DISEMBA 30, 2024 DARAJA LA J.P. MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) KUANZA KUTUMIKA-ENG PASCHAL AMBROSE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 19

  • @nashonjoel20
    @nashonjoel20 3 месяца назад +5

    Hongera nyingi kwa Muasisi wa Mradi huu JPM pamoja na Mheshimiwa Rais Dr Samia kwa kuendeleza Miradi yote mikubwa ya kimkakati. Kanda ya ziwa tutanufaika sana na Daraja hili.

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Месяц назад +2

    Magufuri agekuwepo ligeisha siku nyingi tutoleeni utopolo wenu tumewachoka

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 3 месяца назад +10

    Gnga LIKE kwa Hayati JPM

  • @yassinkanal
    @yassinkanal 19 дней назад +1

    Magufuli we baba 😢 😭

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 3 месяца назад +6

    Hayo Magugu ziwani, tunangojea mpaka wazungu waje kuyaondoa?

    • @prosperidinya5864
      @prosperidinya5864 2 месяца назад

      Eeeeh, kumbe ni magugu! Basi Mimi nikawa nakuuliza, kwanini hizo pile cap zijengewe kwenye maji badala ya kujenga kwenye ardhi hiyo yenye mimea. Asante

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 3 месяца назад +1

    Safi Chama Cha Mapinduzi kutekeleza Irani na kumalizia Miradi ya kimkakati..Mama SSH 2025 tena

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 3 месяца назад +1

    Hongera nyingi kwa viongozi wote mlio shiriki ujenzi huu

  • @African511
    @African511 3 месяца назад

    Akili za mwanaume mmoja aitwaye Magufuri,alooo Mungu alimtumia sana huyu jpm

  • @worldtechlab
    @worldtechlab 3 месяца назад +1

    Wow beautiful 😻

  • @EmanuelWebiro
    @EmanuelWebiro 2 месяца назад

    Leo jpm angekuwepo tz ingekuwa na stage gani?

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 19 дней назад

    Mmh , huyu mama anafanya kazi gn sasa ..... mbona kazi kama zimedelay kwa kiwango kikubwa sana

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Месяц назад

    Mimi nachukia mpaka sasa miaka 6 harijaisha

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 3 месяца назад +1

    Hakikisheni mnatoa majani yaliyo ota kwenye maji

  • @JayMore-fw5jn
    @JayMore-fw5jn Месяц назад

    Story zimukua nyingi kuliko vitendo

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Месяц назад

    Mnatuchosha tunataka barabara liishe tunachukia manenotu acheni hata kutangaza

  • @ZeProDJay
    @ZeProDJay 3 месяца назад

    Hili daraja halijaishaga tu duuh

    • @samsonmwijage1869
      @samsonmwijage1869 3 месяца назад

      Angelikuwepo duniani mwenyewe kwa sasa magari na waenda kwa miguu wangelikuwa wanapishana juu katika daraja hili.

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 2 месяца назад

    Mpaka reo mnaiba tuu cement na nondo hariiishi mrimtoa bure tuuu magufuli mngemuacha atujengeee inchi wajinga nyinyi