BODI YA USHAURI YA TANROADS YATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE MSALATO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 фев 2024

Комментарии • 14

  • @user-lq7ew3eg3u
    @user-lq7ew3eg3u 4 месяца назад +3

    Wasenge nyinyi badala mjenge uwanja mkubwa tena mnajenga ndogo ndio baadae munabomboa ati kupanua ,

  • @user-yi8qv1lg5e
    @user-yi8qv1lg5e 4 месяца назад

    Ongereni kazi iendelee

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 4 месяца назад +1

    Mnawapotezea muda wahandisi kukagua mara kwa mara

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 4 месяца назад +3

    Uwanja huu utakuwa na uwezo wa wa abiria milion 1 kwa mwaka na ni makao makuu ya Nchi. Rwanda imejenga uwanja wenye uwezo wa abiria milion 10 kwa mwaka na Ethiopia imejenga uwanja wenye uwezo wa Abiria mili 30 kwa mwaka. Hivi Tanzania inaelekea mbele au nyuma? Jibu taadhali..

    • @NDEWARA
      @NDEWARA 4 месяца назад

      Huwa inategemea malengo ya ujenzi. Tanzania tumepiga hatua kubwa sana kwenye ujenzi wa viwanja vya ndege ukilinganisha na nchi nyingine Africa

    • @edwinnanyaro6717
      @edwinnanyaro6717 3 месяца назад

      Hivi hao abiria milioni 10 wanafuata nini Rwanda?...lkn kumbuka uwanja unajegwa kwa awamu...afu uwanja wa Rwanda unajengwa na wawekezaji kwa maslahi yao ya kibiashara...huhitaji likiwanja limoja likubwa...unahitaji matandao wa viwanja vya wastani...maeneo mengi nchini kama inavyofanyika sasa...tusiwe watu wa kukosoa kila kitu...tujivunie kuwa tunapiga hatua...

    • @namaraalexmbeikya1491
      @namaraalexmbeikya1491 3 месяца назад +1

      Rwanda wanafika 10M sababu n transport hub wana ubia na Qatar Airways, hata Ethiopia abiria wao wengi si wa kwenda Ethiopia, ni wa Transit tu, wanapita.
      Sasa dodoma watatoa wapi hao abiria?

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 3 месяца назад

    ONGEZEN UPANA UO NDEGE ITUE YA UKUBWA WOWOTE

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 4 месяца назад +4

    Yaani hii Nchi imepoteza muelekeo.Mwaka 1976 tumejenga Airport Dar ya kuudumia Abiria 1.5million. Leo 2024 mnajenga Airport mpya yakuhudumia Abiria 1million!!???.Shame on you.

  • @Gregoiresidehustle
    @Gregoiresidehustle 4 месяца назад

    uwanja wa ndege wa kigoma nao lini?

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po 4 месяца назад

    Wafanyakazi wachache

  • @jeremiahkeko7618
    @jeremiahkeko7618 4 месяца назад

    Sio mnakagua tu uwanja muitanue Io njia kuu kutoka morogoro kuja kwenye stendi ya mkoa nane nane ama ama kutoka bungeni had nane nane njia ni nyembamba na yazamam ya ni ibadilishwe iwe njia nne

    • @Optionxll_Playz1
      @Optionxll_Playz1 4 месяца назад

      Pia wangejenga train kutoka mjini kwenda uwanja WA ndenge.