KASEKENYA - "OUTER RINGROAD" KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI DODOMA, na "INNER RINGROAD" KUJENGWA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 мар 2023
  • Serikali imesema imejipanga kuanza ujenzi wa barabara ya mzunguko wa ndani wa Jiji la Dodoma utakaokuwa na urefu wa kilometa 16 kwa lengo la kupunguza msongamano wa magari katika jiji hilo linaloendelea kukua kwa kasi kutokana na shughuli za Serikali kuhamia huko.
    Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya wakati akikagua ujenzi wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilometa 112.3 ambao ujenzi wake unaendelea vizuri.

Комментарии • 15

  • @silvanomuhumha9760
    @silvanomuhumha9760 19 дней назад

    Mkotaratibu sana kweli 2025 mtakuwa mmekabidhi mradi wa barabara

  • @neemaelimbinzi6779
    @neemaelimbinzi6779 Год назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @joevang4685
    @joevang4685 Год назад

    Rip jpm

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 Год назад +1

    Dodoma kuna msongamano gan

    • @joevang4685
      @joevang4685 Год назад

      Mji unakuwa

    • @kingmandama8382
      @kingmandama8382 Год назад +5

      Haya ni maandalizi ya miaka ijayo usiiangalie Dodoma ya Leo na kesho

    • @vintagemusicgroup9236
      @vintagemusicgroup9236 Год назад +1

      @@kingmandama8382 Hiyo inaleta maana kama hakuna sehemu zingine zenye uhitaji

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Год назад

      safi sana

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 Год назад +1

    ivi kati ya dodoma Mwanza na Arusha wapi panakua na msongamano sana wa magari

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 Год назад +1

      Dodoma n Jiji la mwisho kuwa na msongamano miji mikubwa Kama Arusha,Mbeya,Mwanza msongamano n mkubwa wanahangaika na huko

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 11 месяцев назад

      panapokuwa na shughulighuli nyingi za kiserikali,Unakuwepo pia utitiri wa shughuli za kibinafsi,Dodoma ya Sasa imechangamka Sana na Ina shughuli nyingi,Dodoma pia Ni makao makuu ya Tanzania.

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 Год назад +1

    Hivi Dodoma kuna msongamano? Acheni utani 😅

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 11 месяцев назад

      Mji hujengwa kwa kuangalia miaka 100 mbele na siyo kuangalia miguuni ulikosimama,Misongamano inayotutesa Leo Ni makosa yaliyofanyika miaka tele iliyopita kwa kujenga miundombinu bila kutazama mbele.

    • @vintagemusicgroup9236
      @vintagemusicgroup9236 11 месяцев назад +1

      @@brysonkaale3003 Hizo pesa zingefaa kutatua misongamano iliyopo kwanza, halafu ndio tutatue misongamano ya miaka 100 ijayo

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 11 месяцев назад

      @@vintagemusicgroup9236 Inategemea una upeo gani,kwasababu Kama malori yakipita nnje ya mji automatic utakuwa umetibu Misongamano iliyoko Sasa.Kutatua Misongamano Ni kupanua barabara na kujenga nyingine mpya na ndicho kinachofanyika.