Hapo naona Fursa ya kununua Viwanja mapema sana katika hizo Barabara. Ntashangaa sana kuona Vijana tunaenda kununua Viwanja Jiji la Dar es Salaam kwa bei ya Gharama kubwa na kuacha Viwanja vya Bei Nafuu katika Jiji la Dodoma. Tanzania Imara Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
Huu mradi ulikuwa Wa magufuli, Ni ring roads but nashukuru Sana Mama Samia anakutelekeza vizuri pongi kwake mama tunashukuru Sana unatujali Wana dodoma
Halafu mseme mama hafanyi kazi miradi imesimama yaani sisi watanzania hatuna shukrani tumejawa na chuki udini ukanda na ukabila ndio kinacho tutafuna!!! Mama samia piga kazi acha wapumbavu walalamike watakuelewa tu
Bora umelioma Ni kwamba mama Hana majigambo, imagine Ni mradi aliplan magufuli alafu mama kaja kuutekeleza kuanzia mwazo mpaka itaisha kama Mungu akipenda.
hii ni miradi ya JPM so huyu yeye akamilisha tu malengo na mikakati aliotuachia sasa hapo machawa watasema mama kaupiga mwingi upi unajiuliza kipi ambacho kafanya kipya zaidi tu kukamilisha yale aliyoyaacha mpendwa wetu
@@venancemiyeji6804 kwahiyo Mama SAMIA ilikuwa aipuuze hiyo miradi asiiendeleze ili serikali ipate hasara! Halafu hii si miradi ya mtu binafsi bali ni miradi ya serikali.Rais yoyote yule alieko madarakani ndio msimamizi wa mambo ya nchi na ni jukumu lake kufanya hivyo.
Bunge litunge sheria kuzuia kuifuata balabala kujenga nyumba karibu na balala hio kujenga iwe mita 500 kutoka wa balabala isiwe Kama Arusha by pas load na maeneo mengine
Hiv jaman toka tulipoanza kujenga barabara toka tulipopata uhuru ni kwamba bado wasomi wetu hawaja jifunza jinsi ya kujenga hizi barabara, iweje kila siku katika miradi hii ambayo ni ya kawida wanapewa wageni, kama tatizo ni mitambo ni kwanini serikali isinunue mitambo yake ikawapa mainjinia wetu, yaan iwe kampuni mfano Tanzania civil engineering kama ilivo China civil engineering, ili miradi yote ya barabara, majengo, madaraja, viwanja vya ndege, mabwawa ya umeme ipewe iyo kampuni ya tanzania ili kupunguza utegemezi wa mafundi toka nje, na gharama pia lakini pia kutoa ajira kwa watu wetu
Hizo Ni barabara Kwa ajiri YA magari makubwa Na Sio magari madogo, magari yanayotoka Dar, moro, kwenda singida, au Arusha n.k hayakuwa yanapita katikati YA mji Bali Kupitia hizo barabara ili kuepusha msongamano Wa magari Na ajali
Asante mama yetu, Mhe dk Samia Rais wetu, mungu akutunze sana
Mwenyezi azid kumpa nguvu,afya na umri mrefu Rais wetu SSH
Hapo naona Fursa ya kununua Viwanja mapema sana katika hizo Barabara. Ntashangaa sana kuona Vijana tunaenda kununua Viwanja Jiji la Dar es Salaam kwa bei ya Gharama kubwa na kuacha Viwanja vya Bei Nafuu katika Jiji la Dodoma. Tanzania Imara Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
Great point 🇹🇿🇹🇿
Hahahahaha
Huu mradi ulikuwa Wa magufuli, Ni ring roads but nashukuru Sana Mama Samia anakutelekeza vizuri pongi kwake mama tunashukuru Sana unatujali Wana dodoma
Barbara safi na imara Dodoma very good
Asante mama,ww ni shujaa Mungu azidi kukuongoza vema siku moja utupatie kadi za bank tukadownload mafao yetu tuliyochuma pamoja
Sisi watu wa Dodoma tunajivunia wewe, Kwa kutujali tulipokuwa tumesahauliwa, mungu akukumbuke na kizazi chako
Hujielewi wewe 😃
Great job hivi ndo tunataka makao makuu ya nchi lazima yawe mfano kwa Tanzania
Asante sana mh samia unafanya vzr sana na utaushangaza ulimwengu.
