Kaa kitaalamu weweee
Jonijooo nakukubali sanaa mwanaaa uko vizurii miaka mia nanee mzee babaa #Keep it real bro 👊
Safi sana mzee baba nakukubali kinoma #JONIJOOO
Wahuni si watu wazuri
eti diamond aliona apite uko uko
Makinda kinda jonijoo nakubari sna Kaz yko
Ase nay wamitego good sana
Ahsante sn
nafanya mziki wa hela na dunia inajuwa hilo😀😀😀😅😂😁😁
ney nakukubali sana
Bro nakukubali xn hiki kipindi kipo vzr xn
Jonijoo Babako!!!! I Love Your Introdution Man 🙌🏽♥️🇰🇪♥️
#Wahuni Sio Watu Wazuri.
#PiGaLockiNene.
Hapo kwa 966 nimependa cz am watching from +966 saudia
#Wahuni_sio_watu_wazuri
NIMEKUELEWAAA
Please Nay Wa mitego tunakungodja marekani kudja piga show true boy uko na ma fun wengi sanaaa
Hatareeeeee Jonijoooo 🤘🏿🤘🏿🤘🏿
Nakubali wa mitego 966#
Hata leo narudi kusikiliza Hii show. Jonijoo #
Salute Mzee 💥🔥🙌👊
Kizazi saana jonijoo Nakubali saana mzee baba
Wema meigiza marehehu Steven kanumba siyo ameigiza nakanumba bcz kanumba haiko duniani kwasasaivi nima rehemu mzeh baba.
hahahaa jonijoo bana mkali sanaa....leo umekuja na historia ya ringtone ya nokia..kwel wahuni sio watu wazuri hawaogopi kufa wanaogopa wakitangulia watawamiss wanae
Dogo Dongo Hahahaaa umenifurahisha
Dogo Dongo
Dogo Dongo poa
Hatari san
Dogo Dongo m
maick ziwe mbili broo kuna muda mnapishana maongezi na unaefanya nae interview
Jonijo unyoe ndevu sikumoj utapendez san
Jonijooo nakufatiliaa
Kwan nan ajui kua jonijjo n baba aoo🔥🔥
Gonga like 2tembee
Hii hapa kali nyingine Jonijooo mtu mbaya
nice broo
pamoja ney
Kaka nakukubaliiii sanaaaaa
Interview yakijanja sana true boy, good job *Jonijooo*
Nimeipenda Interview.... Mtangazaji anauliza maswali yenye akili na hekima mnoo.... BIG UP BRO.
Hapendi kunyonya embe
jonijooooo😯nakubal mzee baba
Joni jooo unatsha mwamba
Joni mwanangu wewe noma kbs wambie wandiki kweli kingereza hawajuwi kbs
Ez
But Ney nilisikia ana kanisa au vipi?
Jonijooo uko mkali sana kwama swali
Kama Kawa jonijooo.........wahuni sio watu wazuri bunduki kwenda rase sio
Nay hajavuta sigara Wala Bangi...
Jonijooo tunawashaaa bg up boy
wow kichina utajua tuu.
nmependa hyo kwamba ney unakula chochote kwel wew ni true boy
Hata ukimpost yesu watasema we boya tu
Nimekusoma