KASEKENYA - "OUTER RINGROAD" KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI DODOMA, na "INNER RINGROAD" KUJENGWA.
HTML-код
- Опубликовано: 9 мар 2023
- Serikali imesema imejipanga kuanza ujenzi wa barabara ya mzunguko wa ndani wa Jiji la Dodoma utakaokuwa na urefu wa kilometa 16 kwa lengo la kupunguza msongamano wa magari katika jiji hilo linaloendelea kukua kwa kasi kutokana na shughuli za Serikali kuhamia huko.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya wakati akikagua ujenzi wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilometa 112.3 ambao ujenzi wake unaendelea vizuri.
Mkotaratibu sana kweli 2025 mtakuwa mmekabidhi mradi wa barabara
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Rip jpm
Dodoma kuna msongamano gan
Mji unakuwa
Haya ni maandalizi ya miaka ijayo usiiangalie Dodoma ya Leo na kesho
@@kingmandama8382 Hiyo inaleta maana kama hakuna sehemu zingine zenye uhitaji
safi sana
ivi kati ya dodoma Mwanza na Arusha wapi panakua na msongamano sana wa magari
Dodoma n Jiji la mwisho kuwa na msongamano miji mikubwa Kama Arusha,Mbeya,Mwanza msongamano n mkubwa wanahangaika na huko
panapokuwa na shughulighuli nyingi za kiserikali,Unakuwepo pia utitiri wa shughuli za kibinafsi,Dodoma ya Sasa imechangamka Sana na Ina shughuli nyingi,Dodoma pia Ni makao makuu ya Tanzania.
Hivi Dodoma kuna msongamano? Acheni utani 😅
Mji hujengwa kwa kuangalia miaka 100 mbele na siyo kuangalia miguuni ulikosimama,Misongamano inayotutesa Leo Ni makosa yaliyofanyika miaka tele iliyopita kwa kujenga miundombinu bila kutazama mbele.
@@brysonkaale3003 Hizo pesa zingefaa kutatua misongamano iliyopo kwanza, halafu ndio tutatue misongamano ya miaka 100 ijayo
@@vintagemusicgroup9236 Inategemea una upeo gani,kwasababu Kama malori yakipita nnje ya mji automatic utakuwa umetibu Misongamano iliyoko Sasa.Kutatua Misongamano Ni kupanua barabara na kujenga nyingine mpya na ndicho kinachofanyika.