Halafu mseme mama hafanyi kazi miradi imesimama yaani sisi watanzania hatuna shukrani tumejawa na chuki udini ukanda na ukabila ndio kinacho tutafuna!!! Mama samia piga kazi acha wapumbavu walalamike watakuelewa tu
Huku mtandaoni tunasema hakuna kinachoendelea. Kila kitu kimesimama! Sisi TZ tulio wengi ni WACHAWI!
Bora umelioma Ni kwamba mama Hana majigambo, imagine Ni mradi aliplan magufuli alafu mama kaja kuutekeleza kuanzia mwazo mpaka itaisha kama Mungu akipenda.
@@paschazianestorymatunda6490 Kwa kweli!
Shukran sana mama na samiha
Hakikisheni mnaimaliza hiyo kazi kwa wakati uliopangwa;
Tuna kazi nayo sana hiyo barabara
Thanks Magufuli
Tunaisubiri kwa hamu sana sisi wa matumbulu
Feature ya mwenye maono ya Makao Makuu kuhamia Dodoma na aliye thubutu kuhamisha Makao Makuu Dodoma
hii ni miradi ya JPM so huyu yeye akamilisha tu malengo na mikakati aliotuachia sasa hapo machawa watasema mama kaupiga mwingi upi unajiuliza kipi ambacho kafanya kipya zaidi tu kukamilisha yale aliyoyaacha mpendwa wetu
@@venancemiyeji6804 kwahiyo Mama SAMIA ilikuwa aipuuze hiyo miradi asiiendeleze ili serikali ipate hasara!
Halafu hii si miradi ya mtu binafsi bali ni miradi ya serikali.Rais yoyote yule alieko madarakani ndio msimamizi wa mambo ya nchi na ni jukumu lake kufanya hivyo.
Muwe makini na wezi wa matilio mata, nondo,cement hao ndo wanaulidisha mladi nyuma
Ni wajibu kidini kwa viongozi kuwa WAAMINIFU na waadilifu kwa raia wao na nchi zao.
Hivi tz hatuna kampuni za ujenzi za tanzania?
Mnafanya vizuri ila natamani kama serikali ingekuwa serious sana kwenye uwekezaji mkubwa kwenye kilimo cha umwagiliaji na baadaye viwanda.
Kwanza tuache kutumia viambata sumu katika kilimo hiyo ndo sera YA msingi alafu ndo mengine yafuate.
Bunge litunge sheria kuzuia kuifuata balabala kujenga nyumba karibu na balala hio kujenga iwe mita 500 kutoka wa balabala isiwe Kama Arusha by pas load na maeneo mengine
Hiv jaman toka tulipoanza kujenga barabara toka tulipopata uhuru ni kwamba bado wasomi wetu hawaja jifunza jinsi ya kujenga hizi barabara, iweje kila siku katika miradi hii ambayo ni ya kawida wanapewa wageni, kama tatizo ni mitambo ni kwanini serikali isinunue mitambo yake ikawapa mainjinia wetu, yaan iwe kampuni mfano Tanzania civil engineering kama ilivo China civil engineering, ili miradi yote ya barabara, majengo, madaraja, viwanja vya ndege, mabwawa ya umeme ipewe iyo kampuni ya tanzania ili kupunguza utegemezi wa mafundi toka nje, na gharama pia lakini pia kutoa ajira kwa watu wetu
Wengi wakijenga wanalipua kipindi cha magufuli alijaribu Sana kuwapa Ila wengi walikuwa Wana lipua. Barabara.
HII inawezekana ikawa barabara ya njia nane...😄
Isijekua amesaini mikataba tuu mashoga wakawa wengi
Cha kushangaza utakuta wanajenga single hiyo barabara baada ya kujenga za kupishana kutokana na ongezeko la watu na matumizi ya barabara
Na mitaro yao wazi yajaa takataka bila drainages mvua zikinyesha barabara na shamba hamna utofauti
Umeangalia vizuri huo upana wa barabara haiwezekani 2lane iwe hivyo hio ni 4lane mbili kwenda mbili kurudi
Hizo Ni barabara Kwa ajiri YA magari makubwa Na Sio magari madogo, magari yanayotoka Dar, moro, kwenda singida, au Arusha n.k hayakuwa yanapita katikati YA mji Bali Kupitia hizo barabara ili kuepusha msongamano Wa magari Na ajali
Shida mchina tu