UJENZI UKIENDELEA "DODOMA OUTER RINGROAD"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 май 2023
  • TAZAMA Utekelezaji wa ujenzi wa barabara ya lami ya njia nne ya mzunguko (Outer Ring Road) nje ya jiji la Dodoma itakayokuwa na urefu wa kilometa 112.3 ambao unatajwa kuwa na manufaa makubwa ikiwemo katika kukuza uchumi wa Mkoa wa Dodoma na uchumi wa nchi kwa ujumla.
    ‪@tanroadshq‬

Комментарии • 2

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 Год назад

    Kazi Kazi

  • @Mwl.Mrosso5454
    @Mwl.Mrosso5454 Год назад

    Asanteni Sana .
    Mimi nimwshaitumia hii Barabara zaidi ya Mara mbili nitokea Arusha nikapita vyeula Hadi mji wa kiserikali then nikaingia zangu Chamwino