VIDEO: TAZAMA BARABARA INAYOZUNGUKA DODOMA PANDE ZOTE NNE YA BILIONI 194

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2023

Комментарии • 38

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 Год назад +8

    Asante mama yetu, Mhe dk Samia Rais wetu, mungu akutunze sana

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Год назад +6

    Mwenyezi azid kumpa nguvu,afya na umri mrefu Rais wetu SSH

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Год назад +6

    Hapo naona Fursa ya kununua Viwanja mapema sana katika hizo Barabara. Ntashangaa sana kuona Vijana tunaenda kununua Viwanja Jiji la Dar es Salaam kwa bei ya Gharama kubwa na kuacha Viwanja vya Bei Nafuu katika Jiji la Dodoma. Tanzania Imara Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿

    • @kelvinmoses5232
      @kelvinmoses5232 Год назад +1

      Great point 🇹🇿🇹🇿

    • @saidihussein6718
      @saidihussein6718 Год назад

      Hahahahaha

    • @paschazianestorymatunda6490
      @paschazianestorymatunda6490 9 месяцев назад +1

      Huu mradi ulikuwa Wa magufuli, Ni ring roads but nashukuru Sana Mama Samia anakutelekeza vizuri pongi kwake mama tunashukuru Sana unatujali Wana dodoma

  • @user-tv8ub4fk5i
    @user-tv8ub4fk5i 7 месяцев назад +1

    Barbara safi na imara Dodoma very good

  • @user-tv8ub4fk5i
    @user-tv8ub4fk5i 7 месяцев назад +1

    Asante mama,ww ni shujaa Mungu azidi kukuongoza vema siku moja utupatie kadi za bank tukadownload mafao yetu tuliyochuma pamoja

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 Год назад +5

    Sisi watu wa Dodoma tunajivunia wewe, Kwa kutujali tulipokuwa tumesahauliwa, mungu akukumbuke na kizazi chako

  • @abedomar5183
    @abedomar5183 Год назад +5

    Great job hivi ndo tunataka makao makuu ya nchi lazima yawe mfano kwa Tanzania

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Год назад +1

    Asante sana mh samia unafanya vzr sana na utaushangaza ulimwengu.

  • @abdallahselemani6423
    @abdallahselemani6423 10 месяцев назад +1

    Halafu mseme mama hafanyi kazi miradi imesimama yaani sisi watanzania hatuna shukrani tumejawa na chuki udini ukanda na ukabila ndio kinacho tutafuna!!! Mama samia piga kazi acha wapumbavu walalamike watakuelewa tu

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale Год назад +5

    Huku mtandaoni tunasema hakuna kinachoendelea. Kila kitu kimesimama! Sisi TZ tulio wengi ni WACHAWI!

    • @paschazianestorymatunda6490
      @paschazianestorymatunda6490 9 месяцев назад +1

      Bora umelioma Ni kwamba mama Hana majigambo, imagine Ni mradi aliplan magufuli alafu mama kaja kuutekeleza kuanzia mwazo mpaka itaisha kama Mungu akipenda.

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 9 месяцев назад

      @@paschazianestorymatunda6490 Kwa kweli!

  • @salummpikita2856
    @salummpikita2856 Год назад +4

    Shukran sana mama na samiha

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly3351 Год назад +2

    Hakikisheni mnaimaliza hiyo kazi kwa wakati uliopangwa;
    Tuna kazi nayo sana hiyo barabara

  • @peterrogathe5756
    @peterrogathe5756 9 месяцев назад

    Thanks Magufuli

  • @silvanomuhumha9760
    @silvanomuhumha9760 6 дней назад

    Tunaisubiri kwa hamu sana sisi wa matumbulu

  • @hassankurwa464
    @hassankurwa464 Год назад +3

    Feature ya mwenye maono ya Makao Makuu kuhamia Dodoma na aliye thubutu kuhamisha Makao Makuu Dodoma

    • @venancemiyeji6804
      @venancemiyeji6804 Год назад

      hii ni miradi ya JPM so huyu yeye akamilisha tu malengo na mikakati aliotuachia sasa hapo machawa watasema mama kaupiga mwingi upi unajiuliza kipi ambacho kafanya kipya zaidi tu kukamilisha yale aliyoyaacha mpendwa wetu

    • @jambo3751
      @jambo3751 Год назад

      @@venancemiyeji6804 kwahiyo Mama SAMIA ilikuwa aipuuze hiyo miradi asiiendeleze ili serikali ipate hasara!
      Halafu hii si miradi ya mtu binafsi bali ni miradi ya serikali.Rais yoyote yule alieko madarakani ndio msimamizi wa mambo ya nchi na ni jukumu lake kufanya hivyo.

