Dodoma: Ujenzi wa mji mkuu mpya wa Tanzania
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Serikali ya Tanzania iliuchagua mji wa Dodoma kuwa makao makuu ya nchi hiyo mnamo mwaka 1973. Mji huu ulizingatiwa kuwa eneo sahihi katika kusukuma maendeleo ya nchi kwa sababu ya faida yake ya kijiografia kama makutano ya usafiri. Mwanahabari wa BBC Peter Mwangangi alitembelea mji huo kutathmini ujenzi unaoendelea kuleta hadhi ya mji mkuu wa nchi.
#Dodoma #Tanzania #DarEsSalaam #MjiWaSerikali #MagufuliCity #JohnPombeMagufuli #SamiaSuluhuHassan #PeterMwangangi
As A Kenyan I love Tz so much the people the nature the umoja ya watu,
Ahsante ndugu pia karibu TZ
We love Kenyans too u're our blood brothers
@@hoseastephen4508 Asante
@@josephstephen1079Thanks
@@josephstephen1079 usitusemee na sisi wengine wengine ni maadui zetu hao pumbaaavuuuu zako 😂😂
Chonde chonde serikali ya Tanzania fanya mfanyalo jiji la Dodoma lijengwe vizuri majengo yake yawe bora na mazuri kuzidi yaliyo Nairobi na dar.Dodoma ndiyo image ya uzuri wa Tanzania.Tafuta wajapani,wakorea wachina waje wajenge magorofa marefu yanayo jengwe kwenye guides kuhimili matetemeko ya ardhi kwani Dodoma iko bonde la ufa.pia pale katikati ya mji majengo taka yote yabomolewe magorofa mazuri na fly overs zijengwe Tanzania ya Nyerere izidi kupendeza.
Nipenda Dodoma aisee sijui kwa nn ?
Hayati Dr. JP. Magufuri hakuwa rais mstaafu, inasikitisha unaposhindwa kelezea ukweli.
Ni mstaafu kwasababu nimareemu
Msameheni ni Mkenya huyu kiswahili ni cha kupima. hawana maneno mengi ya kiswahili.
@@tanzanite9944 ukweli kiswahili ni cha kupima
Mwandishi ni Mkenya ila amejitahidi kuongoea kiswahili fasaha, ila accent ya TZ bado hajaipatia.
Hawezi kuipataia sababu sio mothertongue yake
@@josephstephen1079so what?
😢💞💞💔💔
Mbona kakazia apo rais wa zaman...anajua neno zaman
Raisi mstafu..?.we vp muandishi au WA mchongo.
@GLOBAL FORTUNE COMPANY LTD 👊✌
Mwandishi wa habari mbona unatuangusha? Mji wa Dodoma watu milioni 3 wanatoka wapi? Takwimu unazitoa wapi hizi? Au hujui "MJI" ni nini?
Wengi ni wafanyakazi wa serikali waliokuwa dar na sasa wamehamia dom
Kama unapita mala kwa mala Dodoma bado hujaijuwa..mitataa yote imekuwa zaidi ya mala3, watu ni wengi sana, amini.
Kama MJI wa Dodoma una idadi hiyo ya watu, mkoa wa Dodoma utakuwa na watu wangapi? Ninachokiona hapo ni maana ya "MJI" hujaielewa.
Kwamba takwimu za sensa we hujazusikia Au
@@ototek8037 Jiji la Dodoma lina Idadi ya watu kama 430000 tu.