  • @silvanomuhumha9760
    @silvanomuhumha9760 3 дня назад

    Muwe makini na wezi wa matilio mata, nondo,cement hao ndo wanaulidisha mladi nyuma

  • @rwechunguraissa1394
    @rwechunguraissa1394 Год назад +1

    Ni wajibu kidini kwa viongozi kuwa WAAMINIFU na waadilifu kwa raia wao na nchi zao.

  • @RichardIbrahim-bl8kd
    @RichardIbrahim-bl8kd 23 дня назад

    Hivi tz hatuna kampuni za ujenzi za tanzania?

  • @mshindimshindi9120
    @mshindimshindi9120 Год назад +1

    Mnafanya vizuri ila natamani kama serikali ingekuwa serious sana kwenye uwekezaji mkubwa kwenye kilimo cha umwagiliaji na baadaye viwanda.

    • @paschazianestorymatunda6490
      @paschazianestorymatunda6490 9 месяцев назад

      Kwanza tuache kutumia viambata sumu katika kilimo hiyo ndo sera YA msingi alafu ndo mengine yafuate.

  • @ndilibangokaruhawe9335
    @ndilibangokaruhawe9335 Год назад

    Bunge litunge sheria kuzuia kuifuata balabala kujenga nyumba karibu na balala hio kujenga iwe mita 500 kutoka wa balabala isiwe Kama Arusha by pas load na maeneo mengine

  • @aoloathumani10
    @aoloathumani10 11 месяцев назад

    Hiv jaman toka tulipoanza kujenga barabara toka tulipopata uhuru ni kwamba bado wasomi wetu hawaja jifunza jinsi ya kujenga hizi barabara, iweje kila siku katika miradi hii ambayo ni ya kawida wanapewa wageni, kama tatizo ni mitambo ni kwanini serikali isinunue mitambo yake ikawapa mainjinia wetu, yaan iwe kampuni mfano Tanzania civil engineering kama ilivo China civil engineering, ili miradi yote ya barabara, majengo, madaraja, viwanja vya ndege, mabwawa ya umeme ipewe iyo kampuni ya tanzania ili kupunguza utegemezi wa mafundi toka nje, na gharama pia lakini pia kutoa ajira kwa watu wetu

    • @paschazianestorymatunda6490
      @paschazianestorymatunda6490 9 месяцев назад +1

      Wengi wakijenga wanalipua kipindi cha magufuli alijaribu Sana kuwapa Ila wengi walikuwa Wana lipua. Barabara.

  • @saidimandala8342
    @saidimandala8342 Год назад

    HII inawezekana ikawa barabara ya njia nane...😄

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk Год назад

    Isijekua amesaini mikataba tuu mashoga wakawa wengi

  • @salumbujjo2320
    @salumbujjo2320 Год назад +1

    Cha kushangaza utakuta wanajenga single hiyo barabara baada ya kujenga za kupishana kutokana na ongezeko la watu na matumizi ya barabara

    • @venancebasil4656
      @venancebasil4656 Год назад +1

      Na mitaro yao wazi yajaa takataka bila drainages mvua zikinyesha barabara na shamba hamna utofauti

    • @triplea3463
      @triplea3463 Год назад +2

      Umeangalia vizuri huo upana wa barabara haiwezekani 2lane iwe hivyo hio ni 4lane mbili kwenda mbili kurudi

    • @paschazianestorymatunda6490
      @paschazianestorymatunda6490 9 месяцев назад +1

      Hizo Ni barabara Kwa ajiri YA magari makubwa Na Sio magari madogo, magari yanayotoka Dar, moro, kwenda singida, au Arusha n.k hayakuwa yanapita katikati YA mji Bali Kupitia hizo barabara ili kuepusha msongamano Wa magari Na ajali

  • @nyarinkya6102
    @nyarinkya6102 Год назад

    Shida mchina tu